Тёмный

#LEOTENA 

CLOUDSMEDIA
Подписаться 1,3 млн
Просмотров 37 тыс.
50% 1

#LEOTENA: MAMA ALIVYOTAKA KUMBEBA MWANAE ALIYEPOTEZANA KWA MIAKA 36, SIJUI MIAKA YANGU

Развлечения

Опубликовано:

 

6 июн 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 184   
@SalhaIradukunda
@SalhaIradukunda Месяц назад
Aliye lia kama mm nipeni like hapa jamani
@user-em4zz3lh1h
@user-em4zz3lh1h Месяц назад
Nimelia kwanguvu yaani
@ilakozasembumende1975
@ilakozasembumende1975 Месяц назад
Huyu mama sasa ndo mama yaan anahisia kari sana na mwanae yaaani kijanawake hata juta kumpata mama yaan wana chemistry moja matata❤❤❤❤❤
@judyngowi391
@judyngowi391 Месяц назад
Clouds kitu mnafanya ni kikubwa , nawapa maua yenu, Mungu awabariki sana
@user-bo5qp9gz8m
@user-bo5qp9gz8m Месяц назад
Mama waziri honge sana kwa kumpata wifi mwenye hofu ya Mungu ubarikiwe shangazi uishi miaka mingi ❤❤❤❤❤
@user-kh7mx7up4w
@user-kh7mx7up4w Месяц назад
Wallah kipindi ni kizuri sana na kinaliza allah awalipeni kila lenye heri inshallah
@sarahkinyashi6213
@sarahkinyashi6213 Месяц назад
Kipindi kinaliza hikiii,nyie tumshukuru Mungu jamanii😭😭😭🙏🙏🙏🙏🙏
@hamzafishten9560
@hamzafishten9560 Месяц назад
Kabisa
@cocorita8367
@cocorita8367 Месяц назад
Hichi kipindi chenu ni kutuliza tu jamni mungu awabariki sana Dahuu na Geah😢
@Sarah_gerald
@Sarah_gerald Месяц назад
Na jose
@RayChausa
@RayChausa Месяц назад
😢😢Chatuliza kwa kweli
@upendogreutert199
@upendogreutert199 Месяц назад
Kipindi hiki kinaliza jamani siwez vumilia kwa kweli
@phebbyshayo9099
@phebbyshayo9099 Месяц назад
Kipindi Bora Sana ...nampenda Sana bint yangu Meghan❤
@oman1oman179
@oman1oman179 Месяц назад
Hiki kipindi kinaliza sana 😢😢😢😢😢Yani nimeshalia mmpaka basi na fikia kuumwa kicwa juu ya kulia
@zamdambalilo9718
@zamdambalilo9718 Месяц назад
Kiukweli Mungu awabariki sana.Kipindi hiki kinanitoa machozi sana.Naumia nikiona wanawake tunaroho ngm.mm nakufa nawanang.maradhi aukifo ndo kinitenganishe.Japo napitia shida nyingi ila najua mungu hatoniacha
@SharifaOman-bf1bn
@SharifaOman-bf1bn Месяц назад
Najikuta. Nalia. Jamani. Timu. Ya gea. Hongereni sana
@rehemaathhmani357
@rehemaathhmani357 Месяц назад
Mungu awabariki sana kwa kazi zenu ❤🤲
@theonestinamutole8549
@theonestinamutole8549 Месяц назад
Nimelia sanaaa
@samuelmuhindosivamwanza4988
@samuelmuhindosivamwanza4988 Месяц назад
Kwa mara ya kwanza, ninafuata kipindi hiki nikiwa GOMA-DRC 🇨🇩. Nimekifurahia sana. Mbarikiwe sana na Mungu kwa kazi mnayo itenda. Watu wengi tumepotezana nao. Mmenifanya nilie kama mtoto mdogo.
@oman1oman179
@oman1oman179 Месяц назад
❤❤❤❤❤❤❤mungu awwzidishie wote mnawo fanya kazi hii ya kukutanisha watoto na wazazi ,sasa wazazi wakiume wako wapi
@nenenongi66
@nenenongi66 Месяц назад
I wish engekuwa inatokea wale wazazi walishafariki wanaenda huko mbinguni wanakaa kwa mda then wanarudi wakaanza kututafuta watoto wao waliotuacha huku duiniani ,mimi ningekuwa naingoja hiyo siku kwa hamu sana yakuwaona wazazi wangu tena,pumzika kwa amani wazazi wangu😭
@festusbokoro1615
@festusbokoro1615 Месяц назад
R I p pole Sana
@sarahkinyashi6213
@sarahkinyashi6213 Месяц назад
Jamanii wamamaaa,hii inatufundisha kitu wapendwa,afadhali wamekutana wakiwa hai, Mungu ni mwema jamanii🙏🙏🙏
@JUDITHGEORGE-zs7oq
@JUDITHGEORGE-zs7oq Месяц назад
Mungu awabariki sana
@sarahkinyashi6213
@sarahkinyashi6213 Месяц назад
Hongera SHANGAZI kwa ulezi
@naimarishedy1523
@naimarishedy1523 Месяц назад
Shangazi hongera Allah muweza wa yote 🤲 akurinde na hata clouds mungu awabariki 🥀🥀🥀
@NoelaNdibalema
@NoelaNdibalema Месяц назад
Wakati wengne wanatafutwa mama zao sisi wengne tumetelekezwa na Mama zetu.Aiseeeeeeeee mmeweza kuniliza jamani
@user-hq9tm8ph9z
@user-hq9tm8ph9z Месяц назад
Iseeey mama unaachaje watoto mm labda uibe
@user-vm4xx6uu4j
@user-vm4xx6uu4j Месяц назад
Ata akutelekeze ww mtafte kutakua na sababu mm awezi kumuacha mtoto
@user-vm4xx6uu4j
@user-vm4xx6uu4j Месяц назад
Mungu ambariki huyu shangazi
@hellendaniel3809
@hellendaniel3809 Месяц назад
Mtafute mama yako
@JosephKileo-wy1rc
@JosephKileo-wy1rc Месяц назад
Dah
@oman1oman179
@oman1oman179 Месяц назад
❤❤❤❤ manshallaah tabarakallaah nimempenda shangazi mungu ammoe maisha mema yarabii
@RoseMhando-kc5ls
@RoseMhando-kc5ls Месяц назад
Hongera Radio Clouse Fm,kipindi kizuri mnoo keep it up
@rukiauwonde7062
@rukiauwonde7062 Месяц назад
Jaman 😢😢najikuta nalia aki mama aamin kama mwanae
@salamaalihemed6220
@salamaalihemed6220 Месяц назад
Wallh mashaallh thabrk allh mungu awalinde kw kazi yenu ❤❤❤😢😢😢
@isunga1964
@isunga1964 Месяц назад
I wish nisikie mama yangu na baba wananitafuta nikutane nao tena R.I.P wazazi wangu mpumzike kwa Amani😭😭😭
@user-uz4kc5he7v
@user-uz4kc5he7v Месяц назад
😭😭💔
@zaitunichzi5241
@zaitunichzi5241 Месяц назад
😭😭😭😭😭😭mungu akulinda
@rahmasaid2350
@rahmasaid2350 Месяц назад
Pole sana mdogo wangu 😢
@isunga1964
@isunga1964 Месяц назад
@@zaitunichzi5241 asante wangu yao mbele yetu nyuma
@isunga1964
@isunga1964 Месяц назад
@@rahmasaid2350 asante wangu yao mbele yetu nyuma kikubwa unawaombea hiki kipindi napenda kuangalia ila nalia pia
@rhodaangetile2781
@rhodaangetile2781 Месяц назад
Kiukweli katika vipindi mnafanya ya kibinadamu nakuonya mioyo. Hongereni sanaaaa
@zuenamikidadi9295
@zuenamikidadi9295 Месяц назад
Yani mungu awabariki sana nimeliya sana
@KaniOfficio-lk1rk
@KaniOfficio-lk1rk Месяц назад
Ongera sana claudhi Mungu awape maisha malefu nilikuwa nikisikiliza ledio ongeran
@GraceReonad
@GraceReonad Месяц назад
@oman1oman179
@oman1oman179 Месяц назад
❤❤❤❤❤❤❤mungu amzidishi moyo mwema huo shangazi alokulea kuna shangazi manshallaah kama baba
@bintmrisho3526
@bintmrisho3526 Месяц назад
Nalia tu mimi sijui nalia nn😭
@zainabsulieman5181
@zainabsulieman5181 Месяц назад
Hata mimi sielewi nalia nini😢
@Rehemamakuka
@Rehemamakuka Месяц назад
Kumbe tupo wengi
@zamdambalilo9718
@zamdambalilo9718 Месяц назад
Da huu huwa nakupenda sana.unaroho ya huruma sana.mingu awabariki wote
@wettykznznhuioploko1571
@wettykznznhuioploko1571 5 дней назад
Uyu mama nimempenda kuliko wamama wote walio tangulia mahana anaisia zote
@zamdambalilo9718
@zamdambalilo9718 Месяц назад
Kiukweli mitihan ni mingi na maisha nimagum lkn siachi wanang.Kirauz Mungu awabariki.
@user-go8nm4mh1k
@user-go8nm4mh1k Месяц назад
Hongera sana shangaz🙏🙏🙏🙏
@darlenedada651
@darlenedada651 Месяц назад
MashaAllah iki kipindi nimekipenda kinanijenga nizidi Ku mpenda Mama .Mama Mngu azidi kukulinda
@user-xh7xf2ki3r
@user-xh7xf2ki3r Месяц назад
Maa Shaa Allah yaan Allah awabark sana 😭😭
@VailettyShigerla-fw2sg
@VailettyShigerla-fw2sg 28 дней назад
Mungu akuride jamani kwa kazi zuri
@RamlaAmiri
@RamlaAmiri Месяц назад
Mh kama unaweza kuangalia hiki kipindi bila kulia una moyo wa peke yako ila timu leo ten Mungo awabariki kwa hiki mnachokifanya
@sheruajafari1676
@sheruajafari1676 Месяц назад
Ongereni clous
@mariamkibindo1741
@mariamkibindo1741 Месяц назад
Sawa Dahuu na Geah tumeelewa tutawalea vizuri
@mossyfimbo3577
@mossyfimbo3577 Месяц назад
Nimempenda saana huyu kijana ni mwingi wa shukrani Anashukrani saana mno mno nami nililelewa na shangazi zangu nikiwa na umri wa mwaka mmoja na nusu mpaka miaka 15 Mwenyeezimungu awarehemu shangazi zangu na Bibi yangu mama yao shangazi zangu walikuwa binamu wa Baba yangu nawashukuru saana nami nilijaliwa niliwatunza kwa sasa hawapo tena Mwenyeezimungu awarehemu pamoja na wazazi wangu hata iweje Mama ni Mama tu huwezi kupata mwingine Mwenyeezimungu awarehemu wazazi wangu
@fatmaallyabdul1732
@fatmaallyabdul1732 Месяц назад
Ama mnajua kutuliza jamani😭😭😭hii dunia changamoto ni nyingi daaah!!
@sein.208
@sein.208 Месяц назад
Masha Allah
@hamzafishten9560
@hamzafishten9560 Месяц назад
Hongera sana shangazi
@user-fd5pb1dt4j
@user-fd5pb1dt4j Месяц назад
Nice vizuri
@CristinLyanga
@CristinLyanga Месяц назад
Shangazi hongera sana.
@aishaabrahaman9957
@aishaabrahaman9957 Месяц назад
Nimempenda uyoo shqngazi laminitis watu wana rohoo mbayaa
@mkambaselemani-ej7np
@mkambaselemani-ej7np Месяц назад
Jamani nimelia huyo nidada yangu kbs jeny jony
@DativaMbowe
@DativaMbowe Месяц назад
😭😭😭 l wish kama nisikie mamaangu ananitafuta maana alisafiri nikiwa mdogo akatuacha moshi akaenda bukoba kwenye msiba babu yaani babaake😭😭 siku anarud kutoka bukoba meli MV bukoba ikapata ajali ndio umatu ulipo mkuta😢😢
@RizikiRiziki-bp6dx
@RizikiRiziki-bp6dx Месяц назад
Pole sana
@hanankhamis4517
@hanankhamis4517 Месяц назад
Jamani nimelia sana hakika mungu muweza
@aminamohamed9955
@aminamohamed9955 Месяц назад
Maashaallah
@ghhhhy1812
@ghhhhy1812 Месяц назад
Mam ni mam❤️
@ameenamohammed4413
@ameenamohammed4413 Месяц назад
hiii ni hatari jmn miaka39 nimelia sana😭😭😭
@winniejacob1784
@winniejacob1784 26 дней назад
Kila nikiangalia hiki kipindi mimi nalia tu najikaza lakini nashindwa jamani 😢
@LenaMwangamilo
@LenaMwangamilo Месяц назад
Uyu waziri alikuwa Anasoma mkombozi mbaliz _mbeya
@user-sj8hn7jt7g
@user-sj8hn7jt7g Месяц назад
Hongeren Sana hicho vipindi help kubwa kwenu
@marrynessbarthazary3144
@marrynessbarthazary3144 Месяц назад
jamani nyie wadada mnaoendesha kipindi hiki Mungu awabariki Muishi Maisha marefu sana nawapenda sana 🙏
@AnnaGotrip
@AnnaGotrip 26 дней назад
Duh mnatuliza
@user-nc4ko3qz7t
@user-nc4ko3qz7t Месяц назад
Dah😢😢
@aziza9093
@aziza9093 Месяц назад
Hiki nnokipidi chakutizama Allah awpe maishamaraf
@athmankiama1133
@athmankiama1133 Месяц назад
Wtoto wengi baba yao askari!
@AshaKassim-tu7gz
@AshaKassim-tu7gz Месяц назад
Da geah hiki kipindi cheni kinaniliza mwanzo mwisho
@user-lx8nl8hh3f
@user-lx8nl8hh3f Месяц назад
Daaaàh!
@chire4574
@chire4574 Месяц назад
Mm nilichukuwa watoto wangu sasa ivi ni mwaka wa kumi....naishi nao Kenya...ila mama yao ajawai shugulika kuwatafuta .....namba as simu anazo.....huku Kenya ameshawai kuja sio mara moja.....lakini gafla akipata mawasiliano
@setiseti5281
@setiseti5281 Месяц назад
Ongera sana
@asnathaman
@asnathaman Месяц назад
😮😮
@AnifaMwakilachile-ii6qd
@AnifaMwakilachile-ii6qd Месяц назад
Jamani mnatuliza wenzenu huku daah
@njuka3515
@njuka3515 Месяц назад
Nililekewa ba bibi na baba R.I.P kwao ❤
@sommohd7903
@sommohd7903 Месяц назад
😭😭🙏🏼
@IssaMbaru-qw6ug
@IssaMbaru-qw6ug 29 дней назад
Allah akbar mpaka nimelia
@EsterBhoke
@EsterBhoke Месяц назад
Najisikia uchungu sana navyo ona wenzangu wanakutana na mama zao afu wanafurahi pamoja mimi na dadaangu mama yetu alituacha tukiwa wadogo sana dadaangu alikuwa miaka 4 na mimi nilikuwa na miaka 2 tumemtafuta na tumempata lakini hataki hata kutuona anasema yeye anamtoto moja tu ambae amezaa na mwanaume mwingine sisi hatujui dah inauma sana usiombe
@aishamsemwa-zu3eo
@aishamsemwa-zu3eo Месяц назад
Poleni sana
@njuka3515
@njuka3515 Месяц назад
Pole sana
@EsterBhoke
@EsterBhoke Месяц назад
Asante
@bahatinassorali5222
@bahatinassorali5222 Месяц назад
😢poleni sanna
@betyjoseph6812
@betyjoseph6812 Месяц назад
Kaathirika kisaikolojia tu hakuna mama asiyempenda mwanae
@femidayahaya9293
@femidayahaya9293 Месяц назад
Mungu ameweka kitu kikubwa kwenye ubongo wenu mpaka kufikilia kuanzisha hili jambo maana mmesaidia wengi
@happymasanja4113
@happymasanja4113 Месяц назад
Dah nyieee😭
@EmilykuvunaKonzi
@EmilykuvunaKonzi Месяц назад
Waaaah poleni jamani😢
@azizambise
@azizambise Месяц назад
Duu sijui nalia kwa uchungu au furaha hata sielewi
@HusnahMaulid-wi8dl
@HusnahMaulid-wi8dl Месяц назад
Mam umeniliza san jmn napat hisia kali najaribu kuvaa viatu vyko havinitoshi mama
@tunkuh661
@tunkuh661 Месяц назад
Wapo shangazi zangu watatu hao ni zaidi ya shangazi sijui niseme nini Mungu tu awalipe japo kubwa Lao alikwisha fariki Mungu amlaze mahali Pena peponi... Nimekupenda shangazi umenikumbusha wema wa aunt zangu
@mamasalhat
@mamasalhat Месяц назад
Mie sijui nisemeje😢😢
@mashkadaniel1097
@mashkadaniel1097 Месяц назад
Jaman nasie hku hatujui familia ya baba yetu alikuja kutafta maisha kahama mpaka umauti imekumta mwaka 1998
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl Месяц назад
😢😢😢
@rosehaule6765
@rosehaule6765 Месяц назад
Continue to rest well mama na baba yngu😢😢😢😢
@fatuma5208
@fatuma5208 Месяц назад
Nimelia sana
@faridaally-jp1gx
@faridaally-jp1gx Месяц назад
Da gea hongereni ila kina liza
@user-it9se4tr3f
@user-it9se4tr3f Месяц назад
Hawa wanaume mungu anawaona
@susannesusie3217
@susannesusie3217 Месяц назад
Ninalia apa mpak naulizwa unashida gani😢
@aziza9093
@aziza9093 Месяц назад
Shanzi❤❤❤
@zuwenasalim2794
@zuwenasalim2794 Месяц назад
mm mamdogo aliyonifanyia huwa kunamuda nalia mwenyewe
@user-pp9mp1pz9f
@user-pp9mp1pz9f Месяц назад
Me nalia tuuu 😢😢
@gloryhamidu9418
@gloryhamidu9418 Месяц назад
Dah Mimi sjui kama mama yang kafa au Yuko haii jamani dah aliacha mim n mdog wangu nikiwa mdog Sanaa simjui mama yangu hata kwa sura yani 😢😢😢dah sjui kma yup haii au amekufa jamnii dah naumia sana .natamani nami nimpat mama yangu mzazi😢😢😢 Joyce
@user-qg9nj2yw7e
@user-qg9nj2yw7e Месяц назад
Aliyewalea ukimuuliza mama Ako yuko wapi anakwambiaje
@mrsdeborahurio
@mrsdeborahurio Месяц назад
Hadi nimelia jamani!
@user-ry2ix2pv4q
@user-ry2ix2pv4q Месяц назад
Na kweli kopi yake
@janembalinga7074
@janembalinga7074 Месяц назад
Mimi namtafuta baba yangu mdogo anaitwa thomas mbalinga kama familia tumemkumbuka sana popote alipo aje achungulie bas hata kaburi la mama yake ambaye ni bibi yetu sisi
@jamilahjamilah4157
@jamilahjamilah4157 Месяц назад
Tuko wengi mm ninaye mtoto wa mdogo wangu nilipewa ana mwaka na miezi minne paka hivi ananiita mama watu wanamwambia hy ni shangazi yy anajibu mm huyu ni mama yangu akina asiya abdarahamani ndio wataita shangazi mm siwezi kuita shangazi
@halimaa9367
@halimaa9367 Месяц назад
Mungu ibariki tazania
@rhodangenzi
@rhodangenzi Месяц назад
Nina wifi yangu anamtafuta mama yake zaid ya miaka 40, lakini hajui atumie utaratibu gani wa kutoa taarifa hiyo
@user-ef3xh4nj9u
@user-ef3xh4nj9u Месяц назад
😭😭😭😭
@frankkulwa3981
@frankkulwa3981 Месяц назад
Kipindi kizuri sana🎉
@maryamtanzania9743
@maryamtanzania9743 Месяц назад
Vhuyu mama ana hisia kabisa sio mama ake athumani
@FatumaJabu
@FatumaJabu Месяц назад
Niseidieni na mm natafuta babaangu aniacha nikiwa na myaka mitano babaangu anaitwa saidi kwa ni hiringa mm niko kenya
@moneymaker215
@moneymaker215 Месяц назад
Jamani watu wa bara muache Tabia ya kukimbia na wtt
@NoelaNdibalema
@NoelaNdibalema Месяц назад
Clouds mnajua kunilozaaaa
@solomondanny-1507
@solomondanny-1507 Месяц назад
Clouds naomba namba zenu tuwasiliane nanyi kuna mdogo wangu alipotea miaka mingi hatujui kama yupo hai au la.
@saraomar3903
@saraomar3903 Месяц назад
Ukipata na mimi nipe
@JokhaVenance
@JokhaVenance Месяц назад
Nimelia
@tinahminja2452
@tinahminja2452 Месяц назад
Kwan mm nalilia nn😢😢
Далее
У Котика Отняли Игрушку 🥺
0:15
Must watch new special comedy wait for end 😆🤣
0:49
Утро в Нью Йорке
0:16
Просмотров 7 млн