Siku hizi harusi za kiislam zimekua kama za kikiristo wanawake na wanaume wake sehemu moja hivi nyinyi mashek mambo kama haya kwa nini mnayafumbia macho wakati mnajua ni makosa
Ni sahahi kabisa naungana na wale wote wanatoa comments kuhusu kuchanganyika wanaume na wanawake,ndio dini yetu inavyotutaka sasa sisi tujitahidi tu kufuata tu tusiongeze yetu sisi. Ila sasa tumefanya kama ndio utamaduni na kila siku zikienda tunazidisha mambo. Mimi nikioa hao best mans wanasubiri msikitini nikienda kumuona mke wangu.
ai haifai haya mambo yanayotendeka hapo dini hairuhusu mbo kaahaya nikudhalilisha dini hiiya kiislam haifai tumcheni Allah hii haifai tusizue vitu jamanii Allah atuongozehaifaiii
Sheikhi wetu mbona ikawa hivyo ungetengeneza ukumbi pia mwali wetu angevaa nikhabu asionekane na wengine lkn alihamdulillah lkn ungefanya marambili kwa wanawake na wanaume shekh wetu lkn naomba msamaha kwa kukumbusha au furaha imezid
Dr. sule ww n mtafiti wa mambo mengi, ila ss nikuombe kwa heshima zng zote, naomba utenge muda wa kutafiti hii sunna inayotangazwa na mawahabi km wanavyoitwa kw ikhlaasw kabbisa.Allaah akuwezeshe
@@tiffahdangote7548 haifai kwa mwanamke kudhihirisha mapambo yake, na hapo ilipaswa kuwatenganisha wanawake na wanaume. sikutegemea kwa shekhe kama huyo kufanya ujinga huo
@@fatmamajid7908kwani uislam umekufundisha kuita wenzio majahil?kueni wazi na unaweza muita hivyo usiogope mtu muogope mungu maana anaeteleza huinuliwa hatukanwi upoo ama suudia iliwafundisha kutukana?
Mnamkosoa watu kuchanganyika wakati Kuna wengine hapa mnacomment huku mmekaa na mahawara na mnaenda kwenye miziki na mnasikiliza Sasa Nini kiherehere 😂😂😂
Mashaallah kwa kitu gani ? Amechanganya wanawake na wanaume ukumbi mmoja na watu wamenipamba hairuhusiwi. Kasome sura Al ahzab. Hiyo mashaallah itakuwa astaghafirullah
Sishangai ninayoyaona hapa yamuhusuyo dr sule!! Sasa naunganisha tu one + one = two .... Dini ya dr ni dini kama zilivyo dini xa wabongo wengi ILA kwa vile yeye ni muhadhir tulitegemea kuona kitu tofaut! Miaka zaid ya kumi nyuma nilibak kinywa waz kama ninavyoshangaa leo ! Nilfka nyumbani kwake kupga hodi anatoka mwanamke mkubwa mzima kichwa wazi!!! Kunisikiliza!!! Cjui mashkh wetu wengi ndvyo mulivyo!! Yote kw yote Dr mjanja tu wa mjini !!! Dini ya kutaftia hela!! Anatumia kipaji kuingiza hela na kupata umaarfu !! Dini hassa yke hassa anayejua ni muumba na yeye kama yeye!!!
Wapumbavu kabisa peleken tamaa zenu mbele mnazaliwa na WA awake mwanamke akifa mnamshika maungo yake na mikono kwenden huko na tamaa zenu hao mnaowaita makafiri ni wa Mungu pia kwani watu wako uchi tamaa TU ndio mmeweka mbele