Mjomba seif sharif umechangamka MASHALLAH. Ila mshaur mjomba MWINYI .mujenge zanzibar majumba ya kisasa na yale majumba ya michenzani na mjerumani na mji mkongwe muyakarabati na muyapake japo chokaa ili yangare . Mana mepya ndio uwezo wa kujenga haupo bas japo hayo ya kale muyatunze .
daaa tukiangalia hizi video za maalimu seif machozi yanakaribia kutoka mana dah maalimu seif mungu amekupenda zaid ila na ss mapenzi yetu kwako cjw tusemeje dah mungu akupe makazi mema huko uliko kaburi lako liwe ni nyumba mzri kuliko hata ulio kua ukiishi nayo duniani
Anaonekana hakuwa na chuki kabisa huyu mzee, am sorry Maalim i thought your a bad person lakin nimechelewa kuiamini kama wewe ni mtu safi na kiongozi makini, ulikua bado una nguvu za kuongoza. Hii siasa inatufanya tuchukiane bila sababu, upumzike kwa amani Maalim
Mm mwenyewe mze Ayubu namkubal sanaaaa sanaaa yupo vzr na ktk watu niliokua na nia ktk urais nilidhan yeye ndio atapita lkn ndio ivo shukran maalim kwa kuwapa ukwel
Mh... Ayoub mwaka huu hakuna CCM wala ACT tizameni maendeleo ya Nchi na WANANCHI ... wote hapo ndio yatakuja MAENDELEO....MUNGU IBARIKI ZANZIBAR NA WATU WAKE. AMIN
Haya mambo yanachanganya sana saivi wote wanapeana sifa tu mimi nazani kipindi kizuri chakuhamasisha umoja na nyinyi viongozi kuwa pamoja nikipindi cha uchanguzi na kampeni wewe Mungu atupe uhai na Afya jema tutakuja kuona hapa hapa kama Mungu akuwafikishe hizi chuki magovi uhasama huazisha wao viongozi saivi aaa
Vyama viuliwe visiwepo. Viongozi wote wa Serikali wanatekeleza Ilani ya Chama hata uteuzi unategemea imani yako na chama. Hii viongozi wa Kitaifa kukutana na wanachama wake baadhi ya siku kunapangwa nini kama sio hujuma kwa chama kingine. Lengo la kila chama ni kushika Dola, Dola ni moja vyama ni vingi ni lazima vigombanie na ndio conflict hutokea hapo. Hivi kampeni za 2025 zitaendeshwa vipi na vyama washirika (CCM na ACT)? Ikumbukwe tulipita hivi hivi 2010 - July 2015.
Furahi sasa libabu lishaondoka Mwinyi yuko peke yake libabu halio tena Mungu ashalichukua ni dhahir unajisuta mwenyewe hapo ulipo binaadamu hatakiwi kuwa na chuki na binaadamu mwenziwe dunia ni mapito tu.
@@user-ex3mw1bj9k hakuna aliyejua kuwa MUNGU atampenda zaidi,,,,!"usiingize siasa za kipindi hicho,,,kwenye kazi ya MUNGU!",,,kuna wangapi hata wewe,,kwenye ukoo wako,,umerushiana nao maneno!??,,,,kwahiyo leo MUNGU akiwachukua,,,,wakukumbushie ulisema hili au lile!"hakuna mtu anayejua kuwa nani sasa atatangulia,,ingekuwa hivyo,,,mengi tusingefanya,,,wala kuongea!"!!!!.
@@brightluvanda2795 ok nimekuelewa itoshe tu kuwa unajuta na ujue kuwa hakuwa na nia mbaya kukubali kujiunga na Rais Mwinyi kikubwa zaidi alipendelea kuwaunganisha Wazanzibari tuache tofauti zetu tuwe kitu kimoja tujenge nchi yetu.
Hiii mijitu mengine mijinga kweli watu wameeka tofauti zao pembeni ndio nini Kyle ya usenge wa ilani? Basi iache ilani itekeleze pasiwe na watu. Huyo mwinyi mwenye nchi hajawahi kusema kuhusu ilani au ndio wasenge mliobakia
Sharifu hamàdi mche mungu ww shauri yako wacha kuwaweka mbali uma na dini yao mungu atakuchoma ww democracy hiyo ni ukafiri wako uwislamu hicho cheo chako wasimamia watu kwa sheria za kitwahuti kur ani ndo kitabu chako