Тёмный

FURAHA + HUZUNI KWA MIAKA ZAIDI YA 20 KIJANA AKUTANA NA MAMA YAKE | SHANGAZI MTU AIBUA SAKATA 

CLOUDSMEDIA
Подписаться 1,3 млн
Просмотров 65 тыс.
50% 1

Спорт

Опубликовано:

 

14 июн 2022

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 282   
@lastkinglastking3326
@lastkinglastking3326 2 года назад
Waandaji wakipindi Mungu awape maisha maisha marefu
@EsterBernardoVumo
@EsterBernardoVumo Год назад
Jina La Bwana YESU Libarikiwe Mungu Wetu Ni Mema
@abdibilali4186
@abdibilali4186 2 года назад
Mama pole Sana unaongea huku unatetemeka na pressure just ni jinsi gani umeumia daaaaaa pole Sana mama Mungu atakulipa kwa uliyo yapitia
@hadijamshimbula7616
@hadijamshimbula7616 2 года назад
Daah leo nimemkumbuka marehemu mamangu. Rip mom
@efrahfarahahmed8960
@efrahfarahahmed8960 2 года назад
😭😭😭 Mama ni mama tu
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 2 года назад
Pole sana
@aishafrancis7714
@aishafrancis7714 Год назад
😢😢😢😢😢
@estherokombo1086
@estherokombo1086 2 года назад
Daaah hii imenitowa machozi mm jamani🇰🇪
@susannesusie3217
@susannesusie3217 2 года назад
😭😭😭😭😭😭😭😭😭 Sad story uyo mtoto amtunze mamaake ampoze machungu mamake Nampenda saana Mama yangu Mungu amtunze Mama yangu ukiangalia video kama hizi inaongeza mapenzi kwa mama
@justicedamaru3016
@justicedamaru3016 2 года назад
Nyie machozi yananitoka
@yassintaibrahim24
@yassintaibrahim24 2 года назад
Saana Yani
@rwamboking.3253
@rwamboking.3253 2 года назад
Allah awajaalie kina mama wote wanaotelekezwa na waume zao
@happymau2809
@happymau2809 Год назад
Nafurahi sana kufatilia kipind hiki..shida nazidiwa na machozi jmn naumia
@nicolauswandao8988
@nicolauswandao8988 2 года назад
Shangazi acha chuki maana ww ni baba. Nampenda sana shangazi yangu maana hata mimi nimelelewa na shangazi. MUHIMU "SHANGAZI NI BABA" Msamehe mama anuari
@khadijahali4837
@khadijahali4837 Год назад
Pole sana mama, kwnn hy mjomba alikupiga alitakaje sasa na wkt kwk kakufukuza, mama unaongea kwa uchungu hadi unatetemeka
@dorahmwambemba9032
@dorahmwambemba9032 2 года назад
Jamani msituuimize tunawaumiza watoto😭😭😭 wifi Kwa mdomo huo mama asingefiti kwenu
@evainnocent9520
@evainnocent9520 2 года назад
Daaaa! Nimelia mnoo ila Baba ndio aliesababisha hayo uyo shangaz nae anaongea tu ila kosa la kaka yake
@aminaam281
@aminaam281 2 года назад
Kabisa my
@khadijahali4837
@khadijahali4837 Год назад
Anamtetea udugu wake
@auntdorah9141
@auntdorah9141 2 года назад
😭😭😭 Mungu ambariki sana huyo mama na watoto wake waliokaa nae baada ya kaka yake kufariki mpk kujifungua.. Ni vgm kukubali kuishi na binti wa watu mjamzito usiyemjua! Nendeni na mama mkamuone ikiwezekana kuonesha japo moyo wa shukrani, na hata huyo mzee Anuari alikutoa pagumu sana. Yote kwa yote ashukuriwe Mungu hukupata wazo la kuitoa mimba, mabinti wengi kwa mapito hayo wangetoa tuu, Anuar mama yako hana makosa ...hakukutupa aliteseka ki mwili na kisaikolojia...utakua umesikiliza upande mmoja, msikilize na mama sasa
@jafarmlawa9627
@jafarmlawa9627 Год назад
Asa kumbe ulimtupa!Acha kulia
@latifakalunga
@latifakalunga Год назад
Umetuliza kwakweli
@khadijakhalfan2922
@khadijakhalfan2922 2 года назад
Mashaalah ❤️🙏 mungu Ni mwema
@sifangwira90
@sifangwira90 2 года назад
Nimelia sana hii story imenikumbusha mbali sana,haya yalinitokea nikamwacha mtoto wa miezi 7,ila mungu alinifungulia milango nikamchukua mwanangu baada ya mwaka,namuomba Anwar amsikilize mama yake shida hua zinatenganisha watu,huyu mama alimuacha mtoto Ili akue labda angekaa nae kwa magumu angekufa
@gulfomanbb2119
@gulfomanbb2119 2 года назад
2napitia magum sana wkt mwingin ata unaona bola uishi mwenywe2 mm pia nimekosana nae lkn nashukulu nilienda muachia mama yngu kamlea kwa shd mpk ss nipo nnchi za kiarabu wana2umiza mno wanaume
@sabraabdilnasir8826
@sabraabdilnasir8826 2 года назад
Sasa watuwengine hawajui maisha tunayopitia wao alhamdulilah hawajapata changamoto washukuru ila hakuna mama anaetaka kukaa mbali na mwanawe ila ugumu wa maisha jamani wazee wanyonge hawana uwezo unamtowa mwanao kwa uchungu huku ukilia
@shifaaal-baity4503
@shifaaal-baity4503 Месяц назад
​@@gulfomanbb2119 baadhi ya wanaume wabaya mno na wanawake wengine pia wabaya sana
@gracemgeni721
@gracemgeni721 25 дней назад
Huyu mama naye.....
@chellynpanja3970
@chellynpanja3970 2 года назад
Hata Baadhi ya wanawake ni wakatili sana mimi wangu kaniachia watoto wawili..mmoja anayenipenda sana kaondoka nae... Sometimes nalia sometimes najipamoyo watakua..na tutaonana..
@beathaeustace2638
@beathaeustace2638 2 года назад
Usijal tunza watoto watakufaa baadae
@chellynpanja3970
@chellynpanja3970 2 года назад
Ni kati ya baraka nayo ipenda sana toka kwa Mungu..naamini wananifaa hata sasa
@yassintaibrahim24
@yassintaibrahim24 2 года назад
@@chellynpanja3970 M/Mungu Aendelee Kukucmamia Ndugu Yangu 🙏🙏🙏
@nadhifajuma6485
@nadhifajuma6485 2 года назад
Wallah imeniliza mno sina la kusema clouds nawapendaaaa woootee
@swaiseif2989
@swaiseif2989 2 года назад
Khaa nimelia Sana wallahi 🙌 mpka macho kuvimba 😭😭😭😭
@MohammedAli-rh5si
@MohammedAli-rh5si 2 года назад
Hongera pia shangazi kwa kumlea hadi kukua Mungu akubariki ila mawifi daah
@JerusaMkuyu-pw1zo
@JerusaMkuyu-pw1zo 6 месяцев назад
Anuary Mungu akuongezeee
@rebeccarebeccachristine3182
@rebeccarebeccachristine3182 2 года назад
Maskini wa maman tuheshimike 😭😭😭
@hadijahadija6129
@hadijahadija6129 2 года назад
Wallahi nimelia sanaaa😭😭😭
@yassintaibrahim24
@yassintaibrahim24 2 года назад
Yani Acha Tuu 🤔🤔🤔😭😭😭
@wemakalama6458
@wemakalama6458 2 года назад
Jamani nimelia mwenyeezi mungu awatangulie kwa kweli
@mdzainb3722
@mdzainb3722 2 года назад
Wanawake tunapitia magumu sana imeniuma sana😭😭😭
@agnesisimon3154
@agnesisimon3154 2 года назад
Pole nimelia Sana pole mwanamke mwenzangu
@zakiaferuz4561
@zakiaferuz4561 2 года назад
Alhamdulillah 🤲 mwenyeezi mungu mwema hakika machozi yamenitoka jamani😭
@legarecephas5935
@legarecephas5935 2 года назад
Umuunganishe na ndugu gani wakati walikataa kukusaidia kulea
@hassansadiki217
@hassansadiki217 2 года назад
Pole sana, Hilo, janaume halina hofu ya mungu,kwa Lina kataa damu yake,
@HalimaHalima-id2cb
@HalimaHalima-id2cb 2 года назад
Clouds hongereni sana nawapenda 😭😭😭
@dkmhamilawa
@dkmhamilawa 15 дней назад
Shangazi ulijitahidi kumsitiri kakavyako lakini usimlaumu wf yako mwamke menzako. Hongera ka malezi. Anuar wewe ni mwanaume chunga matendo kama ya babako. Utamuumiza mzazi mwenzio
@sabihahamadi2287
@sabihahamadi2287 2 года назад
Jamani mungu hashindwi da geya na jopu lako lote mungu awabariki
@happyngonyani7065
@happyngonyani7065 2 года назад
Hongera kwa kumpata mama ila usimsahau Aunt
@ndeshukurwamoses2077
@ndeshukurwamoses2077 19 дней назад
Mungu awape maisha marefu Clouds, nimelia hadi kichwa kinauma.
@abdibilali4186
@abdibilali4186 2 года назад
Kila sifa njema ni za Mwenyeezi Mungu Alie wapa afya na maarifa ya kuwakutanisha watu na hi yote ni mipango yako Allah Aqbar Mungu ni Mkubwa , hakuna atakae kufa mpaka mapenzi ya Mungu yatimie.
@feykimaro4615
@feykimaro4615 2 года назад
Uwiiiiiiiiii 😭😭😭😭😭 inatia uchungu jamaniii 😭😭😭😭😭
@robbyman6213
@robbyman6213 2 года назад
Mungu Awatie Nguvu
@margrethrhobi3973
@margrethrhobi3973 19 дней назад
KUZAA SIO KAZI' KAZI NI KULEA! HONGERA SANA SHANGAZI. HII NDIO MAANA HALISI YA ULE WIMBO KWAMBA NI BORA KUMPENDA MUNGU KULIKO MZAZI! MAANA MAMA ANAWEZA KUKUZAA NA KUKUTUPA!
@roseodipo9868
@roseodipo9868 Год назад
Bwanaeee mama ni mama tu ata iweje.❤❤
@rehemakanyere4188
@rehemakanyere4188 26 дней назад
Kbsaaaa
@ashurabihongo1498
@ashurabihongo1498 2 года назад
Allah awalipe inshaallah nimelia sana
@rehemaothman2200
@rehemaothman2200 2 года назад
Nimejikuta nalia 😭😭😭😭😭
@keifatuke99
@keifatuke99 2 года назад
Story kama hii inahitaji muda why did you call her?
@mamajaphety1624
@mamajaphety1624 2 года назад
Nampenda sana mwanangu jamani tena sana sintamwacha kamwe labda nife jamani
@aishafrancis7714
@aishafrancis7714 Год назад
Kweli kbs my
@MohammedAli-rh5si
@MohammedAli-rh5si 2 года назад
Ukiangalia huyo shangazi alivyo tuu mama kapitia magumu kwa hyo familia ya mume3
@roseodipo9868
@roseodipo9868 Год назад
Pole shangazi umefanya sehemu yako. Imetosha
@raphaelsikumbi5517
@raphaelsikumbi5517 2 года назад
Nimejisikia vibaya sana kutokana na hii story na nimejifunza vitu vingi sana ki ukweli sisi wanaume tunawakosea sana wanawake nimeumia sana nawapongeza sana ninyi watangazaji hii ni elimu kubwa sana kwetu
@hopesesilius6104
@hopesesilius6104 2 года назад
Ur right kk
@yassintaibrahim24
@yassintaibrahim24 2 года назад
Uko Sahihi Kabisa Kakaangu Yani Kuna Muda Tunaumizwa Saana Na Baadhi Ya Wanaume Na Waotaabika Ni Watoto😭😭😭
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 2 года назад
Subuhanallah polesana mama inauma jamani basitu
@bintmrisho3526
@bintmrisho3526 Год назад
Uyu shangazi lengo lake anuari amkatae mama ake au 😢mi sijamuelewa
@kelvintembo734
@kelvintembo734 2 года назад
Nimelia sana jaman 😭😭😭😭😭😢😢
@dafrosamsonge2007
@dafrosamsonge2007 2 года назад
Raha Sana kukutana na mama nmelia Kwa furaha
@hamidsoud2436
@hamidsoud2436 2 года назад
Mashaalah kaka mwijaku leo amepoa
@sunnamickdady5383
@sunnamickdady5383 2 года назад
Miezi3🙌🙌🙌🙌
@giftpamelagiftpamela4494
@giftpamelagiftpamela4494 2 года назад
Mungu wambinguni amubariki sana 🙏🏼🙏🏼
@nadinnmugisha5168
@nadinnmugisha5168 2 года назад
Naliya sana namaneno kijana anamwambiya mamayake 😭😭😭😭😭from 🇧🇮🇧🇮
@sailfishish
@sailfishish 2 года назад
Bora kaongea hajawa mnafki
@user-uc1re1oo4e
@user-uc1re1oo4e Год назад
ndioooo duh nimelia dah bc tyu😢😢😢
@fatmaallyabdul1732
@fatmaallyabdul1732 19 дней назад
Kuna mahali ukiwaza unapitia magumu lakini ukisikiliza ya wengine utaona afadhali ya kwako....😢😮
@mamertarweyemamu3438
@mamertarweyemamu3438 Год назад
Pole sana
@hassinaalharthi5984
@hassinaalharthi5984 2 года назад
Pole saana mama mungu akusaidie
@mrsferuzi7443
@mrsferuzi7443 Год назад
Wallah nimelia 😭😭😭
@user-uk4ll3su3g
@user-uk4ll3su3g 13 дней назад
Shangazi hayaoni Makosa ya kaka yake😢
@zulfasaeed7445
@zulfasaeed7445 2 года назад
Nimelia sana daaah😭😭😭😭😭
@enockmaige8936
@enockmaige8936 28 дней назад
Leo nimemkumbuka marehemu mwl Agatha Shigongo mama yangu mzazi rest in peace my mom😢😢😢😢
@MohammedAli-rh5si
@MohammedAli-rh5si 2 года назад
Pole sana mama
@dkmhamilawa
@dkmhamilawa 15 дней назад
Clouds mbarikiwe
@yascodesimple
@yascodesimple 2 года назад
CLOUDS MEDIA GROUP LEO TENA JOSEPH KUSAGA💪🏾💪🏾
@aishaally6602
@aishaally6602 2 года назад
Poleni na watangazaji naona mko katika hali ngumu inauma sana
@kidawakindamba2434
@kidawakindamba2434 2 года назад
Dh pole sana
@lizelizabeth6467
@lizelizabeth6467 2 года назад
Dear God mkumbuke kila mama apitiaye magumu I can't hold my tears 😭 😭 😭 😭 😭 😭
@jafarmlawa9627
@jafarmlawa9627 Год назад
Hamja mtendea haki shangzi jamani!
@mimahtv2974
@mimahtv2974 19 дней назад
Jamani nimelia sana😭😭😭
@zuenasaidy7916
@zuenasaidy7916 2 года назад
Hongereni kipindi kizuri
@latifahamadi9054
@latifahamadi9054 2 года назад
Nimeshindwa kuvumiliya nimeliya sana roho imeniuma
@roseshayo9000
@roseshayo9000 2 года назад
Mshikien bas maic anatetemeka asikiki vzr
@kiri5807
@kiri5807 2 года назад
Huyu kijana katiwa sumu kwao anaamini km mamaake kamtupa tu hajui kuwa alikuwa na sababu yakumsave yeye uhai wake .
@glorymutalemwa296
@glorymutalemwa296 2 года назад
Nimelia sanaaa
@azizamohamed7692
@azizamohamed7692 2 года назад
😭😭😭😭😭nimelia Sana jamani stori ya huyu mm Mungu ni mwema kwakweli
@pettywilliam4492
@pettywilliam4492 2 года назад
Hongereni sana clauds naona mmechukua staili ya ulaya
@MohammedAli-rh5si
@MohammedAli-rh5si 2 года назад
Na huyo Anwar kalishwa sumu sana kuhusu mama ila ampe nafasi mama yake angesikiza ushauri wa watu angemtupa au angetoa mimba
@halimakimis2731
@halimakimis2731 2 года назад
Jaman😭😭😭😭😭😭
@khneesajumaa2052
@khneesajumaa2052 2 года назад
Da yani nimelia sana 😢😢😢
@achouraachoura5763
@achouraachoura5763 23 дня назад
Nimelia wallah 😭😭
@subrynerysegerow1323
@subrynerysegerow1323 2 года назад
Shangazi ni mnoko anangenga hatar roho mbaya yan inavyoonekana alimfukuza kweli huyu mama
@missmoona4497
@missmoona4497 2 года назад
Shangaz ana sumu kwa mtt sijapenda yaliopita si ndwere
@bahatihthoya8028
@bahatihthoya8028 3 месяца назад
So touching😭😭😭😭😭
@aisharamadhani1948
@aisharamadhani1948 2 года назад
Dahhh imeniliza mno ,,, anuary anajitambua mungu awape umri mrefu na awape afya njema dahhhhhh,,,, ni wangapi wametelekezwa km anuary
@enockmaige8936
@enockmaige8936 28 дней назад
Umeiona huyo mama anavoongea kwa uchungu had anatetemeka, uwe unasikiliza story kuanzia mwanzo had mwisho😢😢😢😢
@Niabebewamor413
@Niabebewamor413 28 дней назад
Hakuna mzazi anaependa kuacha mtotot wake Jamani ni maisha tu 😢😢😢😢😢
@khneesajumaa2052
@khneesajumaa2052 2 года назад
Mmmm nani kama mama😢😢😢😢😢😢😢
@mariamkomba7286
@mariamkomba7286 2 года назад
😭😭😭 kwakweli maisha yanachangamoto Sana
@HappynessJose
@HappynessJose 2 года назад
Ukwel umeniliza jaman dada kijana nimekuped sana upo Makin
@mgoledaudi6051
@mgoledaudi6051 2 года назад
Jamani 😭😭😭😭😭😭
@agnesspaul1866
@agnesspaul1866 23 дня назад
Ukikosa baba mama basi piga goti muombe Munguu tu
@roseodipo9868
@roseodipo9868 Год назад
Anuary kijana muelewa sana❤❤
@angelankya5163
@angelankya5163 27 дней назад
Uyu shangaz ana mdomo sana
@josephinegideon76
@josephinegideon76 2 года назад
I see myself on that shoe
@ashnaom2270
@ashnaom2270 Год назад
Uyu shangaz mbaya namuona kabisa ilA uyu dada alikua anawakati mgumu sana, wanaume sijui mnani nini ehe
@naimanaima4715
@naimanaima4715 2 года назад
Duuh 😢😢
@AgnessHabilo
@AgnessHabilo 19 дней назад
Huyu mama anauchungu mzito...wanaume msiwanyanyase hivyo wanawake
@monicakayombo4770
@monicakayombo4770 Год назад
Daaah nimelia
@surusuru1994
@surusuru1994 2 года назад
Baba ndo chazo walla sio mam shangazi tulia
@mwanaherhussani7425
@mwanaherhussani7425 2 года назад
Masikini ya mungu 😪😪😪😰😰😰
@hadedihadedi3595
@hadedihadedi3595 2 года назад
Inauma jamn😭😭
@CosmasMdede
@CosmasMdede 20 дней назад
Mhhmm kiukwel haya maisha yanachangamoto zake japo hazifanan kuhusu wazaz jaman inauma
@CosmasMdede
@CosmasMdede 20 дней назад
Duu inauma sana jaman
@baimarrajahbuayan6237
@baimarrajahbuayan6237 2 года назад
Lzm utoe chozi Inauma Sana Lkn Mungu yu mwema
@tunzakingdom801
@tunzakingdom801 2 года назад
Usipo pita huwezi jua uchungu wa yale wanayo pitia mwenzio.
@evachuw8092
@evachuw8092 2 года назад
Uyo shangazi mmmm
@omanoman2044
@omanoman2044 Год назад
Nikweli kabsa hakumuacha kwa ubaya alimuacha kufatan na changamota za maisha
@user-th9nc2om2x
@user-th9nc2om2x 22 дня назад
Zimeni muziki uliopo background unasumbua
@vanessarobyn4584
@vanessarobyn4584 2 года назад
Nyie ni kweli maisha ni magumu ila kuacha mtoto hapana. Nimepitia kulea mtoto pekeangu ni kiwa under18 sikuwa na ata pakuishi ila sikuwahi kumuacha mwanangu hadi leo hii. Huu ujinga mtupu shangazi yuko sahihii kabisaa.
@zulfajohnkilongozi4943
@zulfajohnkilongozi4943 2 года назад
Pole kwa Hilo lkn kila mtu na mapito yake
@mwanaishamkindi7763
@mwanaishamkindi7763 2 года назад
Kabisa jmn kila mtu na mapito yake tisihukumu Bora alimuacha salama kuliko kumtupaa
@catherinesule8505
@catherinesule8505 2 года назад
Miaka hiyo na Miaka ya sasa hivi kunautofauti
@vanessarobyn4584
@vanessarobyn4584 2 года назад
@@zulfajohnkilongozi4943 ahsante dear ila siyo kwa kumuacha mtoto wa miezi 2 pia ukisikiza maelezo yake unaona ujana bado ulikuwepo😅😅
@vanessarobyn4584
@vanessarobyn4584 2 года назад
@@mwanaishamkindi7763 ni sawa ila mtoto wa miezi 2 yuko na roho haki
Далее
Редакция. News: 124-я неделя
52:01
Просмотров 1,8 млн
UTAMBULISHO WA VIWANGO VYA JUU KABISA
2:10
Просмотров 3,9 тыс.
My signature pose💪🏻
0:19
Просмотров 4,4 млн
Не надо толкать, надо бить🥊
0:20
My signature pose💪🏻
0:19
Просмотров 4,4 млн