Kutoka kijijini Kasumo Wilayani buhigwe Kigoma kijijini kwao na Dkt Mpango Makamu wa Rais Mteule wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, nakukutanisha na Dada yake ambae hapa anaeleza jinsi wageni walivyofurika nyumbani kwa Mbunge wao kutoa pongezi lakini pia Jeshi la Polisi walifika kutazama usalama wa familia ya Dkt Mpango.
29 мар 2021