Watu wanaiba kama hakuna serikali. Watu wanateseka, bunge limetekwa. Wananchi wanaotetea Mali za wanatanzania wanaambiwa wabebe Mizigo yawo watóke bungeni, utafikiri bunge ni la watu binafsi. Uwongo juu ya uwongo. Wabunge wote wakianza kutowa hoja zawo wanamushukuru Mwenyezi Mungu, huku hawatetei haki. Ni Mungu kisha Rais Samia. Wenye akiri zetu wan amps Rais sifa za uwongo. Wanaosema ukweli na watetezi wa haki wanafukuzwa bungeni. Haki iko wapi?
Wewe nawe una majibu ya uhongo nchi hii ni hatsrishi kilichofanya unatoa kibari tofauti na wazalishaji wakati muda wa kufika mzigo wao bado na tukichunguza leseni zao zilikatwa kwa muda mfupi ili waingie mchongo wa biashara Richmond nyingine kwenye akili akikusikiliza anagundua uhongo wa bodi