Тёмный
No video :(

MAKONDA "Lipeni Hiyo Milioni 132 Ndani ya Dakika 10" SINA MUDA wa KUCHEKA, MIAKA 3 MNAMZUNGUSHA TU 🤔 

HABARIMPYA TV
Подписаться 615 тыс.
Просмотров 76 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

29 май 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 129   
@hasani565
@hasani565 2 месяца назад
Arusha ilikuwa inatisha wamekula hela za walipa Kodi kwa Miaka yote hakuna kilicho fanyika.Makonda ni kiongozi Bora.Magufuli spirit eee mungu Tanzania inakushukuru kwa kutupa Makonda.Makonda inabidi alindwe kwa kila hali ...ulinzi wa kwanza uanzie na sisi wanachi tumlinde kwa hali na mali .kama una kubali weka like 💪✌️
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 2 месяца назад
Hii nchi ni shamba la bibi
@mkabesamaashao6805
@mkabesamaashao6805 2 месяца назад
Ndio maana wanakiburi sana kwa unyanyasaji
@dorahmushi-we6ts
@dorahmushi-we6ts 2 месяца назад
Huyu ameletwa na Mungu mwenyewe, Mama samia aliguswa na Mungu, nani anakataa kuwa Arusha inaibeba Tanzania kwa maombi? Arusha kwa asilimia kubwa, humuomba Mungu ktk Roho na kweli, sio kukaa kusubiri miujiza!!... Mama Samia asante kwa huyu kijana wako Makonda na team yake
@dorahmushi-we6ts
@dorahmushi-we6ts 2 месяца назад
Mama Samia mama, ktk mikoa mingine wale viongozi waliolala wanatakiwa waamke sasa...teua vijana wazalendo kama Makonda, Silaa, na yule wa Dar japo kidogo aongeze kasi
@binseif2216
@binseif2216 2 месяца назад
@@dorahmushi-we6ts Lkn Arusha inaongoza kwa mauaji
@HamidaHamisi-ej8kz
@HamidaHamisi-ej8kz 2 месяца назад
Mama Samia mama yetu uliona mbali sana kumteuwa Makonda Makonda nijembe sana abarikiwe mzazi alieza Makonda
@evaemil856
@evaemil856 11 дней назад
Sasa wamempoteza
@hamisiyusuph6721
@hamisiyusuph6721 2 месяца назад
Huyu jamaa Genius sana Mungu apiganie
@exaverysimon1064
@exaverysimon1064 2 месяца назад
❤❤. YAN NIKILALA BILA KUANGALIA POST ZA MAKONDA SIPAT USINGIZI😂😂
@Zuu673
@Zuu673 2 месяца назад
😂😂😂km mimi
@Bless215
@Bless215 2 месяца назад
Hakika
@fathimadaid3429
@fathimadaid3429 2 месяца назад
Mie sikuhizi sisikilizi tena simulizi zaidi ya makonda
@aminakasim1198
@aminakasim1198 2 месяца назад
❤❤❤❤❤❤❤
@Ryanzabron
@Ryanzabron 2 месяца назад
Makonda ndo rais wetu ni swala la muda
@user-xc5mk4ro2z
@user-xc5mk4ro2z 2 месяца назад
Mm ACT damu ila kwa makonda anochokifanya Niko pamoja nae na kama atagombea urais nahama ACT.
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 2 месяца назад
Ubarikiwe.Wenye wivu wasije kukugusa.Msimuue.Mungu anamlinda Makonda.❤Ninakuombea maisha marefu🎉🎉
@user-sx1xi4yb2z
@user-sx1xi4yb2z 2 месяца назад
Makonda wangu mungu azidi kukulinda,, Wasikuue kama walivyomuua baba yetu magufuri,,, Maana watu kama nyie huwa mnawindwa mnoooo,,,
@shamzone388
@shamzone388 2 месяца назад
Makonda anaona mbali sana mungu amlinde yarab Na hana ubaguzi wa dini kabila wala rangi anatimiza lengo lake la kazi Wafichue madhalimu woote uwanjani tuwajue nchi yetu itanyanyuka sasa maana ilikuwa inadidimia kwenda chini
@mchumiajuani1993
@mchumiajuani1993 2 месяца назад
NAPENDEKEZA MAKONDA AWE MKUU MKOA KWAMIEZISITA KATIKA KILA MKOA
@user-zj9wj3qe3i
@user-zj9wj3qe3i 2 месяца назад
Yaani huyu mweshimiwa akisema ndio anagombea urais kesho hiyo ni shwaaa✓✓✓ bira kipingamizi yaani huyu mtu anatosha kwa kira kitu ila kama mama akiendelea kumuamini zaidi basi najuwa kwa kazi ya huyu Makonda mama mitano tenaaa kazi iendelee baada ya hapo kiti muachie yeye aendeleze mama atakapokuwa ameishia
@user-jj1sx1ow4h
@user-jj1sx1ow4h 2 месяца назад
Makonda keep it up
@khadjamhozya
@khadjamhozya 2 месяца назад
Mimi makonda atanifirisi kabisa kira siku natumia erf 2100 bando
@user-ii6gs2jg4g
@user-ii6gs2jg4g 2 месяца назад
Mimi ndo mana huu upuuzi sitakagi. Mi ni mjenzi sitaki kabisa kufanya kazi na serikali kabisa ni wasumbufu hawa watu pesa wanazigawana wao humo wanazila harafu madhila yanaenda kwa mkandarasi
@ajmstationery6157
@ajmstationery6157 2 месяца назад
Mh. Makonda hongera sana kwa kusaidia watu , napendekeza ziara yako iwe nchi nzima na uongezewe power
@gregory6165
@gregory6165 2 месяца назад
Wanaogopa anawafunika, si alikuwa mwenezi akawa anazunguka kila sehem, lakini si walimtoa walipoona attention yote kwake
@umsulaiman7468
@umsulaiman7468 2 месяца назад
Makonda na kupenda msema kweli mpenzi wa Mungu Allah akuhifadhi na Kila abui
@mnyongeiddi2454
@mnyongeiddi2454 2 месяца назад
Makonda hata kama CCM siipendi ila wewe nakukubali sana Bora hata CCM wakusimamishe ugombe hata urais unaweza tuokoa
@khadjamhozya
@khadjamhozya 2 месяца назад
urais hawezi pata
@mnyongeiddi2454
@mnyongeiddi2454 2 месяца назад
@@khadjamhozya kwanini kiongozi kila jambo hupangwa na Mungu inawezatokea
@martinabayyo9982
@martinabayyo9982 2 месяца назад
​@@khadjamhozyambn unampinga sana hi kazi anayofanya utaweza ww? Hata kama ww humpendi wengi tunamkubali utakufa na roho mbaya
@mbwanamungia9921
@mbwanamungia9921 2 месяца назад
Wababaifu sana tena kujenga shule afadhali kuliko kujenga zahanati
@hamzafishten9560
@hamzafishten9560 2 месяца назад
Makonda Allah akulipe huo ndio uzalendo sio kama bahazi ya viongozi wa africa
@jacksonjamesndyabawe471
@jacksonjamesndyabawe471 2 месяца назад
Safi sana
@gabybulba9574
@gabybulba9574 2 месяца назад
Makonda ana kila sifa ya kuitwa kiongozi, anajua kuenenda na mazingira na kutatua migogoro, Mungu akutangulie Mh.Makonda
@MathiusOlavian
@MathiusOlavian 2 месяца назад
Baba piga kazi sana tunakukubali sana
@user-cs2pg3ng8l
@user-cs2pg3ng8l 2 месяца назад
Paul makonda Mungu akubariki baba
@Timoclement
@Timoclement 2 месяца назад
Haijalishi Bora anagusa maisha ya watu hongera Makonda
@user-qn8ig9ey6b
@user-qn8ig9ey6b 2 месяца назад
Makondaweye ni mtu na nusu mambo magumu kwako yanafanyika mapesi kumbe uleugumu ni utashi wa Watufulani pigakazi Mungu yupamojanawe
@user-yv7xg4em4s
@user-yv7xg4em4s 2 месяца назад
Hyu ndie mkombozi wa watu
@bahatiiddibahatiiddi-be5nj
@bahatiiddibahatiiddi-be5nj 2 месяца назад
Moto moto fireeeeh!..
@shamzone388
@shamzone388 2 месяца назад
Makonda anaona mbali sana mungu amlinde yarab Na hana ubaguzi wa dini kabila wala rangi anatima lengo lake la kazi Wafichue mashalimu woite uwanjani tuwajue nchi yetu itanyanyuka sasa maana ilikuwa inadidimia kwenda chini
@josephlorri431
@josephlorri431 2 месяца назад
Udini umeingiaje hapo..kwa nini umewaza udini kwenye kazi za serikali? Wazo limekujaje kwenye akili..au
@ClementJacob-sd8lf
@ClementJacob-sd8lf 2 месяца назад
We luck good leader like magufuli and makonda although human being we have problem of course but makonda tries to unite and bring peace we love you so much
@SiaCollins
@SiaCollins 2 месяца назад
Mtetezi wa wanyonge,hoyeeeeeeee
@African-x1o
@African-x1o 2 месяца назад
Hi ichi apewemakonda
@khadjamhozya
@khadjamhozya 2 месяца назад
Apewe nanani
@twentyacresfarms3464
@twentyacresfarms3464 2 месяца назад
Ukiwa mpigaji uwe smart sana na uwe na kumbukumbu sana kwenye kila jambo na uwe smart sana kupitiliza alafu uwe na ujasiri
@johnlembo2955
@johnlembo2955 2 месяца назад
Ukiwa mpigaji ujue mwisho wako ni aibu tu.
@jacoblaiser7634
@jacoblaiser7634 2 месяца назад
Wezi wote na wababaidhaji watakuchukia lakini wananchi wema wote watakupenda na kukuombea na hawa ndiyo wengi. Unastashili kuombewa, kupongezwa na kutiwa moyo kwa kazi unayoifanya. Kongole Mwamba wa Arusha.
@geey7893
@geey7893 2 месяца назад
Ivi Mbona Arusha Viongozi wengi wa halmashauri ni wanawake? Halafu hawako smart? Au ni wale watu wa watu wanawekwa kimkakati
@josephlorri431
@josephlorri431 2 месяца назад
Mkoa wenye warembo.. wanapewa nafasi kwa vimemo
@Zainab_salat
@Zainab_salat 2 месяца назад
Viongozi wa arusha mmepatikana,Makonda hongera kwa kazi nzuri
@nakalikyumile3234
@nakalikyumile3234 Месяц назад
Wote wangekuwa kama paul makonda nchi ingekuwa sehemu nzuri ya kuishi
@ladislausngoyinde4384
@ladislausngoyinde4384 2 месяца назад
Hawa ukiwakuta maofisini mwao ni noma, utazungushwa mpaka ukome, wengi ni vyet fek
@user-rr8cw8yl5o
@user-rr8cw8yl5o 2 месяца назад
Makonda kaza buti baba acha kuwachekea hao tunakuomba baba
@tiffanymo9453
@tiffanymo9453 2 месяца назад
Dah ,their not serious. Good Job honorable Makonda. We’re praying for you.❤🙏
@musaamos2431
@musaamos2431 2 месяца назад
Mungu akupe maisha malefu❤❤
@samsonkingdom-xc8cg
@samsonkingdom-xc8cg 2 месяца назад
Ningekua mungu uyujamaa angekua rais
@NeemaNey-mp2fi
@NeemaNey-mp2fi 2 месяца назад
Mm sio mwana ccm Ila makonda nimekukubali una faa kua Rais wa Nchi hii mungu akulinde na akusaidie wakusimamishe ugombee urais unapita bila kupiga nakuambia mungu akusaidie
@mbwanamungia9921
@mbwanamungia9921 2 месяца назад
Mchengelwa ni bwege tu shida zote hizi zipo wizara yake
@Zuu673
@Zuu673 2 месяца назад
Ata km lkn mdomo husiponze kichwa ndugu
@mashaallahabuu1167
@mashaallahabuu1167 2 месяца назад
Tupoooo wengi Kwa kuangalia kazi ya Muheshimiwa wetu mpendwa ,mnyonge wa wananchi,yaaani nikikisa eb naumia sana,vochwa zipunguzwe bei jmn
@geofreykayombo401
@geofreykayombo401 2 месяца назад
Wabongo wakishaingia kwenye system hasa serikalini,wakapata njia za pesa wao huwa hawana habari tena na wananchi,wanajiangalia wao na familia zao.ndio Mana ngazi zakutatua hizi kero anayoyafanya makonda watu wapo kibao kwa nafasi zao tofauti tukianza na wenyekiti wa mtaa,na kuendelea ngazi kwa ngazi mpaka kufika kwa mkurugenzi then itafika kwa waziri au wizara usika
@Zubaiba
@Zubaiba 2 месяца назад
Nampenda makonda sana
@lumamialain
@lumamialain 2 месяца назад
😂😂😂 mkurungezi huyo hapo Big up Mkuu wa mkoa Makonda
@user-hw4qp5kv6m
@user-hw4qp5kv6m 2 месяца назад
Mtetezi wawa Nyongeee oiga kaz Mzeee Mungu Anakusimamiaaa
@ShamsiKasoma-fn4cl
@ShamsiKasoma-fn4cl 2 месяца назад
Ww Jamaa mungu atulindie unajitaid sana jaman japo chema akidumu Ila ww utadumu Yan hutaki rushwa
@user-ot5us9mz9w
@user-ot5us9mz9w 2 месяца назад
Mimi naamini Wakuu wamikos baadhi pia wapo wanaofanya kazi kubwa sema kama waandishi wahabari wengine hawafwatilii yanafnyika bc lazima atafute mtu gn hbr zitauzika kiongoz gan hua ukigusa trend ipo mfno angalien baadhi yamawaziri kama Bashe.. Bashungwa..Ally Happy watu wanafny kz sema hii nchi ni Pana na kubwa
@SamwellLesicar
@SamwellLesicar 2 месяца назад
❤❤❤❤❤❤ makonda jitahidi baba maana wamezidi sana
@deejeydaev
@deejeydaev 2 месяца назад
Hichi kichwa safi sana my future presidaa
@felistaminja3034
@felistaminja3034 2 месяца назад
Mungu akufunike kwa mbawa zake milele
@gudimbwana8088
@gudimbwana8088 2 месяца назад
Apewe uwaziri mkuu mawaziri vilaza wakione Cha moto
@mbwanamungia9921
@mbwanamungia9921 2 месяца назад
Nchi nzima inashida taratibu za malipo halmashauri ni kichefuchefu
@mzongekibwana838
@mzongekibwana838 2 месяца назад
Mr swai boss wangu wa zamani..
@tupegigwensajigwa2629
@tupegigwensajigwa2629 2 месяца назад
Na kuelewa sana Mungu akutunze
@babunyonge6270
@babunyonge6270 2 месяца назад
Etii ooh ukimzulumu mchaga anakuua loh kumbe mabwabwa ivi , afu uyo dada anachekacheka akiambiwa huongei na bwana ako tuna mitaro inaibuka uko
@frankbutati8343
@frankbutati8343 2 месяца назад
Watumishi wa umma wasijione wezi, kuna siku tutapata kiongozi huyu Makonda awe mkuu wa nchi wataomba kufa
@damsonwilson5202
@damsonwilson5202 2 месяца назад
Huyu Mzeee ni kweli hata kwangu Alichukuwa mbao kwangu huyu baba Alinilipa cash Alipochukuwa mbao Kwa hiyo Anawadai kweli
@thomasraiton7760
@thomasraiton7760 2 месяца назад
Wanadhurumu Kwa kuwa wao ndio top
@user-tu9ps9kr2o
@user-tu9ps9kr2o 2 месяца назад
Uchunguzi wa Nini kwenye pesa ya Nini 😂😂😂
@obedpeter6874
@obedpeter6874 2 месяца назад
At mie ningekua RAIS kichwa kingeuma bila mkonda
@Ushauri235
@Ushauri235 2 месяца назад
Hii nchi Ina watu wa hovyo Sana mtu ametumia hela harafu unasema ni jamii
@jeanbaptistemanishimwe1946
@jeanbaptistemanishimwe1946 2 месяца назад
Habali ndugu napenda njia huu heshimiwa mukuu wa mukoa anavyo saidia watu angekua lafiki ya Muzee wetu Kagame Mungu Awatangurie njia zenu zote.
@gladistaemanueliy6336
@gladistaemanueliy6336 2 месяца назад
Afu haki za binadamu ije isema makonda ana dhalilisha, waizi nyie, makonda mungu akulinde
@LusekeloMwaipopo-rm1uc
@LusekeloMwaipopo-rm1uc 2 месяца назад
Wizara ya mchengelwa I am Inamchosha tu makonda wetu.
@JumaNurudini
@JumaNurudini 2 месяца назад
Ila makonda
@deejeydaev
@deejeydaev 2 месяца назад
Yani vitu vingine bana mbona very simple haya mlolongo ulio sizi zaidi ya miaka mi3 umesolvika within minutes... makonda ubarikiwe mkombozi wa wanyonge
@kanankirannko6174
@kanankirannko6174 2 месяца назад
Kweli ukipata peleka sadaka Arusha hii jamani
@meshacknyandongo577
@meshacknyandongo577 2 месяца назад
Serikali wakati mwingine inawafirisi wananchi wake na huu utaratibu wa kuchukua mali za wananchi alafu kulipa mpaka mjiskie wenyewe
@mohamedkige2535
@mohamedkige2535 2 месяца назад
Kiufupi2 awa wanakina mam Baaadh yao nishidaaaaa
@mkabesamaashao6805
@mkabesamaashao6805 2 месяца назад
SPANA MKUU!
@zidatv1122
@zidatv1122 2 месяца назад
Hii nchi onatoa harufu kila kona uaani inanika
@Happizo
@Happizo 2 месяца назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@user-zx3he3lp3o
@user-zx3he3lp3o 2 месяца назад
Rc Makonda ni jembe la ufisadi wa jiji la Arusha unafaa saba kunyoosha ufisadi wa wachache hspa Arusha ongere rais raisi Samia Duruhu Hassan kuleta jembe la wizi wa urapegi hu
@user-tz8hj1sd5o
@user-tz8hj1sd5o 2 месяца назад
Why these other leaders canot follow Makonda😭😭😭😭😭😭😭😭😭 Why??????????
@African-x1o
@African-x1o 2 месяца назад
Kwanza awe mukuwa African😢
@user-ts9lp4rm9j
@user-ts9lp4rm9j 2 месяца назад
Mratibu hya hela yetu 🤣🤣🤣🤣🤣
@monalisaally4387
@monalisaally4387 2 месяца назад
Nitapigwa sana na mumewngu ila siachi kumsikiliza makonda mpaka aniuwe😂😂
@honoratusmodest285
@honoratusmodest285 2 месяца назад
Kwann akupige itakuwa mume wako adui wa makonda😂
@ntandu1
@ntandu1 2 месяца назад
Pole sana
@monalisaally4387
@monalisaally4387 2 месяца назад
Nampigia kelele usiku namfungulia makonda😄
@Jeysen_lemar
@Jeysen_lemar 2 месяца назад
Huy si ni yule yule Injinia au namfananisha?????
@kwisa4899
@kwisa4899 2 месяца назад
office ainamakabidhiano?
@memoryngambi7570
@memoryngambi7570 2 месяца назад
Mtu akihama kikazi,kwani ofisini pamoja na nyaraka vyote vinahama?
@user-og9jt3mg4c
@user-og9jt3mg4c 2 месяца назад
MAKONDA MUNGU AKULINDE
@kwisa4899
@kwisa4899 2 месяца назад
anacheka cheka ndio maana makonda anawatukana yani mtu unacheza na pesa ya mtu kiasi hichi na kazi kafanya
@thomasraiton7760
@thomasraiton7760 2 месяца назад
Sasa nahamia ccm rasmi, kile kilichofanya nisiipende kinaanza kutoweka Huwa simpendi kabisa dhuruma
@HalimaKamota
@HalimaKamota 2 месяца назад
Makonda
@samamlima5607
@samamlima5607 2 месяца назад
Arusha moto unawaka
@shaffycjg536
@shaffycjg536 2 месяца назад
Et akachukue mchanga na mawe yake
@barakaabel482
@barakaabel482 2 месяца назад
Hahahahaaa
@elibarikigasper448
@elibarikigasper448 24 дня назад
Mlipeni mzee wa watu pesa zake nyie acheni propaganda
@gowekogoweko5803
@gowekogoweko5803 2 месяца назад
😮😮😮😮😮😂😂😂😂
@pastorynaph
@pastorynaph 2 месяца назад
Hahaha
@binseif2216
@binseif2216 2 месяца назад
😂😂Watanzania mabogaz mnaamini hapo atalipwa???hapo mkutano ukiisha hamna cha pesa wala nini
@sskondopoleani9616
@sskondopoleani9616 2 месяца назад
Na akilipwa Je????
@samwelilazaro2835
@samwelilazaro2835 2 месяца назад
Kikubwa amesema
@user-ie2sr4fi4k
@user-ie2sr4fi4k 2 месяца назад
Kwaiyo alipe kutoka mfukoni mwake? au! vip wajinga wanashangilia atali tupu
@kyannickk2be
@kyannickk2be 2 месяца назад
So hadi Mh Makonda aingilie kati ndo watu walipwe!? Wanaohusika wanafanya kazi gani!? .....Bila Paul watu wangedhulumiwa.
@user-xx1je7sy4h
@user-xx1je7sy4h 2 месяца назад
Watanzania shida inayotusumbuwa ni uelewa mdogo tulionao bila kufanya mabandiliko ya kimufumo hata watokee akina makonda mia hakuna kitakacho bandilika katiba mpya ni sasa na ccm ndiyo chazo cha uovu wote huu
@martinemaganga5253
@martinemaganga5253 2 месяца назад
Hili siyo tatizo la chama Bali ni mfumo wanwatu,hata kama atapewa ZPP bado hawa watu wataingia kwenye mifumo,watu watateuliwa kuingia serikalini na uharifu utaendelea kuwepo tu,haijalishi kwa katiba gani ama kwa chama kipi
@kibombi
@kibombi 2 месяца назад
Makonda
Далее
Sevinch Ismoilova - Xayollarim 18-Avgust 19:00 Premera
00:19