Arusha ilikuwa inatisha wamekula hela za walipa Kodi kwa Miaka yote hakuna kilicho fanyika.Makonda ni kiongozi Bora.Magufuli spirit eee mungu Tanzania inakushukuru kwa kutupa Makonda.Makonda inabidi alindwe kwa kila hali ...ulinzi wa kwanza uanzie na sisi wanachi tumlinde kwa hali na mali .kama una kubali weka like 💪✌️
Huyu ameletwa na Mungu mwenyewe, Mama samia aliguswa na Mungu, nani anakataa kuwa Arusha inaibeba Tanzania kwa maombi? Arusha kwa asilimia kubwa, humuomba Mungu ktk Roho na kweli, sio kukaa kusubiri miujiza!!... Mama Samia asante kwa huyu kijana wako Makonda na team yake
Mama Samia mama, ktk mikoa mingine wale viongozi waliolala wanatakiwa waamke sasa...teua vijana wazalendo kama Makonda, Silaa, na yule wa Dar japo kidogo aongeze kasi
Makonda anaona mbali sana mungu amlinde yarab Na hana ubaguzi wa dini kabila wala rangi anatimiza lengo lake la kazi Wafichue madhalimu woote uwanjani tuwajue nchi yetu itanyanyuka sasa maana ilikuwa inadidimia kwenda chini
Yaani huyu mweshimiwa akisema ndio anagombea urais kesho hiyo ni shwaaa✓✓✓ bira kipingamizi yaani huyu mtu anatosha kwa kira kitu ila kama mama akiendelea kumuamini zaidi basi najuwa kwa kazi ya huyu Makonda mama mitano tenaaa kazi iendelee baada ya hapo kiti muachie yeye aendeleze mama atakapokuwa ameishia
Mimi ndo mana huu upuuzi sitakagi. Mi ni mjenzi sitaki kabisa kufanya kazi na serikali kabisa ni wasumbufu hawa watu pesa wanazigawana wao humo wanazila harafu madhila yanaenda kwa mkandarasi
Makonda anaona mbali sana mungu amlinde yarab Na hana ubaguzi wa dini kabila wala rangi anatima lengo lake la kazi Wafichue mashalimu woite uwanjani tuwajue nchi yetu itanyanyuka sasa maana ilikuwa inadidimia kwenda chini
We luck good leader like magufuli and makonda although human being we have problem of course but makonda tries to unite and bring peace we love you so much
Wezi wote na wababaidhaji watakuchukia lakini wananchi wema wote watakupenda na kukuombea na hawa ndiyo wengi. Unastashili kuombewa, kupongezwa na kutiwa moyo kwa kazi unayoifanya. Kongole Mwamba wa Arusha.
Mm sio mwana ccm Ila makonda nimekukubali una faa kua Rais wa Nchi hii mungu akulinde na akusaidie wakusimamishe ugombee urais unapita bila kupiga nakuambia mungu akusaidie
Wabongo wakishaingia kwenye system hasa serikalini,wakapata njia za pesa wao huwa hawana habari tena na wananchi,wanajiangalia wao na familia zao.ndio Mana ngazi zakutatua hizi kero anayoyafanya makonda watu wapo kibao kwa nafasi zao tofauti tukianza na wenyekiti wa mtaa,na kuendelea ngazi kwa ngazi mpaka kufika kwa mkurugenzi then itafika kwa waziri au wizara usika
Mimi naamini Wakuu wamikos baadhi pia wapo wanaofanya kazi kubwa sema kama waandishi wahabari wengine hawafwatilii yanafnyika bc lazima atafute mtu gn hbr zitauzika kiongoz gan hua ukigusa trend ipo mfno angalien baadhi yamawaziri kama Bashe.. Bashungwa..Ally Happy watu wanafny kz sema hii nchi ni Pana na kubwa
Yani vitu vingine bana mbona very simple haya mlolongo ulio sizi zaidi ya miaka mi3 umesolvika within minutes... makonda ubarikiwe mkombozi wa wanyonge
Rc Makonda ni jembe la ufisadi wa jiji la Arusha unafaa saba kunyoosha ufisadi wa wachache hspa Arusha ongere rais raisi Samia Duruhu Hassan kuleta jembe la wizi wa urapegi hu
Watanzania shida inayotusumbuwa ni uelewa mdogo tulionao bila kufanya mabandiliko ya kimufumo hata watokee akina makonda mia hakuna kitakacho bandilika katiba mpya ni sasa na ccm ndiyo chazo cha uovu wote huu
Hili siyo tatizo la chama Bali ni mfumo wanwatu,hata kama atapewa ZPP bado hawa watu wataingia kwenye mifumo,watu watateuliwa kuingia serikalini na uharifu utaendelea kuwepo tu,haijalishi kwa katiba gani ama kwa chama kipi