Mkuu ikikupendeza wezesha namna ya kuonyesha fursa mbalimbali za vijana mkoa huu ikiwemo namna ya kuutangaza utalii nakuwa faida kwao na nyinginezo Ili mikoa mingine iige nayo na kuwa na faida nchini
Hamna Cha maana sana Kuna watu wanateseka lakini nyie mnaongelea magari hii nchi hii mmh haya😢😢😢endeleeni tu najuwa rais wetu hatunae Tena J.P.M pumzika Kwa amani huko uliko lakini tambuwa kuwa nchi inateseka sana huku na umaskini.