Barikiwa sana Mhe Ally Hassan Mwinyi, Rais mstaafu kwa hotuba nzuri na jinsi umewasilisha wasifu wa hayati Rais Magufuli, Umetufariji sana Watanzania kwa ujumla. Mungu akutunze na kukulinda Babu yetu
Asante Sana BABA WETU, RAISI MWINYI, Kukuona tena ukiutubia Wana Inchi Tanzania ata hapa kwetu Burundi. Tunammkumbuka Sana Raisi Magufuli. Mwenyezi MUNGU ammupokee veema kwake Mbinguni. Na Mungu azidi kuchunga vizuli, Familia yake na wa Tanzaniya wote kwa jummula.
Ally hassan mwonyi former president number 2 on Tanzania leadership soon after late Julia's kambarage nyerere Alli Hassan mwinyi was the leader and respected man who driving Tanzania leadership on open darection of Tanzania people to know where we are
It's long time since the late prezido jpm past away but I as a ugandan , Tanzania & Africa as large we miss him and we will miss him may Allah for give him his sins and give enough light kw kaburi yake
Mzee mwinyi pepo inakusubiri kwa kuwa mkweli na Busara nyingi sisi miaka 40 tumeshindwa mwenzetu 2 tu kajenga barabara nchi nzima kwa kipindi kifupi sana
Ugonjwa hukutaarifawa baba,kana kwamba alifariki basi na kuuguwa.Mwenyezi Mungu atatujereshea yaani kuwa yupo aliye au atakaye chukua mbadala.Kwakuwa Mungu huumba sie sote kwa binafisi tufanye kitakacho mpendeza