Тёмный

#LIVE 

Mwanzo TV Plus
Подписаться 158 тыс.
Просмотров 17 тыс.
50% 1

Fuatilia Mwanzo TV Plus
SUBSCRIBE RU-vid Channel yetu
Follow us on X, Facebook and Instagram

Опубликовано:

 

28 июн 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 100   
@michaelshegwando9125
@michaelshegwando9125 День назад
Mungu aendelee kukupa nguvu na hekima...
@alphoncejmrema7912
@alphoncejmrema7912 День назад
Mheshimiwa Mpina sheria imebadilika imekaa chin ya cheo kiongoz sio juu pole mheshimiwa mungu ni mwema kila wakat
@mchunguliechibwa198
@mchunguliechibwa198 День назад
Ndio mjue nyie chawa,ccm hina wenyewe tena wanatoka familia bora sio nyie maskini tu,chawa..Well done comrade Mpina..safi sana kuwapa mahua yao Mh Samuel Sitta and Anna ...
@humphreymkony8915
@humphreymkony8915 День назад
Wala usijieleze sana Mhe Mpina. Wenye akili wanajua kinachoendelea ktk ufisadi wizi kuhujumu kunakofanywa na viongozi wanaojiita wasomi.
@EmmanuelJailos-pe3du
@EmmanuelJailos-pe3du День назад
Mpina usichokijua bunge letu la Sasa ni la ccm! Na ccm ni chama kinachowachukia watu waadilifu ni chama kinachotetea ufisadi.Ukifichua maovu wewe ni adui wa chama na bunge sababu bunge Hilo lipo kwaajili ya kutetea uovu na kujitajilisha wao binafsi Hawa uchungu na maisha ya watanzani.
@nicholaskileka1160
@nicholaskileka1160 День назад
Mpina Mungu akutangulie karika kutekeleza majukumu yako. Mungu anawaona hao wenye nia ovu
@damaswikoko2596
@damaswikoko2596 День назад
Mpina uko vizuri sana
@user-eg1pk1sw4j
@user-eg1pk1sw4j День назад
Mpina GOAT,take your 🎉🎉🎉
@user-cd9re4wt2b
@user-cd9re4wt2b День назад
Wabunge hoja wazijibu wasikimbilie kukufukuza watanzania tunalaani vikali kufukuzwa kwa mh Mpina
@lupefiascojr.1896
@lupefiascojr.1896 День назад
Aiseeeee mpina kaonewaaaaaaaa Iko wazi
@MariaCassian-e2i
@MariaCassian-e2i День назад
Watanzania hatuna maamuzi wabunge wanao tetea wananchi kwa dhati wananyanyaswa namna hii 😂😂😂 watanza nia tuna heshimiana sana hebu tuendelee kuheshimiana tendeni haki vyeo ni dhamana tu❤❤❤❤
@danielkanso
@danielkanso День назад
Pole mheshimiwa shida ni kusema kweli kwa watu ambao hawahitaji ukweli na uwazi inaonekana unawakera kwa maswali na hoja zako keep it up
@simonnaivasha6393
@simonnaivasha6393 День назад
Hongera Mpina ! Hata kanuni wazotunga wabunge wetu hawazijui hata spika, kumbe ndiyo maana mwanafun,I we fani ya😊 shule sheria shetia wafail😊ing wa mitihani waalimu eweinyewae
@albertvalentino130
@albertvalentino130 День назад
Mmmmh ! Pole brother --- " Mungu ni mwenye haki,atakutetea "
@omariSaliboko
@omariSaliboko День назад
Mpina uko. Sahihi tuandamane
@user-nh9xk9zw5m
@user-nh9xk9zw5m 14 часов назад
mpina mungu akupe uzima kaka
@MariamKhamis-i3v
@MariamKhamis-i3v День назад
Mpina👏👏👏
@BenjaminiEdward-zh7zt
@BenjaminiEdward-zh7zt День назад
Kwa kitendo hiki cha kumnyanyasa Mpina CCM na Spika hawana nia njema na Watanzania tukutane Uchaguzi mkuu
@meryshekoloa961
@meryshekoloa961 День назад
Kikubwa.mungu akutunze vuta subra.mtangulize mungu tusikupoteze napia usichoke kuomba rehema
@asungwilemwaifungapenginei2385
Mpina ni kweli ni mnyonge wa Tanzania. Ameongeza kwa uchungu mkubwa kwa kuzuia kutekeleza wajibu wake wa kikatiba. Hazungumzii uchungu wa kukosa posho
Далее
Цены на iPhone и Жигули в ЕГИПТЕ!
50:12
How Many Balloons Does It Take To Fly?
00:18
Просмотров 41 млн
Try not to Laugh Game!
00:38
Просмотров 4,8 млн
Цены на iPhone и Жигули в ЕГИПТЕ!
50:12