Sis wenye tushindwa kujitambua nakujiani kama tuna uwezo wakijiongoza wenywe tunaona kama bila ya wao sisi hatuwezi nizaifu mkubwa wakifikra na kiimani husband viongozi walioko madarakani
hayo mambo ya mungu ndyo yanayo tuludisha nyuma tumeinginiziwa imani za hovyo na wageni kuacha ualisia wetu wa kiafrica na kujikuta kupokea imani za watu ambazo zinatufanya mpaka leo tumekuwa wajinga na kuwa kichaka cha maladhi
Hainishtui kiasi cha kunifanya niwaze sana kuhusiana na hii ishu coz I know I’m the best in front of my creator and I believe that there’s a reason behind why I were created black, so I’m very proud to be the way I am and I’ll never ever regret to, Code ni moja tu akikubagua mbague.
Ifike wakat cc watu weusi tujitambue km tunabaguliwa tusilazimishe kujichanganya nao Ni bora zaid tuish maisha yetu mana haitokuja tokezea ubaguzi WA watu weusi kuondoka duniani kwasababu hata watoto wao huwasomesha namna ya kutubagua
Haya Ruto umeona kaz hiy adi unapendwa ujue wana shida zao..Na huy mbibi wa kizungu kama ndio alimuanzishia kiran yan alianz kumbagua kitambo...mie ushaur kama upo huko we tafuta pesa urud mambo yao waachie ila nk vyema kaongeza kura kwa trump hasa kwa watu weusi walioumizwa na hilo...trump naye keshapata hoja ya kumkaanga na kufanyia kampeni
Jmn mrembo mzuri mwamfrica yaani anapendeza kazidi hawa weupe kama vile wana ugonjwa wa ukoma. Dada mweusi mzuriii sana, angalia tu macho yake tu jmn mtoto huyu dahhh!! Wazungu jmn Mbinguni hawataingia!! Sisi sote ni wa Mungu mmoja. Amen.
Shida sio dada tatizo ni mfumo wetu wa akili katika uso wa Dunia hata ningekuwa mm ingetokea hivo tu asiwaze kwetu ss ni shujaa wetu dada mwenyewe mrembo mzuri tu jaman❤
Ni ssi tu huwa tunajipendekeza kwa hawa watu weupe,sio wazungu tu hata wahindi,waarabu wachina,wote wanajiona wao bora zaidi na wenye bahati zaidi yetu.SISI TUKUBALI TU KIBAYA ZAIDI HAWA WATU MUNGU AMEWABARIKI MALI HAPO KIBIRI NDO KINAZIDI ZAIDI TUFANYE IBADA SANA ILI FUNGU LETU TULIKUTE KWA MUNGU WETU ILA HAPA DUNIANI HAWA WATU WANATAMANI WANGETUONDOA WATU WOTE WEUSI WABAKI WAO TU.
Ubaguzi uko kila sehemu na kila kabila duniani.Hapa hapa Tanzania tunabaguana sembuse huko Marekani.Hebu angalia hapo kenya wanavyobaguana,ww mbara nenda zanzibar au nende arabuni huko kote kuna ubaguzi.
@@MathewNathan-yb2bz ni lini ww ulishawahi kwenda zanzibar ukabaguliwa au unaushahidi wwte wa video au audio ikimuonyesha mtu wabara au ww mwenyew ukibaguliwa? Usiongee kwahisia ongea kiuhalisia usiongee kwa chuki mm nimeshaenda znzibar na nimeshakaa zaidi ya miaka miwili na hawaja wahi kunibagua na sijawahi kusikia kma kuna mtu wa bara amebaguliwa labda tuseme2 kua ss wabara tumetokea kuwachukua wazanzibali huo ndio ukwel tunawatengenezea chuki ila wale watu ni watofauti kabisa kwanza hawana habal kabisa na mtu kule kila mtu anaangalia maisha yke aisee kwakwl wale jamaa ni haki yao wakatae muungano mana kwanza hatufanani nao kwachochote nikimaanisha maadili yao hayaendani kabisa na yakwetu
Hawa wazungu hawawezi kutupenda sisi watu weusi, ni sisi tuu ndio tunajipendekeza kwao. "If one day the Europeans praise me, know that I have betrayed you" very great quotations By Samora Machel.
@@santinoplacid7571 wao ndio wanaotutegemea waafrica kwa kila kitu, madini na rasilimali nyengine nyingi, ni muda kwa viongozi wetu kubadili muelekeo kwa manufaa yetu nasio manufaa ya mabeberu
Inakeraa aricho kifanya biden. Ila kama irivyo kawaida wachafu wengi ndiyo wanavaaga nguo safi nakuaminika kiulaisi ishakua kawaida2 vitukama ivyo ugenini kule. Unakuta hao hao wa wanaobaguriwa ndiyo wanao mumarizia kula ya ushindi haanhahahaha
Hii inafunzokubwa kwa viongozi machawa wawa zungu wanaokula pesa zawazungu wajuwe wana wauza nduguzao kwa watu ambao hawawapendi Nandiomaana viongozi wa kiafrika wenye msimamo huwa wanawauwa R.i.p magufuli
Hata ukristo haukuruhusu ubaguzi,ubaguzi nitabia ya watu weupe wote dhidi ya mtu mweusi,warabu na wahindi ni wabaguz xana pia,hakuna Cha uislam Wala ukristo
Hawa weusi wanatakiwa wafanye yafuatayo: 1. Wasimpigie kura huyu magazine na badala yake wampigie wa Republican ingawaje wao ni wabaya zaidi. 2. Wasome kwenye disciplines tofauti 3. Watafute pesa kwenye maeneo tofauti 4. Watengeneze wanasiasa wengi 5. Waongeze idadi yao nk
Mimi uwa nawaambia aleyefanya wanzi na kuhonyesha uma au ajipendekezi huyo ndo mtu mzuri ata ukiwa job sisi weusi tukihona wanatushekea first day juwa aukai apo bro wanahesabu weeks tu na wakufukunze ila ukimkuta anafunga sura juwa unakaa pakanzi kama hakufukuza siku hile ya kwanza kunja kutafuta kanzi juwa umedumu apo atokutowa kame kabda mwenyewe ukatoke
Baiden raisi mpumbavu kweli 😭😭😭😭😭😭 kwakini uyo asi mfokehe pale kwanini nina bango lako linandikwa jina lako alafu unafanya ubaguzi inge trend zaidi sn 😢😢😢😢😢
Tutadhalilishwa sana tu na kubaguliwa kwasababu viongoz wetu wa Africa hawajielewi wanahis bila wazungu Hakuna maisha Ukiangalia vizur hapo huyo dada amenza kunyapaliwa na hicho kibibi Cha kizungu kisha mkubwa wao akamalizia na huyu dada ya nn kujibebesha mbango wa mtu mpuuz kama huyu
The black queen never give up, I know you feel so sad because of this but stand firm be strong coz there's a day the truth will reveal it. I know you have a lot of love with your president but the president Biden make rejected to you. But I promise you all African and worldwide appreciate you and we love you forever.
Nlijionea kanisani kuna mtoto aliyekuwa anabatizwa msimamizi alikuwa mweusi akaambiwa sogea kasubirie nje alipotolewa nje na mwenye mtoto akatoka nae na baadhi ya wengine wakatoka nusu ya kanisa walisusia ile ibada wakapanda magari yao wakaondoka hii kitu ipo kila sehem kwa wazungu wabaguzi sana😢
Yaani hawa watu weupe bado sana wanatuona Sisi sio watu lkin chaajabu kabisa hawa viongozi wetu wa afrika ni kama mbwa wakitupiwa tu mifupa ni kutingisha mikia big up sana magufuli,Gaddafi,Mandela na wengine pumzikeni kwa Aman nyie ndio viongozi mlikuwa mnajielewa
Mababu zetu walizingua sana kuwauza ndugu zetu uko ulaya ona weusi wanavyobaguliwa pole sana weusi wenzetu mlioko uko ma ulaya marekani Asia kikubwa dua MUNGU yu pamoja nanyie
Ata nchini kwako ni wabaguzi sema ninyi mmezoea ubaguzi wa rangi tu. Wewe mtanzania ukienda dukani kwa mtanzania mwenzako, halafu muda huo huo akaja mzungu kwenye duka hilo, mzungu atasikilizwa na kuhudumiwa wa kwanza hata kama wewe umemtangulia kufika. Mkienda nyumbani kwenu ndugu zako wenye hela ndio wanaonekana wa maana zaidi, wewe usie na hela wanakubagua na kukuona huna umuhimu au una umuhimu mdogo sana. Hata baba yako unakuta anabagua watoto, anapendelea watoto wenye mafanikio halafu wale wasio na kitu anawaona takataka
Inauma zaid sn😢! Ila nimeangalia kwaupande wa pili jinsi raisi wa nchi kubwa kama marekani anavyoweza kukumbatiana na kupiga picha na wakereketwa wa chama chake kirahisi namna hii, sijui ingekuwa raisi wetu kama ingewezekana mbele ya walinzi wake
Hivi inanikumbusha civil Rights movement 1960 huko marekani. Wamarekani weusi waliteseka kwa miaka mingi Sana. Walibaguliwa kwa Mambo mengi. Wakachoka wakaamua kulianzisha. Wakaazisha civil Rights movement wakinakili baadhi ya vifungu kutoka kwa katiba yao ya marekani. Nawakumbuka mashujaa wao Kama Martin Luther King, Fred shuttlesworth, Rosa Packs,, wanasheria Kama Autherin Lucy,Thurgood Marshall na Arthur Shores.
Pole sana dada yangu mweusi wewe ni wathamami kubwa badili tu eneo apo sio Alafu Ruto na weusi wake woote eti Biden kampa kiti chake akiikaliye Kwa mtazamo huu Mimi naamini Bila shaka kile kiti hakikuwa chenyewe na kama kitakuwa ni chenyewe baada ya Ruto kukiikaliya kilitupwa
poleni wamarekani maana mnaongozwa na mwehu,,mara akili zinakuja mara zinapotea,, ndio maana anakuwa anaganda Ganda hovyo km lisanamu la nguzo za mitumba
Natamani marais wa africa waione hii hemu niambieni kuwa tag marais wabonyeza wapi niwa tag wote,marais viziwi vipofu mabubu wasio ina wala kujitambua put in asinge fanya upuuzi huu.
Alafu bado viongoz wa kiafrica wanaenda kuchukua misaada na kujikomba komba kwa wazungu , watu wao tu japo ni weus wanabaguliwa je sisi ambao hawatuhusu wanatusaidiaje? Daah amakweli kazi bado ni Kubwa sana😭😭😢😥
Ubaguzi uko kila sehemu ndugu.sasa usipoenda kuomba misaada au kukopa utakwenda kwa nani.Wenzetu weupe Mungu kawaumba na maarifa mengi sana kulilo sisi weusi.sasa najiuliza sijui ni kwa nini Mungu kawapendelea sana hao watu weupe.
Hata mimi binafsi imeniumiza sana. Hata mdada mwenyewe anaonesha hadharani kabaguliwa. Waafrica kwann hatubadiliki???? Hawa nyang'au hawajawahi kutupenda. Tunajipendekezea nn!?????? Tubadirike. Nimeumizwa sana na Crip hii . Tukome
Yani Mimi miaka yote nilikuwa shabiki wa malekani niliipendasana sikujua kwamba malekani inafadhili ushoga ,inachonganisha watu wacongo, wapalestina wanauwawa,naislaeli kwasababu yamalekani, somalia nivita ,Burundi,Rwanda , kote nishida nayote haya nimalekani Yani tangu nijue hayo natamani malekani isambalatike Leo mana kumbe ndio inayo leta ubaguzi na uchafu wote mungu tusaidie sisi watu weusi tuwe juuzaidi ya Hawa wazungu