WEWE KISUGU UJUI MPIRA UNAROPOKA TUU MARA YA NGAPI HIYO UNAAPA HIYO NA MPAKA UMETOA SHAMBA KINACHOTAKIWA UMUOMBE ALLAH AWAINUE MWAKA HUU ILI MFANYE VIZURI SI KUAPIA KITU AMBACHO UJAKIONA
Huyu jamaa hajuwi kuwa ubora wa timu ndo unaoleta matokeo mazuri,na amesahau kuwa kipindi Simba wanabeba ubingwa mara 4 walkuwa na kikosi Bora na kama walkuwa wanatumia uchawi kwa nn waliuacha au walichoka mafanikio?wakubali tu kikosi walishakisambaratisha wenyewe na kwa sasa wanafer kwenye usajili wanao waleta hawafki kiwango Cha wale waliokuwa wanawapa ubingwa,maana ukiwataka kama,kina chama miqueson kabla hawajaenda uarabuni na wengine kina kagere,kichuya,Boko,n.k hawa waliokuwa wazuri nawalpo Toka tu Hawa jamaa Simba ilianzia hapo kuyumba Hadi Leo,kwa hyo anayoyaamini yeye ya uchawi mpirani amefer fikra zake.
Kweli kaka Kisugu:yaan sisi tumerogwa sana.Halafu Jana pale Airport wakati anazungumza semaji letu kuna kijitu kilisimama nyuma ya semaji letu ni nani yuleeeeee?
Utopolo wa mo dewji kweli hawana content inaongelewa Yanga tu ndani na nje ya nchi😂😂😂😂...wengine washaanza kujihami na uchawi. Kweli Eng. Hersi ni mtu mbad😅😅😅😅
Mwanzoni mwa msimu,kelele nyiiiiiiiiingi ---- mwishoni mwa msimu,akina kisugu na wenzio mtakuwa mmeshakuwa " Vinyonga wote " na shughuli yenu itaanza nane nane --- Na hao wavulana wenu,safari hii,lazima mchapane bakora -- Nje Ndani Iko pale pale "
Acha kudanganya watu.Unaijua bilion 6? Ni maneno tu moo aeleta wachezaji wa elfu 10 kumi kaka.Timu mwaka huu haijatoa majeti ya usajiri.Unasema mdomoni tu.Moo ni mjanja sana.
Hata Mashujaa na Prson waliwaroga ? Lazima YANGA haitoki Midomo Mwenu 7-2 . Eti wamesajili wanajidanganya Hao Vijana ni Mapambo watatoroka kwenye uwanja wa Vita Huyu ni punguani
ACHENI UNAFKI KWA IYO AZIZI AIKATAE KUSAINI AZAM AMBAYO WALIMTAKA MAPEMA TU ALAFU AKACHEZEE SIMBA AMBAYO INACHEZA SHIRIKISHO KOMBE LA MALUZA KWELI AU MNAROPOKA TUU MISULI INAWATOKA KAMA MNATAKA KUJIFUNGUWA LEBA NYIE VIPII?