Тёмный

LIVE: Leo Tena na Happiee mzazi mwenzie na BekaFlavour | Kuvunjika Mahusiano yao 

CLOUDSMEDIA
Подписаться 1,3 млн
Просмотров 68 тыс.
50% 1

LIVE: CloudsDigital ipo live studio za Cloudsfm..

Спорт

Опубликовано:

 

11 фев 2021

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 250   
@mayallahamis1256
@mayallahamis1256 3 года назад
Jamani tusilalamikie matangazo hiyo ili live kutoka kwenye radio na msing Wa radio ni matangazo vipindi ni ubunifu Wa kuwafanya watu waweze kusikiliza kisha watu wanaweka matangazo ili biashara zao au matukio na mambo mengne yawafikie watu wengi zaid napenda radio yenye matangazo meng kwann inaonyesha jins gani ni wabunifu proud of clauds naipenda sana
@naslamgollo1467
@naslamgollo1467 3 года назад
ZzzszaSssszzz NM NM csz z hmm cuz NM mcxcb NM NM CVS xxzxxvvvv CNN cxzbzzZNM NM NV NM m NM NM hmm NM NM; NM NM NM hmm c NM CVS x
@zaiiomary8970
@zaiiomary8970 3 года назад
Kakaangu bora umuowe tu maan ulimpa Ahadi
@ayoayoo1222
@ayoayoo1222 3 года назад
Uyu dada anajielewa sana alafu inaonekana kama uyu beka angekua na uwezo wa kumdhibiti uyu dada angekua anamnyanyasa sana..
@mozaummy327
@mozaummy327 3 года назад
Mtoto mzuri MashaAllah uyo mwanaume mtihani wasanii hawa
@latifaragiph6443
@latifaragiph6443 3 года назад
Siyp wasanii2 shogaangu hata wanaume wakawaida nihivohivo
@anicyaedward5605
@anicyaedward5605 3 года назад
This girl she is very smart am sure akiachana na huyu kijana kesho yake anampata mtu smart kama yeye, and this man kashajua anapendwa sana so his not even care.. yan mke mzuri hv anakupenda hv af ww you don’t appreciate that love she gave you .. daaa mme cwez vumilia I swear .. aiseee kaka Beaker you should change Pliz otherwise you will not get the woman like this one.. the smart one in and out ..
@evetajohn9178
@evetajohn9178 3 года назад
Matangazo kibao mnatumalizia mb zetu. 😏
@belak999
@belak999 3 года назад
Si usogeze mbele
@user-eg1dr6so4c
@user-eg1dr6so4c 3 года назад
Sogeza mbele maana matangazo ndio kipata chawo
@agaowajouniar6614
@agaowajouniar6614 3 года назад
Meme mwenzio nikiona hivyo aku nasogeza mbele Mambo mengin yanaendelea
@tuombesunzuesperance5196
@tuombesunzuesperance5196 3 года назад
She’s beautiful also she’s smart anatumia hekima kwa kuongea Hongera sana mie nimekupenda.
@alvinmbugua9830
@alvinmbugua9830 3 года назад
I love her passion
@rahmssalum3163
@rahmssalum3163 3 года назад
Huyu dada yupo sawa kabisa
@efraimrichard6440
@efraimrichard6440 3 года назад
Mbona mitangazo mingi asee duuh MB zinaisha bhana
@josephkelvin7499
@josephkelvin7499 3 года назад
Mwanaume hatupo tayar na utoto umemshika inshaallah happy mungu atakupa hitaji la moyo wako
@francissasawata5473
@francissasawata5473 3 года назад
Good
@aishafadhili3482
@aishafadhili3482 3 года назад
Nimegundua kua happy anaumia sana na beka ayupo kwenye msimamo na uyu bint (happy ukiona hataki kukuowa achana nae)
@albertdoherty9394
@albertdoherty9394 3 года назад
Asante tupo pamoja wallah ningekua mm mwenye uelewa wangu Mzuri ningemuacha aende2 hana mapenzi nae kabisa ila huyu dada ndo anampenda jamaa jmn wanaume mtuhurumie ss tukipenda tunaamini kupenda sana
@victoriabayo7704
@victoriabayo7704 2 года назад
Happy sio mchaga jamani
@vunokaglori1195
@vunokaglori1195 3 года назад
Wasameheyane wote, maisha ya ndoa nikusameheyana tu moya na mwengine sote tuko wazaifu kima mmoja na ueaifu wake. Hakuna mwema
@kelly_visiontz
@kelly_visiontz 3 года назад
Mungu ndie miweza ivo wajaribu kumuomba mungu nayote yataisha kwan palipo pema apakos changamoto ama vikwazo ila mimi nawaombea muoane na mdum mambo yakugombana ni mambo yazaman au ya kitoto
@fareskiyogera3370
@fareskiyogera3370 3 года назад
Mwijaku mshaurin Beka amalizane na huyo mzaz mwenzake maana bado anapendwa panoja Ba mapungufu aliyokuwa nayo
@fatmaarmy2286
@fatmaarmy2286 2 года назад
naomba mngu mpatane inshallah 🙏 ❤
@mrmwilwaja
@mrmwilwaja Год назад
Ndoa ni nzuri ikiwa na maelewano Waelewane tu
@shedyplatinumz4853
@shedyplatinumz4853 3 года назад
Kajamaa akataki kuoa😁😁😁 kana vudemu kibao
@barakazacharia5206
@barakazacharia5206 3 года назад
@travelstylish nurse heeee🙄 kumbe jmn
@missmoona4497
@missmoona4497 3 года назад
@travelstylish nurse 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@chikamajenisia2244
@chikamajenisia2244 3 года назад
🤣
@dianastephen8580
@dianastephen8580 3 года назад
Sauti ya waongeaji inakua chini mno then music mnaweka sauti ya juu hatuenjoy kwa kweli
@annaphilemon852
@annaphilemon852 3 года назад
Sasa huyu kijana anataka nn km mke huyo ni mrembo kamzalia yupo simple anajua maisha mvumilivu duh hivi viwanaume venye umri sawa na sisi changamoto
@nahyialetomia9284
@nahyialetomia9284 3 года назад
Beka ana kiburi na dharau
@halimamvungi1
@halimamvungi1 3 года назад
Beka anajikuta sana ,mimi ningeshauri huyu bint wala asirudi kwa beka kujipa mizigo ya mwili na roho amuache kwanza....asiamua mapema atampotezea sana mda
@AcroBantu
@AcroBantu 3 года назад
Hilo ndilo tatizo la vijana hawaelewi wanataka nini
@momeprotas28
@momeprotas28 3 года назад
Wanaume hawaelewagi yan
@roziicharless4705
@roziicharless4705 3 года назад
Huy dada anaonekana anampenda beka ila beka anazingua
@hillumuna4991
@hillumuna4991 3 года назад
Duh mdogo wangu happy anapenda ndoa
@janethkilonzi4260
@janethkilonzi4260 3 года назад
Ndio heshima ya mwanamke my dear!!
@stevenmsaaada.msaada.389
@stevenmsaaada.msaada.389 3 года назад
Yaani beka kampelekea mboga tu mwijaku. Kama mmeona anavochungua kifua cha happy mwijaku. Yuko kwenye usuruhishi lakin anajisogeza kwa happy utafikil yeye ndio mme.
@ashuhunamohamed7997
@ashuhunamohamed7997 3 года назад
🤣🤣🤣
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 3 года назад
Mashallah, Happee uko vizuri 😘😍
@janethkilonzi4260
@janethkilonzi4260 3 года назад
Anaakil mno
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 3 года назад
@@janethkilonzi4260 sana 😘
@estherminnahboaz6956
@estherminnahboaz6956 3 года назад
In short Happy umekua disparate sana...Kwani ndoa we unaichukuliaje? Kwani akikuoa unadhani tabia zake zitabadilika? Kifupi Beka hakupendi Kukaa na mwanaume Miaka mingi haimaanishi anakupenda..huyo shida yake umtotolee watoto akuache..hayupo tayari Kuwa na wewe...chapa lapa ndoa yenyewe ya kiislamu anakuoa jtatu ijumaa unaachwa mama..mwanaume anadiriki kukufukuza Kwake na wewe utake kurudi? Kisa una njaa sana? Huwezi kupata mwanaume mwengine au kupenda sana???
@veronicadaniel1122
@veronicadaniel1122 3 года назад
Na alivo Mzuri sasa alafu mwanaume sijui alingia nn
@fatmabhinda3916
@fatmabhinda3916 3 года назад
Happy nimekuelewa ndoa kwanza akikuoa utamuheshim sana
@stevenmsaaada.msaada.389
@stevenmsaaada.msaada.389 3 года назад
Nimeamini mmakonde ana dharau aise. Mke wamwenzio kumwambia awe video qeen kweli! Dharau sana harmonize.
@rehemasteven5962
@rehemasteven5962 Год назад
Beka nafulahi kuwaona na mzazi mwenzio rudianeni jamani mbna hivo lakini mrembo mzur Kama huyo unamuacha kweli
@josephjohnmagesa8256
@josephjohnmagesa8256 3 года назад
Dah beka uyu mtoto ulimtolea wap aisee mbna mzuri ivo
@mwajumahamis7982
@mwajumahamis7982 3 года назад
Kitu cha chuga hicho
@janethkilonzi4260
@janethkilonzi4260 3 года назад
Lakin hatak kumuoa sasa sijui anakwama wap mpuuz beka uyo
@kaizamsigala2878
@kaizamsigala2878 3 года назад
sasa ni kipindi tunaangalia au tunasikiliza matangazo maan hawa clouds wamezid
@mwanajumasaid1983
@mwanajumasaid1983 3 года назад
Jmn matangazo Yann bac yanakeraaa
@jumaj1080
@jumaj1080 3 года назад
CLOUDS DIGITATL MUKO JUU
@madamboss348
@madamboss348 3 года назад
Mtu hajanioa hawezi nikazia maisha ovyoooo
@kitwaribetisheba1295
@kitwaribetisheba1295 3 года назад
Matangazo mpka mnakeraaaa
@alvinmbugua9830
@alvinmbugua9830 3 года назад
Napenda huyu dada..beka should man up.
@fatumaabdallah6720
@fatumaabdallah6720 3 года назад
dada happy na beka mjitahid kuweka mambo yenu private
@minablessing8650
@minablessing8650 3 года назад
Kwel inabd afanye private
@hamoudcreator6343
@hamoudcreator6343 3 года назад
Happie kama huyu Jamaa ni Mlevi Hapana usikubali kuolewa nae please.. Hamna kitu.. Badilisheni Tabia zenu
@shedyplatinumz4853
@shedyplatinumz4853 3 года назад
Mastaa mnakuaga na miyeyusho
@shikuassi4876
@shikuassi4876 3 года назад
Mastaa kuoa sijui huwa wanaonaje.
@suleuhai2754
@suleuhai2754 3 года назад
Wakwanza ku comments
@nyamatabanijohannes1850
@nyamatabanijohannes1850 3 года назад
daaah for sure beka anampend happy kinoma
@fatmaarmy2286
@fatmaarmy2286 2 года назад
kabisa
@hassanparamana2215
@hassanparamana2215 3 года назад
daaah...demu umezingua happy umemkosea beka kiukweli dizaini unataka au umejiweka kwa Ibra wa harmonize mlevi siku zote anaongea point lkn anaonekana anaongea pombe swali alilo uliza beka ni sahihi sana huyo mtangazi mwenye t-shirt white ameongea kibaharia zaidi ila dada hapo na DC mmemtetea sana happy...interview ya kwanza kuisikiliza ilikuwa ni ya happy peke yake nikaku support lkn nimesikiliza interview ya pamoja ndio nime prove kuwa beka yupo sahihi ila beka unapigwa kwa kigezo cha pombe demu amekuchoka sasa anatoka nje kwahyo unapigiwa na demu kama unataka kulea pamoja mtoto acha kumzingua mshikaji coz utaenda kumegeka nje na furaha ya mahusiano usipate coz umeruka maji umeenda kukanyaga tope beka msanii na Ibra msanii wacha tuwe na subra lkn tutaona mengi ( Ibra acha kuuwa mahusiano ya mwenzako now hupo juu kimziki sasa isiwe fimbo wa mwengine unamtumia harmonize asolve ishu hii wakati unajuwa kuwa umefanya kosa) beka demu sio huyo atakuumiza zaidi na zaidi muache haende lkn huko pia haendapo kapotea kesha mkatiri mtoto wake mwenyewe kwa maamuzi yalio kuwa sio sahihi (why uwe video queens) kwani mwengine hakuna na kwann ulibaki Zanzibar kwa kigezo kuwa mnamalizia shooting eti wenzako walirudi huu siiii...usinichi...pole beka jipange tena mziki utaiti tu inshallah kisha tutaona hatarudi au hatabaki kwa ibra.
@kefasamwel8540
@kefasamwel8540 3 года назад
Huyo sster anajskia sana mwanetu becka achana nae
@manstiko5890
@manstiko5890 3 года назад
Achane nae tuone atapata wapi demu mkali kma uyu.. Usimuingize choo cha kike mwezio 😂😂
@amadimlilapi1185
@amadimlilapi1185 3 года назад
Sisi kama wanaume tunamshauri ndugu yetu aachane na hiyo manzi itamtesa sana
@sabraally7674
@sabraally7674 3 года назад
Raha San mahusiano meng yapo matatani me mwenyew mmoja wapo me naona labda ndo itasaidia maana hii habar ya kukaa tutaoana badae tunateseka wanawake namsapoti happy katika hilo
@rahmssalum3163
@rahmssalum3163 3 года назад
Jamani matangazo mengi
@khadijasalum2302
@khadijasalum2302 3 года назад
Why wanawake wanapenda kujiachia maziwa kutunisha
@MohammedAli-vq2dk
@MohammedAli-vq2dk 3 года назад
Ili kila mtu aone maziwa yake
@Gift-cx1uo
@Gift-cx1uo 3 года назад
Beka umepata mke uyo nimpole lakn unamuonea jmn mbn we ulizaa nje msamehe tu uko au ushamchoka unatafuta visababu visivy na maana
@esteramon9333
@esteramon9333 3 года назад
Hao ndo design ya wanaume wa Sasa yaani no sheeeeeeda
@stellashirima6726
@stellashirima6726 3 года назад
Matangazo mengi
@husseinzayinabu3190
@husseinzayinabu3190 3 года назад
Beka amuwowe uyo daa happy
@bahatibahati4213
@bahatibahati4213 3 года назад
Mnamlazimisha beka amuoe huyo mwanamke akati hamuelewi achen bhnaa
@silvanamgulla613
@silvanamgulla613 3 года назад
Matangazo ni malefu yanaboa sanaa yani chaa
@ashuhunamohamed7997
@ashuhunamohamed7997 3 года назад
Huyu mdada km tanasha,
@veronicadaniel1122
@veronicadaniel1122 3 года назад
Yaani Mzuri kiama usipokua makini unaweza sema tanasha asubiri kidogo kumbe hakuna
@kadigatanzaniya4792
@kadigatanzaniya4792 3 года назад
Wanafanana sana na tanasha mashallah
@ndaromachumu2558
@ndaromachumu2558 3 года назад
Sasa watawezanaaaa Kama hayo yanatokeaa
@fadhilikigwama3896
@fadhilikigwama3896 3 года назад
Unakua 🌟 halafu bado unateseka kimapenzi huo si ubwege
@jomiAfrica
@jomiAfrica 3 года назад
Beka kapata changamoto demu anakimbia
@nahyialetomia9284
@nahyialetomia9284 3 года назад
Beka looks arrogant na kiburi
@robbynyamriba251
@robbynyamriba251 3 года назад
Tatizo pombe
@rithanalukuli3367
@rithanalukuli3367 3 года назад
what is the different between arrogant na kiburi
@nahyialetomia9284
@nahyialetomia9284 3 года назад
@@rithanalukuli3367, teach me pse
@aishafadhili3482
@aishafadhili3482 3 года назад
Anakiburi sana uyu bint aliiingia choo cha kiume
@nancyokwero723
@nancyokwero723 3 года назад
Jaribuni kubunguza matangazo jameni
@mtumishi6175
@mtumishi6175 3 года назад
Kwa msimamo wa binti huyu hakosi Mme atulie tu
@norafrowin1748
@norafrowin1748 3 года назад
Sipendagi kuangalia vipindi vyenu kwa sababu atusikilizi tunachokitaka Bali mitangazo kibaooo. Nimeangalia tena hii nikajua mmebadilika kumbe vilevile mnaboa sana
@mtasma1994
@mtasma1994 3 года назад
Matangazo ndio yanayoendesha kipindi na kupata hela
@hosianajoram9182
@hosianajoram9182 3 года назад
Mhhh matangazo yamezid adi kerooooo
@fadhiliabduly9702
@fadhiliabduly9702 3 года назад
Beka blaza achana na huyo dem atakusumbuaa tuu mwanangu.
@FM-xi3on
@FM-xi3on 3 года назад
Kweli kabisa huyo dada anaonenaka anataka umarufu tu
@fadhiliabduly9702
@fadhiliabduly9702 3 года назад
@babie thanny tunataka akuowee wewe 😂😂😋😂😂😂😂😂😂
@peacekatembo6944
@peacekatembo6944 3 года назад
Mwijaku hlo jichoo kwa happy!....haahaaa unamtafakariii apoo ushajipa jibuu
@mwanajumasaid1983
@mwanajumasaid1983 3 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@Jassmin-media-official
@Jassmin-media-official 3 года назад
Miaka 8 jamani bila ondoa big no pia nimesikia akisema eti kitu kidogo beka anamwambiwa funga mizigo yako kila mda na akitoka mda kidogo anamwambia rudi rudi anabeba mizigo urudi,time hii beka beba mizigo huende kwa mkeo
@khdigahk4246
@khdigahk4246 3 года назад
Hahaha 😅😅😅😅😅😅😅itadondoka mizigo kichwan
@chikamajenisia2244
@chikamajenisia2244 3 года назад
🤣🤣🤣 jamani beka beba mizigo yako uende kwa mkeo
@bonifacemapunda3043
@bonifacemapunda3043 3 года назад
Kwahy,,,.mwijaku ndio Wazazi wenu au hamfedheheshi wazazi wenu jamn daah au hamna wzazi😅😅😅😅😅
@r14kgroup68
@r14kgroup68 3 года назад
Safiiiiiiiiiii 😀😀😀😀😀
@avianboy592
@avianboy592 2 года назад
Good job bro
@estherjoachim9845
@estherjoachim9845 3 года назад
Mm nimeona mitangazo tu
@teachergodfreypeter9052
@teachergodfreypeter9052 3 года назад
Mahusiano yanayoanza na uzinzi ni magumu sana
@beatricekitara5808
@beatricekitara5808 2 года назад
Haswaa tena ni kazi
@bugaboympemba730
@bugaboympemba730 3 года назад
Kwa hyo unashindwa kumpa taarifa mumeo kwa sababu unajua hatokubali kwa maana hyo unafanya uovu ambao mwenzio hapend huku unajua ni uovu madem bhana...Huyo demu ni buree
@faizaabdallah7217
@faizaabdallah7217 3 года назад
Mumeo hawara taharifa Ina khusu ndio muoe sio kukaa na watoto wa watu alafu mnataka kupelekesha watoto wa watu ovyo
@jessydaktari5209
@jessydaktari5209 3 года назад
Bake you should man up....tumia hekima kidogo
@tayk4745
@tayk4745 3 года назад
Mwijaku mbna shingo imenenepa mpk kinataka kutokea kichwa cha pilii
@pascalmourice9688
@pascalmourice9688 3 года назад
😀😀😀😀😀
@lightnesssabaya7028
@lightnesssabaya7028 3 года назад
😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣 uuuuuuwiiiiii kanenepa napesa zakuombaomba wasanii
@hidayayussufu7080
@hidayayussufu7080 3 года назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@ramlajuma1598
@ramlajuma1598 3 года назад
Wa pili 🔥
@bonifaceismaily536
@bonifaceismaily536 3 года назад
Nambie
@hamoudcreator6343
@hamoudcreator6343 3 года назад
Daaah yani Beka ni Mlevi Daaahhh😭😭
@evalinennko453
@evalinennko453 3 года назад
dada nimekupenda bure shikilia hapo hapo
@hildapenina815
@hildapenina815 3 года назад
☝️☝️☝️acha kumuzinguw mtoto wa 👎👎👎👎ra K
@albertdoherty9394
@albertdoherty9394 3 года назад
Huyu beka hampendi vzr huyu dada
@Lumegilemukata
@Lumegilemukata 3 года назад
Hapo ndipo mnapofeli
@dinatinaeliah4297
@dinatinaeliah4297 3 года назад
Yaan mdada mzurii huyu
@kapelaalphonce3375
@kapelaalphonce3375 3 года назад
Mnazingua matangazo kibaoooo
@patriciacosmas5944
@patriciacosmas5944 3 года назад
Kwa kweli maswala ya kunimiliki hutaki nifanye hata kazi wakati hata cosam hakujui uhhh hapo kwa kweli hatuta erewana.
@bonifacemapunda3043
@bonifacemapunda3043 3 года назад
Beka,,,umefeli saana brooo daH,,,,hivi broo uliita waandishi wakati unamtongoza huyo dada daaah,,,,mapenzi ya wasanii daaah🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@marygregory7566
@marygregory7566 3 года назад
Matangazo yamezidi
@rosesolomon826
@rosesolomon826 3 года назад
Mwijaku hapo kafika kupenda umbea
@ironefacemsovela4504
@ironefacemsovela4504 3 года назад
Kamefanana na tanasha
@ivonrungwe6104
@ivonrungwe6104 3 года назад
Nawe umeona ee
@joelkun9220
@joelkun9220 3 года назад
Matangazo kibao dakika 20 nzima
@dishonndolla8796
@dishonndolla8796 3 года назад
Kwani kafanya video kwenye nyimbo gani ya harmonize
@tinyaanosiatha1118
@tinyaanosiatha1118 3 года назад
Ni Nyimbo ya ibraah hamonaiz naye alishikishwa kwenye hiyo ngoma
@dishonndolla8796
@dishonndolla8796 3 года назад
Shukrani sana asee
@janetinzema123
@janetinzema123 3 года назад
,mm ninacho ona mmoja angekuwa masikini ndowa ingedum tatizo wote mnahela ndomana hamueshimiani bk
@saudaahmed6818
@saudaahmed6818 3 года назад
Akha matangazo kibao
@sanurikibaya3254
@sanurikibaya3254 3 года назад
Mwijaku umetoa macho kama
@ashuhunamohamed7997
@ashuhunamohamed7997 3 года назад
Kama nn🤣🤣🤣
@humoudomary7077
@humoudomary7077 3 года назад
haya maisha mmmmmhhhh acha nikae nao mbali
@canalemilyemily671
@canalemilyemily671 3 года назад
Matangazo khaaa
@lightnesssabaya7028
@lightnesssabaya7028 3 года назад
😂😂😂😂😂😂😂 Yani wanaongeya wenyewe say sjui ndo live gN
@kaizamsigala2878
@kaizamsigala2878 3 года назад
beka kama huwez kuoa tuachie sis tuoe
@rehemasalumu4888
@rehemasalumu4888 3 года назад
Sasa mbona mnaongea wenyewe mko kwa kipindi tuone lugha ya picha?
@salumutali1391
@salumutali1391 3 года назад
🍺🍺🍺🍺🍺
@fredrickmatiku7783
@fredrickmatiku7783 3 года назад
Beka anakapenda kadem ila wivu na hajui kucare mtoto nzuri hamfungi ndoa anachezewa tu muda ote embu Fanya maamuzi sahihi beka change
@tundatunda1697
@tundatunda1697 3 года назад
Wasanii ni shida sana hawaoi afu wanakuwaga na michepuko kibao
@ironefacemsovela4504
@ironefacemsovela4504 3 года назад
Kumbe kelevi ndio maana akiko romantic
@fredrickymahenge5764
@fredrickymahenge5764 3 года назад
Eti kaleviii
@godfridhyera1336
@godfridhyera1336 3 года назад
Mnaboa matangazo ayo sasa
@veerdhaheer7288
@veerdhaheer7288 3 года назад
Anashindwa kumuoa kwasabab dini tofauti
@talantamedia5796
@talantamedia5796 3 года назад
mdada ashabadili dini muda akamfata mbona
@allymwanga
@allymwanga 3 года назад
Tafuta hela Bekaa hiko kibesi huna kitu mzee 😂😂😂
@oyay2821
@oyay2821 2 года назад
Huyu dada amekataa ndoa ya kiislamu ndio maana Beka hayuko tayari kumoa
@karimujuma6595
@karimujuma6595 3 года назад
Beka ulimnadi Sana mkeo ulikua unasema ktk wasanii wte tz ww ndio mwenye mwanamke mzuri kushinda ote Aya shindana nao Sasa ulikua unawatangazia
@pelesmwaipopo4382
@pelesmwaipopo4382 3 года назад
nimechekaaaa
@karimujuma6595
@karimujuma6595 3 года назад
@@pelesmwaipopo4382 ndio ivyo
Далее
Mapenzi Mubashara
3:18
Просмотров 194 тыс.
OUR LOVE STORY W/ BEKA FLAVOUR AND HAPPY REUTER | EP 04
1:32:24
Nerd TOYS with Defender’s ANKLES
0:40
Просмотров 26 млн