Тёмный

MAKONDA AMKABIDHI MILIONI 10 JAMAA ALIYESHINDA MASHINDANO YA PIKIPIKI ARUSHA "SISI SIO WASHAMBA" 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 37 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

13 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 81   
@justinelukumay5308
@justinelukumay5308 Месяц назад
Mh Makonda God bless you unachachukubwa ya kuwajenga Vijana ndani na nje Ya Arusha Barikiwa kakaangu
@Hillary_Daudi_Mrema
@Hillary_Daudi_Mrema Месяц назад
Mungu akubariki Mheshimiwa Makonda kama Mkuu wa Wakuu wa Mikoa Tanzania Vijana wapambanaji tunakukubali Taifa zima. Hizi Sekta ambazo sio rasmi ndiyo zinagusa maisha ya vijana wengi ambao ni wapambanaji. Good job and Big up
@salymkitumbika8644
@salymkitumbika8644 Месяц назад
Ahadi imekuwa kweli namuona yule mtendaji mwenye miwani uliyemwita aje afanyekazi office ya mkuu wa mkoa well done🎉
@user-nb6yh2bn9y
@user-nb6yh2bn9y Месяц назад
😂😂😂🫡🫡🫡
@user-qz2sk3is9c
@user-qz2sk3is9c Месяц назад
Sijamuona hapo ila namkumbuka jamaa yupo smart aisee
@Nick16697
@Nick16697 Месяц назад
Imekaa poa sana, lakini ningeshauri kwakua nia ni kukuza utalii basi jina la mashindano yangeitwa jina hata la mbuga za wanyama yoyote Tanzania, ili kukuza utalii
@AliJuma-go4rc
@AliJuma-go4rc Месяц назад
Yan wabongo kutajwa Samia mutoe makosa cjui mnaumizwa na nn haya jina tu ndo wataliii hawatokuja
@albertlaizer8464
@albertlaizer8464 Месяц назад
Uko na akili sanaaa wwe joh
@user-nb6yh2bn9y
@user-nb6yh2bn9y Месяц назад
​@@AliJuma-go4rckwani kakosea nini mbona unashida wewe
@innocentinyasi9198
@innocentinyasi9198 Месяц назад
Maoni mazury sana kaka sema ni mwanzo maybe Races ijayoo watatumia
@user-zs4qz4wm2n
@user-zs4qz4wm2n Месяц назад
​@@AliJuma-go4rcwewe ndo kichwa mgando mwenzio katoa mawazo mazuri wewe unaleta upuuzi😂😂
@browntv1119
@browntv1119 Месяц назад
makonda wewe sio mtu wa kawaida umeletwa na mungu endelea kupambana mkuu vijana tuko nyuma yako
@paulinaobiria9649
@paulinaobiria9649 Месяц назад
Hongera kwa waandalizi na hongera kwa mkuu wa mkoa kwa kuwaunga mkono wachezaji wa mchezo huu, umeonesha kuwajali na hii itaamsha ari ya washiriki na pia kitakuwa kivutio katika mji huu na itaongeza uchumi wa watu wa Arusha
@UshuaniMedia
@UshuaniMedia Месяц назад
asante ayo kazi nzuri kaka one day niwe kama ww..🤔
@apostlemagdalenakongera1238
@apostlemagdalenakongera1238 Месяц назад
Yesu Kristo azidi kukutetea na kukulinda daima hongereni sana Wana Arusha kwa kupata jembe kama hilo
@user-nb6yh2bn9y
@user-nb6yh2bn9y Месяц назад
🥰🥰🥰👏👏👏
@khadi-z4o
@khadi-z4o Месяц назад
Yesu Ninani yako wewe?Bwana Wamungu au Yeye Ndiye Mungu?😅
@user-nb6yh2bn9y
@user-nb6yh2bn9y Месяц назад
@@khadi-z4o kwani mtume ninani yako wewe mbona unakuwa jambazi wakuvamia Imani zawatu 🙃
@khadi-z4o
@khadi-z4o Месяц назад
@@user-nb6yh2bn9yMtume Nimtume na Mungu Ni Mungu Hakuzaa Wala Hakuzaliwa Na Hana Mfano wowote nakitu chochote ama mtu yoyote Duniyani.Ndomaana Akaitwa MUNGU.
@Sheba4651
@Sheba4651 Месяц назад
Ujinga wa watu weusi mpaka leo tupo utumwani, Yesu hana mpango na sisi watu weusi, vijana wake wa ulaya ndio walitupa hiyo imani baada ya kutuswagwa utumwa. Labda vijana wake wa ulaya ndio anawatetea, we bakia hivyo hivyo
@user-rh5iy3ei3g
@user-rh5iy3ei3g Месяц назад
Ila wana Arusha sikuiz hatupumua kwa burudan tunazopata,ni back to back Alhamdullilah 😊
@leokamil6284
@leokamil6284 Месяц назад
Mmeperembwa kweli ili mtoe kura 😅
@user-qz2sk3is9c
@user-qz2sk3is9c Месяц назад
Inabidi uhamie uku kwetu arusha
@DaudiSiyame
@DaudiSiyame Месяц назад
May God give you better health and more strength
@user-pi5df7qu3y
@user-pi5df7qu3y Месяц назад
Mr president makonda respect sana
@barrynzeyimana6270
@barrynzeyimana6270 Месяц назад
Mambo mengi mnayapatia jina la Rais. Mambo mengi yasiwekwe kwenye siasa bali taifa. Kwakua 100% ni Rais Wa Tanzania, lakini kuna ambao hawampendi.
@michaelpengo8730
@michaelpengo8730 Месяц назад
Sasa kama humpendi rais vyake unavitakia nini?
@AliJuma-go4rc
@AliJuma-go4rc Месяц назад
Yan watu wote mwenye akili ya kufkiria ni ww tu? Acha wivu wa kijinga fanya kaz na ww jina lako liwekwe sehem kama hizo 😂😂😂
@leokamil6284
@leokamil6284 Месяц назад
Sio kumchukia ila too much is hurmfull yaani inachosha kujipendekeza kumekuwa kero kila kitu Mama ifike wakati ipunguzwe hii style. Hii tabia ilishika hatamu enzi ya Mwendazake ila sasa inachosha kila kitu ni Mama sijawahi kusikia wakisifiwa watanzania kwa ulipaji wa kodi utaskia zimetoka kwa dah
@AlbinusPeter-yw6oy
@AlbinusPeter-yw6oy Месяц назад
Mh makonda wewe nomaaaaa sanaaa
@winnyolesirikwa4477
@winnyolesirikwa4477 Месяц назад
Mungu akulinde Makonda ila wanawake mmeniangusha yaani hata mmoja wa kushiriki kwenye mashindano hapana 50/50 iko wap? Hebu tuache uvivu tunaweza tushiriki❤
@priverpriva4144
@priverpriva4144 Месяц назад
😅😅😅😅😂😂😂😂😂
@priverpriva4144
@priverpriva4144 Месяц назад
Mbona ww ujashiriki
@user-rh5iy3ei3g
@user-rh5iy3ei3g Месяц назад
We kuweza😂😂😂
@BabuGga-td3mg
@BabuGga-td3mg Месяц назад
😂😂😂
@HumphreyNyiti
@HumphreyNyiti Месяц назад
Longer mdogo wangu
@BIGBOSS-hl3bu
@BIGBOSS-hl3bu Месяц назад
Mh makonda ni mbunifu sana kwa kweli
@MarkSulle-yg5lt
@MarkSulle-yg5lt 13 дней назад
Nimekuja kukuangalia mkuu nikiwa na huzuni mnooo😢
@user-mq4et8ie5c
@user-mq4et8ie5c 28 дней назад
Namuona John mdenye
@abdulmniga8938
@abdulmniga8938 Месяц назад
Safi sana
@FatimaAli-of4gh
@FatimaAli-of4gh Месяц назад
Ingekuwa vyema mungewapa cheki hiyo cash haitoleta mauwaji mji wenyewe ni wa matukio jamani 😢😢
@ErastoOmari-ij1zs
@ErastoOmari-ij1zs Месяц назад
M/Mungu Akupe UmrinMrefu Makonda
@Hillary_Daudi_Mrema
@Hillary_Daudi_Mrema Месяц назад
Jiji la Arusha Jiji la Wajanja inafaa kuwa na Mbunge kama Makonda wakati wa Uchaguzi Mkuu wa 2025 hakikisheni Makonda anakuwa Mbunge wenu. Huyu akiwa Mbunge kisha Mungu akamsaidia akawa Waziri nakuambia hiyo Wizara watumishi watalala na viatu maana kazi itapigwa usiku na mchana.
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 Месяц назад
ati watala na viatu..yaani nimechecka mpka nikaanguka kwa kiti aiii jmni wewe😂🤣
@user-ur7pw9ek6s
@user-ur7pw9ek6s Месяц назад
Sio masihara🎉🎉🎉.
@tuikezeezra1315
@tuikezeezra1315 Месяц назад
Aangalie wahuni wa huko Arusha wasije wakamvamia🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@ZuhuraTwaha-fs5ub
@ZuhuraTwaha-fs5ub Месяц назад
Kwani kama ni mashindano ya Samia kwanini yako mkoa mmoja hii haiko Sawa kwa mtazamo wangu lakini kama ni Jambo la raisi Rais ni wawote ila haya tuone picha liendelee😢
@leokamil6284
@leokamil6284 Месяц назад
Hakuna kitu kirahisi kama kuchezea akili za watanzania, ni wepesi wa kudanganywa kwa kupewa vitu vidogo vidogo. Wanaridhika kwa kudanganywa na vitu vidogo wanasahau mtaka cha uvunguni hawaoni mbali hawana upeo kabisa sijui nani kawaroga .Inashangaza kwamba hawaoni wanaperembwa ili wajisahau wawape nafasi wenye kula nyama wao wanaambulia mtori .Yaani wanaonjeshwa bali kula wanakula wengine. Ndio maana kila siku anabuni jambo jipya hapoi yupo kwenye mkakati maalumu wa kucheza na madhaifu yetu.Upinzani mkali upo Arusha kanda ya Kaskazini nimemaliza .
@yusuphtwaha8386
@yusuphtwaha8386 Месяц назад
Unazingua haya mashindano yapo kila mwaka sio kwamba makonda ndio ameyaleta makonda ameyaongezea nguvu tu arusha sio mkoa wa kuuteka kirahs hvo vyote anavyofanya makonda vilikuwepo sema tu havikua na sapoti
@careemdulla1629
@careemdulla1629 Месяц назад
Haya mashindano yanafanyika karibia kila mwaka hapa Arusha ila kwa alivyo yaanda muheshimiwa Makonda sasa ndio yamekuwa na mvuto hongera sana Makonda.
@Peterchipemba
@Peterchipemba Месяц назад
Hayo ndio maendeleo ya viongozi wa ccm,,kikombe kilicho jaa maji hakiitaji maji mengine
@jonakajigili6991
@jonakajigili6991 Месяц назад
Wazo zuri sana ili lengo likuze utalii zaidi kuliko siasa
@stephanokanyika6321
@stephanokanyika6321 Месяц назад
Makonda oyee
@zomasamweli
@zomasamweli Месяц назад
Makonda unahakili sana
@vaghoghontweki9827
@vaghoghontweki9827 Месяц назад
Nchi ya matajiri ..muwape na ndege pia🎉... 😅
@mtukufusafari5535
@mtukufusafari5535 Месяц назад
Makonda mpaka sasa kuna sehemu watu wanasema ww unastahili ata kuwa rais wa nchi nzima siyo mkoa tu
@davidshaban7375
@davidshaban7375 Месяц назад
Jina la Samia sijalikubali
@workmantiktok
@workmantiktok Месяц назад
hapo imekaa vizuri
@fadhilidanieli1478
@fadhilidanieli1478 Месяц назад
Daaaaa ila Makonda????
@ibrahimuabinala695
@ibrahimuabinala695 Месяц назад
👋🙏🙏🙏
@Bquality
@Bquality Месяц назад
Namuona masoud hapo hahahahaha
@madengejr
@madengejr Месяц назад
Ingeitwa ,, utalii wetu na vipaji vyetu
@AliJuma-go4rc
@AliJuma-go4rc Месяц назад
Wabongo acheni wivu Samia ni rais wenu hata mumchukie kila mbongo utaskia analia na jina kwani si na ww ufanye kaz ili ufikie level ya kutajwa kila sehem tafuta hela ww acha mambo yaso na tija yoyote kwako
@FatimaAli-of4gh
@FatimaAli-of4gh Месяц назад
​@@AliJuma-go4rc Kwani jina lina nini Mafia kaletwa DC mpya miezi 3 tu kuletwa ukaja mwenge pale pale akatayarisha uwanja wa kusheherekea mbio za mwenge na usiku ule ule ukatangazwa ule uwanja wa michezo uitwe Maposongo Alena jina la babu yake si basi na watu wote wapo happy kwani wamepita ma Dc wangapi mbona hawajaitwa hata majina ya barabara za mtaa
@user-zu8ou2oe4c
@user-zu8ou2oe4c Месяц назад
Wewe jamaa ni mbunifu sanaaa mahisi ww ni mkuu wa wakuu wa mikoa yote tanzania
@barakarobert1029
@barakarobert1029 Месяц назад
Kwa kwel
@arabisimwandaone5508
@arabisimwandaone5508 Месяц назад
Saf sana
@SeverinepauloPeter
@SeverinepauloPeter Месяц назад
Spining
@broka_genius3615
@broka_genius3615 Месяц назад
Chugga km mbele
@user-qj2fz8uq3j
@user-qj2fz8uq3j Месяц назад
Wakuu wa mkoa mjifunze kit
@user-qh2bx5em6j
@user-qh2bx5em6j Месяц назад
Myteves😂
@Hillary_Daudi_Mrema
@Hillary_Daudi_Mrema Месяц назад
Wakuu wa Mikoa wengine nawaomba waige mfano wa Makonda badala ya kukaa ofisini kujilipa posho na kufuga vitambi na matumbo makubwa wangemsaidia Rais Samia kwa kujiongeza na kuwa wabunifu tukawa na kina Makonda wengi nakuambia hili Taifa tungefika mbali.
@titongome3037
@titongome3037 Месяц назад
Huyu Makonda ni damu yamagufuli tumuombe Mungu haje awe rais watanzania ila acha kumsifia mama
@leokamil6284
@leokamil6284 Месяц назад
​@@titongome3037Yupo kumpigia Mama abaki Madarakani wewe unadhani yupo kwa ajili ya nani ?😅
@Sisopotashiumz
@Sisopotashiumz Месяц назад
Hawa wazungu tungewabagua tu! Tuwakate kwenye mashindano hata kama wameshiriki
@salumchema5098
@salumchema5098 Месяц назад
Pelekeni.hosptal
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo Месяц назад
Kufanya nini huko. Hizo kesho tunapiga bia na nyama choma zote.
@barakarobert1029
@barakarobert1029 Месяц назад
Walishatibiwa bure wakapewa na dawa bure
@samwelilazaro2835
@samwelilazaro2835 Месяц назад
Ulisahau wiki nzima ya matibabu pale uwanja wa michezo asee?? Duh binadamu kazi kweli
@jerrymartin6521
@jerrymartin6521 Месяц назад
HONGERA SANA WEZETU WA ARUSHA
Далее