Тёмный

MAKONDA ATUMIA HELICOPTER KAMA ya JESHI KUMBEBA MGONJWA ALIYEZIDIWA GHAFLA UWANJANI,.🙌🙌 

HABARIMPYA TV
Подписаться 613 тыс.
Просмотров 8 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

24 июн 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 21   
@kadokemarco9966
@kadokemarco9966 27 дней назад
Ila huyu jamaa😂😂😂😂, bonge la mbunifu👏👏👏👏
@Datiuspp
@Datiuspp 27 дней назад
Tupo na wewe mpaka tuakikishe unaitwa mkuu wa nchi sio mkuu wa mkoa tena.💪💪💪
@paulinef.millanzinana8279
@paulinef.millanzinana8279 23 дня назад
Mungu akubariki sana Baba Makonda Yaani naamini kuwa wewe ni mjumbe sahihi na mtume sahihi uliye yum wa na Mungu ili kuifanya kazi yake hakika namuon Roho mtakatifu ameketi ndani ya kunywa chako hakika nguvu zake na uweza wake uko pamoja nawe. Maombi yangu kwa Mungu Baba wa Mbinguni azidi kukushushia macho ya Rihoni na kukujalia afya njema na ngvu. Kwa hayo yote unayo yatenda hakuna Mwenye kuweza kwa ajili za kibinadamu pekee pasipo na msaada wa Mungu na kuongozwa na Roho mtakatifu.
@user-ex4hi7fj5c
@user-ex4hi7fj5c 26 дней назад
Isiwe ni kwa Leo tuu... Haya mambo yanafanyiwa watu kipindi cha kukaria uchaguzi au ni yanatakaiwa yafanyike kila wakati kwenye jamii? Km ni hv kila wakati na TUYAONE kwenye jamii siku zote watu akipata huduma Bure km wafanyavyo basi itakuwa ni Baraka kubwa Arusha... Ila kmnikutafuta kura na Kik za MUDA basi tunahitaji REHEMA na toba kwa mwenyezi Mungu
@saruni5673
@saruni5673 26 дней назад
Kweli
@bharyasarbjit1187
@bharyasarbjit1187 27 дней назад
Mhe Mkonda thats called leadership. You are Great you have feeling for Tananians. Endelea hivi hivi Mungu mkubwa ana Angalia. God bless you Always.
@user-dt7ec3tr2v
@user-dt7ec3tr2v 27 дней назад
Hongera kaka👏👏👏👏 mungu Akufanyie wepsi kwenye majukumu yako Endlea kuchapa kazi wanao kuchukia watakupenda wenyewe
@stanleymanya438
@stanleymanya438 26 дней назад
Arusha ikobize kinoma, Viva makonda vivaaàaa!!!
@hastingsrutinda9448
@hastingsrutinda9448 22 дня назад
Good job
@rubanimponzi8259
@rubanimponzi8259 27 дней назад
Hongera sana Makonda
@user-dc1qh3nm5s
@user-dc1qh3nm5s 27 дней назад
Hongera mungu akulinde
@BeniJohn-xd3cn
@BeniJohn-xd3cn 26 дней назад
Msimu mpya Makonda unaibeba CCM Mkoa wa Arusha
@user-xk7vy4gb6g
@user-xk7vy4gb6g 27 дней назад
Big up jembe letu Mh Makonda Mungu akulinde ❤❤❤
@masumbukojonas5510
@masumbukojonas5510 27 дней назад
Noma sana
@saeedmbaraka3997
@saeedmbaraka3997 27 дней назад
Big up
@AbdulmujibAhmed
@AbdulmujibAhmed 27 дней назад
Kaipata wapi
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo 27 дней назад
Arusha zipo za kutosha mzee.
@BeniJohn-xd3cn
@BeniJohn-xd3cn 26 дней назад
Mungu wetu kamwezesha ❤❤❤Mbunifu mkubwa sana
@user-gx4vx5ru2u
@user-gx4vx5ru2u 26 дней назад
Hongera Sana baba Mungu akupe miaka km yote yenye heri
@user-cr9no9bo7l
@user-cr9no9bo7l 27 дней назад
Makonda aigwe mfano
@AbdulmujibAhmed
@AbdulmujibAhmed 27 дней назад
Anajua kusaka ubunge na uaziri
Далее
D3 BMW XM LABEL Король.
31:52
Просмотров 488 тыс.
Разбудили Любимой Песней 😂
00:14