Glory to God kwaajili ya mama Samia,,,pia kwa mheshimiwa makonda kwa maono mema anayoongozwa na Mungu ...wabarikiwe sana wanaoombea nchi yetu hakika tunaona viongozi bora
Mh, Makonda tunatamani ungekuwa Mkuu wa mkoa wetu. Hongera sana na Mungu akupe maisha marefu. Pia tunamshukuru Mh, Raisi ya Jamuhuri wa muungano wa Tanzaniakwa kukuona Mh Makonda kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha. Mama yetu kipenzi Mh, Dkt Samia Hassan Suluhu Mungu akupe maisha afya njema na maisha matefu
Mimi ni mtanzania ninaishi Mkoa wa Mtwara lakini ninafuurahishwa sana na kazi unazozifanya Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mh Makonda kwa wananchi wako. Nimefurahishwa sana ninapoona unajali utu na thamani ya watu na kutoa huduma haki sawa kwa wote; masikini na tajiri, Walemavu na wasio walemavu. Mungu akubariki sana
Asante Raisi, asante RC, asante wadau tunaomba zoezi hii liwe endelevu. Say wananchi wote kwa kutumia nida wachangie 60000 kwa mwaka na tutibiwe bure hospitali zote za serikali. Uundwe mfuko maalum matibabu kwa watanzania.iwe na tume ya kusimamia na kuendesha shughuli hizi. Mtashangaa fedha nyingi tu zitakusanywa kwa kila mwenye nida. Na hata baadae kusaidia wazee kwa huduma zaidi kama chakula nguo na makazi kwa wale waliotelekezwa. Watanzania.wengi ni vijana na wanaWake na tupo fit na hatuna mazoea ya kwenda hospitali hadi tuumwe au tuzidiwe.
Kusema ukweli,Arusha kumpata Makonda wmeula sn/Mam Samia kaptia sn,Wamtumie Makonda vzri ana kitu huyu mtu,Kwa makusudi ya MUNGU na si Mwanadmu Makonda atfka mbali kikubwa watanzania tuzdi kumwombea huenda ni turufu pkee ilybki😅