Тёмный

MBOWE AMBANA WAZIRI MKUU BUNGENI - "UNANIPA MAJIBU MEPESI SANA" 

Global TV  Online
Подписаться 4,9 млн
Просмотров 114 тыс.
50% 1

MBOWE AMBANA WAZIRI MKUU BUNGENI - "UNANIPA MAJIBU MEPESI SANA"
Kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani Bungeni ambaye pia ni mbunge wa Hai, Freeman Mbowe, amemuuliza waziri mkuu Bungeni kuhusiana na madai ya serikali kupiga marufuku mikutano ya vyama vya siasa vya upinzani nchini..
#BUNGENIDODOMA
UNA HABARI? WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE
( +255 784 888982)
( +255 676 229628)
HABARI MPYA DAILY:
ru-vid.com?list...
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
ru-vid.com?list...
GLOBAL RADIO TV:
ru-vid.com?list...
EXCLUSIVE INTERVIEW:
ru-vid.com?list...
Subscribe Global TV, Channel itakayokupa Habari na matukio ya kipekee nchini Tanzania
Subscribe bit.ly/globaltvonline

Опубликовано:

 

5 фев 2020

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 94   
@user-lg6dd2qn2k
@user-lg6dd2qn2k 4 месяца назад
Mungu akawape uwongozi boraa 🤝💯
@christophertarimo5047
@christophertarimo5047 3 года назад
Mbowe Alkaeli Freeman the Legend
@AnorldBelton
@AnorldBelton 5 месяцев назад
Mda ukifika hakuna nafasi yakuuliza maswali mungu hafanyi vitu kwakubahatidha Mimi naamin mda haujafika Wa Tz kuwa na uhulu huo tuutakao hawa watu wachache wanao pambana kwaajili yetu watatuacha sisi nasisi tutawaacha wengine kikubea nikuomba mungu2 mipango yake juu yataifa hili yawe
@ceciliajimmy5652
@ceciliajimmy5652 4 года назад
Hivi wanaoshangilia wanajielewa kweli!!!! Mungu tunusuru waja wako.
@yusufkechbow8153
@yusufkechbow8153 4 года назад
@@sahimm4767 nia ma house Girl
@issamasanja7874
@issamasanja7874 3 года назад
Ulijua tangu lin
@kapingageorge7635
@kapingageorge7635 4 года назад
Tume ipoo huru makada wenu wakina Nape walikujaa na maneno ya jukwaan na kwa kejeli na majigamboo kuwa wamepigaa bao la mkono leo unasema kuna Tume huru sasa kama ww Wazir mkuu unajibu hv ki wepes wepes hao wakuu wa mikoa na mawazr inakuajee duuu kazi tunayooo
@kennyrogers4734
@kennyrogers4734 3 года назад
Mh Waziri mkuu tunakupenda sana tena sana ila muogope mungu kwa kutudanganya kua tume tulionayo sasa ni huru hapana sio kweli maana tume huru gani inayoteuliwa na Raisi?iyo danganya toto Mh Waziri Mkuu
@kapingageorge7635
@kapingageorge7635 4 года назад
Maswal mazito na ya msingi ww unajibu kiwepesi wepesi kazi tunayooo
@user-zs9kb7ev5f
@user-zs9kb7ev5f 4 месяца назад
Asante sana wazilimkuu majibu yako yameiva vizuli sana awasikii
@user-ti8fn1wn1w
@user-ti8fn1wn1w Месяц назад
Mpumbavu wewe
@jahrean-tc8561
@jahrean-tc8561 4 года назад
Uenezi na kazi tufanye SAA ngapi
@shahabdallah9407
@shahabdallah9407 Год назад
Nafurahishwa sana na nidham ya Mh. Warizi Mkuu wetu Kassim Majaliwa
@user-us3fn6bj4d
@user-us3fn6bj4d 2 месяца назад
Mungu utupe uongozi bora jamni
@user-tn5ym5gd6s
@user-tn5ym5gd6s 11 дней назад
Kweli kamanda mbowe tunaongozwa kibabe ila yatapita ipo siku itakula kwao kiukweli chini ni kugumu tumepgika sanat Mungu ndo anajuwa kesho yetu
@johnnisilenisile1990
@johnnisilenisile1990 4 года назад
Hana majibu sahihi yaan majibu yake mepesi Sana hy
@chachamaheri7785
@chachamaheri7785 4 года назад
Hata hvyo sweli lenyewe ni jpesi mno
@BoniphacePeter-ih2st
@BoniphacePeter-ih2st 3 месяца назад
Swali lililojaa mitego ya Hali ya juu na liliulizwa kwa ufanisi mkubwa xn hongera mzee mbowe
@chugawoodpictures2587
@chugawoodpictures2587 4 года назад
Fire 🔥
@adventureguidertanzania2331
@adventureguidertanzania2331 4 года назад
Kweli mbowe Ni kichwa,maswali yako Ni mazito Sana,
@emmanuelymushy1924
@emmanuelymushy1924 4 года назад
Waziri mku nae ana tetea nafasi yake na atetei haki
@khadijamillanzi5273
@khadijamillanzi5273 3 года назад
Wewe tetea haki basi
@Grandpamotivator
@Grandpamotivator 4 года назад
Yaani ccm hamuonagi hata Aibu, Katiba iliyotungwa mwaka 1977 Kipindi kulikua na chama kimoja ndio itumike leo kuunda tume kwa miaka hii ya 2020 kipindi kuna vyama vingi. RUBBISH, Kipindi katiba iliyopo sasa mwaka 1977 kulikua na chama kimoja so tume ni huru kama kungekua na chama kimoja, Bali kwa sasa Hii tume sio Huru kwasababu kwa sasa kuna vyama vingi inahitajika Katiba mpya ambayo itaunda tume huru kwasababu kwasasa kuna vyama vingi kwahio katiba iliyopo imepitwa na wakati na tume si huru.
@tonganekwizayo9642
@tonganekwizayo9642 4 года назад
Kama na wewe umeona waziri mkuu kajichanganya kasema nchi inaongozwa kibabe like hapa👇🏻👇🏻
@saleheinnocent7636
@saleheinnocent7636 4 года назад
Nakumbuka Mkurugenzi wa tume ya Uchaguzi 2015 aliondolewa dakika za mwisho kabisa jeee iyo imekaaje labda Kama sio kuingiliwa?
@WilliamAbraham-xb2or
@WilliamAbraham-xb2or Месяц назад
Mungu ibarki Tanzania
@shulestuff
@shulestuff 4 года назад
Serikali ya TZ)zinanikumbusha Kenya ya Moi - 1990s, upinzani ikinyanyaswa
@davidsonstevenson2653
@davidsonstevenson2653 4 года назад
huyo waziri alivyosisimama sasa kama yupo kaunta ya BAA
@shedyjr3227
@shedyjr3227 4 года назад
11.03 WEWEEE
@Jonathan95311
@Jonathan95311 4 года назад
Kumbe neno "huru" linaweza likawa na maana tofauti eeeh 😧😧😧
@abdulrahimmohamed7066
@abdulrahimmohamed7066 4 года назад
waziri mkuu ameonda OP
@Obedy-er8ih
@Obedy-er8ih 22 дня назад
It's break time 😄😄
@echuku9905
@echuku9905 Год назад
Hiyo kweli mbowe
@davidsonstevenson2653
@davidsonstevenson2653 4 года назад
waziri mwnyw anjibu kwa mapoziii alafu mbona ajasisima kwa adabu
@davidsonstevenson2653
@davidsonstevenson2653 4 года назад
amelewa madaraka
@mwidiniharuna9618
@mwidiniharuna9618 4 года назад
tutaelelewana tu
@yusufkechbow8153
@yusufkechbow8153 4 года назад
Maswali ya chuot kikuu, majibu ya nursery
@eliasmollel9213
@eliasmollel9213 4 года назад
Yusuf Kechbow hatariiii Kabisaaaa
@josephnchunga1247
@josephnchunga1247 4 года назад
Wanataka kuzulula, huku wakichangisha fedha kwa watu eti wanaimalisha chama kumbe wanaibia pesa zetu hata ofissi ya maana miaka yote hiyo hakuna hao ndio tuwachague ,watatuzia inchi Yetu hao kwa mabeberu .
@ramadhanmanko4614
@ramadhanmanko4614 4 года назад
Siokweli mzee muogopemungu
@KulwaAmran
@KulwaAmran 5 дней назад
Waw
@amosaruta22
@amosaruta22 4 года назад
Mimi naona kama Magufuri nachukua nchi jana muongezeni mda Magufuri jamani wabunge nyie ili nchi hisonge mbele
@youngmasamah9864
@youngmasamah9864 3 года назад
Maendeleo ya Nchi yanakusaidia nn kenge ww
@zayanasudi3731
@zayanasudi3731 4 года назад
Mxeeeeeew hadi kichefuchefu
@ishmaelsimon6617
@ishmaelsimon6617 4 года назад
Shida ni kwamba tumejivuruga kikatiba! Ni huru yes kimaandishi but huo uhuru wake unaendeshwa vp na unasimamiwaje! For what we have seen kwa serikali za mitaa, hatuchagui viongozi, tunachaguliwa viongozi!
@georgeswai7248
@georgeswai7248 4 года назад
Weweee
@JohnManyilizu-rl5bm
@JohnManyilizu-rl5bm 19 дней назад
Kumbe hata wakubwa huwa wapo waking katika maeneo fulani nilifikili huwa Managua kila jambo au huwa wanajizima data siyo vizuri Hill nitaifa letu sote tusahihisheni tulips Korea tusonge mbele
@saleheinnocent7636
@saleheinnocent7636 4 года назад
Walakini mkubwa huu Majaliwa
@haipo8949
@haipo8949 4 года назад
Waziri Mkuu hana namna nyingine ya kujibu,nkutokana na Katiba iliyopo. Ndo maana amekwenda ktk vifungu. Mngepambania Katiba mpya LAKINI mkienda na Katiba iliyopo mambo ni yale yale.
@magesachacha602
@magesachacha602 4 года назад
Mpanda Kuna shida ya kuzuiwa mikutano ya MBUNGE RODA KUNCHERA na wakati taarifa wanao na kibali wametoa tatizo Viongozi wa MKOA
@adenmayala9298
@adenmayala9298 4 года назад
Endeleen kujibu majibu mepesi kwa maswali magumu ipo siku mtalipa hii gharama ya mzaha mnao ufanya
@adenmayala9298
@adenmayala9298 4 года назад
Endeleen kujibu majibu mepesi kwa maswali magumu ipo siku mtalipa hii gharama ya mzaha mnao ufanya
@paulosonda8995
@paulosonda8995 4 года назад
Kwahiyo mweshiwa wazir mkuu sehem ambazo hazina wabunge wa upinzani zenyewe inakuwaje
@athanaskija529
@athanaskija529 4 года назад
Chadema msitutishe njaa tu inawasumbua
@peterhayuma6401
@peterhayuma6401 3 года назад
mbowe mbane jamaa
@hamiskengwa6250
@hamiskengwa6250 4 года назад
🤣🤣🤣🤣 majibu mepes hayo
@BoniphacePeter-ih2st
@BoniphacePeter-ih2st 3 месяца назад
Mbowe ni kichwa xn majariwa amna ulichojibu
@gideonelias5379
@gideonelias5379 4 года назад
Swali na majibu hayaendani
@josephmsanga6751
@josephmsanga6751 4 года назад
Mwandishi sikuelewi Eet Waziri Mkuu kabanwa! Kwani Uliona Hapumui!? Najua Aliulizwa Maswali na Akayajibu papo!: Acha izo.
@mwidiniharuna9618
@mwidiniharuna9618 4 года назад
tatzo nin mjomba
@doktamathew
@doktamathew 4 года назад
😂😂😂😂😂
@saleheinnocent7636
@saleheinnocent7636 4 года назад
Kila kitizama video hii nauwona uwepesi wa majibu ya mtendaji mkuu wa shughuli za serikali bungeni.
@receptionzanbluu3656
@receptionzanbluu3656 4 года назад
Hawa wabunge wanapiga meza kiushabiki tu hawajui lolote wababaishaji tu
@saleheinnocent7636
@saleheinnocent7636 4 года назад
Video hii inachefua
@GeofreySanga-zo2lg
@GeofreySanga-zo2lg 23 дня назад
Ccm wanazingua😅
@RAHAARTISTGROUP
@RAHAARTISTGROUP 16 дней назад
Hawa chadema busara ni kidogo na mwaka watachukua nchi ndo itakuwa mwanzo wa machafuko huongea kwa unafikiunafiki
@moseskyaman9323
@moseskyaman9323 Год назад
Wazir Hana majibu lakin tusimlaumu alikuwa anamtumikia farao na kwa kuwa farao hayupo naamini waziri atafanya kazi na nchi itasonga mbele Dr.Samia S.H atatuvusha
@batistutacharles9146
@batistutacharles9146 4 года назад
Acheni kushiriki tena muuone ?ccm tunapaa kama kaw
@justinejohn7724
@justinejohn7724 4 года назад
Una uhakika??
@abdulazizi2875
@abdulazizi2875 4 года назад
Hahah majibu mepec sanaaa
@kitunidawooddaulani4185
@kitunidawooddaulani4185 4 года назад
ana ongea nae sio mbulula ni mtu anaye tumia akili nyingi......Ndio mana ana majibu yake shot😄😄😄
@bakarilubeleje1167
@bakarilubeleje1167 4 года назад
Mbowe yuko sahihi ase
@kitunidawooddaulani4185
@kitunidawooddaulani4185 4 года назад
@@bakarilubeleje1167 anatumia hasira arafu mwenzake anatumia akili xaxa hapo unaonekana bwege wakati upo sahihi.....😄😄😄
@aishashabani2980
@aishashabani2980 3 года назад
Sijakuelewa we waziri
@ricksonmrema1693
@ricksonmrema1693 4 года назад
Upumbavu mtupu akuna tume huru
@kitunidawooddaulani4185
@kitunidawooddaulani4185 4 года назад
mepesi arafu yana kele hayo......N
@jahrean-tc8561
@jahrean-tc8561 4 года назад
We ulitaka ajibu vipi
@kitunidawooddaulani4185
@kitunidawooddaulani4185 4 года назад
@@jahrean-tc8561 mie sipo tena uko
@kitunidawooddaulani4185
@kitunidawooddaulani4185 4 года назад
@@jahrean-tc8561 mbona amejubu furesh sema uyo mwenzake alikuwa anataka wabishane....😄😄😄😄
@aldoba2826
@aldoba2826 4 года назад
Hatuna tume huru. Sio huru
@AhmedSeif-il1xx
@AhmedSeif-il1xx 6 месяцев назад
Majaaliwa muongo
@hapickymedia8616
@hapickymedia8616 4 года назад
Majibu mapesi kweli ?
@victorjames3730
@victorjames3730 4 года назад
Tume iko huru???????? Hehehe
@Grandpamotivator
@Grandpamotivator 4 года назад
Amesema tume huru kwa mujibu wa katiba ya mwaka 1977 kipindi cha chama kumoja, ila kajisahau kwamba sasa kuna mfumo wa vyama vingi so katiba iliyotungwa 1977 kwasasa imepitwa na wakati, so tume sio Huru tena coz kwa sasa kuna vyama vingi
@simonrusigwa3024
@simonrusigwa3024 2 года назад
Cheeky hajajisahau. Makusudi
@ramadhanmanko4614
@ramadhanmanko4614 4 года назад
Weweeeee
@user-ti8fn1wn1w
@user-ti8fn1wn1w Месяц назад
Miaka 61 ccm madarakan na wanainchi maixha bado magum
@AllyMandunda-tj9jc
@AllyMandunda-tj9jc Месяц назад
User wewe ni mjinga sana
@luvangaluvanga2322
@luvangaluvanga2322 4 года назад
Polepole anaridhaa ya nani ?
@isacktarimo8917
@isacktarimo8917 4 года назад
Kama nawew umesikiliza robo ukaona haku cha maan gong like
@lwitikomwakibete7525
@lwitikomwakibete7525 4 года назад
Kama majibu mepesi ongeza mchanga yawe mazito
@LukandaLukata
@LukandaLukata 3 месяца назад
Lukanda Lukata
@josephnchunga1247
@josephnchunga1247 4 года назад
Waziri Mkuu yuko yy anajibu kulingana na swali limevyo ulizwa ,tume huru ipi kama si kutuhadaa tu, swali la nyongeza kama si tume Huru wao walishindaje? Wa upinzani wafie mbele wahuni hao.
@danielmwanga5231
@danielmwanga5231 4 года назад
Hawa jmaa wanajiamini cjui kwa nn wanajibu majibu kirahis rahis kwel inauma sana utawala huu Mambo yanavyoenda
Далее
BUNGENI: MBOWE VS MAJALIWA KUHUSU SHAMBULIO LA LISSU
12:23
24 часа в самом маленьком отеле
21:19
[RU] Winline EPIC Standoff 2 Major | Group Stage - Day 1
8:42:47
Is it impossible to cut off so much?💀🍗
00:14
Просмотров 4,2 млн
24 часа в самом маленьком отеле
21:19