Jamani tusilalamikie matangazo hiyo ili live kutoka kwenye radio na msing Wa radio ni matangazo vipindi ni ubunifu Wa kuwafanya watu waweze kusikiliza kisha watu wanaweka matangazo ili biashara zao au matukio na mambo mengne yawafikie watu wengi zaid napenda radio yenye matangazo meng kwann inaonyesha jins gani ni wabunifu proud of clauds naipenda sana
This girl she is very smart am sure akiachana na huyu kijana kesho yake anampata mtu smart kama yeye, and this man kashajua anapendwa sana so his not even care.. yan mke mzuri hv anakupenda hv af ww you don’t appreciate that love she gave you .. daaa mme cwez vumilia I swear .. aiseee kaka Beaker you should change Pliz otherwise you will not get the woman like this one.. the smart one in and out ..
Asante tupo pamoja wallah ningekua mm mwenye uelewa wangu Mzuri ningemuacha aende2 hana mapenzi nae kabisa ila huyu dada ndo anampenda jamaa jmn wanaume mtuhurumie ss tukipenda tunaamini kupenda sana
Mungu ndie miweza ivo wajaribu kumuomba mungu nayote yataisha kwan palipo pema apakos changamoto ama vikwazo ila mimi nawaombea muoane na mdum mambo yakugombana ni mambo yazaman au ya kitoto
Beka anajikuta sana ,mimi ningeshauri huyu bint wala asirudi kwa beka kujipa mizigo ya mwili na roho amuache kwanza....asiamua mapema atampotezea sana mda
Yaani beka kampelekea mboga tu mwijaku. Kama mmeona anavochungua kifua cha happy mwijaku. Yuko kwenye usuruhishi lakin anajisogeza kwa happy utafikil yeye ndio mme.
In short Happy umekua disparate sana...Kwani ndoa we unaichukuliaje? Kwani akikuoa unadhani tabia zake zitabadilika? Kifupi Beka hakupendi Kukaa na mwanaume Miaka mingi haimaanishi anakupenda..huyo shida yake umtotolee watoto akuache..hayupo tayari Kuwa na wewe...chapa lapa ndoa yenyewe ya kiislamu anakuoa jtatu ijumaa unaachwa mama..mwanaume anadiriki kukufukuza Kwake na wewe utake kurudi? Kisa una njaa sana? Huwezi kupata mwanaume mwengine au kupenda sana???
daaah...demu umezingua happy umemkosea beka kiukweli dizaini unataka au umejiweka kwa Ibra wa harmonize mlevi siku zote anaongea point lkn anaonekana anaongea pombe swali alilo uliza beka ni sahihi sana huyo mtangazi mwenye t-shirt white ameongea kibaharia zaidi ila dada hapo na DC mmemtetea sana happy...interview ya kwanza kuisikiliza ilikuwa ni ya happy peke yake nikaku support lkn nimesikiliza interview ya pamoja ndio nime prove kuwa beka yupo sahihi ila beka unapigwa kwa kigezo cha pombe demu amekuchoka sasa anatoka nje kwahyo unapigiwa na demu kama unataka kulea pamoja mtoto acha kumzingua mshikaji coz utaenda kumegeka nje na furaha ya mahusiano usipate coz umeruka maji umeenda kukanyaga tope beka msanii na Ibra msanii wacha tuwe na subra lkn tutaona mengi ( Ibra acha kuuwa mahusiano ya mwenzako now hupo juu kimziki sasa isiwe fimbo wa mwengine unamtumia harmonize asolve ishu hii wakati unajuwa kuwa umefanya kosa) beka demu sio huyo atakuumiza zaidi na zaidi muache haende lkn huko pia haendapo kapotea kesha mkatiri mtoto wake mwenyewe kwa maamuzi yalio kuwa sio sahihi (why uwe video queens) kwani mwengine hakuna na kwann ulibaki Zanzibar kwa kigezo kuwa mnamalizia shooting eti wenzako walirudi huu siiii...usinichi...pole beka jipange tena mziki utaiti tu inshallah kisha tutaona hatarudi au hatabaki kwa ibra.
Raha San mahusiano meng yapo matatani me mwenyew mmoja wapo me naona labda ndo itasaidia maana hii habar ya kukaa tutaoana badae tunateseka wanawake namsapoti happy katika hilo
Sipendagi kuangalia vipindi vyenu kwa sababu atusikilizi tunachokitaka Bali mitangazo kibaooo. Nimeangalia tena hii nikajua mmebadilika kumbe vilevile mnaboa sana
Miaka 8 jamani bila ondoa big no pia nimesikia akisema eti kitu kidogo beka anamwambiwa funga mizigo yako kila mda na akitoka mda kidogo anamwambia rudi rudi anabeba mizigo urudi,time hii beka beba mizigo huende kwa mkeo
Kwa hyo unashindwa kumpa taarifa mumeo kwa sababu unajua hatokubali kwa maana hyo unafanya uovu ambao mwenzio hapend huku unajua ni uovu madem bhana...Huyo demu ni buree