Тёмный

Muda HUU GB 64 avujinsha SIRI nzito TAARIFA Njema SIMBA AZIZI KI AMESAIN SIMBA | USAJILI WA KISASI 

SANGA TV
Подписаться 114 тыс.
Просмотров 33 тыс.
0% 0

#usajiliwasimbaleo #usajiliwasimba #simbaleo #aziziki #modewj

Спорт

Опубликовано:

 

8 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 35   
@MrishoMindu-zq7mz
@MrishoMindu-zq7mz 16 дней назад
Hapo umeongea GB 64 kikubwa uwezo wa wachezaji kama mnajua mnajua tu National Team zina kutana 14 days wanaingia kwenye mashindano. Wanakipiga.
@LovelyBird-sf5fn
@LovelyBird-sf5fn 16 дней назад
Bro uko sawa hapo
@user-vk5dj7st3p
@user-vk5dj7st3p 16 дней назад
Vizur, kaka, iyo, Simba, mpya
@aminaomary5567
@aminaomary5567 16 дней назад
Tunafurahiiiiiiiiiiiii kama kweli tunapata Azizo k. Bado feitotoooooooo❤❤❤🎉🎉🎉🎉moira wa vijana mwaka huu.
@Aman-vx6xb
@Aman-vx6xb 16 дней назад
Sa10 ninan me naona kikos tayar cha msingi tupen usajil mmoja wa kuwakera tuu
@eddiemwangaraba9289
@eddiemwangaraba9289 16 дней назад
Sasa hivi hawana la kuongea Tena maana wakati ule simba ikisajili ooh wamesajili wa wazee Leo kimya
@user-bo5ee2tp9p
@user-bo5ee2tp9p 16 дней назад
Hapo umeongea point saaanaa
@levocatuspjohn8638
@levocatuspjohn8638 16 дней назад
Ndugu zangu wanasimba me moyo umeshaanza kudunda kwa hofu duh Mungu saidia tuwafunge yanga goli nyingi 😢😢😢😢
@essaumapunda5766
@essaumapunda5766 16 дней назад
Utopolo mpira wa sasa ni wa vijana Mo big up kazi umeimaliza
@fredylucas2484
@fredylucas2484 16 дней назад
Mo ataoa timu nzima na wanachama kwakweli. Sijaona washabiki wenye vichwa panzi kama Simba. Kuwadanganya ni rahisi sana😅😅😅
@Mary-fs4mc
@Mary-fs4mc 16 дней назад
Aziz ki😂😂😂 , haya rudi hapa utupe taarifa imekuwaje Aziz ki na Yanga😅😅😅😅😅
@twahakabajemi9716
@twahakabajemi9716 16 дней назад
Wewe waota!!
@flaxbeatman
@flaxbeatman 16 дней назад
nakubali 😂😂😂😂 vijana na wazeeee tareh 8
@RashidKaoneka-bj8mm
@RashidKaoneka-bj8mm 16 дней назад
Walimfanya kitu kibaya huko centro
@salimmalaka256
@salimmalaka256 16 дней назад
BILA YA KISOMO NA ALBADIRI YA KINGA KWA WACHEZAJI WATAROGWA NA WATAONEKANA WABOVU HAWAFAI ANZENI KUTOKA LEO
@eddiemwangaraba9289
@eddiemwangaraba9289 16 дней назад
mwaka huu jitu linakufa nakuua nyongo za watu ndipo watajuta kwa Nini wamechukua chama
@MolotoniMalisela
@MolotoniMalisela 16 дней назад
Nakubali kaka
@fredylucas2484
@fredylucas2484 16 дней назад
Huyu mgonjwa wa akili huyu. Bado namsubiri ahamie Azam kama alivyosema
@KhamisHamadi-gd3eb
@KhamisHamadi-gd3eb 16 дней назад
Hajielewi
@AbdallahShekhan-qx3kp
@AbdallahShekhan-qx3kp 16 дней назад
Gb 000000 tunakuja kukuvalisha shanga Aziz yupo Yanha tajiri ni GSM tu wengine pesa za urithi.
@khajihamisi5054
@khajihamisi5054 16 дней назад
Mtawakataa!!jamaa zangu
@bmkaskazinib4363
@bmkaskazinib4363 16 дней назад
Bingwa wa kihistoria miaka 30 Yanga,Bender's ya jihadi rangi kijani wekundu no moto tu njano no matunda,ngoja tuone eachezaji hawana afya mnasingizia madawa,hao TFF no simba kwa mini wasigundue hili we gala tu hukijui unachosema
@RashidKaoneka-bj8mm
@RashidKaoneka-bj8mm 16 дней назад
Bangi inakusumbua unahamia lini azam?
@khajihamisi5054
@khajihamisi5054 16 дней назад
Wapumbavu kama Hawa wako wengine upande huu, kiongozi wao alishawaambia!!!
@Hope-ok9dy
@Hope-ok9dy 16 дней назад
Mshindwe kumpakiza chama azizi mtamuweza azizi tayari miaka miwili fakolo wewe
@user-ic2cb9gm2j
@user-ic2cb9gm2j 16 дней назад
Wewe ni mropokaji wa kawaidaa
@Hope-ok9dy
@Hope-ok9dy 16 дней назад
Subirini tarehe nane paka nyie
@raulencomarkesh5848
@raulencomarkesh5848 16 дней назад
Mtambo huo
@KhamisHamadi-gd3eb
@KhamisHamadi-gd3eb 16 дней назад
Hata ishu ya chama ulisema mo ameshamsainisha miaka miwili,nikama haujielewi vile
@fredylucas2484
@fredylucas2484 16 дней назад
Huyu ni mwezi mchanga kama Simba wenzake
@peterrobertkabate239
@peterrobertkabate239 16 дней назад
Gb kila interview unarudia maneno yale yale
@MrishoMindu-zq7mz
@MrishoMindu-zq7mz 16 дней назад
Jiongeze hawa sanga Tv wame iedit matapeli hawataki kumpoza Gb 64.
@revocatusmalimi4525
@revocatusmalimi4525 16 дней назад
Hilo nalo neno,umesema kweli na umetolea mfano mzuri wa timu za Taifa.
@DenisMalima-cq9hp
@DenisMalima-cq9hp 16 дней назад
Hivi huyu jamaa uko Centro walimfanya nini
@salimmalaka256
@salimmalaka256 16 дней назад
MATOPOLO MACHOGO FC WANATOWA RUSHWA NA WANATUPIGA MISUMARI HATA TUKICHEZA MECHI ZINGINE WA LAANA WALA MIHOGO HAO
Далее
НАШЛА У СЕСТРЫ СЕКРЕТИК
00:36
Просмотров 522 тыс.
HOUSE GIRL EP 57 || love story💞💕
25:26
Просмотров 13 тыс.
SNAKE BOY | ep 29 | SEASON TWO
31:40
Просмотров 59 тыс.
JOSHUA MUTALE SKILLS
5:15
Просмотров 24 тыс.
But how??
0:16
Просмотров 10 млн
This Game Is Wild
0:21
Просмотров 62 млн