Тёмный

Mshuhudie Paul Makonda Uone Kitakachotokea Hapa! 

Global TV  Online
Подписаться 4,9 млн
Просмотров 1,4 млн
50% 1

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda leo amepiga marufuku watendaji wa serikali wa mkoa huo kutoka nje ya mkoa bila kutoa taarifa kwake. Makonda amepiga marufuku hiyo wakati wa kongamano la tathimini ya hali ya miundombinu ya barabara za mkoa huo katika Ukumbi wa Mwalimu Nyerere, Posta jijini Dar.
Kauli hiyo ya Makonda imekuja baada kukosekana kwa watendaji ambao walitakiwa kuhudhuria kongamano hilo kwa madai kuwa wako nje ya mkoa kikazi huku waliobakia wakishindwa kueleza kuwa wapo kwa ajili ya kazi gani.
” Kuanzia sasa hakuna mtumishi wa mkoa huu kutoka nje bila kutoa taarifa hata kama ni kazi ya wizara gani lazima mtoe taarifa, kumekuwa na tabia ya watu kujitengenezea tu safari ambazo hazijulikani wakati hata rais wetu alishazikataza,” alisema Makonda.

Опубликовано:

 

18 авг 2017

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 501   
@stellahfulgence8803
@stellahfulgence8803 7 лет назад
makonda nakukubali sn unachofnya hua wa5anzania wengi hawan huo ujri play ure part makondà
@mwandumazaoidrossa1702
@mwandumazaoidrossa1702 7 лет назад
tuache kufcha hili limakonda liko vizuri lina travailler bien vraiment
@ndagijimanakibibi7381
@ndagijimanakibibi7381 Месяц назад
Hongera baba makonde mungu aendelee kukulinsa nakumbuka babawetu magufuli mungu amulazepahalipema
@ericksanga9175
@ericksanga9175 7 лет назад
Kati ya watu wa muhimu katka Taifa la Tz ni huyu mkuu wa mkoa, blessed mkuu
@dharesfadhil2236
@dharesfadhil2236 6 лет назад
Wallah m natokea KENYA but nafatilia sana habari zako muheshimiwa makonda.kazi yako safi. Mungu akulinde
@eugenmgaya6623
@eugenmgaya6623 7 лет назад
hongera sana makonda....!!!! chapa kazi. nataman wakuu wote wa mikoa wangekuwa wachapakaz wa aina yako.......!!!!!
@sembuakimbosho3319
@sembuakimbosho3319 2 года назад
Haya yako wapi
@benadethamartin1168
@benadethamartin1168 7 лет назад
unataka barabara nzuri au unataka vyeti?wwe unataka vyeti utatembea juu ya vyeti?🙌piga kazi makonda wangu👏
@modestersalmon7764
@modestersalmon7764 2 года назад
Ulikuwa vizur baba k tunakukumbuka ati wengine ufe ndo wakusifie jaman mungu akuongeze baraka na family yako
@omarikessy2339
@omarikessy2339 7 лет назад
Asante kaka makonda piga Kazi waache watu wabaki na majungu yao
@JJ-bw5jw
@JJ-bw5jw 7 лет назад
Dah, piga kazi mkuu wa mkoa wangu mimi nakukubali sana kutokana na upigaji kazi wako, hill zoezi liwe endelevu lisiishie hapo tuu.
@joelshibika9609
@joelshibika9609 6 лет назад
uko vizur sana makonda duniani huwezi kupendwa na kila mtu hao niwachovu wasio penda maendeleo chapa kazi kakaaa
@magangamajariwamaganga4321
@magangamajariwamaganga4321 6 лет назад
nampenda sana makonda piga kazi baba tuko nyuma yako hiyo kauli ni nzuri sana wanaotaka kujipasua vichwa wajipasuetu we songa mbele
@barikiarastus8770
@barikiarastus8770 7 лет назад
Asante Sana makonda
@lvbusinessProm
@lvbusinessProm 7 лет назад
Swadakta Mkuu wa mkoa!wewe ndie kiongozi tuliekua tunakusubiri kwa muda mrefu。 InshAllah kwa uwezo wake Allah atatujaalia
@georgegonda8891
@georgegonda8891 6 лет назад
Hongera makonda ilitakiwa kuwa Waziri wa mambo ya ndani ili uwatumikie watanzania wote hongera kwa misimamo isiyo yumba
@allymliloh1760
@allymliloh1760 7 лет назад
wanaomponda Mkuu wa mkoa mh Paul Makonda ni Lofa tena ni Mpumbavu tunapambana na kuboresha miundombinu harafu mijinga isiyokuwa na haya inazungumzia Vyeti Naichukia sana mipuuzi haya
@husseinshabani3306
@husseinshabani3306 2 года назад
Safi sana makonda mama akurudishe tena uwe wazirii mkuu 2025. Ila ungemsikiliza huyo muheshimiwa ndyo umuhukumu hata kama alijaribu kukurubuni mpe nafasi ajieleze. Ila upo vzri next prime minister.👏👏🙏🙏
@hemedmbarouck5668
@hemedmbarouck5668 7 лет назад
inapendeza muheshimiwa Makonda.Endelea utazidi kufanikiwa.Ziba masikio.
@catylolo1365
@catylolo1365 6 лет назад
very nice makonda, ha ha ha ha aaa arongwi mtu piga kazi kaka wenye chuki wapotezee tu.
@helsongressimo3166
@helsongressimo3166 6 лет назад
Sasa ww makonda, hapo Mheshimiwa Ruge anakujaje!? Na kama katumwa we umechukua hatua gani!? Taja na hao wengine bac,,, mbona umemtaja tu Mheshimiwa Ruge,,? We upo tu kisiasa na Kiki za social media tumekuchoka huna jipya
@alexanderkapinga6060
@alexanderkapinga6060 6 лет назад
Mi makonda, sijawahi kuona ubaya wake. For me hata kama angekuwa mkulima hana hata darasa la saba kama anafanya kitu kinachohitajiwa na jamii na tunaendelea is better kuliko profesa mwizi mwizi tu na hakuna maendeleo yoyote anayoleta.
@marysengo3098
@marysengo3098 2 года назад
Ni kweli Mh. Makonda ni mchapakazi.. Hana Baya..ni mfumo tu
@masanjadani8356
@masanjadani8356 6 лет назад
Vizur sana makonda.ukweli una mweka mtu kuwa huru.
@elizabethlujabiko8166
@elizabethlujabiko8166 6 лет назад
Piga Kazi MWANANGU MAKONDA achana na wababaishaji .Wasikutishe kwa maneno Mungu ndiyo jibu kwa kila jambo.
@YunusuKantangayo
@YunusuKantangayo 8 месяцев назад
Huyu ndie kiongozi aliyeteuliwa kupitia mikono ya Mungu PMakonda karibu tunakupenda sana si kwa sura ni kwa Utendaji kazi wako na kuwasaidia Wanyonge Mungu atakulinda chapa kazi
@beshamsemo6897
@beshamsemo6897 7 лет назад
Hongera sana mh makonda
@burtonsatshop2061
@burtonsatshop2061 7 лет назад
Piga kazi!! Makonda.Majungu waachie wanawake
@rahmamavura406
@rahmamavura406 7 лет назад
namkubali sana my brother nikiongozi hasa wakuigwa
@MsAggie5
@MsAggie5 2 года назад
Na sifa zote hizo ulizompa leo ameshitakiwa mahakama inamsubiri Kazi iendelee hahahahaha hii ndo Tanzania yetu
@geofreymgeni2668
@geofreymgeni2668 7 лет назад
Wasomi wanapigwa maswali na mtu asiye soma na msomi hanamajibu Hiv hapo nani kilaza sasa
@leonardkukudi7783
@leonardkukudi7783 7 лет назад
Twanga KAZI Mh.Makonda
@ashafikira4860
@ashafikira4860 7 лет назад
Mungu akulinde sana mkuu katika kazi zako.Tenda haki tu.
@severinadaimon9069
@severinadaimon9069 6 лет назад
anaetaka cheti. aje achukue hapa kliniki vimejaa sana
@georgemassebu2083
@georgemassebu2083 7 лет назад
Makonda ni jembe sana,watu tu waTanzania hawana shuklani ya kile wanachokitaka.huyu ndugu ni mtenda kazi mzuri sana,anatenda vyema
@msaniimpyaBMW
@msaniimpyaBMW 7 лет назад
Inaonekana hivyo.
@hassanmatete4245
@hassanmatete4245 7 лет назад
Japo swala LA vyeti limebaki gizani,pia nimeskia kwenye daladala eti unajituma ili awamu ijayo uteuliwe uwaziri mkuu,nasema Kazi njema.
@wincheslausmunguazilazemaa3385
wakalishe kt moto
@leilaachimpota4329
@leilaachimpota4329 7 лет назад
Co kama co mchapa kaz wachapa kaz wako weng zaid yake na wametolewa
@khalfanialiy4229
@khalfanialiy4229 6 лет назад
wanafunzi wachaf
@abdallahathuman9493
@abdallahathuman9493 28 дней назад
Makonda 2024
@hamzaseleman5604
@hamzaseleman5604 3 года назад
Nataman awamu hii ya pili ya Jpili Magufuri apate nafasi tena maana mchapakazi sana kma upo sawa na mm gonga like twende sawa
@mabulamalimi5270
@mabulamalimi5270 7 лет назад
Makonda Fanya kazi yako
@stewartmillanzi7198
@stewartmillanzi7198 6 лет назад
That's very good my DC. I love you for this.
@tesinaelectronics8228
@tesinaelectronics8228 6 лет назад
Simamia haki ,piga kazi big up
@emmanuelimaxxaka754
@emmanuelimaxxaka754 5 лет назад
hongera sana mkuu wa mkoa piga kazi hakuna kuangalia sura.
@kilimanjaro.n.v.sober-hous1416
Nashukuru sana
@allysharifu4810
@allysharifu4810 5 лет назад
nimekukubali Baba Uko Vizuri Sana
@issarashid3994
@issarashid3994 6 лет назад
Nakukubali mkuu chapa kazi salute
@fabianmwile2960
@fabianmwile2960 4 года назад
Safi sana mukuu wee ni jembe hapa kazi tu hao wakandalasi inatakiwa waende kwa viboko
@Ev.Daniel_Ikoja
@Ev.Daniel_Ikoja 6 лет назад
Mungu wajalie Hekima nabusara viongozi wote Tanzania,
@saidimeshack6315
@saidimeshack6315 7 лет назад
nashukuru kwa kunitusi ndugu yangu mimi nimelelewa vyema na famili yangu wewe tu ndio umelelewa kishetani umezea mitusi kwa wakubwa hiyo ni moja ya laaana kwako
@husseinshabanhusseinshaban1705
Sana mweshimiwa makonda piga kaziiiiiiiiiiii
@user-cm2sj9bd9s
@user-cm2sj9bd9s 4 месяца назад
Kaka Mungu akutangulie upo vzr sana
@georgefaustini5679
@georgefaustini5679 7 лет назад
ng'a ng'ania vyet tuu.makonda piga Kaz nataman uje Kilimanjaro MUNGU akutunze
@allyfutto8763
@allyfutto8763 8 месяцев назад
Huyu ndiye makonda tunayemhitaji kuwateteawwanyonge tumbuwatumbuwa iendelee🇹🇿
@mtahogarashid8488
@mtahogarashid8488 5 месяцев назад
Wewe ni Rais ajae Ndugu yangu aisee kwa sasa naweka bando baada ya Mzee wangu Magu aisee Kwa sasa wewe ni Mwenezi na Kazi unaupiga mwingi sana
@shaabanmminge2606
@shaabanmminge2606 6 лет назад
Pastor chria
@baltasartemu2153
@baltasartemu2153 7 лет назад
Kazi ipo...
@jaysonsanga8389
@jaysonsanga8389 5 лет назад
Kaz kaz makond
@mselimsuya6952
@mselimsuya6952 6 лет назад
Hakuna kitu muhimu kama performances kwenye kazi. Elimu bila performance ni bure, lakini performance bila elimu ni nzuri zaidi. Lakini vyote viwili ni muhimu, na Mh Makonda anavyo. Big up!
@papafikiri
@papafikiri 7 лет назад
Unataka vyeti badala ya barabara nzuri DSM,barabara utatumia,je vyeti vyake utatumiaje
@ashatadei5639
@ashatadei5639 7 лет назад
piga kazi mimi nakuelewa sana mkuu wa mkoa makonda mchana watasema usiku watalala walio soma wenyewe badala yakutusaidia wanataka mpaka tuwape rushwa kwanza ndio wafanye kazi inauma sana yani
@mwakasegeshukuru3720
@mwakasegeshukuru3720 7 лет назад
Piga kazi Makonda tunakukubali
@nsodyaphilimon9153
@nsodyaphilimon9153 6 лет назад
good Sana tukiwa na viongozi Kama Hawa Tz itakuwa Bora.
@dastansimpanzye5558
@dastansimpanzye5558 4 года назад
kazi yako ni njema mkuu wa mkoa
@masnondofundi5637
@masnondofundi5637 7 лет назад
Pambania hali zetu tuna pata shida sn wakazi Wa airpot Barbara zate mashimo mashimo had kero usiombe mvua inyeshe
@salimab1206
@salimab1206 5 лет назад
pemba
@georgefaustini5679
@georgefaustini5679 7 лет назад
hao wanaosema huna vyet ndio waliotufikisha huku na vyet vyao.mafisad wakubwa hao piga Kaz makonda
@calvinmorgan66
@calvinmorgan66 7 лет назад
Mi ni ukawa lakin utendaji wa mamb kama haya kwa mh makonda namsapot bila kujali mapunguf mengine cz asiposemwa kwa mabaya mtu atasemwa kwa mema
@jyonanodi5890
@jyonanodi5890 6 лет назад
god Simba mwenzangu
@felesiakalemo1410
@felesiakalemo1410 5 лет назад
Calvin Morgan Safi kakaangu maendeleo hayana Chama.
@barakamaye6192
@barakamaye6192 5 лет назад
Big up sn kiongozi
@rajabjuma2608
@rajabjuma2608 2 года назад
Uko vizuri sana kaka
@restitutaernest3650
@restitutaernest3650 6 лет назад
Nakupenda Makonda Mungu akulinde na maadui piga kazi baba
@devothayun1586
@devothayun1586 6 лет назад
Sijajutia mb zangu nimepata kitu nzuri endeleen kutupa vitu nzuri nzuri kama hii
@geofreymgeni2668
@geofreymgeni2668 7 лет назад
Nabii ni nabii hata kama hakubaliki kwao Jamaa hajasoma na hana vyeti ilankazi anazo fanya nikama kasoma Ahhh kumbe nibora mtu asiye soma tu
@stevenntira1835
@stevenntira1835 7 лет назад
kaz nzur mueshimiwa makonda
@disozluoga1267
@disozluoga1267 7 лет назад
Haswaaaa makonda. Yukosawaaa haijalishi kma wabaya wake wanadai ishu ya vyeti at I vyeti vinaongozwaaa
@magangamajaliwa5056
@magangamajaliwa5056 6 лет назад
asante sana mkuu
@amirinyakunga5839
@amirinyakunga5839 5 лет назад
Makonda kaz yako njema mungu akubariki, mungu akupe hekima na maarifa, endelea kumtumainia yeye
@ARMANIDIORFILMDIRECTOR
@ARMANIDIORFILMDIRECTOR 7 лет назад
kwani hawa watu mnawatoa wapi mpaka mnawapa kazi?....tanzania mbona inakua nchi ya mambumbumbu tu..dah kweli inaskitisha,inaonekana hawa watu wanapeana kazi bila ufanisi
@graceenno4859
@graceenno4859 4 года назад
Nimekupenda bure makonda simamia kazi vzr watu wanaotesha vitambi hawawajibiki
@danielgasaya6720
@danielgasaya6720 6 лет назад
Nimependa maamuzi yako makonda mungu akupe afya njema
@kelvinmwanjali1747
@kelvinmwanjali1747 4 года назад
Hongera makonda kwamamuzi yako
@enockmulaki1001
@enockmulaki1001 6 лет назад
Zima moto Style, maneno mengi ufuatiliaji wake ni F. Agenda na nia ni nzuri, utaratibu hakuna. Mabadiliko yatakujaje? Maneno yametujaa wabongo kuanzia viongozi mpaka wananchi.
@abdulrahmansalim9773
@abdulrahmansalim9773 2 года назад
WATANZANIA ELIMU NDOGO SANA WAPO NYUMA KIMAENDELEO WIZI NA DHULMA NO 1
@cutebabyyslimdaddy4110
@cutebabyyslimdaddy4110 7 лет назад
Kwenye hili la barabara hapo nakusifu ..barabara inajengwa miezi miwili tuh ,mashimo mashimo imeshachimbika yoooote ..kwa kweli wamezidi jamani
@deomagele8393
@deomagele8393 6 лет назад
Makonda mi namkubali Sana anajua jinsi ya kuongoza respectful mister wabongo mnataka mafanikio kilaisilaisi ndomaana tunaibiwa hata na madini kwakupenda slope
@kadaskarim5081
@kadaskarim5081 7 лет назад
chapa.kaz p makonda wew ni jembe tu tupo pamoja Dar ni yet ukimalza hapa nenda mikoa mingne nais mweshimiwa atakupeleka tu
@kataninyido401
@kataninyido401 2 года назад
Kazi yako nzur Sana jaman
@safinabakari9140
@safinabakari9140 7 лет назад
Namuoana Diwani wangu Mzee Haroub wa makumbusho....kazi nzuri sana kiongozi wetu,,,pigana tujengewe barabara nzuri., ila sijakusikia katika issue ya Team Lipumba Vs Team Maalim.
@lilianbunjulu1281
@lilianbunjulu1281 7 лет назад
Kwan waliofukuzwa kwa ajili ya v yeti w alikuwa hawafanyi kazi pumbavu sana uonevu tu
@kaizambagwa5128
@kaizambagwa5128 7 лет назад
Piga kazi mkuuu
@sadimasudi709
@sadimasudi709 6 лет назад
mh p hufi hurogwi pigania haki mungu yupo nawe mungu akubaliki sana mh P
@siwemanjame6793
@siwemanjame6793 6 лет назад
2ngepata mkuu wa mkoa kama we we morogoro bac ingekua vzr zaidi piga kaz kaka wewe ni rais wa 2020
@venancebasil4656
@venancebasil4656 7 лет назад
Daaaaah, what a personality!!
@fabianpius7423
@fabianpius7423 7 лет назад
Makonda Piga Kazi Achana Na Wanafiki
@saidymtima4701
@saidymtima4701 7 лет назад
duuh nishidah san han ata lestning skill and jugmnt anlysis koz anaingilia spech ndyo maana kam wanazozona vle hiii ni 0 brain
@allymabiso6600
@allymabiso6600 7 лет назад
Watu awaitaji mapenzi ,watu tunaitaji mtoto,chapa kazi makonda wangu Allah atakulinda kwa jicho la 3
@devothayun1586
@devothayun1586 6 лет назад
Piga kazi babangu piga kazi ww ni jembe la nguvu Nataman sana had mikoani watumbuliwe maana madiwani mikoani wazembe sana Chapa kazi babaaa nakupenda sana
@oscarmushi3212
@oscarmushi3212 7 лет назад
piga kazi muheshimiwa Makonda
@stanslausbereghe3819
@stanslausbereghe3819 2 года назад
Kuna baadhi ya makandarasi wanakula pamoja na wakurugenzi na madiwani. Mnawaonea wakandarasi bure, kikulacho. Hata ukiwapata makandarasi kupitia wodi C bado makanjanja wapo tuuuu! Makonda kaenda wapi? Arudishwe ukuuu wa mkoa afanye kazi.
@emiliamulaki3600
@emiliamulaki3600 7 лет назад
Makonda Ni mtendaji. Kazi nzuri sana.
@emiliamulaki3600
@emiliamulaki3600 7 лет назад
Magufuli wa Pili. Gombea Urais. Kura yangu unayo.
@esheeshezagary3934
@esheeshezagary3934 5 лет назад
Uko vizuri muheshimiwa wangu nakukubali sanaa
@salimkichokala5246
@salimkichokala5246 7 лет назад
Makonda kazi kazi
@tatunaally1510
@tatunaally1510 6 лет назад
sio siri nampenda sana makonda sana kwa utendaji wake wa kz ila sisi watanzania atuna shukurani
@barnabamalawi7267
@barnabamalawi7267 7 лет назад
taratibu hizi ni nzur xana piga kazi mwenyezi atakupigania dhidi wanaopinga sababu aliyekuteua anajua nini unachowafanyia wananchi wako wanaopinga ni sawa na shetani hawezi kuwa rafiki na Mungu au polisi hawezi kuwa rafiki na muarifu nasema piga kazi waliozoea kuishi shotcut wataelewa tu.
@jamesmbata8542
@jamesmbata8542 7 лет назад
LETE CHETIIIIIII BOYA WEWE MFUMULIWA MARINDAAAAAAAAAAAAAAAAA
@husseinkombe9008
@husseinkombe9008 6 лет назад
MAKONDA mi sana cha kusema ila unanikonga sana nyoyo! kaza kaza ukicheka Cheka umekwama! tunakuelewa sana, PIGA KAAZIIII
@rozinkinda1607
@rozinkinda1607 4 года назад
Pigs kazi
@davidwambura5915
@davidwambura5915 6 лет назад
Shikamoo Makonda
@didamugya6039
@didamugya6039 7 лет назад
Makonda hatuna vyeti na tunaamiwa na mjomba
@swalehekitoli5885
@swalehekitoli5885 7 лет назад
Ok
@kavulatikivurunzi
@kavulatikivurunzi 8 месяцев назад
@mtahogarashid8488
@mtahogarashid8488 5 месяцев назад
Kamanda Makonda
@daudimariseli3627
@daudimariseli3627 7 лет назад
NAWAMBIA hivi watanzania kuna baadh ya ma contractor sio wazalendo niwa puuz sana wengi sio wabunifu walasio wachapakz unakuta contractor kajenga barabara hata mwaka hakuna isha haribka nazan watz nimashahd mfano bale tazara watu wanajenga nakushindiria mpaka majengo yana tikisika sio kandarac wetu wakifara wazee wa10% bilakuwa nahuruma napesa za taifa..makonda baba piga kaz iwezavyo chapa kaz baba mungu atakulipa wala hakuna kiumbe alie sayar ya dunia anaweza kukudhur mtumwema hulindwa na mungu.
@stewartmillanzi7198
@stewartmillanzi7198 6 лет назад
I will keep praying for you.
@richardtungaraza7509
@richardtungaraza7509 2 года назад
OK just keep praying for him
@kelvinstephano8
@kelvinstephano8 6 лет назад
mheshimiwa mkuu wa mkoa dar es salaam piga kazi hapa kazi tu
@peterkisiri4938
@peterkisiri4938 6 лет назад
Mkuu pga kazi uko sawa
@saidimeshack6315
@saidimeshack6315 7 лет назад
nyinyi mnae dai vyeti mmelaaniwa na washilikina kwani ofisini kwake hamajui wehu nyinyi
@charlesased
@charlesased 7 лет назад
Saidi Meshack Fuck you
@nazarnicholas8865
@nazarnicholas8865 7 лет назад
Charles Ased ,hii nimeifuta isiingie kwenye hansard ya social media
@disozluoga1267
@disozluoga1267 7 лет назад
Fuck u too and toooooo
@nuhukihegulo141
@nuhukihegulo141 6 лет назад
bila shaka huna hata cha kipaimara
@stanslausbukulu7198
@stanslausbukulu7198 6 лет назад
Saidi Meshack ok pow
@godfreymuhalule6948
@godfreymuhalule6948 4 года назад
makonda piga kazi uko vizuri
@johnmatiku1567
@johnmatiku1567 7 лет назад
good
@rennysteve3227
@rennysteve3227 7 лет назад
chapa kazi kijana tuna kuamini majungu tupa kule
@kataninyido401
@kataninyido401 2 года назад
Makonda Mungu Akutunze Daima wewe ni Kamanda yaan Bregedia mkuu sarute Sana 🙏🙏🙏
Далее
ПРОВЕРИЛ АРБУЗЫ #shorts
00:34
Просмотров 949 тыс.
O-Zone - Numa Numa yei на русском!🤓
00:56
Просмотров 122 тыс.
ПРОВЕРИЛ АРБУЗЫ #shorts
00:34
Просмотров 949 тыс.