Mijambanzi mikubwa iyo kazi kula hela za wananch wape kamba ngoz baba makonda mungu akupemiaka mia nane isikuuwe minguliwe iyo ht chunya wapo wengi tu baba ailove u poo ulishushwa baba
Yaani Hawa watendaji wa chini wanatuumiza sana sisi wananchi wa kawaida, ardhi kwa wananchi mnachukua wenyewe lakini baadae mwananchi anakuwa mtumwa kwenye nchi yake.
Waajiriwa wote wa Serikali wanavitambi Wanawake kwa Wanaume Nchi zote mitaani shida moja kwa nyingine sababu ya ukosefu wa kutoka kwa waliochachaguliwa