Mungu akubariki sana Baba Makonda Yaani naamini kuwa wewe ni mjumbe sahihi na mtume sahihi uliye yum wa na Mungu ili kuifanya kazi yake hakika namuon Roho mtakatifu ameketi ndani ya kunywa chako hakika nguvu zake na uweza wake uko pamoja nawe. Maombi yangu kwa Mungu Baba wa Mbinguni azidi kukushushia macho ya Rihoni na kukujalia afya njema na ngvu. Kwa hayo yote unayo yatenda hakuna Mwenye kuweza kwa ajili za kibinadamu pekee pasipo na msaada wa Mungu na kuongozwa na Roho mtakatifu.
Isiwe ni kwa Leo tuu... Haya mambo yanafanyiwa watu kipindi cha kukaria uchaguzi au ni yanatakaiwa yafanyike kila wakati kwenye jamii? Km ni hv kila wakati na TUYAONE kwenye jamii siku zote watu akipata huduma Bure km wafanyavyo basi itakuwa ni Baraka kubwa Arusha... Ila kmnikutafuta kura na Kik za MUDA basi tunahitaji REHEMA na toba kwa mwenyezi Mungu