Ifahamu historia ya Msami kuanzia alivyoingia kwenye kucheza, kushinda mashindano mbalimbali hadi kujiunga na THT, kusafiri nchi mbalimbali duniani na mengine #ChillnaSky
NIMESOMA NAE JITEGEMEE SEC. SCHOOL BASH BILA MSAMI HAINOG ZILE WELCOME FORM ONE .. SEMA FORM THREE ALIKUA MTORO SANA SIUNAJIA WALIM WAJEDA WAKINA AFANDE K WALIVO KUA WANOKO Enzi izo alikua mtoni madafu ALL IN ALL HE MADE IT
Hii kauli ya nimechanganya makabila, hua naiona ya kishamba na ya kikafiri sana. Nikimsikia mtu mtanzania au muafrika anasma amechanganya, namuona mshamba na mjinga kuliko mtu yyte.
Mtazamo wako na iyo imesaidia sana kutoa ukabila mana zamani kulikua na ubaguzi wa kikabila kwaiyo baba kama mzaramo mama mnyamwezi ukikutana na wanyamwezi unaona upo na ndugizako sawa mkuu acha kujisahau soma history ujue tumetoka wapi