Тёмный

MPINA AJIBU WABUNGE WALIOSEMA WATAKWENDA KUMSHTAKI KWENYE VIKAO NEC "CCM SIO PANGO LA WALANGUZI" 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 37 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 305   
@jonfredkewe3451
@jonfredkewe3451 3 месяца назад
Wanaosema Mh Mpina ni nuru ya waishio gizani tujuane hapa.
@KhadijakassimMwaipaya
@KhadijakassimMwaipaya 3 месяца назад
Mpina tunakukubalia sana mungu atakufanyia wepes
@KhadijakassimMwaipaya
@KhadijakassimMwaipaya 3 месяца назад
Pole sana lazima upigwe mawe kwasababu msema ukweli
@molenicharles9107
@molenicharles9107 3 месяца назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@davidrweyemamu938
@davidrweyemamu938 3 месяца назад
Hongera sana Mpina wenye akili tunakuelewa!
@husseinbakary1969
@husseinbakary1969 3 месяца назад
Msukuma mmoja hivi mwenye akili nyingi sana
@MAGIDACHIMIJA
@MAGIDACHIMIJA 3 месяца назад
Waongo waliungana kumuadhibu mkweli😢
@josenyalusi7390
@josenyalusi7390 3 месяца назад
Namkubari sana mpina
@kamandashupavu206
@kamandashupavu206 3 месяца назад
Wangapi tumeanza kupata mawazo ya Kenya? Gonga like twende sawa
@ce-08
@ce-08 3 месяца назад
😂😂😂😂
@janejoel2465
@janejoel2465 3 месяца назад
@Jimmywampinda
@Jimmywampinda 3 месяца назад
😂😂😂😂😂😂
@salimutwahiri3693
@salimutwahiri3693 3 месяца назад
Mawazo ya Kenya ya kipuuzi ingia barabarani uone
@yusufujemson9020
@yusufujemson9020 3 месяца назад
Daaaaaah bongo ni hatari sana
@edwinkajuna7207
@edwinkajuna7207 3 месяца назад
Tuko pamoja Mh Mpina, Wabunge wengi ni vilaza hawajui ht wajibu wao Bungeni
@HeriDunia-i7m
@HeriDunia-i7m Месяц назад
wabunge wengi awajasoma
@cleofasladislaus2177
@cleofasladislaus2177 3 месяца назад
CCM HAWATAKI MTU ANAYE ONGEA UKWELI 😂😂😂😂😂
@janejoel2465
@janejoel2465 3 месяца назад
Jaman jaman jaman. Eee MUNGU tusaidie, maana sisi wengine tunaishi kwa neema yako
@lindatogether
@lindatogether 3 месяца назад
True
@nsajigwamwakalonge5702
@nsajigwamwakalonge5702 3 месяца назад
Wewe kama mwananchi unasemaje? Nchi inaibiwa watu wako bize kubishana simba na yanga
@MariagorethPetero
@MariagorethPetero 3 месяца назад
Mwizi yeyote ukimnyooshea kidole kwa sababu ya wizi aliofanya lazima akasirike na kutafuta mbinu ya kukunyamazisha.
@nsajigwamwakalonge5702
@nsajigwamwakalonge5702 3 месяца назад
@@MariagorethPetero kwahiyo nyie watanzania mnashabikia wezi
@nashonjoel20
@nashonjoel20 3 месяца назад
MPINA ni Mzalendo kweli kweli. Kila silaha itakayofanyika juu yako HAITAFANIKIWA. ISAYA 54:17, usiogope
@SillinusNyanda
@SillinusNyanda 3 месяца назад
Ukweli nilishangaa sana.Mimi ni MNEC nitakwenda nitasema hili.Wabunge Hawa ukweli walifanya vibaya sana.Na c utaratibu.Hawajui wajibu wao kama wabunge.Msitishe watu kusema ukweli
@MPOYOLAFILMS
@MPOYOLAFILMS 3 месяца назад
We love you Mpina...
@millandoinstructor8844
@millandoinstructor8844 3 месяца назад
Jamaa anahoja asikilizwe
@gabapentin8070
@gabapentin8070 3 месяца назад
Msema kweli hii nnchi anachafuliwa sana Mpina tupambanie
@Hanifa4-d4q
@Hanifa4-d4q 3 месяца назад
❤❤❤❤mungu akulinde
@juliusdonard933
@juliusdonard933 3 месяца назад
Watu weng hawajui sheria , mpina upo sawaaa
@levinareuben
@levinareuben 3 месяца назад
Uko sawa mh.mpina the message sent and the delivery.
@yusufmohamed8874
@yusufmohamed8874 3 месяца назад
Ukiona hivyo huyo BASHE hakufanya yeye kama waziri bali alipewa maagizo kutoka juu.
@EmmanuelChrispin-bo5xh
@EmmanuelChrispin-bo5xh 3 месяца назад
Kwel
@MathewNathan-yb2bz
@MathewNathan-yb2bz 3 месяца назад
Umeongea point sana ,nakupa hongera.
@liannsambu7264
@liannsambu7264 3 месяца назад
Umeongea akili ya wenye akili na huyu angenyamaza KUSUBIRI muda useme ,asijitose kwenye bahari isiyo na nanga 😢
@yordanyona1234
@yordanyona1234 3 месяца назад
Fact KABISA...waazishe chama sisi tutawapa kura Makonda Mpina Kaliman Lukuv Gwajima Tunawapa kura chap
@MATIKO9640
@MATIKO9640 3 месяца назад
Kabisaaa
@dilludillu2747
@dilludillu2747 3 месяца назад
Mpina stand firm
@Mosmwampa
@Mosmwampa 3 месяца назад
Bashe kalindwa Kwa nguvu saana
@KingBuddah-nx3ui
@KingBuddah-nx3ui 3 месяца назад
WATANZANIA HAWA WABUNGE WASIRUDI TENA
@Afrikan-ol8qn
@Afrikan-ol8qn 3 месяца назад
I'm grateful to hea that....keep going sir.
@KingBuddah-nx3ui
@KingBuddah-nx3ui 3 месяца назад
MIMI NAWASHANGAA SANA KWA NINI MSIANZISHE CHAMA CHENU MTAPATAWATU WENGI SANA KUSHINDA CCM
@ludanishirima5102
@ludanishirima5102 3 месяца назад
kaka pina umenifanya nianze kufikiri kutafuta mbadala wa chama changu. hongera sana wewe ni Kwa uwajibikaji mzuri wa Afya ya taifa letu😊
@denisipaulo7785
@denisipaulo7785 3 месяца назад
Tatizo mpina umesema ukweli kwani ujui kama ccm wanapenda uhongoo ila usijali wakikufukuza njoo chadema kwani nini
@ZenaUsangi
@ZenaUsangi 3 месяца назад
BORA AANZISHE CHAMA CHAKE HAO CDM NDIO WALEWALE TU NGOJA WAPATE NAFAC UONE TENA BORA NA CCM
@FridayMwassa
@FridayMwassa 3 месяца назад
​@@ZenaUsangiZito ameanzisha chake mkamtelekeza
@emanuelgavile3503
@emanuelgavile3503 3 месяца назад
Aje chadema sisi tunamchkua msigwa usajili kama wa mutale simba
@mamboshepea8888
@mamboshepea8888 3 месяца назад
Aje chadema??!! Wao ndo kabisaaa!!! Ukisema ukweli unaitwa msaliti dah!!
@stevenkatani3047
@stevenkatani3047 3 месяца назад
Na awezi kwenda chadema yeye xo mjinga Bora haunde chama chake.
@Carolina-sm5zt
@Carolina-sm5zt 3 месяца назад
Nakukubari Sana Mpina Mungu akulinde
@IddyRyogo
@IddyRyogo 3 месяца назад
Namuona chuma kwa mbaliiiii mzalendo Mungu akulinde
@MohamedIbrahim-bn1gz
@MohamedIbrahim-bn1gz 26 дней назад
Sisi wakulima hatukutaki Mpina unatuharibia kazi zetu
@masanjajohn-qs7mq
@masanjajohn-qs7mq 3 месяца назад
Mpina kiboko!!!!Ngosha getegete!!!
@GmakaYusuph
@GmakaYusuph 2 месяца назад
Daaaah tunako elekea ni kenya kabisaa, kuna hatua tutafika tutachokaa , hongera kwa kupambana kamanda
@kungulesh
@kungulesh 3 месяца назад
One Man Army (OMA).
@MACHOYATAI-jk6fu
@MACHOYATAI-jk6fu 3 месяца назад
Tulia anajipendekeza kwà samia sana badala aisimamie serekali kwào hamna hata barabara ana KAZI ya kumfungia mpina
@lawrence-xk1km
@lawrence-xk1km 2 месяца назад
Tena toka pale round about hadi kwao pale vumbi kokoto tupu yaani hadi atamaliza muda hakumbuki kwao.sifa zote kakimbilia kugawa boda boda tu Mbeya mjin jimboni kwake hakuna kitu,hata sifa wanazompa sijui ni ipi
@jamesmhangwa9672
@jamesmhangwa9672 Месяц назад
Good to go for Presidency
@KingBuddah-nx3ui
@KingBuddah-nx3ui 3 месяца назад
WABUNGE WAMAGUFULI AWATORUDI TENA
@MiriamAziz-z5t
@MiriamAziz-z5t 3 месяца назад
VIVA KOMREDI MPINA....HILO NI GENGE LA WABUNGE WALA RUSHWA NA UFISADI....TUNAWAAMBIA....WATANZANIA SIO WAJINGA!
@SmilingBulldogPuppy-nb9ur
@SmilingBulldogPuppy-nb9ur 3 месяца назад
Ukiongea ukweli hapa kwa baadhi ya mafala walio wengi Tanzania hawataki matokeo yake ni kujaribu kumzuia msema mkweli
@emmanuelmwanzalima8337
@emmanuelmwanzalima8337 3 месяца назад
Nawakumbusha tu chama anachotoka huyu mwamba badiliahen maamuz mapema sana itawaghalim mno ushauri lakin SPIKA pia bashe jitafakari kaka
@FridayMwassa
@FridayMwassa 3 месяца назад
Mtafanya nini,vyombo vya ulinzi vipo imara
@foundationforcommunityhope7327
@foundationforcommunityhope7327 3 месяца назад
Daaaa pole Sana,lakini ubaki tu CCM.
@Felix-e6t4m
@Felix-e6t4m 2 месяца назад
asante sana mpina wabunge ni. Wanguzi sio wabunge wa wananchi masikini ni wabunge wa. Wenu ni simba sauti ya wanyonge
@maulidimuhani
@maulidimuhani 3 месяца назад
Nilidhani kuwa MPINA YUPO 100% Correct ila Sasa naanza kuelewa kumbe there is something behind we have to be careful
@albertbunyinyiga7581
@albertbunyinyiga7581 3 месяца назад
Usiwe na wasi wasi tuko na wewe na wapiga Kula wako tutakikisha unarudi bungeni Kwa kishindo na bado siku unarudi bungeni tutakusindikiza
@KingBuddah-nx3ui
@KingBuddah-nx3ui 3 месяца назад
AWA WABUNGE WAMEJISAHAU KAMA WALIFANYIWA KAMPENI NA JPM KWA UTAMU WA MADARAKA WASIRUDI TENA BUNGENI
@bonifasmashingia
@bonifasmashingia 3 месяца назад
Usikubali kujiuzilu mzee wangu yaani mpaka wasemeee!!Bashe ni muongo sana hata ukimwangalia materials and formally
@christinakomba689
@christinakomba689 3 месяца назад
Tanzania tunashabikia ujinga
@FelicianSimon
@FelicianSimon 3 месяца назад
​@christinakomba689 haya ww shabikia ujanja
@bonifasmashingia
@bonifasmashingia 3 месяца назад
1:13 ​@@christinakomba689
@bonifasmashingia
@bonifasmashingia 3 месяца назад
Bashe ni muongo !!Mpina kasema ukweli Ila ni kawaida waovu kuteteana🤮🤮🤮🤮
@hassnsalim5156
@hassnsalim5156 3 месяца назад
MPINA UPO VZR SANA BUNGE LETU UCHAWA MWINGI ENDELEA KUIPAMBANIA NCHI NA WANANCHI WENYE AKILI TUNAKUELEWA SIKU ZOTE UKWELI HUWA UNAUMA
@dancerboy2686
@dancerboy2686 3 месяца назад
ipo cku atakuja magufuli mwingne watakuja kunyea debe
@ellsonmkonyi1319
@ellsonmkonyi1319 3 месяца назад
Haya maoni 2 yanamajibu mh mpina uko juu
@NescharlesMalando-xm6lg
@NescharlesMalando-xm6lg 3 месяца назад
Dah nuru itang'aa hv punde mungu yuko pamoja nawe na mamilion ya watz nko pamoja!!
@BasiliClement-ql1yg
@BasiliClement-ql1yg 3 месяца назад
Nakukubali sana kaka hawajielewe hawo wavunia tumbo
@SophiaKamgunda
@SophiaKamgunda 3 месяца назад
Jamani Mpina unaeleweka vizur mno yatawarudia wao watadhalilika
@godsson5954
@godsson5954 3 месяца назад
MILLARD BONGE LA MNAFKI
@servantjosiahtv3129
@servantjosiahtv3129 3 месяца назад
MPINA CHADEMA, MSIGWA CCM.. ngoma draw
@machujamathias7165
@machujamathias7165 3 месяца назад
My role model
@karimjuma4019
@karimjuma4019 3 месяца назад
Bashe ni hamna kitu nikiongea hivi Nina sababu za msingi kwenye vyama vya msingi Kuna wizi sio kidgo na yuko kimya
@daudisalum9574
@daudisalum9574 3 месяца назад
Namkubali sana luhaga mpina
@saidaliomar
@saidaliomar 3 месяца назад
Nenda Chadema tu ukaungane Lissu huna ishu
@MinchandeManeno-te4zg
@MinchandeManeno-te4zg 3 месяца назад
Safi sana mpina
@BahatiLogondisha-vq7gg
@BahatiLogondisha-vq7gg 3 месяца назад
Ok sawa asilimia zote 100/ kwahoja zako mh Pina tunaka wazalendo kamama wewe sio wapiga diri 2025 tunawasubiri watukute
@PeterMaonga
@PeterMaonga 3 месяца назад
Huyu jamaa ni kichwa tunao wachache sana wengine waliobaki wote ni ndio mzee
@denisruvugo1764
@denisruvugo1764 3 месяца назад
Sasa usisome sana basi boss , hoja zote clean kabisa
@KingBuddah-nx3ui
@KingBuddah-nx3ui 3 месяца назад
MIMI NINAUAKIKA WATU HAWA SITA SABA WANAITOA CCM MADARAKANI
@DamasiMushi-bf6tf
@DamasiMushi-bf6tf 3 месяца назад
Pole sana Mungu akutangulie ndio Tanzania yetu ukisema ukweli unachukiwa
@abednego3876
@abednego3876 3 месяца назад
Huyu inatakiwa kila mahali awe anakundi la watu wanamshangilia, ila mambwa wamelala tu usingizini.
@MapandaEnterprises
@MapandaEnterprises 3 месяца назад
Spika na bunge hawakumtendea haki Mpina, kaka simama na ukweli watanzania tunakuelewa sana
@liannsambu7264
@liannsambu7264 3 месяца назад
USIOGOPE kuachwa na CHAMA ,Ogopa kuachwa na MUNGU
@lugelosanga5798
@lugelosanga5798 3 месяца назад
Ccm ni mavi tuu tena ya mwishoooo
@ChristianMzena
@ChristianMzena 3 месяца назад
Kwa maslai ya nchi arudi bungeni
@MathewNathan-yb2bz
@MathewNathan-yb2bz 3 месяца назад
Mpina akili kubwa na mzalendo wa kweli
@MATIKO9640
@MATIKO9640 3 месяца назад
Hebu muwashauri hao wap..z wawe wanapita na mtandaoni kujua wananchi wao wanasema nini through comments afu wachukulie positively then wajitathimini kwa uongozi mbovu na maamuzi yao mabovu, wanatukwaza sana sisi wapenzi wa ccm. Mbunge kama mpima ni wa kuungwa mkono kabisa vinginevyo mnatufanya kuwa na mashaka na ccm ambayo tunaiamini kuwa ndiyo yenye viongozi bora wengi, kama vile Majariwa, Makonda, Mpina na wengi wengi. Kuna shida kubwa sio bure.
@FortunataNguma
@FortunataNguma 3 месяца назад
Ipo siku mawe yataongea kwa jina la Yesu
@JUSTNEMITOMINGI
@JUSTNEMITOMINGI 3 месяца назад
Toka huko ccm watakumaliza blo
@ipepeetube449
@ipepeetube449 3 месяца назад
Ila tulia bhana
@eliakazilo6078
@eliakazilo6078 3 месяца назад
Vita ya sukari bado mbichi..wabunge wa ccm wote ni wa ndioo inatokana na kwamba ,huu Ni mwishoo.wapo ambao wanaogopa hawatarudi..Sasa wanajikomba ili kwenye gwaride la u haguzi wasiachwe..Mpina nakuunga Mkono saana .Kuna kitu kimejificha nyuma ya uagizaji sukari
@KingBuddah-nx3ui
@KingBuddah-nx3ui 3 месяца назад
WATANZANIA TUAMKE HAWA WABUNGE TULIWACHAGUA KWA SABABU YA JPM TUAKIKISHE AWALUDI TENA BUNGENI AWA MAKUMA
@sundaystanley5322
@sundaystanley5322 3 месяца назад
Nimekulewa sana broo,kwa kweli walibebwa na jina la jpm
@marcynhumbi3534
@marcynhumbi3534 3 месяца назад
😢khaaaaa eti makuma tusilingine ulikosa
@talents7934
@talents7934 3 месяца назад
​@@marcynhumbi3534Muazime kama utakuwa nalo😂
@philipombwambo1980
@philipombwambo1980 3 месяца назад
Hawafai
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 3 месяца назад
Nani alikwambia kura zako zilihesabiwa ? Hahaha haya
@edwardleonard7402
@edwardleonard7402 3 месяца назад
Mpina kaza baba uku vizuri
@othumanrichard6138
@othumanrichard6138 3 месяца назад
Wakenya ni wanaume kiukwl Ila sisi hapa bongo wote ni wanawake tu
@juliusdonard933
@juliusdonard933 3 месяца назад
Daaa ,
@JoshuaMwanilwa
@JoshuaMwanilwa 3 месяца назад
Safiiii mpina
@malkavoice2570
@malkavoice2570 3 месяца назад
Wanadai Umemuatack na Mwigulu kakaako Msukuma Myiramba et! Waambie tu Ukweli huko huko walipokufungia alafu wakande za uso hadi wanyooke
@florencemeza6540
@florencemeza6540 3 месяца назад
.MPINA BINGWA NAKUPENDA ENDELEA KUPATA DHAWABU TOKA KWA MUNGU
@saidaliomar
@saidaliomar 3 месяца назад
nenda mwenywewe kenya
@deniccgabriel6153
@deniccgabriel6153 3 месяца назад
😂apa naona Mpina Chadema na msigwa CCM 😅
@mzeebabumzee
@mzeebabumzee 3 месяца назад
daa mpina una wakati mgumu kweli ccm yako ni watu wabaya sana awa taki ukweli usemwe pole kaka ukweli tusha ujuwa
@ChristineElias-bn4dw
@ChristineElias-bn4dw 3 месяца назад
Xnaaaa bro mpina simama imara shetani yuko kazini wanaleta stress zao ndani ya bunge wapeleke kule
@NgamelaYussuph
@NgamelaYussuph 3 месяца назад
Kweli Lengo La Sheria Ya waagiza Sukari Wawe Wenye Viwanda Ilikuwa ni Kuwakabizi Wenyewe Hyo Sekta Ili Wakiiharibu wasilalamike Leo Unawapa Wasio Na Viwanda wanaagiza Na Viwanda Vyetu Vikauze Wapi😊
@PeterMaonga
@PeterMaonga 3 месяца назад
Mimi nimemuelewa mpina sasa hawa wabunge vichwa vyao vikoje
@davincidavi693
@davincidavi693 3 месяца назад
Huyu ni Moja ya vibaraka wa wanaofanya sukari owe hadimu. Kwahiyo tufuate Sheria tufe na njaa
@jacksonmboi2489
@jacksonmboi2489 3 месяца назад
Ww wakat n wazr ni yap makosa umewai kuyafanya....je umekili kwa makosa hayo kwanza
@rendiman2878
@rendiman2878 3 месяца назад
Halafu tuna akina Msigwa humu wanajiunga na hili pango la majambazi
@lutegomakoyeluhahula361
@lutegomakoyeluhahula361 3 месяца назад
Achana na hao wabunge wapumbavu.
@Nehe100Kilindu
@Nehe100Kilindu 3 месяца назад
Akilinyingi sana
@Norrisnoriega
@Norrisnoriega 3 месяца назад
Shida jamii imeshiba sana amapiano vichwani bro kiasi unajikuta unapambana pekeako jifikilie jamii iachana na wakina amapiano wakamsikiliza DIZASTA VINA nini kingetokea naamini tungesapoti unachokifanya sana
@talents7934
@talents7934 3 месяца назад
Nimegundua kuwa hata mafisadi majambazi, na majizi yote yanalindwa 😢
@KingBuddah-nx3ui
@KingBuddah-nx3ui 3 месяца назад
KINAMAKONDA KINABASHILU ALI KINA SABAYA KINA MPINA MNAFANYA NINI HUKO CCM TOKENI AZISHENI CHAMA AU KIPENI NGUVU CHAMA KIMOJA KIWE NA USHINDANI MKUBWA TUITOE CCM
@yordanyona1234
@yordanyona1234 3 месяца назад
Kama niwazavyo
@SarahRajah
@SarahRajah 3 месяца назад
Duu hili wazo nililiwaza tangia asubuhi kamq ulikuwepo
@KingBuddah-nx3ui
@KingBuddah-nx3ui 3 месяца назад
@@SarahRajah kweli ndugu yangu CCM awanamvuto WATANZANIA wanamvuto na watu awa
@kulwamikwanga3112
@kulwamikwanga3112 3 месяца назад
Mpina piga kazi kama msema kweri ni mtenda zambi basi hata waendao kanisani kumutukuza mungu kwa haki na kweri na wao hawataenda mbinguni ira kama msema ukweri na haki kama mpina basi hawa wabunge wajitasimini sana majimboni kwao 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
@majidimussa8678
@majidimussa8678 3 месяца назад
kwel hakukua kikao cha ccm
@wilbertaerasto7584
@wilbertaerasto7584 3 месяца назад
Baadhi ya wabunge ni chawa tu, hawa maana kabisa, mh usiogope waeleze kabisa kwani ni wanafiki
@AbdulaziziPacha
@AbdulaziziPacha 3 месяца назад
Jitahidini kusisemeeniwenyewe msiseme wananchi tumechoka kama umechoka niwewe na unayonafasi ya kuhamia burundi mmeshindwa hoja ya uzanzibari sasa mnakuja na nyingine mpina acha kutafuta huruma kwa wananchi nenda mahakamani wananchi hawatakurudisha ktk vikao ulivofungiwa kweli posho za vikao zinauma
@DicksonEdson
@DicksonEdson 3 месяца назад
Mzee waburuze mahakamani uko sahihi
@adeliusvedasto7214
@adeliusvedasto7214 3 месяца назад
Wamebaki makamanda wachache nchii hii.
@JohnJoseph-su1xc
@JohnJoseph-su1xc 3 месяца назад
Badala waboreshe viwanda vyetu za ndan
@WilbertChambilo-yl1kc
@WilbertChambilo-yl1kc 3 месяца назад
Mtu ukikaa kimya huwezi kupungukiwa na zaidi utabarikiwa tu.
@UrassaPaschal
@UrassaPaschal 3 месяца назад
Acha nidhamu ya uoga kukaa kimya afu muendelee kupiga sio
@martineopapa7383
@martineopapa7383 3 месяца назад
Kwani wananchi walikuchagua ili uwe bubu bungeni?
Далее
PUBG Mobile СТАЛ ПЛАТНЫМ! 😳
00:31
Просмотров 108 тыс.
PUBG Mobile СТАЛ ПЛАТНЫМ! 😳
00:31
Просмотров 108 тыс.