Тёмный
No video :(

LIVE MAJINI YANAVYOTOLEWA NA SHEKHE MTAALAM AMKOSOA DR SULLE KUHUSU ELIMU YA PETE 

Bongo Touch
Подписаться 741 тыс.
Просмотров 7 тыс.
50% 1

Our mission is to bring people together,entertain and educate people that's why we create content that does exactly that

Опубликовано:

 

27 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 47   
@saadasaleh3177
@saadasaleh3177 2 месяца назад
Huyu ndo sheikh sasa anowajua majin na kanuni zao Allah akuhifadhi sheikh
@user-ih4kw5eb3d
@user-ih4kw5eb3d 2 месяца назад
Huyu ustadhi ako sahihi kabisa nimemsikiza vizuri yupo sawa kabisa na anajua kuitumia quran pongezi sana
@aminaaziz7227
@aminaaziz7227 2 месяца назад
Mwenyezi Mungu azidi kukuongoza, sheik. Naomba namba zake.
@hamicpina1151
@hamicpina1151 2 месяца назад
Shekh upo sahihi kabisa jini hutakiwi kumtumia ata kwa wema na jini mwema hawezi kushirikiana na binaadamu wala kupanda kichwani upo sawaaaa wallah kwa ilo tena uko sawa ww sio mshirikina
@KhadijaSultan-xp5ej
@KhadijaSultan-xp5ej 2 месяца назад
Kweli sheikh mola akuweke
@Yesslarry
@Yesslarry 2 месяца назад
Naombeni mnisaidie jaman aiseee shekhee maana nimeangaika sana
@mogiabdallah824
@mogiabdallah824 Месяц назад
Vp ndugu umefanikiwa maana mm nateseka sana mtu kanifanyia husda bila tatizo lolote 😢 Allah awaangamize hawa wanao tuumiza
@hamadmussa8402
@hamadmussa8402 2 месяца назад
Jamani naomba kama kuna mtu ana namba zake za simu huyu Shek nipatieni.. Manake Mkewangu anausumbuliwa sana na haya Matatizo kwa muda mrefu sasa na ameshindwa kupowa hadi sasa!! Na watu wengi wametutapeli.
@user-xi4le1hp4y
@user-xi4le1hp4y 2 месяца назад
Kwa ujumla kwa sule alivyo sema kutumia majini, sio sawa.bali ni ushirikina
@DakorTrony
@DakorTrony Месяц назад
Ukweli waislamu hutumia majininkwa uchawi wao. Hakuna jini mzuri hata kamwe. Majini yote nibya waislamu na ni yote mabaya
@user-rc2ye4ri6t
@user-rc2ye4ri6t 2 месяца назад
Hyu shekh yupo sahihi ameongea ukweli
@user-xi4le1hp4y
@user-xi4le1hp4y 2 месяца назад
Wala usiogope kusema kuwa sule ufahamu wake sio sahihi kwa mujibu wa uisilamu, na haijuzu kutumia majini katika uisilamu
@DakorTrony
@DakorTrony Месяц назад
Yale majini yanatii quran ni yale yale yamewekwa na muislamu
@IdrissaMoussa-tx7jy
@IdrissaMoussa-tx7jy 2 месяца назад
Allah akibaru Allah akibaru laa illaha ILALAAH Dr sulle Jo ujifundishe apa mambo ya majini.
@user-lr6jd6zg9l
@user-lr6jd6zg9l 2 месяца назад
Umejibu kisomi sana
@MohamedNgaga
@MohamedNgaga 2 месяца назад
Shekhe yuko sahihi, hao wanaofua maulamaa wanaoruhusu kuamiliana na majini, wameshindwa kuelewa kuwa wao ni watu kama walivyo wao,, tumeambiwa tukitatazika na jambo turejee ktk qur’an na suna, leo mashehe wanaleta ujanja ujanja kutaka maslah ya kidunia, nawausia na kuusia nafsi yangu tumuogope allah, hakuna mwenye kujua ni wapi kapatia au kakakosea.
@AbdallahChanja
@AbdallahChanja Месяц назад
Jaman unapatikana wap shehe au namba
@MdungiKhamis
@MdungiKhamis 2 месяца назад
Wambie wapemba hao
@abuabdurrahmaan6637
@abuabdurrahmaan6637 2 месяца назад
This guy makes lots of sence Allaahumma baarik. May Allah grant him steadfastness
@lifessecret6791
@lifessecret6791 2 месяца назад
Leo hii nimeamini kumbe tunaweza kuwa na viongozi wa Imani wenye nguvu za kuwasaidia watu kweli bila wao kujua nguvu hiyo inawezaje kuwasaidia watu, hiyo ni shida kubwa sana. Allah ndiyo Mungu kwa lugha ya kiarabu yeye Mwenyezi Mungu hufanya kazi na viumbe alivyoviumba mwenyew kama njia moja wa kirahisisha msaada kwa waja wake God is a spirit and that is devided into two type that 1. Holy spirits like Jinn/Djinn, dragon, vampire, Ancestors, Aliens, etc 2. Evil spirits are like Jinn/Djinn, dragon, vampire, Ancestors etc So, don't oppose if don't have full knowledge of Allah/God
@lifessecret6791
@lifessecret6791 2 месяца назад
Leo unakataa juu ya viumbe majini wa Mwenyezi Mungu naomba ujibu Mbele ya Umma kinachosababisha uwe na mvuto katika shughuri zako na kwenye ridhiki zako
@lifessecret6791
@lifessecret6791 2 месяца назад
Ni nini kilichoko kwenye Pete yako iliyoandaliwa kwa Majina yako, Tarehe yako yakuzaliwa (DOB ) and photo. Hivi kwann viongozi baadhi wa Imani wana vificho ndani ya huduma zao?
@rashidjuma9774
@rashidjuma9774 2 месяца назад
MashaAllah haya ndio mafundisho ya dini sahihi
@Yesslarry
@Yesslarry 2 месяца назад
Naomba nisaidie na mimi shekhee na majini yani shida huu mwaka wa 10
@Laizer3
@Laizer3 2 месяца назад
Kaombewe kanisaniii
@user-fb9tu5vx9l
@user-fb9tu5vx9l 2 месяца назад
Yeye ni mkweli.
@mwinyihajihassan9299
@mwinyihajihassan9299 2 месяца назад
Maa shaa Allah
@HamisAbdallah-cj2sc
@HamisAbdallah-cj2sc 2 месяца назад
Sasa HAPA tunapata elimu qurani NDIO Tina SIO vinginevyo KWAHIYO marashi ya sihiri tiba ni qurani marashi ya kisayasi NDIO jnaweza kutumia panado nakadhalika sasa watu wanasema tofauti KABISA shukrani shwikh
@shabanijuma2085
@shabanijuma2085 2 месяца назад
Kitendo Cha jini kuleta hela ela yenyewe ni haramu vipi jini huyo atakuwa mzuri.Sheikh yuko sahihi Huyu.Ela Ile ni ya wizi.Allah akulipe kher.
@saba-gv3mj
@saba-gv3mj 2 месяца назад
Kweli kufanya jini akulinde ni shirki lakini jini waeza mtuma kama kumfanyia mtu dawa na kumtumia jini kukupa pesa hio pia sio kitu kizuri kwa sababu jini waeza mtuma pesa akaenda kuiba ila majini ustadh waeza mtumia kwa njia ya haki
@fadhilmandaliabdalla6736
@fadhilmandaliabdalla6736 2 месяца назад
Hakuna hiyo, huwez mtumia jini ktk njia yoyote ile, hakuna Ayah wala Hadith sahihi ya Mtume Muhammad S.A.W, wala yeye Mtume Muhammad S.A.W hajawahi mtumia jini kwa njia yoyote ile. Kwa nn umtume amtibie mtu, unajuaje kama huyo jini mzuri ama mbaya kajigeuza? Jini hafai kutumiwa na mwanadam kwa njia yoyote isipokua ya batili (haram)
@saba-gv3mj
@saba-gv3mj 2 месяца назад
@@fadhilmandaliabdalla6736 hawakuumbwa majini na binadamu ila kumuabudu Allah wako majini wazuri tena hao majini wazuri ni wale waisilamu na waeza kumtumia jini kwa njia ya sawa utake usitake kama haifai nabii suleiman hangewatuma majini
@user-iz1er8vg7u
@user-iz1er8vg7u 2 месяца назад
Mashallah
@shabanijuma2085
@shabanijuma2085 2 месяца назад
Kitendo Cha jini kuleta hela ela yenyewe ni haramu vipi jini huyo atakuwa mzuri.Sheikh yuko sahihi Huyu.Ela Ile ni ya wizi.
@user-ig1ds2eq4d
@user-ig1ds2eq4d 2 месяца назад
Yana patikana wapi Pamoja na namba zake za simu kwa walio mbali
@Al.habeebAl.habaaib
@Al.habeebAl.habaaib 2 месяца назад
Wote wachaeiiiiiii
@AzizMansur-uz1yv
@AzizMansur-uz1yv 2 месяца назад
Namaba ya sheikh zinapatikana vipi?
@khammadjeffa515
@khammadjeffa515 2 месяца назад
Huyu sheikh yuapatikana vipi?. Any contact
@AzizMansur-uz1yv
@AzizMansur-uz1yv 2 месяца назад
Masha Allah
@kipchorngwonektiroto457
@kipchorngwonektiroto457 2 месяца назад
ANAYO VYOMBO VYA USHIRIKINA MKONONI!
@zitoinze8953
@zitoinze8953 2 месяца назад
Sasaa mbona hautajy jinahilo lá muenhezimungu?
@omaar5693
@omaar5693 2 месяца назад
Al_Razzaq
@JackM.-mh5cs
@JackM.-mh5cs 2 месяца назад
Jini hujamtoa kwa dua !!!
@otaibonny8835
@otaibonny8835 2 месяца назад
Hayo majini hurudi.. mwende kanisa Watoe hayo majini milele
@alyanibalbila
@alyanibalbila 2 месяца назад
Utakufa nacho kiziba cha ukafiri
@otaibonny8835
@otaibonny8835 2 месяца назад
@@alyanibalbila sikiza hiii mkafir.. Mimi siamini majin, dini yako Ina tambua ukristo ndani ya Koran, ya kwangu hajui uislam.. weee kwanza tafakari maneno hayo
Далее
C’est qui le plus fort 😂
00:18
Просмотров 9 млн
TUMIA HIVI HALAFU MUITE MKEO// SHEIKH NYUNDO
4:45
Просмотров 62 тыс.
C’est qui le plus fort 😂
00:18
Просмотров 9 млн