Nimepata wazo wakuu wa mikoa waige kwa makonda wakiwa makonda wengi magufuli wengi wataua nani au wataacha nani maana watakua wengi na wataogopa akiwa mmoja ni rahisi kumuua kama umenielewa gonga like
TAIFA HILI LINAMAJIZI TOKA NGAZI YA TAIFA HAWA NI SEHEMU YA KAFARA NDOGO TU HUKU CHINI.HATA MAMA MBONA ALIACHA WALE WEZI WALIOTAJWA KWEMUE RIPORT YA CAG?
Taifa Lina tunu kubwa, usife moyo Wala usikatishwe tamaa usiogope, Mimi support yangu ni kukuombea unanipa faraja namwoma Hayati JPM ndani ya moyo na akili Yako.
Hivi wapendwa mlioko humu niwaulize kitu, hapo ni arusha uwizi umefanyika hivyo,je ,mikoa mingine vp jamani? Kwann wakuu wa mikoa mingine wasiige mfano wa makonda ili huo wizi ukome? Jaman sijui
Mimi binafsi navyoona anaweza kufanya kazi bila miadhara hii .Akisha malizana nao tunachotaka kuona ni wamefukuzwa kazi fulani na fulani kwa wizi.Ila hii malumbano na mikusanyiko y kutublack meil hii ni kutufanyia maigizo.hata wakibainika kesi zao huishia angani tu husikii mwisho wa kikweli