Enyi watawala msijae kiburi kumbukeni kuna kufa.kuna kufa na kuna hukumu mbela za Mungu.Ongozeni nchi huku mkiwa na hofu na mungu.Tendeni haki na mtangulize utu.
Asante sana muzee wetu kwa uchambuzi wako muzuri na wakuelimisha jamii yetu kuelewa yanayo endeleya inchini Tanzania, from Cedar Rapids Iowa state USA 🇺🇸.
"Historic cosmestic changes! These are what they have brought to us!" Enyi mlio watoto wetu, wajukuu wetu, vitukuu vyetuu, vilembwe, vilembwekezi.....nanyi wengineo.... oneni kilichofanyika na yajueni haya! Kaeni chonjo vizazi vyetu vijavyo kuzipigania haki zenu ambazo tunazipigania sasa! Watambueni wanaotukandamiza! Ufikapo wakati wenu sisi tutakuwa hatupo! Pambaneni hadi kieleweke vizazi vyetu! Mungu atakuwa pamoja nanyi!
Hebu viongozi wa nchi na bunge chonde chonde tujenge taifa la kisasa na la kistaarabu kwa kutanguliza utu na haki.Isifikie kipindi tukasema heri ya mkoloni mweupe kuliko mkoloni mweusi.yaani mkoloni angeendelea kutawala hadi leo hii nchi ingekuwa imepiga hatua kimaendeleo na ingekuwa ni nchi yenye utu na haki.
Chadema kuchukua dola 2025 watachukua lakini hawatapewa CCM ipotayari kuua mtu watu lakini sio kuachia nchi kwa chama chochote ,CCM watatoka ktk utawala kwa njia 2 tu 'Ama kwa mtutu wa bunduki au kwa laaana ya Mungu ,yani MUNGU aangushe ufalime wao kwa sababu ya dhuluma, kudhulumu watu wa Mungu ,kwa njia ya kura msahau kuiondoa CCM
Ccm wanachokiwazaga miaka yote ni kurithishana madaraka, tena wengi wao ni mafisadi, wasio wajibika kwa nafasi zao na wakandamiza haki za wanyonge.. niko paleee mtaniletea maua yangu mkishanielewa😊😊
Waache tu watajua Mataifa yote ambako mapinduzi yalifanyika haikutokea bahati mbaya Ilitokea baada ya kuona uvumilivu umezidi. Sasa waache MaCcM waendelee kupuuza maoni ya wenye nchi huku wakikandamiza raia wenye akili wasio na hatia mahakamani na kuwabambikizia kesi za kihaini, kichozi, uhujumu uchumi eti tu Kwa sababu wameshindwa kushindana nao Kwa HOJA zenye mashiko. Danger😢😢😢😢😢😢😢😢
Hata hivyo Yana mwisho, kwa kuwa ccm wanajitengenezea njia rahisi ya kuingia ktk madaraka kwa hadaa, lkn wajue kuwa wanaoumizwa na Sheria hiyo ni Watanzania zaidi asilimia 90 na wananufaika na Sheria hiyo ni chini asilimia 10. Watanzania asilimia 90 wananyanyaswa sana na huo mfumo, mungu ana uwezo wa kuwavusha hata kama mazingira ni magumu wakashinda na kushika Dola , Baada hapo CCM msije mkaanza kulialia kutaka kubadilisha hiyo Sheria maana usidhani mkuki ni mchungu kwa nguruwe tu.Na msidhani hiyo Sheria mnawatungia chadema tu , bali Watanzania %90 , Sheria inawasaidia kushinda kwa dhulmaili muendelee kuharibu raslimali. Mungu wasaidie Watanzania hao kuvuka salama kufika nchi ya ahadi.
Hiyo ni tume ya kulinda CCM. Sio tume kwa ajili ya Wananchi. Hao wabunge ni Mhuri wa serikali, hawapo kutetea wananchi, kwao CCM ni muhimu kuliko nchi.Pity! Hawatambui kazi ya bunge,wanadhani kazi yao ni kulinda serikali badala ya kuisimamia.Bunge lilifanya kazi nzuri chini ya Samuel Sita tu!
Shida waliyonayo hw Viongozi wetu wanataka walazimishe kututumikia tena wakati wananchi tumewachoka na uwongozi wao namna wanavyotuongoza,ni waroho wa madaraka wanataka kutulazimisha kutuongo wkt wananchi hatuwataki,wasipotaka kuzisikia sauti za wanainchi watatoka kwa kuzomewa na ndicho wanachokitaka,tuko pamoja sn nchi yt tunaipenda ndo maana hatutaki iingiye kwenye migogoro isiyo isha
Kheri kutawaliwa na wakoloni. Waingereza wangetutawa tungekuwa sasa kama Uingereza. Kwa sababu hawana mazingeumbwe. Hawana haja ya kuwa mafisadi. Kwa kweli hata Nyerere angejua wangemgeuka kiasi hiki hii Inchi ingekuwa mbali. Sasa mwisho mtakuwa watoto wa sultani kwa lazima.
Kuna kufa ndiyo. Samia hawezi kufa alisema baba yake Makamba. Kwahiyo anaweza kuwa na kiburi kudharau wanainchi wa Inchi hii. Hata hao wabunge ndiyo genge la Ikulu
Wanahongwa mabillioni, wote wala rushwa! How on earth did they go to Dubai to visit Dp world, all expenses paid and they awarded DP World the tender. As in selective tender - not open!
We don't have palament only ccm member in palament house principle control palament house is the principal committee of ccm top few politician who run all national kamati ya maadili ndio lnayoendesha nchi sio hiyo bunge ndio maana wao wanaangalia kijina sio watanzania chochote wanaweza pitisha sababu wao ni kijani wanatetea kijani sio watanzania Hawana mpango nao hata hao wavaa kijani wanateseka ili kijani kizuri zaidi zipo hapo juu ccm masikini wanaiteseka mpaka unaona huruma Bora hata wapinzani sababu hawavai kijani wanekubaliana na hakisi lakini hao wavaa kijani wanateseka sana wakiamuni kuwa kijani mwanzao kuwaona Sasa Hawa wao kwa wao wanatesana tuwaamini kutupa tume huru kinawatara wapo Dunia gani Wana ccm wenzao walilalamika mashamba nyumba mabarabara kesi nyingi tuu laa mungu tusaidie
Hii tume inakua huru kwa maandishi tu baada ya kujaza neno "Huru" tu kwasababu bado bunge limeridhia Rais ambaye pia ndiye mwkt wa chama tawala, chama chao,naye ni mgombea, kuteua tume kutoka watu wa chama chake kuusimamia huo uchaguzi wanaouita huru, lakini miswada inatoka kwao, wakaipitisha wao, kwa matakwa yao! Maoni yetu wananchi yakaambatanishwa na miswada hiyo ili Mkuu wa nchi wakayaingize maoni hayo sirini nje ya bunge! Tunakwenda wapi kama taifa huru?!
Maccm niwababaishaji wanafiki,dawapekee yakutibu tatizo hili nikuwapiga kamatulivyoona nchi fulani zilifanya hakunalisilowezekana chiniyajuwa hiiccm itaanguka kama tawala nyingine tulizoshuhudia duniani,
Ngurumo acha utani. Kwani lini BUNGE tukutu liliacha kuwa kikaragosi cha sirkal? Ni mambo ya kuunga jitihada hata kama ni za maangamizi. Viongozi wanapoogopa watu wao ujue kuna tatizo kubwa. Tume huru haiwezi kuundwa na watu wasio huru. Hii siyo tume huru ya uchaguzi bali uchakachuaji. Ni tume ya udhuru kwa uhuru na uwazi wa uchaguzi.
Hii inchi inatawaliwa na waarabu wa Dubai. Waarabu Walisema watatumia $ bilioni 2 Tanzania iwe yao kama Sudan. Ni jukumu letu Wanainchi tumwonfoe chotara wa kiarabu tuweke madarakani mzalendo mtanzania.
Tunavyochelewa kumwondoa huyu chotara Ndivyo itakuwa gharama kubwa Kumwondoa. Kama hamna tume huru hamna uchaguzi. Na liwalo liwe. Mama hajapigiwa kura na mkoa yote ya Tanzania kushika nafasi ya Urais. Yeye kwa sasa ni acting president tu.
Binafsi ningeshangaa sana kama wasingepitisha hizo sheria sababu kwanza hawa si wabunge wetu maana hata walivyopatikana ilikuwa sawa kabisa na kuteuliwa na wakuu wa CCM. Japo unayosema yote ni sahihi kabisa lakini brother hii ni Tanzania ya CCM mahali ambapo hata nchi yenyewe ni muungano wa nchi Mbili ambazo baada ya muungano zimebaki nchi Mbili Tanzania bara na Zanzibar...lo! Na kweli muungano huu hauna mfano duniani. Bila Katiba mpya yote mengine ni ulaghai tu... mbona hatuamki??
Ile Sheria ya uandishi wa habari kwa kweli ilinisikitisha. Huwezi kuweka vigezo vya mtu kuwa Mwandishi wa habari. Ni kipaji, kama kucheza mpira, au kama kuwa mfupi au mrefu. Mfano, Dr Janabi ana andika sana Kuhusu Afya yetu, na kutangaza kwenye RU-vid. Je, Hana vigezo vya kuwa Mwandishi wa Habari? Wachumi, kama yule Mkuu wa Soko la Hisa DSM anaandika Kila Wiki kwenye gazeti, je Hana vigezo vya kuwa Mwandishi wa habari? Vyama vya kitaaluma vinatakiwa, na vina uwezo wa kujiendesha vyenyewe. Serekali kuvipangia ni kuvitawala kimawazo, kuvi control, ni namna mojawapo ya kuincontrol jamii. Jamii inatakiwa iwe huru.
Broo Hii Inataka Vikundi Vya Uwasi Kuiondoa Ccm Madalakani Bila Kufundisha Vijana Kushika Bunduki. Na Kuingia Mstuni Nchi Hii Ccm Aiwezi Kutoka Madalakani
KWA mfumo wa utawala wa ccm haiwezi kupatikana Tume huru ya uchaguzi kwa sababu ccm inataka kila aliechaguliwa kua Raisi amalize miaka 10 na yeye amkabidhi mwenzie atawale miaka 10 na yeye ukimaliza na yeye akabidhi hivyo hivyo sasa sio rahisi hiyo Chen kukatika labda kwa mkono wa Mungu peke yake na sio vinginevyo au ( utumike mtutu wa bunduki) kuisambaratisha CCM ,kitu ambacho sio rahisi. ( Tuelekeze nguvu nyingi ktk maombi ,Mungu atusaidie)