Тёмный

"ASIPO KULIPA ANARUDI KWAO "MZEE AMCHONGEA MKURUGENZI KWA MAKONDA ADAI ZAIDI YA MILIONI 60 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 41 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

30 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 57   
@adudeswalehe8724
@adudeswalehe8724 8 месяцев назад
Magufuli alijizaa kabisa hapa hongera sana makonda
@gewatv
@gewatv 8 месяцев назад
Sometimes makonda huwa nakukubali Sana, yani Kati ya vitu nisivyovipenda ni huo upumbavu wa baadhi ya viongozi kujifanya miungu watu. Keep it up Makonda 😮
@ramadhanmwandambotuntufye5972
@ramadhanmwandambotuntufye5972 8 месяцев назад
Kaka makonda nakuelewa sana, njoo na huku kigoma Kuna madudu mengi, njoo utusaidie.
@BilalMuhammad-jt6sq
@BilalMuhammad-jt6sq 8 месяцев назад
Dah nakukubali sana m h makonda
@reenesa
@reenesa 8 месяцев назад
Mimi sina Chama, lkn kwa hili KUDO MAKONDA!!👏🏾👏🏾👍🏾
@MohdAli-cx7bc
@MohdAli-cx7bc 8 месяцев назад
Kwa nini hawi raisi uyuu😂😂😂
@arafahhh5574
@arafahhh5574 8 месяцев назад
Hajamchongea ila ashtakia apate haki yake
@KiongoziMwandamizi
@KiongoziMwandamizi 8 месяцев назад
Tena walipe na riba ni ushenzi
@mwigambachristopher1976
@mwigambachristopher1976 8 месяцев назад
Kiukweli Chagueni viongozi wanaojielewa huyo mkurugenzi hatoshi kabisa ,furusha tu.
@alfinmbilinyi5985
@alfinmbilinyi5985 8 месяцев назад
Yeah! Kazi nzuri makonda mungu akubariki sana.Ila unafaa kuwa waziri mkuu au waziri wa ujenzi.unauzalendo furani .big up!
@JumaAlly-w2t
@JumaAlly-w2t 7 месяцев назад
Tunakuomba uje morogoro makonda manyanyaso zidi ya idaraya maji unajaza form mwakamzima uletewi mlejesho mungu amekuteu mtetezi wa wanyonge tunakuoma makonda uje morogoro
@devangandhl2255
@devangandhl2255 8 месяцев назад
Mheshimiwa .hayo yapo tu kila kona nchini kwetu. Inahitaji wizara ya kusimamia madeni ya ndani .hao watendaji wanajifanya miungu watu.wafanyabiashara nao wakipata mchepuko ni wabaya lakini ikiwa wizara itasidia kuwasimamia
@JumaAlly-w2t
@JumaAlly-w2t 7 месяцев назад
Mtetezi wa wanyonge tunakuomba morogoro
@stephanomgonda3054
@stephanomgonda3054 8 месяцев назад
Mwamba uyuu apaaa
@biwakambagwa4041
@biwakambagwa4041 8 месяцев назад
Hongera sana kwa kaz nzr sema tuu nchi hii ni kubwa halaf watu wa supple hiyo mko wachache,Naomba kwa uwezo wa mnyazi Mungu uendelee na kasi hiyo ili pengine Heshima ya Chama iwe Mantained,,,Tunakushukuru kiongoz kwa kaz nzr
@baghabaghaingwengwe1750
@baghabaghaingwengwe1750 8 месяцев назад
Hakika Makonda anaenda vizuri pale panapo tokea mtu kuonewa
@daslamonline4665
@daslamonline4665 8 месяцев назад
Dogo chuma Sana,
@HawaMwenda-p1t
@HawaMwenda-p1t 8 месяцев назад
Tunakupenda sana makonda toka ukiwa mkuu wa mkoa wa dar -es- salaam
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 8 месяцев назад
Unampenda ww usi2seme sisi wote
@florencemeza6540
@florencemeza6540 8 месяцев назад
Toka lini mwislam akampenda mkristo mna chuki mnoooo sasa kuna upumbavu mwingi mmefyata​@@KassimAlly-xp4dz
@florencemeza6540
@florencemeza6540 8 месяцев назад
Dar imekuwa kichaka makonda aliiwezea
@SmilingBulldogPuppy-nb9ur
@SmilingBulldogPuppy-nb9ur 8 месяцев назад
Kwa Uweza wa MUNGU uishi miaka mingi Makonda na siku zako zitimie
@Gdjn974
@Gdjn974 7 месяцев назад
Afadhar sasa maana wanajisahau hawa mbwa
@hawakiza6067
@hawakiza6067 8 месяцев назад
Kaka Makonda urais unakuhusu
@wahidaabeid5712
@wahidaabeid5712 8 месяцев назад
Asante makonda nakupendea kwa Hilo mungu akulinde
@florencemeza6540
@florencemeza6540 8 месяцев назад
Wakurugenzi saa hivi wanakula mnoooo pesa huwaambiii kitu Samia alikosea saaana kurudisha pesa kwa wakurugenzi MAGUFULI alilitambua akapeleka pesa sehemu husika
@mukeshimanarose1334
@mukeshimanarose1334 8 месяцев назад
😭🤲🤲🇧🇮
@NichorausRichard
@NichorausRichard 8 месяцев назад
Hata hamishwa ataondokaaa superb statement
@idanysedrc1200
@idanysedrc1200 8 месяцев назад
Mkurunguzenz kaishaliwa kichwa 😀😀😀safi sana makonda
@ThabiyaNgumbu
@ThabiyaNgumbu 8 месяцев назад
💪💪💪💪💪
@abdallahkambangwa7215
@abdallahkambangwa7215 7 месяцев назад
Hatar sana
@erickchitumbi1308
@erickchitumbi1308 8 месяцев назад
Hauna baya katibu wa itikadi,uenezi na mafunzo ccm taifa.dumu kaka dumu milele.
@AbdulmalikFedrick-ct7nb
@AbdulmalikFedrick-ct7nb 8 месяцев назад
Mueshimiwa makonda wafundishe kazi Alha akufanyie wepesi inshallah uwe kiongozi bola
@MariamWiliam-z8k
@MariamWiliam-z8k 8 месяцев назад
Makonda mauwa yako babaa ilove u buree gombea bc ubunge mtu wangu
@saidybhoky-lb7hg
@saidybhoky-lb7hg 8 месяцев назад
uyo mkurugenzi hovyo sans
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 8 месяцев назад
Ilo ni jembe letu rais ajaee dadikii
@raurentkorosso2014
@raurentkorosso2014 8 месяцев назад
Pm uko vizur wasaidie watu
@MariamWiliam-z8k
@MariamWiliam-z8k 8 месяцев назад
Makonda mauwa yako babaa ilove u buree
@AhmetMtonga
@AhmetMtonga 8 месяцев назад
Komesha awo makonda
@kefamwakipesile275
@kefamwakipesile275 8 месяцев назад
Makonda sisi tunataka majibu
@SamweliMwalyungu-du5ln
@SamweliMwalyungu-du5ln 8 месяцев назад
Makonda ww ndo rais
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 8 месяцев назад
Hhiii ni shida kwakwelii
@NepporSabith
@NepporSabith 8 месяцев назад
Hakika kazi ipo
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 8 месяцев назад
Duuu ni shida
@ThabiyaNgumbu
@ThabiyaNgumbu 8 месяцев назад
Asafisana makonda
@gaudencemhagama7216
@gaudencemhagama7216 8 месяцев назад
Safi sana makonda
@joelyngomuo7441
@joelyngomuo7441 8 месяцев назад
Asante Sana makonda
@saidybhoky-lb7hg
@saidybhoky-lb7hg 8 месяцев назад
ni kweli
@broka_genius3615
@broka_genius3615 8 месяцев назад
😂😂
@milanzitv1256
@milanzitv1256 8 месяцев назад
Ok
@zuanshimchina2278
@zuanshimchina2278 8 месяцев назад
Kwani Makonda ni mkuu wa mkoa au mkuu wa wilaya au ninani mbn anajipa cheo cha km rais
@mwashilindicommandos6390
@mwashilindicommandos6390 8 месяцев назад
Mbona jibu jepesi tu ndo CHAMA kilicho na dola
@ZenaUsangi
@ZenaUsangi 8 месяцев назад
MWACHE AMSAIDIE WANANCHI YUKO VIZURI.AU UNAKISAC NAE?MI NAMKUBALI.JEMBE HILO WATU WANADAI HAKI ZAO HAWAPEWI ACHA AWASAIDIE WANANCHI TUNAONYANYASWA.
@zuanshimchina2278
@zuanshimchina2278 8 месяцев назад
@@mwashilindicommandos6390 😃😃😃😃
@zuanshimchina2278
@zuanshimchina2278 8 месяцев назад
@@ZenaUsangi hakuna lolote wenye wananyanyasika wanalia wenyewe mafuriko jana tabata yaani acheni tu hii Tanzania yetu hiii aaaaaa basi tu
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 8 месяцев назад
Uyo ndo Makonda a.k.a zero brain yy hachagui anaongea tu
Далее
Se las dejo ahí.
00:10
Просмотров 4,5 млн
Лайфак года 😂
00:12
Просмотров 74 тыс.