Sometimes makonda huwa nakukubali Sana, yani Kati ya vitu nisivyovipenda ni huo upumbavu wa baadhi ya viongozi kujifanya miungu watu. Keep it up Makonda 😮
Tunakuomba uje morogoro makonda manyanyaso zidi ya idaraya maji unajaza form mwakamzima uletewi mlejesho mungu amekuteu mtetezi wa wanyonge tunakuoma makonda uje morogoro
Mheshimiwa .hayo yapo tu kila kona nchini kwetu. Inahitaji wizara ya kusimamia madeni ya ndani .hao watendaji wanajifanya miungu watu.wafanyabiashara nao wakipata mchepuko ni wabaya lakini ikiwa wizara itasidia kuwasimamia
Hongera sana kwa kaz nzr sema tuu nchi hii ni kubwa halaf watu wa supple hiyo mko wachache,Naomba kwa uwezo wa mnyazi Mungu uendelee na kasi hiyo ili pengine Heshima ya Chama iwe Mantained,,,Tunakushukuru kiongoz kwa kaz nzr
Wakurugenzi saa hivi wanakula mnoooo pesa huwaambiii kitu Samia alikosea saaana kurudisha pesa kwa wakurugenzi MAGUFULI alilitambua akapeleka pesa sehemu husika