Sisi tunaofanya kazi za kuajiriwa tunamuelewa sana Fei, Yani amezungumza maneno mepesi ila ukiyatafakari ni ya msingi, kiukweli hata mimi siwezi kufanya kazi sehemu ambayo siko comfortable,hakuna asie lijua hili.
Yan rais alietuletea mayele, aziz ki, musonda, lomalisa, djuma shabani, yanick bangala, Khalid aucho, diara, kocha professor NABI, yani rais huyo nd aondoke ili yeye arudi 😁 😁 😁 😁 akafie mbele huko
Naomba clouds media mfanye utaratibu tupate interview ya Fei na Eng maana hatuwezi sikiliza kesi upande mmoja na naamini kwa kutumia njia hiyo tutapata ukweli na pia pengine mlenge kuwapatanisha . Asanteni
Unaweza kusoma na ukatoka patupu, kipaji hakina Elimu, labda kosa Lake kutokujua kingereza, maana kiswahili anajua, na unaweza kumaliza kidato cha nne na hiyo English usijue kwasababu Tanzania 100% ni kiswahili, na kama Mamake hakuwa na uwezo English akajue wapi?
Clouds ni media kubwa, mpaka leo bado mnajitafuta kwenye teknolojia ya LIVE STREAMING kweli? Sauti mbovu, kipande kirefu haisikiki kabisa, lighting setup zero, na camera inayotumika ndo sijui ni 600D, daah mnasikitisha sana.. Interview nzuri imeharibiwa na technical department upande wa pcha
wanao sapoti Fei ni washabiki wa Simba .... Fei anadai Bi Mkubwa alikua anatukanwa kabla ya yeye kuvunja mkataba, pia anadai kuwa aliambiwa anauza mechi yote haya alikuawa anaambiwa hakuyasikia yeye mwenyewe... anataka tuzungumze haya yasiyokuwa na ushahidi tuache Fainali za Shirikisho Africa ... huyu anatumika kuushambulia Uongozi wa YANGA wakati huu tupo kwenye Heka heka za Fainali za kombe la shirikisho ....Uzuri WanaYanga walisha jua ... ni vizuri viongozi wa YANGA wajue Fei anatumika kuwagawanya ili msiwe kitu kimoja na msipo kuwa na tahadhari atafanikiwa ....hapa kasema walikuwa wanaongea na kiongozi mmoja wao akamwambia wenzake wanamsema, pia anataka kushitaki Hersi kwa Wapenzi wa soka kuwa yeye (Eng. Hersi) ndio sababu ya matatizo ya yeye na YANGA jambo ambalo siyo kweli, Simba wanajua uwezo wake wa uongozi pamoja na umri mdogo....Eng. Hersi muda huu ndio muda wa kujipima haya ni mashambulizi ya kukugawanya wewe na viongozi wenzako .... usimtafute mmbaya wako Sima wametengeneza tofauti yako na Fei kukutoa barabarani, wnatumia wataalamu wa kisaikolojia kulifanya hili jambo, kwasababu wanaogopa unachotaka kuifanyia YANGA wanatumia kila aina ya mbinu kukuzuia, hili la Fei nilijua litakuja kusemwa ni la kwako Simba mbinu ya kuigawanya YANGA wanaitumia sana na kama uliingia kwenye Uongozi bila kulijua hili lifanyie kazi sanaa, tafuta wataalam wa kisaikolojia na image likability kukusaidia katika hili, iweke timu mahali pake kama ulivyo ahidi hiki ndicho wanacho kiogopa sana acha hawa wapuuzi waendelee ila tafuta namna ya kuwajulisha upuuzi wao ... najua Mo Dewji anahusika .... yeye anajua namna ya kutumia propaganda chafu kuuvuruga uongozi amesoma nje na huko ndiko wanavyofanya kuwadhoofisha wakurugenzi wa makampuni wanayoshindana nayo ....hua wanatumia mbinu hizi kuwaondoa katika focus na hili kama YANGA hawalijui walifanyie utafiti wawatafute wataalam wa kujua mbinu hizi Mo ana hela na ameajiri wabunifu wa uharibifu kuichafua YANGA ndani ya TFF, CAF na FIFA ndio maana amekuwa akiwatumia Rivers United kuishitaki YANGA CAF .... YANGA lazima waajiri watu wa kupambana na vita hii
Eng.hatoki,GSM daima unajifanya wew mkubwa kuliko club fei wew sepa tuu club iendelee ers ndo katufikisha hapa tulipo wew mwnyew Shahid tulipotoka na tulipo sasa
Comment yangu ni kwa Clous Media… Mmeharibu Product nzuri kama hii, Sound Quality iko chini sanaaaa… Jipangeni tenaaa kwenye upande wa Sound… Utamu wote wa kusikiliza hii interview online umeniishia baada ya kusikia Quality Mbovu ya sauti
Hapa hakuna ukweli kuna kitu anakificha kama anaweza kulipa ghalama zote ili aachane na yanga anashindwaje kulipa hela huko cas hadi achangishe asimtegemee Mungu kuhusu hiyo kesi apapande coz hakuna ukweli hapo na Mungu ni kweli kama anahitaji msaada wa Mungu awe mkweli maana hapo nasikia hadi huyo mama amekaa naye chini kaongea nae kuhusu yeye arudi yanga shekh wachezaji wenzake na watu mbali mbali tatizo liko kwake
Nikwel kuna vitu si vizur fei kafanyiwa lkn hajakomaa bado izo ni changamoto za kazii kitendo alichofanya chakuvunya mkata kilitosha kurudisha heshima yake kwa viongozi wa yanga,,,,
Kwa kuongezewa mwaka naweza kumulewa ila unavo jieleza2 huna paku ishinda yanga ushauli wangu ludi kiwashe mkataba ukiisha utanya biasha nautapata pesa nyingi kwana navo muonaga raisi wa yanga hamzidian uelewa
Nathani kuna utata hapo rudia Augasti 10 2020 kidani star waliripoti kwamba Fei amesaini miaka minne sasa Fei yeye hakusikia habari hizo na hata Hersi alituma kwenye page yake kwa umma kama hajui kiingerza hizo habari kwenye vyombo vya habari havikumshua Fei na kuona amedanganywa?
Kama mmesikia hata timu iliyokuwa imemlea aliisaliti kusaini mkataba wa awar kwa sir lakin baat nzuri wakakutana kwenye biashara pas yeye kujua nandicho anachofanya leo kwa yanga atakua kashasain Shemu uyo pumbavu sana
Msichanganye ajira zenu na ajira za mpira, ni vitu viwili tofauti, ajira zenu unaweza ukavunja mkataba bila sababu ya msing, kwenye mpira haipo hivyo na lait ingekuwa hivyo Kuna timu siku Moja ingekuwa Haina mchezaj hata mmoja
the truth is always hated, brother, he has explained himself well, but those who do not know the truth are the first to post negative things. but congratulations brother for making the truth clear and that truth will protect you brow
Mbona fei kama hakuelewa mkataba aliosaini na vipengele vyake.. amekuja kuambiwa baada ya hizi mambo…Kwani kama Fei hakua na mwanasheria kipindi hcho anausaini huo mkataba ili afafanuliwe hvyo vipengele, kwann Mwanasheria wa yanga asiwepo afanye hiyo kazi. Coz ni mhm kwa wote, means Yanga na Fei. Ndo shida hizi sasa. Dogo anapitia wakati mgumu saana. Mm nafikiri Fei arudi tuu yanga ajishushe aombe msamaha, amalizie mkataba wake awe huru. Hii ngoma kuivunja ni ngumu mno, anapoteza muda bure.
Yani unakubali vip kisaini mkataba kabla ya kuusoma,nakama umeona wa kingeleza kwann hukusema wakupe wa kiswahili,yan kwa maelezo hayo unagundua kwamba fei Hana tatizo na mkataba na yanga kabisa,aya na huko cas wanaenda kusemaje
Mim sio mdau Sana ila nachojua hamasa Kwaajili ya kitu Bora siku zote ni baada ya mtu kupewa stahiki yake na kupewa nafasi yake kama ilivyo na sio kumyumbisha, wachezani wengi San wa ndani ni wazuri ila mioyo ya viongozi wetu Bado mioyo yao na si kingine Ina maumivu hasa kuona mchezaji mzarendo ana maisha mazuri na pesa nzuri ,tunaamini wachezani wa nje na kuwanufaisha wao zaidi " UZALENDO NI MUHIMU" ....tuwapende tuwathamini na tuwaamini tunaweza fika mbali Sana " biblia na Quran zimeeleza Sana juu ya mtu hasiyethamini wa kwao ni dhambi na kukosea mbele za mwenyezi Mungu"...
Dogo masilahi huwa yanaombwa kwa amani afu hata kama ulikuwa uposahihi ila mkataba ungeuheshimu kama wadau wako tunavykuheshimu lakini kwa namna hii mdogo wangu umeniumiza na kuniskitisha Feisal binafsi sina furaha na kelele zako mtandaooni ila sawaaa Mungu akusaidie ila mmmmmh basi tu unajuwa wewe zaidi