Тёмный

#CHADEMA 

Yuhai media
Подписаться 9 тыс.
Просмотров 29 тыс.
50% 1

#CHADEMA , MBOWE AVUKA MIPAKA ATOA KAURI CHAFU KWA RAIS SAMIA PAMOJA NA KINANA

Опубликовано:

 

6 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 80   
@user-rc1dp6ux3k
@user-rc1dp6ux3k 19 дней назад
Mbowe anawaza vizuri
@harshkirit6780
@harshkirit6780 15 дней назад
Peeeepozz pawa.. hapo sawa. Mheshimiwa mbowe karibu mwanza tutakuunga mkono. Mwamba wa Chadema yupo hapa
@kyaro5945
@kyaro5945 19 дней назад
Hivi wew mpiga picha huyu mbowe katukana wapi? acheni uchawa.
@LamsonMalenga
@LamsonMalenga 18 дней назад
Uyu ndo mwenyekiti bwanaa
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 19 дней назад
Kweli kabisa kwa sababu hakuna kazi huku chini. Serikali imejenga mashule lakini watoto hawana walimu. Hapa mjini tunaambiwa tukachangie walimu ili waweze kuongenza vinginevyo watoto wanacheza tu bila kufundisha.
@KharidyYusuph
@KharidyYusuph 19 дней назад
Mwenyekti
@mashakakwembe7482
@mashakakwembe7482 19 дней назад
Wenye akili wanakuelewa sana kamanda endelea kutoa elimu ya uraia
@user-md7sd3hk6l
@user-md7sd3hk6l 15 дней назад
nawa penda sana chadema mungu fanya miujiza yako kipe mada laka chadema ccm wa na tuonea sana mungu pokea dua zetu
@zengomikomangwa9264
@zengomikomangwa9264 19 дней назад
Mbowe unayasema hayo ili uweze kupata dolla. Tafuta agenda ya kuwaunganisha wTz sio hayo unayotueleza.
@nabimanyafesto5014
@nabimanyafesto5014 19 дней назад
Hata Mungu mlimushinda kuunganika leo ndo unataka mbowe aunganishe wtzania??
@saidimasudi6450
@saidimasudi6450 17 дней назад
Wakenya raia aslimia 90 hawana Aridh imechukuliwa na Wacha he na magavana
@yohanaantony5774
@yohanaantony5774 17 дней назад
Hata namna chadema mnavyoendsha chaguz zenu bado hakuna usawa hvyo toa kwnz kibanzi jichon mwako ndpo utoe Cha mwenzko umekuwa mwenyekiti wa chama mda mrf nawe watakiwa kuwapisha wenzko hyo ndio demokrasia
@JeremiaholendikaMakeseni
@JeremiaholendikaMakeseni 17 дней назад
Baba tupo pamoja sana
@user-jl5un4wf3u
@user-jl5un4wf3u 16 дней назад
Huo. Mpangomzuri lakini kamaunagawa nchi vipandevipande .......",
@sizorstartv6168
@sizorstartv6168 14 дней назад
vijana amkeni jamaniiii. Nchi na kizazi chake kijacho inaaangamiaaa
@machintangachibwena5922
@machintangachibwena5922 19 дней назад
Mzeee wa Saccos
@user-tz8wq1dj7j
@user-tz8wq1dj7j 17 дней назад
Safi kabisa akili hiyo
@saidimohamed4357
@saidimohamed4357 16 дней назад
Katiba mpya ndio kilakitu
@PaskaliCharles-pz8ds
@PaskaliCharles-pz8ds 17 дней назад
Kweli kabisa mh Mbowe ndo maana viongozi wa kuteuliwa wananguvu kuliko waliochaguliwa na wananchi
@sadicksingogo260
@sadicksingogo260 16 дней назад
Ingependeza sana,lakini katiba
@user-sn3py9yz8j
@user-sn3py9yz8j 17 дней назад
Umeongea ukweli tunataka magavana
@user-yx5lv4pn4v
@user-yx5lv4pn4v 19 дней назад
Ukosawa
@kingmichael1234
@kingmichael1234 18 дней назад
Kweli kabisa
@user-ss6gy4yy8v
@user-ss6gy4yy8v 18 дней назад
Kweli kabisa mwamba
@abubakarimussa9131
@abubakarimussa9131 17 дней назад
❤💪✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️👌👌✌️✌️✌️
@KamwandaNzowa-eo4ur
@KamwandaNzowa-eo4ur 18 дней назад
Ni kweli kabisa Mh, Mbowe serikali imekuwa dalali mkubwa sana wanazuya Makapuni kuja kununua mazao yetu
@GoodluckMichael-hb1bv
@GoodluckMichael-hb1bv 19 дней назад
We mbona utoki kwenye uenyekiti
@AlphaxardMRusweka-jr1wi
@AlphaxardMRusweka-jr1wi 19 дней назад
Mbona CCM,wakina Fulani tu ndo wao tu wanakula ,na hata wewe hujawi kukumbukwa.angalia familia ya Mzee Fulani wa CCM,yeye,mtoto,mama ndo wanaokula tu,Kwa nini hujawahi kuwaambia na wewe uwe waziri,mama Yako awe mbunge,
@caashamacalini3887
@caashamacalini3887 19 дней назад
Maneno anayosema ni kweli inatakiwa mwenye akili ndio utaelewa hamnazo na mwandawazimu kuelewa kazi nchi yako especially Sisi wagonjwa wa kuelewa utindio wa akili hafanyi kazi lakini Mie naomba Kwa mungu tuwe maskini wa kutupwa kama Malawi, na Kongo kila sehemu ya manufaa kuuzwe tubaki Sisi kama Sisi nchi yetu lakini wananchi tusiwe na kitu ndio watu watajua nchi ikoje viongozi wako wapi?
@JackKanyigo
@JackKanyigo 17 дней назад
Uko sahihi kabisa
@user-sg4vj4ky4y
@user-sg4vj4ky4y 18 дней назад
Sijui Kama yupo sahihi au anatafuta dona
@phillipmasungwa7365
@phillipmasungwa7365 19 дней назад
SAFI SANA KAMANDA MBOWE TUPO PAMOJA.
@JoyceKabula-in1sh
@JoyceKabula-in1sh 17 дней назад
Umeona mwaba mungu awape ulinzi aende navnyinyi polite tupo nyuma yenu tunawapendabsana msikate tamaa
@user-bz5ti6op6z
@user-bz5ti6op6z 18 дней назад
Hapo kila mkoa utakua na uchumi wake
@hamisidale2704
@hamisidale2704 19 дней назад
Anza na wewe lini cheo chako kitagombania na wengine DJ Mbowe"
@user-pp1cq9op5y
@user-pp1cq9op5y 19 дней назад
Sisi wenye chama ndiyo tumemchagua tumeona anatufaa
@LameckZakaria-qg9vv
@LameckZakaria-qg9vv 18 дней назад
Umpiga mshono
@StellaNjau-zd5kn
@StellaNjau-zd5kn 18 дней назад
Enyi watanzania mshukuru mungu unaenda shambani kulima unavuna unapata ugali waulizeni majirani zetu kongo somalia, burundi tunatakiwa tumshukuru mungu siku zote tusikubali kushawishiwa ujinga. Ukuona hivyo hata huyo kiongozi naye ni chawa ma mama. Tuweni makini sisi watu wa chini mungu atusaidie watanzania. Hata marekani walikuwa matajiri baada ya miongo sembuse sisi. Mtoto hakui haraka kama unavyodhani huuu ni ushawishi kwani siasa ni mchezo mchafu. Waandamane wao na familia zao kwanza baada ya mwezi nasisi tutaandamana tuwaone watoto wao, wake zao, ndugu zao. Baada ya hapo tutaandamana
@JackKanyigo
@JackKanyigo 17 дней назад
Huna akiri
@sizorstartv6168
@sizorstartv6168 14 дней назад
Hufikirii wewe
@simonnaivasha6393
@simonnaivasha6393 17 дней назад
Sawa mheshimiwa Mbowe, tulitegemea viongozi watakua waadilfu kama mwalimu Julius K Nyerere, kumbe tumepata Curuta curuta !!
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 19 дней назад
Ningetamani vijana waweze kukusikilizz na kuondoa uchawa.
@LameckZakaria-qg9vv
@LameckZakaria-qg9vv 18 дней назад
Ata wewe jiulize mbona ataki kuachia kiti kama mstarabu
@andrewkissava9184
@andrewkissava9184 19 дней назад
Naona machawa ya mm kilemba mnatepeta kwa jinsi anavyo wakanyaga kwa taarifa yenu mbowe hatoki uenyekiti mbowe mitano tena ya uenyekiti chadema wala chadema msilogwe mkawasikiliza manyang'au na machawa wa chama cha majambazi
@StellaNjau-zd5kn
@StellaNjau-zd5kn 19 дней назад
Hao ndio walimsapoti samia leo hawa ndio wanamsaliti tena wapendwa tuombe mungu atulinde watanzania hawa wote wanakutana jioni wanakula pamoja watanzania tusikubali kushawishiwa kumwaga damu waulizeni watoto wao wanasoma wapi kama wao pia sio hao hao?
@user-vd8hs6ue2n
@user-vd8hs6ue2n 18 дней назад
Hapo kuna kumwaga damu wap Acha uchochezi
@JackKanyigo
@JackKanyigo 17 дней назад
Natamani kujua elimu yako coz naona vision yako ni ndogo sana
@user-dj7mw5rx5h
@user-dj7mw5rx5h 18 дней назад
Mh mmh huyu wakumuogopa kama ukoma maana huyu anataka kuchafua taifa
@ABBASIKANDULU-kl8zc
@ABBASIKANDULU-kl8zc 18 дней назад
Achaa ujinga kahaba wewe kuchafuwaa nnchi unajuwà ninii wewe tulia uzae
@georgesteven5185
@georgesteven5185 18 дней назад
Akili huna www pole sanan
@MichaelNgisirei
@MichaelNgisirei 19 дней назад
Tundu lissu hupo wapi?
@LaurenceSanga-ft7ou
@LaurenceSanga-ft7ou 19 дней назад
Naomba mungu aendelee kuwa mwenyekit mpaka 2o3o
@annamnanka-qk1bx
@annamnanka-qk1bx 16 дней назад
Mbona wewe utakikuachia uwenyekiti ili wengine wachaguliwe acha porojo mabadiliko yaazie kwako kwanza
@MageAwe-hl5zb
@MageAwe-hl5zb 18 дней назад
Vijana waajiriwe
@charlesphilipo3533
@charlesphilipo3533 17 дней назад
Magavana peleka boma ng'ombe huko ,,,waachie vijana wapambane utakuja kudondoka stejini umri imeenda huo
@albertvalentino130
@albertvalentino130 19 дней назад
Vyama viwili vya upinzani au vya siasa ---- chadema ni Chama cha upinzani,wakati ccm ni Chama tawala -- kosa hilo umekuwa ukilirudia Mara kwa Mara " rekebisha "
@user-tb8zb4rv6h
@user-tb8zb4rv6h 19 дней назад
Hunampango
@user-cu6ol4zb8e
@user-cu6ol4zb8e 19 дней назад
huna jipya wa huni tuu nyinyi
@user-bx3ko9ft5t
@user-bx3ko9ft5t 19 дней назад
Bora wahuni kuliko ccm
@godfreymkinga
@godfreymkinga 18 дней назад
Tena vihuni afu mboe una kasauti kazuri ukiigiza kama gashi
@StevenGendo-vx9jo
@StevenGendo-vx9jo 19 дней назад
Alishamla mama ako? Bas ni baba ako
@josephbundala1475
@josephbundala1475 19 дней назад
Mnataka shari? Toka kwanza wewe kwenye uenyekiti wa milele ndipo na ccm uwaambie watoke.
@StevenGendo-vx9jo
@StevenGendo-vx9jo 19 дней назад
Unataka akammiliki mama ako?
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 19 дней назад
Kwahiyo CCM hakuna wanacho fanya ila kujaza matumbo yao tu.
@youngsachafurniture5482
@youngsachafurniture5482 19 дней назад
Yes nn wanafanya
@kassidpandu866
@kassidpandu866 19 дней назад
subiri serikali yako ya ukoo uje ufanye hivyo
@JackKanyigo
@JackKanyigo 17 дней назад
Ukiwa mjinga na elimu ya std 7 au form 4 f au d;.huwezi kumwelewa Mbowe
@hamudshabani7801
@hamudshabani7801 16 дней назад
Critical thinkers hawaropoki na kubwabwaja UKimsikiliza kwa fikra za ndani yupo sahihi
@AllyMandunda-tj9jc
@AllyMandunda-tj9jc 19 дней назад
User muhuni ni wewe, na humuelew🎉i mbowe
@Jal210
@Jal210 19 дней назад
Hiyu muhuni tu
@hanujoseph8809
@hanujoseph8809 19 дней назад
Mhuni ww mwenyewe muone
@abbiecox1
@abbiecox1 16 дней назад
muhim watanzania fanyeni kazi huyu keshashiba siku nyingi anatafuta kick! wewe umepoteza muda unaacha kazi unalala njaa ukitegemea siasa utaumia!
@michaelmshighati8432
@michaelmshighati8432 19 дней назад
Hongera sana Mwenyekiti
@caashamacalini3887
@caashamacalini3887 19 дней назад
Katiba kweli ibadilishwe kila Raisi aliyefanya makosa na kuhaki serikali washtakiwe wote ndio wanagombania katiba isibadilishwe kutokana maovu wanayofanya ni mengi mbaya dhuluma wanayajua hayo
@AlphaxardMRusweka-jr1wi
@AlphaxardMRusweka-jr1wi 19 дней назад
Wasiishie tu kushitakiwa,bali watahifishwe mali walizojilimbikizia bila kuzitolea jasho.
@exaverysimon1064
@exaverysimon1064 19 дней назад
HATA MSIGWA ALIKUWA ANAONGEA HIV HIV SAS KIKUWAP LEO😢😢😢
@LameckZakaria-qg9vv
@LameckZakaria-qg9vv 18 дней назад
Siasa ni njaa ukiwekewa ugari unasahau
@StellaNjau-zd5kn
@StellaNjau-zd5kn 19 дней назад
Walimsema marehemu wakamchukia leo hao ndio walimsapoti mama je leo wanataka nini? Tusikubali kushawishiwa kumwaga damu wao wanatuchochea alafu wao wanaenda angani wanatushangaaa tutakapo uwana. Hiii yote na uchu wa madaraka usikibali kushawishika wapendwa jifunzeni kwa walibya leo hawana hata pa kulala yote hayo ni uchu wa madaraka. Tujiangalie tuache kushawishiwa ujinga.
Далее