Nyie tangazeni tu hakuna kitakachofanyika hyu kijana atafute nchi nyingine hapa kwa mautopolo viongoz hawatakubali kumshika mkono nchi inanuka rushwa na ss watz ni mautopolo baadh yetu yaani hawa viongoz hawapo ajili ya wananchi
Hapo ndipo hawa wenzetu wametushika. Kwakua wengine huyu anainda baadhi ya vifaa, na kufanya makinaliano na kampuni yenye kiunda hicho ki housing cha ubunifu