Тёмный

MFAUME AMJIBU MWAKINYO KIUME SANA/ MWAMBIENI AACHE TAARABU NAMTAMANI HATA KESHO/MANARA KAMALIZA KAZI 

Maximum Tv Online
Подписаться 442 тыс.
Просмотров 37 тыс.
50% 1

SAD MOMENTS Ni Kipindi Kilichoandaliwa Maalumu na MAXIMUM TV Kwaajili Ya kugusa maisha ya watu wenye mazingira Magumu Ndani ya Tanzania
kwa Mfano
1 - WENYE MARADHI
2 = WALIOTELEKEZWA NA WATOTO
3 - UNYANYAPAAJI WA KIJINSIA
4 - UBAKAJI
5 - MATUKIO YA KIKATILI
6 - AJALI
7 - KUISHI MAZINGIRA MAGUMU
8 - WAZEE NA WATOTO
___________________________________________________________________________________
KWA HABARI ZA MATUKIO TUPIGIE
Mawasiliano : +255 6254 66848 ( Pia inapatikana na Whatsapp )
Pia Unawezaa kututembelea kwenye kurasa zetu za instagram , Facebook , Telegram
Usisahau Ku-SUBSCRIBE Channel yetu ya MAXIMUM TV Ili Kuwa wakwanza kutazama Matukio Mbali Mbali na Kwa ubora zaidi.

Спорт

Опубликовано:

 

9 июл 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 207   
@user-xe1yx7ik2m
@user-xe1yx7ik2m Год назад
Namuheshimu sana mfaume ila pale kwa Mwakinyo asijichanganye atapigwa kama ngoma yule mdigo usoni bisho ila sio poa.😂😂😂😂
@tonniebarry9804
@tonniebarry9804 11 месяцев назад
Umeongea ukweli kaka
@SaeedMughayyar-jv8et
@SaeedMughayyar-jv8et 11 месяцев назад
Kweli kaka
@saidimkome3818
@saidimkome3818 Год назад
Mwakinyo anamdomo kweli sema mfaume uwezi kucheza na mwakinyo
@VickyKaniki-yt1cu
@VickyKaniki-yt1cu Год назад
Kwendaa huna viwango
@VickyKaniki-yt1cu
@VickyKaniki-yt1cu Год назад
Yule ni number moja ww je wivu tu humuwezi bwanaaa
@UsafiMichael-mc8kt
@UsafiMichael-mc8kt Год назад
@@VickyKaniki-yt1cu mdogo wangu unajua Ngumi lakĩnĩ au unataka nikufunze?
@Marjeby
@Marjeby Год назад
Mfaume ni bondia mwenye maadili sana na mstarabu sana ndio mana ana pendwa sana na rika zote
@paulngash683
@paulngash683 10 месяцев назад
Mimi ni sabiki ya mfaume mfaume ,nikiwa Kenya na ata saii Niko Qatar, king wameze ndawa ata kama ni Kali make sure 💪
@TALLUBOY
@TALLUBOY Год назад
Leo mzee umejimimina kinoma Mzee duh hatari mzee Hassan umepoteza heshima yako Kinomaaa ulivyo poteza na withimisi
@habisnasalum-nz4zo
@habisnasalum-nz4zo Год назад
Mfaume wew na haji ni mashoga Tena mnaliwa mikundu Tena mnataka kiki kupitia mwakinyo uyo shoga haji alimchokoza mwakinyo akirudishiwa anatafuta huruma haji anataka huruma kwaio wew mfaume ni msenge tu mnataka kiki kupitia mwakinyo kwenda wasenge tu
@ratoboyratotabia459
@ratoboyratotabia459 Год назад
Yani anaongea likini Hana nguvu mamae
@BINRESAMUSTAFA-qd8ex
@BINRESAMUSTAFA-qd8ex Год назад
Goooooood mfaume mpakazie fala mvaaa vikuku wa tanga nguruwe yule Maneno mengi hana jipya mbwa tu
@adambakule7066
@adambakule7066 Год назад
Wewe achana na mwakinyo atakuuwa una maneno mengi ila umeshuka sana kiwango
@mudybeka6698
@mudybeka6698 Год назад
Mwikinyo anawaita watu gym ili baadae aseme kafanyiwa fujo mazoezin.....mfame,kiduku,kidunda,Ibrahim nawengine mnao jielewa nawapa respect inanizam ya boxing ...achaneni nimtu asiekua na nidham
@ayoubissa977
@ayoubissa977 Год назад
😂😂😂tm mashoga 😂😂
@AndresNdimbwa
@AndresNdimbwa 11 месяцев назад
Jichanganye bx, ukutane nacho
@AhmedAli-ur3uc
@AhmedAli-ur3uc Год назад
Mfaumeeee badooo saana ilaaa mwakinyoooo humuweziii sio level zako kabisaaaaaa ww tengeneza profile ndipo upigane na mwakinyooooo yambavuuuu
@malikbhia1147
@malikbhia1147 Год назад
Umeongeza shabiki mwingine hapa 💪🥊🥊🥊
@GivenTobago
@GivenTobago Год назад
mangumi ya mwakinyo ni ya kizamani hajui boxing ni choko tu mfaume bingwa
@geofreymwamakula7178
@geofreymwamakula7178 6 месяцев назад
Mfaume anajua sana kuongea kwenye interview...yaan anaongea boxing asilia ya uswahilini hadi raha kumsikiliza...kuhusu kupigana sijui mwenyewe...
@donmahela2412
@donmahela2412 Год назад
Acha tantalala ww humuwez Mwakinyo
@CharlesNdege-om5oe
@CharlesNdege-om5oe Год назад
Mwambie huyooo, mvaa vikuku🤣🤣🤣
@denisipaulo7785
@denisipaulo7785 Год назад
Wewe umuwezi yule mwamba cheza uko mabibo yule ni mwamba na ana njaa
@sixytntongambele3038
@sixytntongambele3038 Год назад
Bwana wee ngumi unaweza na mwakinyo anaongea ndio na ukweli nikwamba huwezi kupigana nae utaleta sababu za uzito nje hamwend mnataman kuharibu karia za walio jitafuta awali uwezo wako tunauon we pigan na wale madogo wa jeshin na akina classic kinyo atakuuwa brother tunawapenda lkn jitaften tuuh
@yudadaniel4867
@yudadaniel4867 Год назад
Bwana wako huyo kumbe??😅
@HamiduMohamedi
@HamiduMohamedi Год назад
We humuwezi mwakinyo usijiteteee mzee mapambano yako unabebwa tu
@franciskobelo
@franciskobelo Год назад
Mwamba huyo nakukubali sana umenyooka sana%
@edgarnestory8466
@edgarnestory8466 Год назад
Hajui ngumi shoga moja la mabibo😂😂
@SaeedMughayyar-jv8et
@SaeedMughayyar-jv8et 11 месяцев назад
😂😂
@salumuseif3324
@salumuseif3324 Год назад
Nakubali mwamba
@nassorrashidynassorrashidy7272
Awezi acheze na watoto wenzake
@user-gj2lu1mh2f
@user-gj2lu1mh2f Год назад
Nakukubali mfaume kauli mzur
@mbarakahmed3892
@mbarakahmed3892 Год назад
Apo kweli mwakinyo mwakinyo anataka sifa nakujionesha lkn kisawa ilekweli ngumi nizakuotea
@salimmtanga8230
@salimmtanga8230 11 месяцев назад
Kibongo 2 mwakinyo hawamwez weng wao maneno acheni maneno mletewe mabondia
@shaabanramadhan6770
@shaabanramadhan6770 Год назад
Champez one time hassan mwakinyo hyu ndo kiboko yenu for evrthng kipesa hammuwezi kingumi hammuwez
@omarycheyo5534
@omarycheyo5534 Год назад
Kama mchezo wa ngumi unauweza yeye amesema round sh.laki 5 si uwende
@mohamediabdalah7650
@mohamediabdalah7650 Год назад
Anasema kajopanga nawenzake nayeye achukuwe wenzake waende anachelewatu anaonekana muoga
@robisonikadogo7371
@robisonikadogo7371 Год назад
Mfaume mininaamini mwakinyo anaweza kukupiga kamangoma
@SaeedMughayyar-jv8et
@SaeedMughayyar-jv8et 11 месяцев назад
😂😂😂😂😂
@deogratius1272
@deogratius1272 Год назад
Mdogo wangu kabisa kitaa Ila anachoongea ni understand huwezi kuwazalilisha wanaume wenzako mwakinyo amekosea Sana halafu mwenzie mfaume Hadi mpira alikuwa yupo vizuri Sana namba tisa sodo siyo powah mdogo wangu atafika mbali coz nidhamu anayo Mabibo stand up.
@ayoubissa977
@ayoubissa977 Год назад
Ivi kauliyake yakwanza uliisikia
@user-nn5ut6uc1l
@user-nn5ut6uc1l Год назад
Wewe acha uongo humuwezi mwakinyo
@fredymwakikono1575
@fredymwakikono1575 Год назад
Mabondia wa bongo wivu mwingi sana
@darriders5130
@darriders5130 Год назад
Usijaribu kaka kucheza na mdigo yule, ATAKUKANDA MBAYA
@abdulnasuma9729
@abdulnasuma9729 Год назад
Achaneni na mvaa vikuku .. hana ata rafiki kwaiyo mambondia wote wabaya? Kwake ....
@donmahela2412
@donmahela2412 Год назад
Nyota 5 yule w huna ana nyota moja w mchumba to kwake
@hishamally4846
@hishamally4846 Год назад
Msema kweli mapafu ya mbwa salunti sana nakonzi boksa havai kikukuu 😅😅
@chrissimbeye208
@chrissimbeye208 Год назад
Mfaume bado watoto kwa mwakinyo atakuua mwakinyo
@kastorymalila1109
@kastorymalila1109 Год назад
Mapafu ya mbwaaaaa🔥🔥🔥🔥💪💪💪👊👊
@ramadhanimohamed4190
@ramadhanimohamed4190 Год назад
Sasa nenda basi masaki c ni apo tu kwann umvamie kwenye kupima
@yahkiwera3611
@yahkiwera3611 Год назад
Mpuuzi wewe kesi ya manara na mwakinyo wewe unawashwa nini? Umefika wapi kwen gumi Duniani hujulikani unajta mapafu yambwa bc wewe Niharamu kabissa😂😂😂
@GodfreyMyombe-jc3ry
@GodfreyMyombe-jc3ry Год назад
Ulaya haipo hiyo mnatukanana tu jmn TANZANIA
@donmahela2412
@donmahela2412 Год назад
Mwakinyo mwamba sana
@jeffyasin2977
@jeffyasin2977 Год назад
Namuonaga hapa mabibo makaburini na coacher wake
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 Год назад
Ajipendekeze mmoja wenu aende tuje kusikia kafa huko.😂😂😂 Mwakinyo yuko mbali sana acheni ujinga
@SaeedMughayyar-jv8et
@SaeedMughayyar-jv8et 11 месяцев назад
😂😂😂
@SaeedMughayyar-jv8et
@SaeedMughayyar-jv8et 11 месяцев назад
Mpaka siku yawatokee. Waache waimbe taarabu😂😂
@habisnasalum-nz4zo
@habisnasalum-nz4zo Год назад
Kujaza nini pigana nae anakupiga na anakufira pia
@SaeedMughayyar-jv8et
@SaeedMughayyar-jv8et 11 месяцев назад
Mabondia wa tz wanamtaka mwakinyo ili wamfanye ngazi ya kufika juu na kutambukika zaid. Minyaneni wenyew bhana wacheni upuuzi😂😂
@karimwaziri2370
@karimwaziri2370 11 месяцев назад
Wewe humuwezi mwakinywa unapigwa kama umesimama,mwezio akikuzidi kubali ujifunze mwakinywa yukombali tofauti nawengi bongo.unaongeaongea unabebwabebwa tu.hawezi kupigana na bondia kama wew yule kaza nawew ufike hatuanzuri acha ujinga badirika
@EmanuelisamweliMndolwa-bu4tj
Ashaogopa hio ni ofa imetoka nenda mfaume ukapasuke
@joetheone3354
@joetheone3354 Год назад
Ngumi zinachezwa Ulingoni hizo sparing ndiyo upuuzi gan sijawahi sikia bondia anakimbia ulingo anataka gym😂😂mwambieni Mwakinyo Ulingo upo wanaume waoneshane siyo taarabu
@sopetermassawe5703
@sopetermassawe5703 Год назад
Mfaume huna lolote ww ni bondia wa kawaida saana saaana achan namwakinyo
@MichaelMagawa-xn2ht
@MichaelMagawa-xn2ht Год назад
MM NAKWAMBIA NENDA
@SheitumuDokodoko
@SheitumuDokodoko Год назад
Mfaume Mimi mshabiki wako achana na kujibishana na huyu mwehu asiyejijua huyo.
@albertmullah2377
@albertmullah2377 Год назад
Mwakinyo anajijua yeye ni brand kubwa ndo mana hawa jamaa wanajigonga.. aende masaki 😂
@eddymwaifunga8361
@eddymwaifunga8361 Год назад
P1 champion mfaume mfaume
@SelemanMiyonga-oe4ck
@SelemanMiyonga-oe4ck Год назад
Kweli tupo wengi mashabiki wko mfaume
@mduduonline8116
@mduduonline8116 Год назад
Bondia anavaa kikuku
@SuleimanOmar-uc8hd
@SuleimanOmar-uc8hd Год назад
Jaman masaki siyo mbalii
@salehattas5166
@salehattas5166 Год назад
Hawamuwezi kinyo
@abdimakame7929
@abdimakame7929 Год назад
Mfaume Mfaume wewe ni choko tu.
@ratoboyratotabia459
@ratoboyratotabia459 Год назад
😂analiwa uyu waandishi wanampa kichwa tuuuh
@MuuminSuleiman-cr5pr
@MuuminSuleiman-cr5pr Год назад
Lakin huyu mapafu ya mende si aliitwa na mifupa ya sokwe gym mbona hukuenda !???? Huyo mfaume mende kweli
@user-yt6un3xh6x
@user-yt6un3xh6x Год назад
Wa lahi wewe mfaume usisubutu kwenda masaki angalia maisha yako ukienda masaki umeyakanyaga umuwezi mdigo hasan mjui alivyo atakuuwa shoolizako
@MohamedKimbwembwe
@MohamedKimbwembwe Год назад
Inaonyesha mwakinyo ni Bora zaidi maana woote Wana mtaka awape Kiki awajulikani mpaka wamtaje yy
@captenndunga6745
@captenndunga6745 Год назад
Wanamtaja au ni maswali wanaulizwa na watangazaji? Wasiulizwe alafu uone kama watamtaja.
@SaeedMughayyar-jv8et
@SaeedMughayyar-jv8et 11 месяцев назад
Wanataka kiki tu
@KawezaSeleman-zs6ng
@KawezaSeleman-zs6ng Год назад
Mwakinyo muoga Sana hivi pambano na wenzio wanacheza muda wowote wewe hutaki unataka sparing yanini
@edwardmaguluko6541
@edwardmaguluko6541 Год назад
Hao ambao sio waoga Mwakinyo kawaita waende wakacheze round 10 huyo MFAUME tunaangalia mapambano yake hana kitu Twaha kiduku hana kitu
@SingoMedia
@SingoMedia Год назад
@@edwardmaguluko6541 vipi kuhusu Kidunda?
@fj8317
@fj8317 11 месяцев назад
@@SingoMedia wewe naye fatilia ngumi kidunda uzito tofauti
@law93king
@law93king Год назад
mapafu ya mbwaaa🙌
@DgGggh-cp1vp
@DgGggh-cp1vp Год назад
We mvaa vikuku Acha Kelele😆😆😆
@AwadhiHemedi-vl5ri
@AwadhiHemedi-vl5ri Год назад
yaniwewe mfaume unalopoka lopokatu hataaaibu huna unabebwa tunaona mwakinyo anapigana kwaaakili nanangumi nzito sokama wewe nenda ukapigane napendonjau mfaume ndolevo zako mfaume kwanza unaletewa mabondia wazee unabebwa sana
@bahatjuma7458
@bahatjuma7458 Год назад
Hana kitu mwakinyo, hajui ngumi
@naimasbuguza2395
@naimasbuguza2395 Год назад
Mfaume unajua kuongea sannah
@tegebdimarco3432
@tegebdimarco3432 Год назад
Nenda babu acha maneno kenge wew 😂😂😂😂
@stevenkimaro65
@stevenkimaro65 Год назад
Mfaume champion
@johnjulius3092
@johnjulius3092 Год назад
Wewe humuezi mwakinyo mdomo tu unao na wivu unakusumbua Yule mkubwa kakuzdi kama unaweza omba pambano nae akupige Hilo bichwa
@nyembobea7285
@nyembobea7285 Год назад
Mfaume bondia wa kawaida sana asijifananishe na mwakinyo kama ni waganga ndo wanampa kiburi awe nao makini dawa huwa zinazidiana ogopa mwakinyo hataree
@SalimChambo-mm7qr
@SalimChambo-mm7qr Год назад
Mbona nyie kila siku mnapambana kumuongelea mwakinyo
@habisnasalum-nz4zo
@habisnasalum-nz4zo Год назад
Huna lolote mbwa wew kaliwe tu unatafuta bwana wew mbwa hujulikani huna lolote mm sio shabiki wa shoga wew mwakinyo baba lao humuezi mwakinyo
@SaeedMughayyar-jv8et
@SaeedMughayyar-jv8et 11 месяцев назад
Mabondia wa bongo mnatakiwa mumuheshimu sana hassan mwakinyo. Katangaza tanzania na kaupatia jina mchezo wangumi tanzania kujulikana duniani huko, mbwa nyie 😂😂😂
@user-rr8vw1xz5w
@user-rr8vw1xz5w Год назад
Mwambie aende masaki jamaa yupo
@amrimadunda7821
@amrimadunda7821 Год назад
Nenda Kaka ukapasuke Unaongea Sana siundee
@SaeedMughayyar-jv8et
@SaeedMughayyar-jv8et 11 месяцев назад
😂😂😂
@mohamedchenge9440
@mohamedchenge9440 Год назад
Punguza maneno Ninjaaawewe ni inge moja la boxer ...nenda uka prove basi kashatoa nafasi mbona mnakua kma mnaogopaaaa?????
@samsonnyihita3985
@samsonnyihita3985 Год назад
Acha hizo kaka mqakinyo mwamba humuwezi alipofikia na wewe vitu 2 tofauti acha hizo
@bdmbega1423
@bdmbega1423 Год назад
Mfate ameshawaita acha kelele.
@criminalminds7723
@criminalminds7723 Год назад
Mwakinyo anataka sparing na sio maneno kwa mitandao,si alisema yeye atalipa bondia yoyote atakaejitokeza,sasa mbona mapafu ya tausi unaendelea kelele??nenda gym na ueke sparing tu
@adilhabib8988
@adilhabib8988 11 месяцев назад
kiukwel mwakinyo amejitolea thaman ktk bondia wenzie Tanzania
@kitutujuma9602
@kitutujuma9602 Год назад
Aisee nyie. Mwakinyo anawapiga mpaka kwa maneno. Mpeni mauwa yake Mwakinyo next level. Hajawakataa ila itapobidi fikieni levo zake. Ila yote kwa yote kama aitoshi yupo masaki na kawakaribisha kwa sababu kimtazamo inaonekana hamuwezi mfikia kule. Na kuhusu mashabiki mwakinyo ana wengi sana. Ukitaka kuhakiki fuatilia kometi
@husseinkakanga2699
@husseinkakanga2699 Год назад
Mmh!! Uende basi jamani mbona maneno mengi
@titosammbembat2313
@titosammbembat2313 Год назад
Mwakinyo takataka
@edgarnestory8466
@edgarnestory8466 Год назад
Sky sports au unajifanya una hela na DStv huna😂😂🙌🙌🙌
@shaameshaame2837
@shaameshaame2837 Год назад
Changishaneni muweke hyo pesa apande. Ww hupigan ngumii wapiga ngumi wapo wawil tu Tz
@user-nn5ut6uc1l
@user-nn5ut6uc1l Год назад
Nenda ukafe Kaka Yule atakuuwa namjua sawa
@DUL69
@DUL69 Год назад
🤣🤣🤣🤣
@PillyHassani-pb6ny
@PillyHassani-pb6ny Год назад
Mwakinyo mnamchokoza wenyewe
@adinanimohamed895
@adinanimohamed895 Год назад
Wewe humuwezi mwakinyo fala ww
@evaristmbuya6220
@evaristmbuya6220 Год назад
Mfaume kwamba anataka pambano na Mwakinyo?
@GodfreyMyombe-jc3ry
@GodfreyMyombe-jc3ry Год назад
Uwa sikuelewi
@hassanimbwana3758
@hassanimbwana3758 Год назад
kwani masaki mbali mfaume
@user-bj3ep5kc1u
@user-bj3ep5kc1u Год назад
Wewe,mwehu,mwakinyo,mnamchokoza wenyewe,yule,ni,staa,mfuate,akupasue,kuku,ww
@yusuphmatepu2574
@yusuphmatepu2574 Год назад
Muongo bana maneno mengi
@SilvesterRaphael-xb6it
@SilvesterRaphael-xb6it Год назад
Huwezi pigana na mwakinyo wew dogo acha zarau za kisenge
@azeezmawled5830
@azeezmawled5830 Год назад
Nenda ukajifunze kule alipowaita
@gudimbwana8088
@gudimbwana8088 Год назад
Nimegundua mabondia hamna umoja wa kusapotiana .eti unachezea simu ili tu usiangalie...rudini pamoja
@odjeey5074
@odjeey5074 Год назад
Mfaume mulize Hassan anamjua Joshua clottey
@user-sp2fm4qd2h
@user-sp2fm4qd2h Год назад
inawezekana wakacheza ?....au ni uzito tofauti?
@GodfreyMyombe-jc3ry
@GodfreyMyombe-jc3ry Год назад
Afu kalewa uyo😅😅😅
@MusaJuma-jr7wb
@MusaJuma-jr7wb Год назад
Mfaume hujui kitu nenda Sasa kwa mwakinyo Kama hujafia nikweli huyo niwadaa tuu Toka tukuome Kama hujafa
@aliyshemweta9753
@aliyshemweta9753 Год назад
Acha uongoo Bhanaa 😂 mfaumee siulikua.jaji kwenye mechi ya mwakinyo na yule mwajentina 😂
@simonitolya8029
@simonitolya8029 11 месяцев назад
Mchane bishooo huyo
@shabanipanya1033
@shabanipanya1033 Год назад
Wote ninawapenda lakini ninavyo ona mwakinyo mtu wa kupigana nae hapa Tanzania ni kiduku tu hakuna mwingine labda kidogo anae weza kujaribu tena kidogo labda kidunda
@adilhabib8988
@adilhabib8988 11 месяцев назад
huyo mwakinyo mleten zanzibar jaman tuna mtaman sana
@abdulswamadmahmoud1163
@abdulswamadmahmoud1163 Год назад
Chizi ni chizi tuu hana lolote uchawi tuu mfaume Kapigane na iddi pialali ndio levo yako na pia humuwezi foul nyingi
Далее
Players with Their Kids
0:31
Просмотров 6 млн