Тёмный

MWILI WA MTU WAFUKULIWA ARUSHA NDUGU WAKIVUNJA TANGA, UMEKAA KABURINI SIKU TATU 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 25 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

7 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 79   
@kutailass6671
@kutailass6671 13 дней назад
Mnaweka mno watu kwenye mabarafu had wanapoteza muonekano wao halisi
@ZalkhaRawahi
@ZalkhaRawahi 13 дней назад
Arusha wapewe tu bendera na rais wao hii ni nchi kamili kila kukicha matukio
@user-qh2bx5em6j
@user-qh2bx5em6j 13 дней назад
Acha kabisa huku ni shida jamn
@darajalakidatukilomgi2362
@darajalakidatukilomgi2362 12 дней назад
Mpaka nimecheka wakati ni Jambo la huzuni, Arusha Arusha
@fatmaabdallah7709
@fatmaabdallah7709 12 дней назад
@@ZalkhaRawahi hii naona iliporwa kutoka kenya sio ya Tz kabisa kwa kuchangamka huko!, 😂😂
@halfanimalinda5421
@halfanimalinda5421 13 дней назад
Arusha wana dunia yao saivi
@machatv3717
@machatv3717 12 дней назад
Arusha watu wanafufuka, wanazika maiti sio zao, Bangi ya arusha nasikia mbaya sana
@Official83640
@Official83640 13 дней назад
Nikisema mm mnaona naongea uongo Dar tunatekwa Arusha maajabu ya maiti kila leo😂😂
@CatherineHassan-z1p
@CatherineHassan-z1p 13 дней назад
Arusha na geita mmmmh kwa matukio yamezidi😮
@rosetreffert4179
@rosetreffert4179 11 дней назад
​@@CatherineHassan-z1pkabisaa 😢
@vero57
@vero57 13 дней назад
Hiyo nchi ya Arusha ina mambo kweli kweli 😮😮😮
@jumapiliissa4835
@jumapiliissa4835 12 дней назад
Nikweli chuga nimbegu ya wazuru wa saudh afrika
@user-sc8mp6tc3n
@user-sc8mp6tc3n 12 дней назад
Nchi ndani ya nchi naipenda chuga yangu
@LucyNaman
@LucyNaman 12 дней назад
Yani arusha iv kweli wanashindwa kuwatambua ndug zao😢
@halunimnenwa5224
@halunimnenwa5224 13 дней назад
Arusha Kuna matukio sasaivi
@lilianwaflotina1288
@lilianwaflotina1288 13 дней назад
Tunamuomba mwamposa aende huu mji akapige maomba 🙌
@ayububakari9942
@ayububakari9942 13 дней назад
maombi gani nakati wamechukua mwili wa mwingine TATIZO MNAWEKA MAITI MDA MREFU MPAKA ANABADILIKA
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 12 дней назад
Umeonaee ​@@ayububakari9942
@josephatilunde9329
@josephatilunde9329 13 дней назад
Mambo ya Arusha na dunia yao😂😂
@amirjuma9395
@amirjuma9395 13 дней назад
Kulikoni Arusha 😅😅😅
@Wana_imani_kenya
@Wana_imani_kenya 13 дней назад
Na Robert ata
@mpefu_4936
@mpefu_4936 13 дней назад
Mtuombee tu arusha ni baraa ipo
@DotoLemako-np3lp
@DotoLemako-np3lp 11 дней назад
Arusha sijui baridi au vipi, mbona kama haya matukio yanaongezeka kila kukicha, mi ninachojua mortuary wanapewa majina kamili ili wamuandae mtu wao kwa kidhibitisho, mbona kama mnatuchosha, hii inawahusu wote mortuary attendant na familia
@KhalfanDotto
@KhalfanDotto 8 дней назад
Inshalla
@francisletara4316
@francisletara4316 11 дней назад
Kuna sababu ya kuona mwili unapooshwa wawepo wenye marehemu. Kwa nini? Waosheji wanafanya kilankitu pasipo ndg wa karibu ndio maana mambo haya yanstokea
@penuelmichael3374
@penuelmichael3374 12 дней назад
Arusha ni nchi nyingine jamani hakuna siku matukio yanapoa kilasiku ni matukio, mungu tuhurumie
@user-uy4tw2ug6o
@user-uy4tw2ug6o 12 дней назад
Kwann mlipoenda kumchukua amkumuangalia jmn
@ibrahimdaudi5823
@ibrahimdaudi5823 11 дней назад
watu hawana upendo na ndugu zao ikifika wakati wa kumuosha maiti wanakimbia wanatoa 20,000 ya kuosha maiti wanamkuta ndani ya jeneza
@melinamlawa9235
@melinamlawa9235 11 дней назад
Ebu tupumzisheni Arusha.
@vijanafurniture1810
@vijanafurniture1810 13 дней назад
Arusha tena
@fifo262
@fifo262 11 дней назад
Ndo maana uislam unataka ukifariki tuuuu hakuna jipya zaidi ya kuzika , ila hongereni kwa kupambana kuupata mwili wa mpendwa wenu
@trifoniambilo2400
@trifoniambilo2400 13 дней назад
Na hyo tabia ya kuzk bla kukagua mait muuache polen
@olivernyange2349
@olivernyange2349 12 дней назад
Banging mingi na ndo msimu wa baridi😅
@rahabukirigiti8514
@rahabukirigiti8514 12 дней назад
Haaa jamani, arusha ni nn mtukio ya kutisha,kila kukicha ,salini sana na kumrudia mungu du
@RonaldBarasa-q7s
@RonaldBarasa-q7s 12 дней назад
❤❤❤❤
@SadikiKisubi
@SadikiKisubi 13 дней назад
😢😢😢
@Gloriarespiki
@Gloriarespiki 13 дней назад
Arusha iko tz kwel kla day matukio jm n
@neemansasu9761
@neemansasu9761 12 дней назад
Arusha mwisho yaani
@JacksonAloyce-kq6nh
@JacksonAloyce-kq6nh 12 дней назад
Ila Arusha matukio yanazidi sasa
@lelaiddy6856
@lelaiddy6856 13 дней назад
Chuga matukio mengi
@darajalakidatukilomgi2362
@darajalakidatukilomgi2362 12 дней назад
Uzembe mkubwa hospital, juzi tu mjombaa kaonekana mzima wakati mmezika mtu, viongozi wa hospital mnazembea sana, kila mwili kila mgonjwa anaingia na jina lake inakuaje mnachanganya majina ya maiti au majina ya mgonjwa uzembe wa hali ya juu hatua kali zichukuliwe
@StellaMwasha
@StellaMwasha 12 дней назад
Hiyo point
@user-jx4rx6jy6y
@user-jx4rx6jy6y 13 дней назад
Arusha jaman mbona ivo duu
@marthamvanga8028
@marthamvanga8028 13 дней назад
Arusha kwani vipi
@DimitryMghamba
@DimitryMghamba 13 дней назад
Arusha Wamezidi inabid serikali marautasikia kunamtu kafufuka kwahalihyo yakushindwa kumtambua marehemu inabid waende mochwar kwawakat mchache siokumuacha mtu had sura ibadilike
@barakakisioki
@barakakisioki 12 дней назад
Arusha imekuwa kisii kenya😂😂😂
@HabibuHoseni-sv8hd
@HabibuHoseni-sv8hd 12 дней назад
Arusha kuna matukioo khaaa😅😢
@kulwamikwanga3112
@kulwamikwanga3112 12 дней назад
Binadam mkianza kuitwa wadudu wakati mungu kaumba binadam wanao onekana na wadudu wasio onekana hapo ndo laana zinaanza Arusha badirikeni
@willsonmsuya9261
@willsonmsuya9261 12 дней назад
Jamani
@LeylatVlogs
@LeylatVlogs 11 дней назад
Arusha Arusha Arusha nimeiita 3 times
@anenragnesmunis8490
@anenragnesmunis8490 12 дней назад
Jaman watu walikaa mbali wakat mwili unaoshwa ndio maana
@christopherjoseph8330
@christopherjoseph8330 12 дней назад
Wangepotezea tu maan wote watazikwa kwenye udongo.
@HabibuUrasa
@HabibuUrasa 12 дней назад
mbona arumeru mnazika miili ambayo siyo yenu juzi mlizika mtu. ,mkadai amefufuka kumbe mmemzika mtu mwingine,Tatizo mnawaweka mochwari hadi wanabadilika sura
@yahyahamisi2038
@yahyahamisi2038 12 дней назад
Arusha rusha roho aka Aruchuga 😂😂 ni shit shidaaaaaa 🤣🤣
@fifo262
@fifo262 11 дней назад
Arusha kiboko
@ismaelgadiye4488
@ismaelgadiye4488 13 дней назад
Sasa watakula pilau mara mbili?
@beatricemtui3766
@beatricemtui3766 12 дней назад
Wameru sijui wanashida gani
@AshleyMahmoud-vt1vz
@AshleyMahmoud-vt1vz 12 дней назад
Kwann hamkuangalia sura
@RichardMbwelwa-xk3tm
@RichardMbwelwa-xk3tm 12 дней назад
Arumeru kuna vituko,
@kanankirannko6174
@kanankirannko6174 12 дней назад
Ni Yale Yale ya Yule kaka yaani haya mambo huku yapo sana lakini utashindwaje kumjua ndugu yako? Bora sasa wametambua mapema au tuanzishe utaratibu Wa kuvalisha wagonjwa bangili zenye majina huko hosptali
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 12 дней назад
OmWatu wa Arusha visa na vituko haviishi
@jumapiliissa4835
@jumapiliissa4835 12 дней назад
Ulienda kuhakiki wakiwa wametumia vikali ndomana hawakumjua
@StellaMwasha
@StellaMwasha 12 дней назад
Kwani watu hawaangalii ndugu zaoooo??
@witneyjerry2587
@witneyjerry2587 12 дней назад
Arusha shkamooni,ila poleni pia
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 12 дней назад
Chuga tupewe maua🎉
@fatmaabdallah7709
@fatmaabdallah7709 12 дней назад
@@shakilamasoud2983. chukua kwa kweli , 😆
@sophiakimaro5174
@sophiakimaro5174 11 дней назад
Ila na waandishi wa arusha wako shap.khaaa!!au mikoa mingine hamna habari?
@christopherjoseph8330
@christopherjoseph8330 12 дней назад
Watu wakati mwingine wanafanana jmn.
@user-sv6zy3hc8o
@user-sv6zy3hc8o 13 дней назад
Kwani huyo mait hakukoshwa au mnachukua mwili ambao hamja uona jamani mvona mna mambo ya ajabu
@nuruurio8319
@nuruurio8319 12 дней назад
Hilo nalo na mtu wa mwisho kuwa na marehemu anapaswa kwenda siku ya kuchkua mwili maana anaweza kukumbuka hata nguo
@fatmaabdallah7709
@fatmaabdallah7709 13 дней назад
Arusha mna nini mbona matukio ya ajabu ajabu kila leo akili zimevurugwa na nini ?!
@MashaMbwana
@MashaMbwana 12 дней назад
Majani ya arusha ndio yaliovuruga akili zao😅😅
@fatmaabdallah7709
@fatmaabdallah7709 12 дней назад
@@MashaMbwana kwa kweli si uongo daaah! Sina la kusema , 😂😂 mi namshauri rais hichi kipande awarudishie wakenya tu manake naona ni yao waliwapora
@lusajomwakajoka4955
@lusajomwakajoka4955 13 дней назад
Arusha muokoke😅
@SadaKigwangala
@SadaKigwangala 13 дней назад
Yaan ntihani kila siku
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 12 дней назад
Tatizo wakiristo mnapenda kuwema maiti sana monchwali. Amziki haraka ndiyomaana yanatokeahayo mtuak8fa sula inabadilika .zikeni haraka hayatotokea hayo
@user-xx8jx6tb7d
@user-xx8jx6tb7d 13 дней назад
Mi nafkriaga kua inakuaje mpaka mtu wanachukuliwa nakuzkwa paspokujua ni ndug wa familia au la kwamba uso hauonekan, duu polen
@kakaaignas3675
@kakaaignas3675 13 дней назад
😢 nashindwa kujua hlo
Далее
Beautiful gymnastics 😍☺️
00:15
Просмотров 10 млн