Ukweli nilishangaa sana.Mimi ni MNEC nitakwenda nitasema hili.Wabunge Hawa ukweli walifanya vibaya sana.Na c utaratibu.Hawajui wajibu wao kama wabunge.Msitishe watu kusema ukweli
Tena toka pale round about hadi kwao pale vumbi kokoto tupu yaani hadi atamaliza muda hakumbuki kwao.sifa zote kakimbilia kugawa boda boda tu Mbeya mjin jimboni kwake hakuna kitu,hata sifa wanazompa sijui ni ipi
Hebu muwashauri hao wap..z wawe wanapita na mtandaoni kujua wananchi wao wanasema nini through comments afu wachukulie positively then wajitathimini kwa uongozi mbovu na maamuzi yao mabovu, wanatukwaza sana sisi wapenzi wa ccm. Mbunge kama mpima ni wa kuungwa mkono kabisa vinginevyo mnatufanya kuwa na mashaka na ccm ambayo tunaiamini kuwa ndiyo yenye viongozi bora wengi, kama vile Majariwa, Makonda, Mpina na wengi wengi. Kuna shida kubwa sio bure.
Vita ya sukari bado mbichi..wabunge wa ccm wote ni wa ndioo inatokana na kwamba ,huu Ni mwishoo.wapo ambao wanaogopa hawatarudi..Sasa wanajikomba ili kwenye gwaride la u haguzi wasiachwe..Mpina nakuunga Mkono saana .Kuna kitu kimejificha nyuma ya uagizaji sukari
Kweli Lengo La Sheria Ya waagiza Sukari Wawe Wenye Viwanda Ilikuwa ni Kuwakabizi Wenyewe Hyo Sekta Ili Wakiiharibu wasilalamike Leo Unawapa Wasio Na Viwanda wanaagiza Na Viwanda Vyetu Vikauze Wapi😊
Shida jamii imeshiba sana amapiano vichwani bro kiasi unajikuta unapambana pekeako jifikilie jamii iachana na wakina amapiano wakamsikiliza DIZASTA VINA nini kingetokea naamini tungesapoti unachokifanya sana
KINAMAKONDA KINABASHILU ALI KINA SABAYA KINA MPINA MNAFANYA NINI HUKO CCM TOKENI AZISHENI CHAMA AU KIPENI NGUVU CHAMA KIMOJA KIWE NA USHINDANI MKUBWA TUITOE CCM
Mpina piga kazi kama msema kweri ni mtenda zambi basi hata waendao kanisani kumutukuza mungu kwa haki na kweri na wao hawataenda mbinguni ira kama msema ukweri na haki kama mpina basi hawa wabunge wajitasimini sana majimboni kwao 🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️
Jitahidini kusisemeeniwenyewe msiseme wananchi tumechoka kama umechoka niwewe na unayonafasi ya kuhamia burundi mmeshindwa hoja ya uzanzibari sasa mnakuja na nyingine mpina acha kutafuta huruma kwa wananchi nenda mahakamani wananchi hawatakurudisha ktk vikao ulivofungiwa kweli posho za vikao zinauma