😭😭😭 Jamani hizi situations zingine usikie tu kwa mwenzako,poleni na hongereni kwa kukutana tena,ila pongezi zaidi kwa Stellah na mumewe kwa kuwakusanya wadogo zake na kuishi nao... it's so emotional kwa kweli
Jamani Mungu awabariki sana. nimelia sana nakosa cha kuongea kwani na mimi nimepitia hayo maisha ya kupotezana na wazazi kweli inauma nilimtafuta mama mpaka Uganda 😭😭😭
Jamani Mimi naitwa Stella natafuta watoto wa mjomba Wangu sijawai waona Ila baba yao alimpa mama yangu picha zao mabinty wawili Kwa majina siwajui la baba yao Ni Mzee mgeta Bita mkama na kwasasa baba yao hayupo hai popote pale wawasiliane namimi stella
YAAAANI CLOUDS MUNGU AWABARIKI SANA KWA KIPINDI HIKI TULIOPITIA HIII KADHIA NDIYO TUNAJUA FURAHA NA MACHUNGU YAKE NA ALIEBUNI KIPINDI HIKI PEPO INAKUHUSU