Тёмный

MAALIM SEIF: MKUU WA WILAYA U-CCM WAKO UWEKE UPANDE / MIMI NI ACT NAMBA 1 

KTV TZ ONLINE
Подписаться 377 тыс.
Просмотров 90 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

27 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 160   
@SeekerMaulid
@SeekerMaulid 3 года назад
Kama unaangalia baada ya kutangulia jembe kwa muumba tujuane. Allah amrehemu. Amin
@iddisaid1680
@iddisaid1680 3 года назад
mashaallah mungu akupe muongozo mzur maalim saif nakupenda na nitazidi kukupendeni
@abdulmohd6880
@abdulmohd6880 3 года назад
I can't stop my tears 😭 I really love this old man may his soul rest in peace 🙏
@khamisjuma5481
@khamisjuma5481 3 года назад
Aaaaamin
@zayyatiyussuf9566
@zayyatiyussuf9566 3 года назад
💃wenye kusema wacha waseme maalim saif tumpambe mauwa🌷⚘🌷🌻🌺🌼🌷⚘🌱🌲🌺🌻🌷⚘🌱🎻🎷🎤🎤🔊Sawa Sawaaaaaaaaaaa👏👏👏👏👍
@husseinmkanga7794
@husseinmkanga7794 3 года назад
Jengeni nchi yenu uraisi mwisho miaka 10. Nzanzibar ndio muhimu. Kuliko madaraka. Hongera Mwinyi na Maalim.
@sabihahamadi2287
@sabihahamadi2287 3 года назад
Nikweli baba twakupend kwa anili ya allah mungu akuzidishiye afiya akupe umri mrefu piya akulinde na wabaya baba
@beatricedavidvizurmwaya427
@beatricedavidvizurmwaya427 3 года назад
Daah😭
@hajiabdalla5772
@hajiabdalla5772 3 года назад
Mjomba seif sharif umechangamka MASHALLAH. Ila mshaur mjomba MWINYI .mujenge zanzibar majumba ya kisasa na yale majumba ya michenzani na mjerumani na mji mkongwe muyakarabati na muyapake japo chokaa ili yangare . Mana mepya ndio uwezo wa kujenga haupo bas japo hayo ya kale muyatunze .
@madinaomar679
@madinaomar679 3 года назад
Watu wote tunampenda muheshimiwa ayubu, mungu azid kuumpa afya njema, nguvu na ujasiri wakuendesha shughuli zake zenye mafanikio kwetu wazanzibar. 😘
@juhudiacademy2170
@juhudiacademy2170 3 года назад
Sasa hapa ndio naona Maalim kakomaa kisiasa . Hivi ndo tunavyotaka Zanzibar iwe. God bless you Maalim
@machintangachibwena5922
@machintangachibwena5922 3 года назад
Muheshimiwa Ayubu yupo katika Maslahi ya Wazanzibari sio Maslahi ya Ccm Allah ampe kila la heri muheshimiwa Ayoub, hawa Masheha ndio washenzi kabisa
@تاتا-ن6ن
@تاتا-ن6ن 3 года назад
Kabisa
@selwanmohmmed8792
@selwanmohmmed8792 3 года назад
Allah atupe nguvu umoja udumu in shaa Allah
@ahmedqaby3704
@ahmedqaby3704 3 года назад
Allah akupe subra kabr lako liwe raudhat njanna
@ommyshabani4704
@ommyshabani4704 3 года назад
Amina
@mohamedfaris3000
@mohamedfaris3000 3 года назад
Mashaa Allah, haki kwanza ili amani iwepo
@ommyshabani4704
@ommyshabani4704 3 года назад
Mungu akulaze mahala pema
@issatalib1303
@issatalib1303 3 года назад
This is good speech for Zanzibarian people
@alimussa2655
@alimussa2655 3 года назад
Ayubu namkubali sana uyu jamaaa
@shixeoshxs7276
@shixeoshxs7276 3 года назад
Allah atufanyie wepesi inshaallah
@machintangachibwena5922
@machintangachibwena5922 3 года назад
Zanzibar kwanz Chama vyama Baadae
@kiri5807
@kiri5807 3 года назад
FREE MUAMSHO JAMANI EEEEE.
@othmanalnabhany3208
@othmanalnabhany3208 3 года назад
Mwenyezi Mungu amrehem
@iddisaid1680
@iddisaid1680 2 года назад
Mungu akulaze pahali pema baba yeye mzalendo wetu tuta kupenda daima
@omarymussa4786
@omarymussa4786 3 года назад
daaa tukiangalia hizi video za maalimu seif machozi yanakaribia kutoka mana dah maalimu seif mungu amekupenda zaid ila na ss mapenzi yetu kwako cjw tusemeje dah mungu akupe makazi mema huko uliko kaburi lako liwe ni nyumba mzri kuliko hata ulio kua ukiishi nayo duniani
@mundhiribrahim6292
@mundhiribrahim6292 3 года назад
Allwah akutiliye nnur kaburi laki maalim tutakukumbuka
@mussamc641
@mussamc641 3 года назад
Nitakukumbuka sana sana sna .what is next u ..hakuna
@khamisjuma5046
@khamisjuma5046 3 года назад
I'm ready to come back were I'm from ⚖
@zayyatiyussuf9566
@zayyatiyussuf9566 3 года назад
Naam mkuu wa mkoa💪💪💪Allah amjale afya njema mkuu wa mkoa
@suleimanmohamed4367
@suleimanmohamed4367 3 года назад
Sawa sawa
@an6808
@an6808 3 года назад
Anaonekana hakuwa na chuki kabisa huyu mzee, am sorry Maalim i thought your a bad person lakin nimechelewa kuiamini kama wewe ni mtu safi na kiongozi makini, ulikua bado una nguvu za kuongoza. Hii siasa inatufanya tuchukiane bila sababu, upumzike kwa amani Maalim
@mahmoudmudigo2624
@mahmoudmudigo2624 3 года назад
kweli kabisa ata mimi ayub ananifurahisha sannnnnnnnnnna
@hafidhzubeir4008
@hafidhzubeir4008 3 года назад
Ujumbe mzuri
@rukky4169
@rukky4169 3 года назад
Maalim umesema maneno mazima kabisa. Allah akurehemu huko uliko.mazuri yako utayakuta huko uliko.
@michaelndilima6210
@michaelndilima6210 3 года назад
Mungu was kweli na haki akubariki maalimu sefu Mimi ni c cm .nikubari sana kuwa maalimu ni mzalendo was kweli.
@ahmedhamid3486
@ahmedhamid3486 3 года назад
Safi sana ayoub
@EshaHamd-ed9yv
@EshaHamd-ed9yv 8 месяцев назад
Mh Ayoub anajuwa kazi zake wengine wapo wapo hawajitambui labda ukereketwa ndio waliouweka mbele
@salehsuleiman1218
@salehsuleiman1218 3 года назад
Mm mwenyewe mze Ayubu namkubal sanaaaa sanaaa yupo vzr na ktk watu niliokua na nia ktk urais nilidhan yeye ndio atapita lkn ndio ivo shukran maalim kwa kuwapa ukwel
@hawahawa7484
@hawahawa7484 3 года назад
Upo sahihi mzee wangu
@hawahawa7484
@hawahawa7484 3 года назад
Bwana Ayoub wallah amuhifadhi huyu mja
@saumually1670
@saumually1670 3 года назад
Ongera sana malim sefh kwa risara yenye mashiko
@khamisjuma5046
@khamisjuma5046 3 года назад
Never for get you maalim Saif wa zanzibar people
@jameszanzibar3689
@jameszanzibar3689 3 года назад
Bravo bravo bravo
@adilhabibu7958
@adilhabibu7958 3 года назад
Maa shaa allah
@mjleader4919
@mjleader4919 3 года назад
Hongera broo Ayoub
@hafidhhumoud934
@hafidhhumoud934 3 года назад
Number 1
@suleimanalisaid2172
@suleimanalisaid2172 3 года назад
Ayoubu nikiongozi muadilifu Allah amzidishie iman
@mwakahassan7685
@mwakahassan7685 3 года назад
Amin
@zanziboysaid952
@zanziboysaid952 3 года назад
Factual point
@suleimanmohamed4367
@suleimanmohamed4367 3 года назад
Maalim
@emmanuelmuyombeka9870
@emmanuelmuyombeka9870 3 года назад
Good
@mahmoudmudigo2624
@mahmoudmudigo2624 3 года назад
mwalim seif wewe ni mtu sannna nakukubali sana
@seifhabib5987
@seifhabib5987 3 года назад
Sadifa kanuna kweli
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 3 года назад
Maalim seef uko juuu
@topaviator
@topaviator 3 года назад
Kamchana mbele za watu hhhhiiiiii🤣🤣😂😂 noma
@ShukuruKojaboy
@ShukuruKojaboy 3 года назад
Safi sana,huu ni uzalendo mkubwa sana.
@issabakar8470
@issabakar8470 3 года назад
Ww mzee mm nakupenda sana kwanza huna ubaguz kama rais wetu
@abdallahsalum7301
@abdallahsalum7301 3 года назад
Kipimo chauwadilifu kipo kwenye uchaguzi hapa bado mapema
@Ahmadasshii-raazy8888
@Ahmadasshii-raazy8888 3 года назад
Allah amraham kipenzi
@husseinmillans3794
@husseinmillans3794 3 года назад
Inna lillah wainna ilaih rajiuun!!
@chichibakar9189
@chichibakar9189 3 года назад
Asnte
@Ali-nl2du
@Ali-nl2du 3 года назад
Mhe Ayoub oyee.
@yusrabebito7686
@yusrabebito7686 3 года назад
Naona wamenuna awo au vp?
@alawiali3475
@alawiali3475 3 года назад
Hata wakinuna wameambiwa ukweli
@hawahawa7484
@hawahawa7484 3 года назад
Wamenuna kweli lkn washapewa live
@shumishaffy8573
@shumishaffy8573 3 года назад
Innalillahi wa innaileihi rajiun
@ramadhanimtetu7246
@ramadhanimtetu7246 3 года назад
Mfalme wa Siasa za Visiwani Katika Uchangaji Wa Karata Zake Za Kisiasa . Kazi njema Kiongozi
@ipmalu9947
@ipmalu9947 3 года назад
Sipendi siasa but ukweli usemwe Ayubu ni jembe please turejesheeni Ayubu wetu kusini muje muchukue mzoga wenu mlo2letea
@issaabdalla2856
@issaabdalla2856 3 года назад
kilalaheri zanzibar hivindivyo inavyotakiwa zanzibar mpya na uchumi mpya
@chamamaambambi7040
@chamamaambambi7040 3 года назад
Hongera jembe wa taifa ayoub muwache apige kelele huyo comredy sadifaa piga kazi
@chichibakar9189
@chichibakar9189 3 года назад
Asnte
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 3 года назад
Mh... Ayoub mwaka huu hakuna CCM wala ACT tizameni maendeleo ya Nchi na WANANCHI ... wote hapo ndio yatakuja MAENDELEO....MUNGU IBARIKI ZANZIBAR NA WATU WAKE. AMIN
@sabringwal3079
@sabringwal3079 3 года назад
Naona unaingia kwa mabavu atachoka mapema huyu sef
@khulayfnassor6938
@khulayfnassor6938 3 года назад
@@sabringwal3079 Asijua mana haambiwi mana mpumbavu wee
@bableeyzabdalla531
@bableeyzabdalla531 3 года назад
@@sabringwal3079 fuatilia seif alipokuwa waziri wa elimu alipokuwa waziri kiongozi hawa unaowaona hivi sasa wanamuiga
@allysalim2497
@allysalim2497 3 года назад
Ni kweli uzanzibari unatuunganisha lkn imekuaje use na kadi no moja ya ACT mbona unatuchanganya mzee
@waseemsalaam7267
@waseemsalaam7267 3 года назад
Ayoub baba lao
@amemasudi5735
@amemasudi5735 3 года назад
Safi Sana
@موسعلی-ه8ث
@موسعلی-ه8ث 2 года назад
😭😭😭😭😭♥♥♥
@saidomar8502
@saidomar8502 3 года назад
Kwel
@asiaissa976
@asiaissa976 3 года назад
Ndio
@abubakarmzee3374
@abubakarmzee3374 3 года назад
Haya mambo yanachanganya sana saivi wote wanapeana sifa tu mimi nazani kipindi kizuri chakuhamasisha umoja na nyinyi viongozi kuwa pamoja nikipindi cha uchanguzi na kampeni wewe Mungu atupe uhai na Afya jema tutakuja kuona hapa hapa kama Mungu akuwafikishe hizi chuki magovi uhasama huazisha wao viongozi saivi aaa
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 3 года назад
Kweli usiingeingia tunge poteza mengi
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 3 года назад
Maalim Acha kutuchekeesha,muyu umeingia toto lakini mvua haikunyesha
@kazijazaidi3753
@kazijazaidi3753 3 года назад
Muheshimiwa Ayoub mbona umekuja na muheshimiwa sadifa
@hajihassan5433
@hajihassan5433 3 года назад
Vyama viuliwe visiwepo. Viongozi wote wa Serikali wanatekeleza Ilani ya Chama hata uteuzi unategemea imani yako na chama. Hii viongozi wa Kitaifa kukutana na wanachama wake baadhi ya siku kunapangwa nini kama sio hujuma kwa chama kingine. Lengo la kila chama ni kushika Dola, Dola ni moja vyama ni vingi ni lazima vigombanie na ndio conflict hutokea hapo. Hivi kampeni za 2025 zitaendeshwa vipi na vyama washirika (CCM na ACT)? Ikumbukwe tulipita hivi hivi 2010 - July 2015.
@truthspeaker2062
@truthspeaker2062 3 года назад
Ni furaha sana .hii ndio znz tunayoitaka
@allysalim2497
@allysalim2497 3 года назад
ACT umedandia tu vp kadi no moja au kimesajiliwa upyaa baadae ya kuingia we mzee wetu
@adilhabibu7958
@adilhabibu7958 3 года назад
Kwa zanzibar
@salbuthaelhasany5177
@salbuthaelhasany5177 3 года назад
Kama una uwezo hyo kadi number moj mpokonye mjinga weeeh
@salummzee9739
@salummzee9739 3 года назад
Umeipata wapi wakat ww umeunganisha juzi,ila kula tamu
@aishakhmohammed7995
@aishakhmohammed7995 3 года назад
Ukimaanisha?
@husseinkonz5192
@husseinkonz5192 3 года назад
Ayub tunakumis mkoa wa mjin
@josej9888
@josej9888 3 года назад
Mzee anaongea kutoka moyon kweli.
@mussamc641
@mussamc641 3 года назад
Ayoub kamata huo wasia huenda maali kakutabir ww kua rais ajae utukomboe .waznzibar
@zamzamrashid9534
@zamzamrashid9534 3 года назад
Ayubu huna heshima atakusimama kwakiongozi wako kumpa heshima amekusifiya ata shukranibasi Mhhhhhhh 🤤🤤🤤🤤
@calimahad9274
@calimahad9274 3 года назад
Engesifiwa Magufuli engeinuka akarukuu ndio style ya ccm wa sass
@alhamud2721
@alhamud2721 3 года назад
@@calimahad9274 😂😂😂😂lakoiloooo
@ramadhaniabdi9530
@ramadhaniabdi9530 3 года назад
Ayoub Ni Mtu Wa Pekee Kabsa Kabsa Katika Nchi Ya Unguja
@mr.khamis1993
@mr.khamis1993 3 года назад
Kumbe Unguja ni Nchi ?
@ramadhaniabdi9530
@ramadhaniabdi9530 3 года назад
@@mr.khamis1993 Unguja Ni Mkoa
@shaviercharvinho18
@shaviercharvinho18 3 года назад
Huyu chuuwmaaaaaa
@brightluvanda2795
@brightluvanda2795 3 года назад
Mwinyi umejipalia makaa,,,kulichagua hilo libabu,,,litakusumbua mpaka ukome!"litataka ulifate lenyewe tu,,,,,hapo mmejikoroga!".
@mulhatjuma2289
@mulhatjuma2289 3 года назад
Libabu unalijua ukiliona?
@user-ex3mw1bj9k
@user-ex3mw1bj9k 3 года назад
Furahi sasa libabu lishaondoka Mwinyi yuko peke yake libabu halio tena Mungu ashalichukua ni dhahir unajisuta mwenyewe hapo ulipo binaadamu hatakiwi kuwa na chuki na binaadamu mwenziwe dunia ni mapito tu.
@mulhatjuma2289
@mulhatjuma2289 3 года назад
@@user-ex3mw1bj9k afurahi vo man hatumii akili Wala maarifa
@brightluvanda2795
@brightluvanda2795 3 года назад
@@user-ex3mw1bj9k hakuna aliyejua kuwa MUNGU atampenda zaidi,,,,!"usiingize siasa za kipindi hicho,,,kwenye kazi ya MUNGU!",,,kuna wangapi hata wewe,,kwenye ukoo wako,,umerushiana nao maneno!??,,,,kwahiyo leo MUNGU akiwachukua,,,,wakukumbushie ulisema hili au lile!"hakuna mtu anayejua kuwa nani sasa atatangulia,,ingekuwa hivyo,,,mengi tusingefanya,,,wala kuongea!"!!!!.
@user-ex3mw1bj9k
@user-ex3mw1bj9k 3 года назад
@@brightluvanda2795 ok nimekuelewa itoshe tu kuwa unajuta na ujue kuwa hakuwa na nia mbaya kukubali kujiunga na Rais Mwinyi kikubwa zaidi alipendelea kuwaunganisha Wazanzibari tuache tofauti zetu tuwe kitu kimoja tujenge nchi yetu.
@manyotaskipper5765
@manyotaskipper5765 3 года назад
Mzee wa VINOLI NOLI 🚨
@reallyman9836
@reallyman9836 3 года назад
Ilani ya ccm ndio inayoongoza nchi
@zuhuramuhanga5400
@zuhuramuhanga5400 3 года назад
Cyo ilani yanbani kwenu na ukoo wako lkn mbona unakosea
@Kipepeo0511
@Kipepeo0511 3 года назад
Hiii mijitu mengine mijinga kweli watu wameeka tofauti zao pembeni ndio nini Kyle ya usenge wa ilani? Basi iache ilani itekeleze pasiwe na watu. Huyo mwinyi mwenye nchi hajawahi kusema kuhusu ilani au ndio wasenge mliobakia
@godsonkatuni8586
@godsonkatuni8586 3 года назад
Umeongea vema
@amnehajji3460
@amnehajji3460 3 года назад
Mzee utapata tabu sana
@mulhatjuma2289
@mulhatjuma2289 3 года назад
Na wewe pia utapata tabu sana
@humoudmohammad3125
@humoudmohammad3125 3 года назад
.
@hajingojwike3289
@hajingojwike3289 3 года назад
😀😀😀Njaa mbaya bhana uyu ndio yule au
@alhamud2721
@alhamud2721 3 года назад
😂😂😂😂😂alosema uchaguz batilii
@hajisimaikhatibu443
@hajisimaikhatibu443 3 года назад
Sharifu hamàdi mche mungu ww shauri yako wacha kuwaweka mbali uma na dini yao mungu atakuchoma ww democracy hiyo ni ukafiri wako uwislamu hicho cheo chako wasimamia watu kwa sheria za kitwahuti kur ani ndo kitabu chako
@buluush9741
@buluush9741 3 года назад
Weee nimpumbavu wamwisho
@mudhihirumikidadi6066
@mudhihirumikidadi6066 3 года назад
Wewe hunarorote badae utamkataaa
@SalmaSalma-ed6sn
@SalmaSalma-ed6sn 3 года назад
Huna mpya babu ustufundishe kazi
@ahmedsalim5232
@ahmedsalim5232 3 года назад
huna mpya ww mzee yake yanaenda huyo .
@ahmedsalim5232
@ahmedsalim5232 3 года назад
@@salmaseif1070 haaa haa a a !
@imranmussa500
@imranmussa500 3 года назад
Nyie ndo mafisadi na bado MAKUMA nyie mtanyoooka
@ahmedsalim5232
@ahmedsalim5232 3 года назад
@@imranmussa500 Haaa haaa a !
@khadijakhamis2144
@khadijakhamis2144 3 года назад
Asitufundishe kweli kaabisaa
@mathewungani9724
@mathewungani9724 3 года назад
Sawa sawa
Далее
TUNDU LISSU, MAALIM SEIF SHIKAMOOOO
4:30
Просмотров 47 тыс.