Тёмный

PART 2 : "Kuna Siku huwa nalala na wake zangu kitanda kimoja" Dr. Mwaka 

CLOUDSMEDIA
Подписаться 1,3 млн
Просмотров 815 тыс.
50% 1

Развлечения

Опубликовано:

 

20 фев 2020

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 1,1 тыс.   
@evasanga2585
@evasanga2585 3 года назад
Shikamoo pesa wanaoamini pesa ndo sabuni ya roho gonga like tujuane
@moseskisingi7696
@moseskisingi7696 Год назад
Mimi nimekuja huku leo baada ya kumwona Queen Bakwata akidai Taraka... Mapenzi buanaaaa!
@stellamsokwa6785
@stellamsokwa6785 Год назад
KWA kweli tulokuja huku gonga likes... 👍
@hshshsshjdjejjejejejej9823
@hshshsshjdjejjejejejej9823 Год назад
😅😅😅
@poucostantin4403
@poucostantin4403 Год назад
Yaani
@rukiaelisam671
@rukiaelisam671 Год назад
Hakika na mimi nipo na wewe Hakuna marefu yasiyo na ncha
@janesiwingwa3142
@janesiwingwa3142 Год назад
Hata mie
@magrethdastanhaule3449
@magrethdastanhaule3449 Год назад
Nimeirudia hii interview Leo, tuliokuja huku Leo gonga likes😄
@sulexzaha5538
@sulexzaha5538 4 года назад
haki itabakia kuwa haki tu siku zote.. na batili itabaki kuwa batili.. Allah akulipe dokta kwa uadilifu wako
@munaadan8824
@munaadan8824 2 года назад
Mash allha ❤🥰🥰🥰
@kijonalusay
@kijonalusay 4 года назад
Ma Shaa Allah Hakika Allah hivi ndivo vile anataka ndo ya uke wenza iwe Allah awadumishe katika ndoa hii Amiin
@salmaathuman9156
@salmaathuman9156 4 года назад
Mashaa allah hongera Dr mwaki kwa kisimamia ndoa kwa haki halafu wamebadili dini wamependeza Sana wallah mungu azidi kuwabariki aaminy
@hawa-luumiwrty3144
@hawa-luumiwrty3144 4 года назад
Mashaallah Mashaallah Mwenyezi Mungu Azidi Kuwalinda, Nimependa Hiyo👏👏👏👏👏🙏🙏
@japhetv6157
@japhetv6157 4 года назад
Uongo huo
@cookwithme6660
@cookwithme6660 4 года назад
This is wrong and haram ...same bed is very wrong ..tiresome
@abdulbogoyo1243
@abdulbogoyo1243 3 года назад
NIMEPENDA SANA HAYA MAZUNGUMZO, PIA NIMEJIFINZA MENGI, SHUKRANI ZENU NYOTE: MUNGU AWAFANYIE WEPESI. 👏
@princemaster8779
@princemaster8779 4 года назад
ALLAH AKBAR. kwa kawaida sio rahisi kwa hili jambo. ila ALLAH ndio muweza yote hayo. HONGERA SANA DR. NA WAKE ZAKO
@essserleem3254
@essserleem3254 4 года назад
Jamani uke wenza haujasilimu
@rosetenga6979
@rosetenga6979 Год назад
🤣🤣🤣🤣
@cadabra7402
@cadabra7402 4 года назад
Maasha Allah docta mwaka kwa kuwaconvert wawili , Allah akulipe na akuongoeze katika misingi ya kiisalm.
@korogwetanga810
@korogwetanga810 4 года назад
MashaAllah Taabaraka Rahman Allah awadumishe katika ndoa yenu
@fathma1239
@fathma1239 2 года назад
mashallah tabaraka allah
@user-fc8xe2sc3w
@user-fc8xe2sc3w 4 года назад
Nimeipenda hiyo Ndoa 👏 👏 Inshaallah, Allah ani Jaliye na Mmi
@folonatuszongo475
@folonatuszongo475 4 года назад
Hongera Dk Mwaka kwa kumiliki Vizuri hiyo "Mizigo" ,"Mizigo" imejisitiri Vizuri ni funzo kwetu ,tumejifunza Kitu kizuri.
@safikisubi3592
@safikisubi3592 4 года назад
Naam
@mwajabumussa4860
@mwajabumussa4860 4 года назад
FOLONATUS ZONGO mizigo tena
@drstevedeomozartphd3573
@drstevedeomozartphd3573 3 года назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-bAWxGhusG-8.html
@aloycesimon4143
@aloycesimon4143 2 года назад
Ety mizigo😂😂😂😂
@khalifamwasha6648
@khalifamwasha6648 4 года назад
Nimeipenda hii interview vibaya mno. Nikiangalia wanavyojibu maswali au wanavyojieleza wote kwangu ni ukomavu wa hali ya juu na wanatumia busara sana. How a nice couple is this? . Allah awabariki duniani na akhera. Nimejifunza mengi sana. Big up doctor JJ Mwaka
@khadijaamur6032
@khadijaamur6032 4 года назад
Dr ni Mcha Mungu...Allah ajaalie wanaume wote wa Kiislam wanaotaka kuongeza wake wapate barka kama za Dr...Aameen. Masha Allah
@evaristmbuya6220
@evaristmbuya6220 Год назад
Bado unaamini hivi?
@josephariwo24
@josephariwo24 4 года назад
This is areal man with principals in life I love that
@salumkomba7682
@salumkomba7682 4 года назад
Kulala chumba kimoja na wake zake sio sawa kidini ...Allah awaongoze Inshaallah. Nimependa hii ndoa
@khariifagabwa7911
@khariifagabwa7911 4 года назад
Hahah daa wewe hujaelewa nafikili
@salumkomba7682
@salumkomba7682 4 года назад
@@khariifagabwa7911 nifahamishe sheikh wangu
@agathathobias8690
@agathathobias8690 4 года назад
@@salumkomba7682 hawashirik tendo la ndoa kitanda kimoja wana lala tu
@saymarsaymar4654
@saymarsaymar4654 4 года назад
Salum Komba uharamu umetokea wapi?
@salumkomba7682
@salumkomba7682 4 года назад
@@saymarsaymar4654 kama wanalala tuu hamna shida lakini kama wanashiriki tendo la ndoa hairuhusiwi kidini
@tunumakila2220
@tunumakila2220 4 года назад
Kama umeikubali kofia ya geah gonga like
@anwarsalim8925
@anwarsalim8925 4 года назад
MashaAllah, Allah ibarik, na iwe khery katika familia yenu. Natamani interview iendelee.
@CyimSky
@CyimSky 4 года назад
Wakenya wamtaka Rais Magufuli aende kwao akawanyooshe kidogo. ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-CvC54oRI9nw.html
@raydeus8192
@raydeus8192 4 года назад
duuuh! uyu ndo Dr mwaka bn
@raydeus8192
@raydeus8192 4 года назад
@@CyimSky mmh!
@hamadamabali2895
@hamadamabali2895 4 года назад
Namuomba Mola na mimi pia anijaalie wawili tuu mwenye upendo kama hawa in sha Allah Amin
@rachelbahahazo6362
@rachelbahahazo6362 3 года назад
Unaela?
@halimashigela7544
@halimashigela7544 4 года назад
Dr mwaka anajitambua wanaume wengine hawajitambui alafu wanatumia mabavu oooh naoa haunitishi ukiona vip undoka inakuwa nivurugu
@babujinga5819
@babujinga5819 4 года назад
Hongera sana dkt mwaka... Hiyo haitopatikana popote pale ni kwako Niseme mungu amekupa zawadi
@halimamasai2234
@halimamasai2234 4 года назад
Maashaallah mungu awape afya na maisha marefu wote mkiwa pamoja inshalaah na hongereni sana
@brenthylland2507
@brenthylland2507 4 года назад
We dr mwaka nakupa respect sana wewe nikivutio cha dunia kuishi na mitala wake wakaelewana??? Wakati mmoja tuu ishu kubwa duuu I respect.
@nadiarajabu8780
@nadiarajabu8780 4 года назад
Msitake kutudanganya...sura zenu tyu zinaonyesha hamna mapenzi ya kweli
@mweucchunda4244
@mweucchunda4244 3 года назад
Kweli
@tatuyussuf7574
@tatuyussuf7574 4 года назад
Mashaallah tabarakallah wajazaka llahu khayra..allah wape upendo huohuo
@halimambena6110
@halimambena6110 4 года назад
Tatu yussuf nakuona mke mwnzangu nasi tuzidi pendana
@tatuyussuf7574
@tatuyussuf7574 4 года назад
Halima Mbena kweli kabisa tuwe mfano kwa wenzetu..😆😆😆
@rechoclement6032
@rechoclement6032 2 года назад
Abu
@barakamfugale1049
@barakamfugale1049 4 года назад
Mmm hii maada inawahus islamic people Ila shabik wa Dr.MWAKA
@rajabumussapetekwa467
@rajabumussapetekwa467 4 года назад
Dah mashallah Dr mwaka nimejifunza mengi ktk h czone hongera sn
@fatumaally3444
@fatumaally3444 4 года назад
Allah awajaze kheri inshallah nmewapenda wanawake wenzangu mnapendana sana
@ladymashaallahilikeuaadvis997
@ladymashaallahilikeuaadvis997 4 года назад
Mabrook wa Masha ALLAH doctor mwaka
@sharifaabdullah6825
@sharifaabdullah6825 4 года назад
Masha allah mungu awajalie kheri kwenye maisha yenu
@nasraiddy9678
@nasraiddy9678 4 года назад
Dr anahekima sana na hivyo ndivyo Allah amewahusia wanaume ...kawajua kuwa hawawezi kuishi bila matamanio lakini jee unaudilifuu ...??na ikiwa huna uadilifu basi ishi nae huyo mmoja ...mashallah wamependeza sana namavazi yao na walivyo Allah awajalie kheri na furaha
@mwanamisaomar346
@mwanamisaomar346 4 года назад
Mashaallah na zidikuwaelewa..hongera doctor mwaka na wake zake rahaa kwl
@aminamohamed7063
@aminamohamed7063 4 года назад
Mashaallah jmn Allah awazidishie wengne cjui kma tutaweza hyo hali😢😢
@kaundamalale9845
@kaundamalale9845 4 года назад
Hahhaha wew naona mwenzangu mim😆🤣🤣🤣me yaan kwanz huyo mwanaume ajiandea au anitoe kweny list tuu🙆🏿🙆🏿
@mozasaid3869
@mozasaid3869 4 года назад
Mashaallah Mwenyezi mungu awazidishie upendo wenu na mume wenu, Yaani hadi raha,
@CyimSky
@CyimSky 4 года назад
Wakenya wamtaka Rais Magufuli aende kwao akawanyooshe kidogo. ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-CvC54oRI9nw.html
@AhmedSalah-ri3es
@AhmedSalah-ri3es 4 года назад
Heshima Dr.mwaka umenifurahisha sana umetoa funzo kubwa sana kwa jamii
@saumukaisi7003
@saumukaisi7003 4 года назад
Hongera sanaaaa wanawake mnapendana sn mnamoyo mwaya me siwezi ninawivu sn
@kenslogistics4377
@kenslogistics4377 4 года назад
Money is everything. Bila pesa kungekua na fujo kama zote...
@zaituniabdallah6045
@zaituniabdallah6045 4 года назад
Mwanaume nihela kwani wataka kuoa na hauna hela.
@tinahpinah
@tinahpinah 4 года назад
Even with money, I can't share a man.aende akiendanga.nonsence tupu hapa.
@kenslogistics4377
@kenslogistics4377 4 года назад
@@tinahpinah how sure are you that you are not sharing the man that you have now. You might be sharing na hujui. Men will always be men!!!
@fatmaomar8497
@fatmaomar8497 4 года назад
Mashaa Allah....sio mtanga kila kitu anakitaka yeye mpk mke mwenziwe anamgombanisha ... pamoja na watoto... duuuuh huyu mtanganiliyekuwa nae mkemweza hatari...angekuwa kama hao tungesikilizana.. anawataka watoto wng wende kwake wawe vibaraka wake
@marryoscar745
@marryoscar745 4 года назад
😀😀😀😀eti wawe vibaraka
@ndeletwaswai3530
@ndeletwaswai3530 4 года назад
Dr mwaka kachagua mashine haswaa wanafanana wazuri na wanaakili wako vzr mashalaah
@shamalhabsi3563
@shamalhabsi3563 4 года назад
Manshallah mwenyez mungu awazidishie mapemazi fidunia walakhera mzidi kupendana
@hassanisadiki824
@hassanisadiki824 4 года назад
Allah alisha sema uwoni wanawake hata wa 4 kama una uwezo wa kuwahudumia kwanzia mavazi mpk tendo la ndoa, na Allah amesema hivyo kwa sababu anawajua wanadamu vizuri kuliko sisi tunavyo jijua na amesema tuoe wanawake wengi ikiwa una uwezo kwa sababu Allah anajua kwamb wanaume hawawezi kutosheka na moja na pia kuna wajane Allah alisema wastirini
@grjon4191
@grjon4191 4 года назад
Alfalukau
@drstevedeomozartphd3573
@drstevedeomozartphd3573 3 года назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-bAWxGhusG-8.html
@khadijahhussan182
@khadijahhussan182 4 года назад
Mashallah jmn wazuri Queen kafanana na Zari
@siaammo1104
@siaammo1104 4 года назад
Sanaaaa
@haysanhassan2685
@haysanhassan2685 4 года назад
Mwanzo nlijua zari
@ramsikhamis7083
@ramsikhamis7083 4 года назад
Kabisaa yuko bomba baalaaa
@fifo262
@fifo262 4 года назад
Ndoa ya mke zaidi ya mmoja mume km hatojiamini akawa smart ndipo mizozo haitoisha .honger kaka kwa kuwamudu wake zako allah akusimamie
@abdallahkambangwa7215
@abdallahkambangwa7215 4 года назад
Masha Allah hongera sana Dr. Mwaka your role model
@paulmafuru7283
@paulmafuru7283 4 года назад
Yote tisa lkn kumi lzma uwe n hela bila hela utayasikia tu kwa doctor mwaka
@kulwaajaba9159
@kulwaajaba9159 4 года назад
kweli kabisa
@villanjimmy7625
@villanjimmy7625 4 года назад
Kabisaaaa ukwel ndio huo
@cristinacosmas2156
@cristinacosmas2156 4 года назад
Hahahaaaaa
@sarahmwaluko2480
@sarahmwaluko2480 4 года назад
Paul mafuru umeonaeee
@godfreylutengano9367
@godfreylutengano9367 4 года назад
Huo ndio ukweli
@salmadalaquimane2364
@salmadalaquimane2364 4 года назад
Mashaallah Allah awafanyie wepes inshaallah
@aminakondo7824
@aminakondo7824 Год назад
YEAH..! Dr .mwaka.you're the greatest..Bravo.....!!!!!
@greysonflams2237
@greysonflams2237 4 года назад
Mashallah mungu awafanyie wepesi na awape maisha marefu ya ndoa yao
@modestmkali3436
@modestmkali3436 4 года назад
Siri Ni Hela tu, Nothing Else, Ukiwq Na hela Kila kitu Huwa Laini
@jamilasalimvilog6752
@jamilasalimvilog6752 4 года назад
Kabisa
@nuruabraham3769
@nuruabraham3769 4 года назад
Modest Mkali ni kweli aisee
@g-rock1606
@g-rock1606 4 года назад
Hahaha kweli kabxa
@t33pelos77
@t33pelos77 4 года назад
Sure
@rosemunyali8728
@rosemunyali8728 4 года назад
Kabisa
@kathuremagdalene2603
@kathuremagdalene2603 4 года назад
Hao sio wake ni maslayqueen, Dr rundi kwa first wife, unachezwa na unachezwa rough sana.
@erickmichael3349
@erickmichael3349 4 года назад
Dr.respect sana We kiboko Kwa maisha ya sasa lakin naomba utupe siri ni nn
@bijumakassim3697
@bijumakassim3697 4 года назад
Mashaallah Allah awafanyie wepesi inshaallah nme wapenda bure kwa mnavyo pendana Allah awazidishie Inshaallah
@nassraal-riyyami8387
@nassraal-riyyami8387 4 года назад
Roho ya Qeen ni safi kabisa
@emanuelmfanga5262
@emanuelmfanga5262 4 года назад
Kabisa
@saidjuma9782
@saidjuma9782 4 года назад
I wish you happy marriage 💕💕💕
@jasminyiddysulaiman9807
@jasminyiddysulaiman9807 4 года назад
Maashaallah tabaraqallah..allah awajaalie aman
@anahbelamina7214
@anahbelamina7214 3 года назад
Nguvu ya kuwa bibi wa pili ninayo lakini nguvu yakumkubali mume wangu aoe mke wa pili ndo sina jamani,nimesoma lesson lakini mashaallah mungu awazidishie
@samanthaali873
@samanthaali873 4 года назад
Ya Rabby awazidishie upendo uzidi in sha Allah
@emmanuelshukiah1236
@emmanuelshukiah1236 4 года назад
YESU awarehemu tu Kwa huo uovu wenu.
@mummycute6977
@mummycute6977 4 года назад
Hujui usemalo...hao ni wake zake wa halali...hapo uovu uko wapi...ulitaka azini?
@mariamnamwa188
@mariamnamwa188 4 года назад
Kweli kuacha yesu kwa jili ya tamaa zetu
@emmanuelshukiah1236
@emmanuelshukiah1236 4 года назад
@@mummycute6977 inategemea unatafsiri kutokea wapi? Ndio maana nimeandika kuwa Yesu awarehemu maana tafsiri yangu imejikita ktk Biblia?
@emmanuelshukiah1236
@emmanuelshukiah1236 4 года назад
@@mummycute6977 kwa tafsiri ya Quran yuko sahihi mnoooo tena bado anatakiwa aongezee mke mwingine ila kibiblia hawako sahihi hata kidogo huo unaitwa uovu,kwahio inategemea nimeongelea uovu kutokea angle gani?
@zukhuraothman9838
@zukhuraothman9838 3 года назад
Hongera Ila kulaala na wake wawili chumba kimoja .turudini katka dini ya Allah haifai na si vizur .huo nu ukafir
@mwanahamisially5234
@mwanahamisially5234 4 года назад
Honger xna Docter kwakuwastir wanawake Kama ni Pesa Kuna watu wanapesa mbona hawajathubutu kuoa bhana big-up Allah awajaalie uchamungu dealing xna maan shetan naeeee hyko mbali👃👃👃
@arqamibnarqam.7185
@arqamibnarqam.7185 4 года назад
Ukewenza Raha sana ALLAH atuwafikishe,nimeazimia kuongeza 2........4
@CyimSky
@CyimSky 4 года назад
Wakenya wamtaka Rais Magufuli aende kwao akawanyooshe kidogo. ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-CvC54oRI9nw.html
@constantinochalle856
@constantinochalle856 4 года назад
Nimeipenda sana hii story !!!inafundisha mengi
@mundhiribrahim6292
@mundhiribrahim6292 2 года назад
Asiyejuwa atapongeza lakini haifai
@jamilasalimvilog6752
@jamilasalimvilog6752 4 года назад
Mashallah nafurahi kuolewa mke wapili bimkubwa nampenda sana
@zaiiomary8970
@zaiiomary8970 4 года назад
Huyu dada Queeni kafanan na zari akicheka mashaallah
@aishaally2730
@aishaally2730 4 года назад
True
@asareemmanuel3235
@asareemmanuel3235 4 года назад
Ukweli
@damsonwillison435
@damsonwillison435 4 года назад
Kinoma
@sakinat2527
@sakinat2527 4 года назад
Kabisa wamefanana
@antybabybintrashid2333
@antybabybintrashid2333 4 года назад
Nlifkiri macho yangu yananidaganya
@reubendick4033
@reubendick4033 4 года назад
Ungejua doctor mwaka malaya ata msingejisifu Mungu asimame nanyi tu.
@ashurakambangwa14
@ashurakambangwa14 4 года назад
Kuna mtu nilimsikia pia hahahahahaha
@bijampolamsemakweli9687
@bijampolamsemakweli9687 4 года назад
Ashawahi kuku....
@revinastephen7621
@revinastephen7621 4 года назад
Asante baba nawamekubali kuwa wote kwa sababu unawahudumia vizuri wote na wanafanya kazi wanajua wanachokifanya
@saidbuya3528
@saidbuya3528 4 года назад
MashaAllah,Mabrouq alf mara Mabrouq Doctor
@hajikishua1410
@hajikishua1410 4 года назад
Da hii capo imekaa powa San gonga like Kama umeiyelewa
@OnlyRuky
@OnlyRuky 4 года назад
Wazuri Mashaalah
@restutarhamis4609
@restutarhamis4609 4 года назад
Wazuriiii
@msafilimpondi6572
@msafilimpondi6572 4 года назад
Allah akujalieni hakika tumejifunza mengi sana toka kwenu hakika Allah anamapungufu
@fatumaabubakar2063
@fatumaabubakar2063 4 года назад
Alf mabrook doctor Allah awazidishie mapenzi
@mashakalonka9407
@mashakalonka9407 4 года назад
Mke wa pili(Queen) ni Big mind.Ila tunachojifunza katika ndoa hizi za Dk.Mwaka ni kwamba PESA ina nguvu kusimamia ndoa zetu.Tutafute pesa !...
@flaviusbenedict7513
@flaviusbenedict7513 4 года назад
Kweli kabisa
@maryamm7765
@maryamm7765 4 года назад
Wazuri Maasha Allah
@mwanahamis5487
@mwanahamis5487 4 года назад
Mashaa Allah... Wallah nimeipenda saan hiyo ndoa ya Dokt Mwaka mungu awabariki saan
@prosperjuma905
@prosperjuma905 Год назад
Leo unalia. Tamaa ya maisha hii. Hatari sana.
@queenofireland898
@queenofireland898 4 года назад
Mashaa Allah Hadi Raha Pepo nje nje 🤗🤗
@sureladykiba5608
@sureladykiba5608 4 года назад
MashaaAllah 😍😍😍
@patriciacarlo7236
@patriciacarlo7236 4 года назад
Mimi ni mkristo lkn nimempenda Dr mwaka ni gentleman.anaonekana anatoa haki sawa kwa wake zake
@neemaloy889
@neemaloy889 Год назад
Mungu Asante sana kwa kuaibisha wazinzi waluiojificha ndani ya ndoa
@mathiaszakaria7052
@mathiaszakaria7052 4 года назад
Sipendi Aina hii ya ndoa Mungu aniepushe
@emmanueljoseph2576
@emmanueljoseph2576 4 года назад
Amin
@castruga6133
@castruga6133 4 года назад
Tamaa TU ndo inawatawala hawa wanawake mbaya zaidi walikuwa wakristu wangekuwa waislam ningesema wamelelewa hivyo .
@mathiaszakaria7052
@mathiaszakaria7052 4 года назад
@@castruga6133 kweli ni tamaa tena ile ya fisi kabsa,pesa imewafanya wawe watumwa wa ndoa
@castruga6133
@castruga6133 4 года назад
@@mathiaszakaria7052 umeona tena ni unafiki mtupu, wakishatengana kila mtu anakuwa na umimi anafanya kila awezalo ili aonekane bora kuliko mwingine na ndivyo ilivyo hiyo Siri anaijua Dr anawaenjoy tu. Kweli wanawake bado Sana. Nawa 2 alikuwa rafiki nawa 1 Leo kashakamatana nawa 3 jamani!!!! nao wamesema kuwa wanaendana nikweli.
@fatinaaman241
@fatinaaman241 4 года назад
Mke wa pili unapoint sana , bado mmoja dr mwaka itimie wanne
@lunaelysambo8129
@lunaelysambo8129 3 года назад
Hongera
@mutwalesylvie7443
@mutwalesylvie7443 3 года назад
Wewe unaona rahisi tu
@mariamiddi3024
@mariamiddi3024 4 года назад
Razima muwe marafiki sababu hamjui shida aliopitia bi mkubwa mpaka kuipata Mali hiyo wezi wakubwa nyie bi mkubwa popote ulipo nakupenda bureee kabisa wewe ndio mke wa doctor mwaka mwenye mapenzi ya kweli toka moyoni mungu akulindie Mrs mwaka og 😘😘😘😘😘😘😘😘😘hawa wengine wamefata Mali tu😏😏😏
@mbarakahmed3892
@mbarakahmed3892 Год назад
Uko sahihi doctor kabisa 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
@sophiarubambimpala5342
@sophiarubambimpala5342 4 года назад
Nilikuwa namuona mstarabu sana kumbe na yy yumo siwez olewa mke wa pili na kama nikiolewa sijampenda mwanaume nimependa pesa zake, asidanganye kila mtu ana wivu hao wanawake wamefata maisha mazuri anaepata maumivu ni mke wa kwanza anaemjua vizuri tangu wakipambana na maisha wakat mwingine ni vizuri kuwa na hela ila ukiwa na mwanaume mwenye pesa ishi ukijua ni cha ote sio wako labda akiwa hana pesa huyo ndo wako. Wala mm hujanifurahisha tabia ni kama ngoz haibadilk na mda si mref utaoa wa nne na bado michepuko itakuwepo mmmh jaman 🙉
@sharifaramadhani8079
@sharifaramadhani8079 4 года назад
Kwa kweli na kwa kua ana tamaa wakishafika wa4 atakachofanya ni kuacha mmoja kisha aongeze mwengine ni mwendo huo huo puu puu pesa hz
@khadijasaidy4765
@khadijasaidy4765 4 года назад
Ndyo fikra zako zako zilipoishia hapo...wapo wake wenza mume anapesa na hawaelewani hata...mkiwa mnamjua Allah kwa dhati wala katka dunia hii hupati shida na chochote..ukiishi kidunia dunia kweli shida ipo
@mutwalesylvie7443
@mutwalesylvie7443 4 года назад
Umeongea point
@drstevedeomozartphd3573
@drstevedeomozartphd3573 3 года назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-bAWxGhusG-8.html
@missmannydxb
@missmannydxb 4 года назад
MashaAllah they're so beautiful 😍😍😍😍
@nassorochura7838
@nassorochura7838 3 года назад
Wanawake hawa mungu awape subiri sana na msikubali kupotoshwa allah kawapa nusra haswa
@nelvinjapheth617
@nelvinjapheth617 3 года назад
NELVIN MWANZA HAPA MPANGO MZIMA ELA KAMA MWANA UME UNA ELA UTAWALISHA WANA WAKE 2 PUMBA ELA KILA KITU
@totosheretone7356
@totosheretone7356 4 года назад
Queen Mrembo mashaallah
@upendowilliam8088
@upendowilliam8088 4 года назад
Dr mwaka we ni kibokoooo
@azizakwileka1686
@azizakwileka1686 4 года назад
Kwa kweli nasisimkwa na maneno ya Queen nimependa sanaa anaposema anampenda sanaa mke mwenzake😍😍 kwa kweli mnanihamasisha jaman... Nawapenda sanaaa jamani sanaaaaaa😍😍 Waturuki wanasema seni çok seviyorum çok çok seviyorum😍😍
@muskhaj1230
@muskhaj1230 Год назад
Aziza nimependa ulipomalizia kwa kiturukiiii
@hamissadick5843
@hamissadick5843 4 года назад
Mashaallah
@rhinakiza
@rhinakiza 4 года назад
Jamani mimi Christian, but I love those queens 👑 God bless you guys😘😘👏👏
@amirybeka9602
@amirybeka9602 Год назад
Mashaallah... Dahh wallah miasha km hv rahaa ya dunia... Jmn
@dorcaskarago2876
@dorcaskarago2876 Год назад
Ndoa ni mme mmoja na mke moja period
@sirahchocolate8508
@sirahchocolate8508 День назад
Exactly 💯
@naimasaid7763
@naimasaid7763 4 года назад
Kama umegundua bi mdogo ana zaidi ya upendo gonga like
@CyimSky
@CyimSky 4 года назад
Wakenya wamtaka Rais Magufuli aende kwao akawanyooshe kidogo. ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-CvC54oRI9nw.html
@rehemaabdy9160
@rehemaabdy9160 4 года назад
Mashaallah pendanen ila kwangu duuh
@qal6469
@qal6469 2 года назад
Masha Allah barakallahu fiik wajazakallahu khair
@saumukaisi7003
@saumukaisi7003 4 года назад
Mashaallh hongera Doctor mwaka
@timahproducts001
@timahproducts001 4 года назад
napendaa sanaa uke wenza wa hiv....bora tujuane
@saymarsaymar4654
@saymarsaymar4654 4 года назад
Njoo kwangu basi wife ni muelewa
@antybabybintrashid2333
@antybabybintrashid2333 4 года назад
True coz iyo yakufcha inaumiza
@didakassim8666
@didakassim8666 4 года назад
@@antybabybintrashid2333 inaumiza sana yakuficha nandiomana tunakua na ugomvi
@arnoldmaurice3980
@arnoldmaurice3980 4 года назад
SIRI NI KUWA NA PESA TU... Mxyuuuuu 🤣🤣🤣
Далее
The Trump rally shooting from a photographer's POV
00:58
#краснодар
0:14
Просмотров 2,2 млн
ИСПАЧКАЛ
0:30
Просмотров 2,2 млн
🍁 Её дружище
0:20
Просмотров 715 тыс.