Тёмный

BOSS TANROAD AJICHANGANYA KWA MAKONDA, ASHINDWA KUJIELEZA AKOSEA 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 25 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

5 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 56   
@Petermunema-p1m
@Petermunema-p1m 7 месяцев назад
Mama Samia naomba muongezee ulinzi makonda kazi yake nzuri
@jokhamohammed976
@jokhamohammed976 2 месяца назад
Hongera sanaaa makonda Kwa kazi nzuri 🌹🌹🌹kazi iendelee
@juliusndossa201
@juliusndossa201 7 месяцев назад
Uthaminishaji wa 2016 tunautaka kahawa ilishakauka mnatuambia umerudiwa kwa kilichopo shambani mnatudhulumu lipeni hela zetu wanyonge
@MariamWilliam-c8i
@MariamWilliam-c8i 8 месяцев назад
Mijambanzi mikubwa iyo kazi kula hela za wananch wape kamba ngoz baba makonda mungu akupemiaka mia nane isikuuwe minguliwe iyo ht chunya wapo wengi tu baba ailove u poo ulishushwa baba
@johasaeed391
@johasaeed391 8 месяцев назад
Huyu ni mevi wa pombeni haelewi kinachongeleka😅😅😅 mimi bado sijamuelewa anababaika😂😂😂😂😂 pombe zipo kichwani
@edisonemmanuel-po6ds
@edisonemmanuel-po6ds 7 месяцев назад
Hahahaha kalewa kweli huyu😂😂😂😂
@STARBOYSTAREHE
@STARBOYSTAREHE 7 месяцев назад
Pongezi makonda sijui Kenya itafanya kama ww wananchi wanateseka
@TheophilMwombeki
@TheophilMwombeki 8 месяцев назад
Wanyooshe Makonda
@edisonemmanuel-po6ds
@edisonemmanuel-po6ds 7 месяцев назад
Kwa MAKONDA mtakoma tu
@AnangisyeMbughi-xw4ky
@AnangisyeMbughi-xw4ky 8 месяцев назад
Uwenao katibu mwenezi,viongozi wengi wanaingiza siasa mpaKa kwenye maisha ya watu.mbane tuu aeleze vizuri.
@cfagburundi3823
@cfagburundi3823 4 месяца назад
Mikutano yamakondo tunaifata kwaukaribu na mungu amuwezeshe nikazi kubwa ya kujiripuwa Kama kiongozi
@stephanochaula4356
@stephanochaula4356 7 месяцев назад
Cheki msela kajaa kitambi tu cha dhuluma dah noma sana
@sharafisaidi7999
@sharafisaidi7999 8 месяцев назад
Wizara ya pesa inapokea vitu vya aina hiyo vingi shida inaonekana ufatiliaji ndio shida
@edisonemmanuel-po6ds
@edisonemmanuel-po6ds 7 месяцев назад
Jamaa kashayakanyaga huyu
@nassoromajaliwa1506
@nassoromajaliwa1506 7 месяцев назад
Rais Samia makonda analindwa namungu,ilanakuomba ukiwa Rais wetu muongezee ulinzi makonda anafanya makubwa,nawananchi tunatakahivyo,utatuziwamambo nihapokwahapo
@edisonemmanuel-po6ds
@edisonemmanuel-po6ds 7 месяцев назад
Safiii sana MAKONDA
@RuthSamson-w8u
@RuthSamson-w8u 7 месяцев назад
We need this guy in Kenya 🇰🇪🇰🇪
@rendiman2878
@rendiman2878 8 месяцев назад
Ona hayo mafisiem yalivyokuwa na vitambi, Kazi yao kuiba na kula kila hela ya mradi wa maendeleo
@Ombenimbalwe90
@Ombenimbalwe90 7 месяцев назад
🔥🔥🔥🔥
@cfagburundi3823
@cfagburundi3823 4 месяца назад
Kwanini mtu anaye tumikiya wanainchi hawampendi? Kama makondo wanayopenda inchi wanamsaidiya Tanzania itakuwa juu Sana zaidi yayangingine mataifa
@NemesAzory
@NemesAzory 6 месяцев назад
Hatuna viongozi tunawapigaji
@joshuamwalusambo2391
@joshuamwalusambo2391 8 месяцев назад
Magu huyu kaludi mambo ni oya oya
@ramadhanmwandambotuntufye5972
@ramadhanmwandambotuntufye5972 8 месяцев назад
Yaani Hawa watendaji wa chini wanatuumiza sana sisi wananchi wa kawaida, ardhi kwa wananchi mnachukua wenyewe lakini baadae mwananchi anakuwa mtumwa kwenye nchi yake.
@STARBOYSTAREHE
@STARBOYSTAREHE 7 месяцев назад
Ulinzi uongezwe
@AtilioKigahe
@AtilioKigahe 8 месяцев назад
Aaaaaaah makonda unawapa moto viongozi
@susananyasani6526
@susananyasani6526 8 месяцев назад
Waajiriwa wote wa Serikali wanavitambi Wanawake kwa Wanaume Nchi zote mitaani shida moja kwa nyingine sababu ya ukosefu wa kutoka kwa waliochachaguliwa
@uraiatv8455
@uraiatv8455 8 месяцев назад
Hivi vyeo watu wanavipataje?
@Ombenimbalwe90
@Ombenimbalwe90 7 месяцев назад
😂😂😂
@ElinaSamwel-x5h
@ElinaSamwel-x5h 7 месяцев назад
Nimecheka sana😂😂😂😂
@JosephLymo-j8x
@JosephLymo-j8x 2 месяца назад
Huyo mkurugezi amepiga kenvannt
@petermboje5839
@petermboje5839 7 месяцев назад
Makonda unafaa kaka chapa kazi acha baadhi waseme eti wewe sio unawenza sana
@shedrackjacob6038
@shedrackjacob6038 8 месяцев назад
Apewe form ya urais pia ulinzi hautosh kwake anahatarisha masisha yake
@JacquilineNoah
@JacquilineNoah 7 месяцев назад
😂😂😂
@DanfordMhaiki
@DanfordMhaiki 2 месяца назад
Uwongo mbaya makonda ana pendwa
@juliusndossa201
@juliusndossa201 7 месяцев назад
Kama kweli makonda umetumwa tunmtaka aliyekutuma afanye maamuzi sahihi.
@juliusndossa201
@juliusndossa201 7 месяцев назад
Mheshimiwa mheshimiwa hiyo hatuitaki uoga tu huo.
@BoisDonkoil-rk8lr
@BoisDonkoil-rk8lr 3 месяца назад
Nani ameskia mweshimiwa mneki 😂😂😂😂😂
@delsonandrea5223
@delsonandrea5223 2 месяца назад
😂😂😂😂 hatar kwel
@stephanochaula4356
@stephanochaula4356 7 месяцев назад
Respect
@DitlharengObakeng
@DitlharengObakeng 3 месяца назад
Matapelihawa dowanafaka mwanaichi wanaadama niwakufugwatu
@ramadhanmwandambotuntufye5972
@ramadhanmwandambotuntufye5972 8 месяцев назад
Tathmni 2016 watu hawajalipwa fidia mpaka Leo huku kigoma tujiandae kisaikolijia wahanga wa uwanja wa ndege kigoma tuliofanyiwa tathmni mwaka Jana.
@cfagburundi3823
@cfagburundi3823 4 месяца назад
Ukuwa narogo mbaya nainchi yako unatarajiya Nani atapenda inchi yenu,,tunafata kwaukaribu mukutano yama kondo
@muddymuzungu4357
@muddymuzungu4357 8 месяцев назад
Mh Mwenezi utauaaaaaaaaaaa😂
@eliasmwankenja4223
@eliasmwankenja4223 7 месяцев назад
makonda ache komedy anaelewa kila kitu kuhusu fidia ya hao watu , kwanini anakataa kumruhusu naibu waziri atoe ufafanuzi?
@brunochoga4932
@brunochoga4932 8 месяцев назад
Makond utaua. Watu
@tabyabelemwenebenga2311
@tabyabelemwenebenga2311 8 месяцев назад
😂😂😂😂
@PrivatusMalcel
@PrivatusMalcel 7 месяцев назад
😅😅
@qaasimunzunda9495
@qaasimunzunda9495 8 месяцев назад
Moto huooooo!
@BavonKimanga-o1k
@BavonKimanga-o1k 8 месяцев назад
Daaa kamchanganya sana
@BaltazarSavin-n7g
@BaltazarSavin-n7g 7 месяцев назад
😂😂
@magutadickson6900
@magutadickson6900 8 месяцев назад
Meneja ana maana uyo
@stephanochaula4356
@stephanochaula4356 7 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@monerexshowz5200
@monerexshowz5200 8 месяцев назад
Safi sana watumishi wazembe sana
@mwitamalwa2773
@mwitamalwa2773 8 месяцев назад
Kayakanyaga
@johasaeed391
@johasaeed391 8 месяцев назад
Majizi hayo kila siku yanakula pesa za wanyonge
@thomasadriano4191
@thomasadriano4191 8 месяцев назад
😅
Далее