😭😭😭😭😭😭😭😭😭 Sad story uyo mtoto amtunze mamaake ampoze machungu mamake Nampenda saana Mama yangu Mungu amtunze Mama yangu ukiangalia video kama hizi inaongeza mapenzi kwa mama
Shangazi acha chuki maana ww ni baba. Nampenda sana shangazi yangu maana hata mimi nimelelewa na shangazi. MUHIMU "SHANGAZI NI BABA" Msamehe mama anuari
😭😭😭 Mungu ambariki sana huyo mama na watoto wake waliokaa nae baada ya kaka yake kufariki mpk kujifungua.. Ni vgm kukubali kuishi na binti wa watu mjamzito usiyemjua! Nendeni na mama mkamuone ikiwezekana kuonesha japo moyo wa shukrani, na hata huyo mzee Anuari alikutoa pagumu sana. Yote kwa yote ashukuriwe Mungu hukupata wazo la kuitoa mimba, mabinti wengi kwa mapito hayo wangetoa tuu, Anuar mama yako hana makosa ...hakukutupa aliteseka ki mwili na kisaikolojia...utakua umesikiliza upande mmoja, msikilize na mama sasa
Nimelia sana hii story imenikumbusha mbali sana,haya yalinitokea nikamwacha mtoto wa miezi 7,ila mungu alinifungulia milango nikamchukua mwanangu baada ya mwaka,namuomba Anwar amsikilize mama yake shida hua zinatenganisha watu,huyu mama alimuacha mtoto Ili akue labda angekaa nae kwa magumu angekufa
2napitia magum sana wkt mwingin ata unaona bola uishi mwenywe2 mm pia nimekosana nae lkn nashukulu nilienda muachia mama yngu kamlea kwa shd mpk ss nipo nnchi za kiarabu wana2umiza mno wanaume
Sasa watuwengine hawajui maisha tunayopitia wao alhamdulilah hawajapata changamoto washukuru ila hakuna mama anaetaka kukaa mbali na mwanawe ila ugumu wa maisha jamani wazee wanyonge hawana uwezo unamtowa mwanao kwa uchungu huku ukilia
Hata Baadhi ya wanawake ni wakatili sana mimi wangu kaniachia watoto wawili..mmoja anayenipenda sana kaondoka nae... Sometimes nalia sometimes najipamoyo watakua..na tutaonana..
Shangazi ulijitahidi kumsitiri kakavyako lakini usimlaumu wf yako mwamke menzako. Hongera ka malezi. Anuar wewe ni mwanaume chunga matendo kama ya babako. Utamuumiza mzazi mwenzio
Kila sifa njema ni za Mwenyeezi Mungu Alie wapa afya na maarifa ya kuwakutanisha watu na hi yote ni mipango yako Allah Aqbar Mungu ni Mkubwa , hakuna atakae kufa mpaka mapenzi ya Mungu yatimie.
KUZAA SIO KAZI' KAZI NI KULEA! HONGERA SANA SHANGAZI. HII NDIO MAANA HALISI YA ULE WIMBO KWAMBA NI BORA KUMPENDA MUNGU KULIKO MZAZI! MAANA MAMA ANAWEZA KUKUZAA NA KUKUTUPA!
Nimejisikia vibaya sana kutokana na hii story na nimejifunza vitu vingi sana ki ukweli sisi wanaume tunawakosea sana wanawake nimeumia sana nawapongeza sana ninyi watangazaji hii ni elimu kubwa sana kwetu
Nyie ni kweli maisha ni magumu ila kuacha mtoto hapana. Nimepitia kulea mtoto pekeangu ni kiwa under18 sikuwa na ata pakuishi ila sikuwahi kumuacha mwanangu hadi leo hii. Huu ujinga mtupu shangazi yuko sahihii kabisaa.