Тёмный

Mwinyi: "JPM Aliushangaza Ulimwengu/Suala la Kuhamia Dodoma Amefanya kwa Miaka 2, Sisi Miaka 40 

CLOUDSMEDIA
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 242 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

17 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 99   
@rafikiwildlife4263
@rafikiwildlife4263 3 года назад
Barikiwa sana Mhe Ally Hassan Mwinyi, Rais mstaafu kwa hotuba nzuri na jinsi umewasilisha wasifu wa hayati Rais Magufuli, Umetufariji sana Watanzania kwa ujumla. Mungu akutunze na kukulinda Babu yetu
@mohdndevu9910
@mohdndevu9910 7 месяцев назад
Natuwe pole sana Kwa mzeewetu ambaye. Mwenye hikima nabusara Allah ampe peponchema yafiridausi
@pierreclaverhavyarimana8735
@pierreclaverhavyarimana8735 2 года назад
Asante Sana BABA WETU, RAISI MWINYI, Kukuona tena ukiutubia Wana Inchi Tanzania ata hapa kwetu Burundi. Tunammkumbuka Sana Raisi Magufuli. Mwenyezi MUNGU ammupokee veema kwake Mbinguni. Na Mungu azidi kuchunga vizuli, Familia yake na wa Tanzaniya wote kwa jummula.
@jeremiamisholi1999
@jeremiamisholi1999 2 года назад
Asante mzee Mwinyi Kwa busara zako za kweli
@kahmardintebe9266
@kahmardintebe9266 9 месяцев назад
Mzee mwinyi siyo mnafiki mungu ampe maisha marefu
@RajabuOmar-er2lp
@RajabuOmar-er2lp 2 месяца назад
'😊,
@eneamhama8311
@eneamhama8311 3 года назад
Daa tuko mwisho wa dunia askofu kavaa barakoa waumini hawana Sasa hapo Nani anaimani na mungu zaidi
@sa3dasa3da87
@sa3dasa3da87 3 года назад
Nami nimeona hata baadhi ya viongozi wameanza kuvaa wakati enzi za uhai wa jembe tulikua tunawaona wakiwa bila barakoa
@margarethsaramaki3966
@margarethsaramaki3966 3 года назад
Barakoa ni uamuzi wa mtu mwenyewe kuchukua tahadhari kuna mtu anaona ni muhimu na kuna mtu anaona siyo muhimu hivyo yaani
@shangwekamando2599
@shangwekamando2599 3 года назад
Wee inakuhusu nini ?
@Mimi-wf7mb
@Mimi-wf7mb 3 года назад
Mzee yuko fiti mno💪💪 miaka 96 anasoma bila miwani👌👌👌👌
@fumbukashangwe3173
@fumbukashangwe3173 2 года назад
Mzee Mwinyi hongera Mwenyezi Mungu azidi kukuhifadhi kweli maisha ni hadithi
@michaelkimamule7979
@michaelkimamule7979 3 года назад
Nifahari yetu watanzanzia tumuombee mwenyezi mungu aendelee kumlinda babu yetu kipenzi nafalijika sana wenzetu hawana
@dominabuxay940
@dominabuxay940 3 года назад
Jamani Mzee Mwinyi
@believerswords579
@believerswords579 3 года назад
Mpendwa wetu Babu Ali Hassan Mwinyi hata Sawa tunakupenda Sana pia. Tumefurahi kukuona.
@tumainimalkiori7142
@tumainimalkiori7142 3 года назад
Asante baba
@kassimmurji2872
@kassimmurji2872 2 года назад
Viongozi wa Tanzania tujifunze mfano kutoka kwa mzee Mwinyi uadilifu na wema niakiba duniani na aghera
@sumaali873
@sumaali873 3 года назад
Huyu mlinzi anastahili sifa anajua kilakitu angalia anatoa ishara ss basi mzee hamudu tena big up sana mlinzi wa babuyetu
@eliamwankenja7087
@eliamwankenja7087 2 года назад
Ujumbe mamaafrica Mungu akusadie
@valenakomba7686
@valenakomba7686 8 месяцев назад
MZEE MWENYE ROHO NYEUPE HUYOOO.❤❤ ❤. MUNGU AZIDI KUMPA NGUVU. HANA ROHO YA WIVU MZEE WA WATU. ROHO YAKE NYEUPEEE KWA KWELI. BABA LA BABAA.🎉🎉🎉🎉❤❤❤
@kalumbugideon4159
@kalumbugideon4159 3 года назад
Huyu Mtu Mzee Mwinyi....Safi Sana... Huyu anajua tulipotokea....Tz
@Chombezaflava
@Chombezaflava 3 года назад
Mungu amuweke anasoma bila miwani na bado vitu havimpotei sana
@jeremiahburton8999
@jeremiahburton8999 3 года назад
Great leader!!!...Mzee Mwinyi uzee mwema kwako... hakika uwepo wako ni faraja kwetu kama taifa.
@epafrangweshemi4014
@epafrangweshemi4014 2 года назад
Mzee ruksa, uliwapenda sana watanzania na walipokusumbua uliwapa ruksa kufanya watakavyo. Hongera kwa wema wako. Mtoto akililia wembe mpe!
@leaherasto929
@leaherasto929 8 месяцев назад
Get well soon Rais Mwinyi
@michaelndilima6210
@michaelndilima6210 2 года назад
Pepo hiyoo mzee mwinyi.
@lucasalphonce7820
@lucasalphonce7820 2 года назад
Mungu akupe heri ya miaka mingi baba.
@michaelndilima6210
@michaelndilima6210 2 года назад
Safi sana rais mstaafu mwenye hekima kubwa sana nchini
@michaelndilima6210
@michaelndilima6210 2 года назад
Safi sana rais wetu mstaafu mkweli na mwaminifu.
@mrishojumaamrisho3212
@mrishojumaamrisho3212 3 года назад
Mzee mwinyi Allah Akuongoze
@ChristopherMillanzi
@ChristopherMillanzi 7 месяцев назад
Uombe mungu atupe umri na hekima kubwa Kama huyu mzeeeere
@casmirpeter1293
@casmirpeter1293 3 года назад
Tunakupenda Sana babu yetu😍
@MohdMaulid-x6r
@MohdMaulid-x6r 9 месяцев назад
M/mungu akujaalie Afya njema Mzee wetu
@Mimi-wf7mb
@Mimi-wf7mb 3 года назад
Mbona nazidi kumpenda huyu mzee?
@letshikuku39
@letshikuku39 3 года назад
Huyu mzee ruksa anapendwa sn na Watanzania kwa sababu ya ucheshi wake. Yupo poa sn babu yetu. Mungu akuweke mzee Mwinyi.
@suleimansadalla5606
@suleimansadalla5606 2 года назад
Big up Mzee wetu
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 2 года назад
alitukanwa Sana na mwalimu huyu kisa kutetea wananchi wanyonge wa nchi huyu ndiye alikuwa mtetezi wa kweli wananchi..!
@michaelndilima6210
@michaelndilima6210 2 года назад
Hazina ya tanzania ni mzee mwinyi.
@levistv838
@levistv838 8 месяцев назад
inauma sana
@Iddi-xw7vw
@Iddi-xw7vw Месяц назад
Hata moja. Hatuliezi
@Chombezaflava
@Chombezaflava 3 года назад
Mzee mwinyi anazeeka na kuzidi kupendwa na watu walitamani aendelee na hotba yake wapate kujifariji kwa kupunguza machungu
@abdalahgunda1319
@abdalahgunda1319 Год назад
Ally hassan mwonyi former president number 2 on Tanzania leadership soon after late Julia's kambarage nyerere Alli Hassan mwinyi was the leader and respected man who driving Tanzania leadership on open darection of Tanzania people to know where we are
@meshackmalele5386
@meshackmalele5386 3 года назад
Hahaha mzee yupo peace sana, kasahau alipo na jina la marehemu
@abcxyz3740
@abcxyz3740 3 года назад
Naangalia hii clip kwa mara ya nne sichoki ngoja kwanza kijana wangu mheshimiwa rais usinichoke
@dapiliharun7978
@dapiliharun7978 3 года назад
Mm huangalia daily sichoki🙈
@ZediKangulumira-pk2uu
@ZediKangulumira-pk2uu Год назад
Pliz current Samia suruhu (prezido) I kindly beg u to fullfil the late j p m plan Tanzania &Africa as large will pray for u allahuma amina
@ZediKangulumira-pk2uu
@ZediKangulumira-pk2uu Год назад
That's apoint mzee xprezido hassan mwinyi thx for your crutial speech long live mzee
@ZediKangulumira-pk2uu
@ZediKangulumira-pk2uu Год назад
It's long time since the late prezido jpm past away but I as a ugandan , Tanzania & Africa as large we miss him and we will miss him may Allah for give him his sins and give enough light kw kaburi yake
@ibrahimomari2458
@ibrahimomari2458 6 месяцев назад
But you have a good president in your country(museven)...
@godlydanny1511
@godlydanny1511 3 года назад
Bodyguard wa Rais anacheka hadi anajishtukia 😅😅
@abcxyz3740
@abcxyz3740 3 года назад
Mzee mwinyi pepo inakusubiri kwa kuwa mkweli na Busara nyingi sisi miaka 40 tumeshindwa mwenzetu 2 tu kajenga barabara nchi nzima kwa kipindi kifupi sana
@francisskapufi4972
@francisskapufi4972 3 года назад
More Great Memory
@JOHNKKULULINDA-pc6gy
@JOHNKKULULINDA-pc6gy 9 месяцев назад
KWELI, MZEE NDO MAANA KILA MWEMYE HEKIMA ANAKUPENDA. MUNGU AKUZIDISHIE AFYA NJEMA.
@kassimloav2402
@kassimloav2402 2 года назад
Ningependa kwenye mazimisho ya mwaka Wa magufuli mgen rasmi away mstafu All Hasan mwiny
@washingtonmbiti9348
@washingtonmbiti9348 8 месяцев назад
Wapole hawa watanzania.Napenda mipangilio ya hotuba zao.Waadilifu wa maisha.
@romanamassawe814
@romanamassawe814 Год назад
Shikamoo Babu
@kanyamageorge7015
@kanyamageorge7015 2 года назад
Ugonjwa hukutaarifawa baba,kana kwamba alifariki basi na kuuguwa.Mwenyezi Mungu atatujereshea yaani kuwa yupo aliye au atakaye chukua mbadala.Kwakuwa Mungu huumba sie sote kwa binafisi tufanye kitakacho mpendeza
@bensonatumbwa745
@bensonatumbwa745 Год назад
Watanzania mungu amewabariki na ma rais wazuri tangu mpate uhuru .Kenya kwetu huku ni wakabila tu na matapeli
@aliymwazoa3051
@aliymwazoa3051 2 года назад
miaka uliyonayo na bado unaona vyema kiasi cha kuweza kusoma Mungu akubariki sana.
@bonifacemtei2207
@bonifacemtei2207 3 года назад
Jamani mzee mwinyi ajengewe sanamu Kama mzee wa busara kamfanya Hadi mama Janet magufuli kusahau yupo msibani kumchekesha mfiwa sio kazi ndogo
@ArafatikasuKasu
@ArafatikasuKasu 9 месяцев назад
❤❤
@ignasnyembo1256
@ignasnyembo1256 8 месяцев назад
Hahaha maisha bwana. Mzee ruksa amezeeka sana hajui anachoongea. Binadamu si kitu
@farajamwito7242
@farajamwito7242 2 года назад
Kikwete je?
@japhetdaudmaneno8440
@japhetdaudmaneno8440 2 года назад
Leo machinga wanalia na kujuta kuzaliwa Tanzania,kama si nchi Yao tena
@AbrahamSekuza
@AbrahamSekuza 7 месяцев назад
Wote nyie ndio mliokula bila kujali wana nchi mungu atawashughulikia tuu
@fumbukashangwe3173
@fumbukashangwe3173 2 года назад
Maisha ya mwanadamu ni hadithi ifanye basi kuwa hadithi njema kwa kuishi maisha mema watakosimuliwa hadithi yako watabasamu kwa hadithi nzuri
@sadikingonyani315
@sadikingonyani315 3 года назад
Huyo ndio BABU wa TAIFA LETU
@abdulijongo1355
@abdulijongo1355 3 года назад
Hotuba Nzr Kabsa Na Yenye Mapenz Ya Kwel Kutoka Kwa Babu Yetu Mzee Mwinyi Tumekuelewa
@clarencehilary5588
@clarencehilary5588 9 месяцев назад
Sasa huyo delila mbona kafirisi alivyotafuta.mwezake
@JohnFrederick-n4t
@JohnFrederick-n4t 9 месяцев назад
Hekima ni ya uraisi
@brevickkanai8627
@brevickkanai8627 Год назад
MUNGU akusidishie umri Tena Babu
@safarisimukoko5089
@safarisimukoko5089 2 года назад
Kweli kabisa Mheshimiwa natamani hutob yako iendelee
@kanyamageorge7015
@kanyamageorge7015 2 года назад
Shaka na Mso....Shughuli zimezidi...zipi?
@ramadhanmgaya1775
@ramadhanmgaya1775 2 года назад
Rais Magufuli alifanya Yale ambayo viongozi wengi hawakuweza na hawaweezi fanya. Rip Jpm.
@samahamed2418
@samahamed2418 3 года назад
Mzee rukhsaa i 😀
@pendojeremiah9111
@pendojeremiah9111 3 года назад
Huyu mlinzi kama.ana hasira Sana kwn hajui Kama.huyu Ni mzee sna
@believerswords579
@believerswords579 3 года назад
Yuko kazini. Ni kawaida
@shangwekamando2599
@shangwekamando2599 3 года назад
Akicheka hapati mshahara
@elizabethfaustine3114
@elizabethfaustine3114 3 года назад
Hajanuna ndo alivo commando sura ya kazi
@pendojeremiah9111
@pendojeremiah9111 3 года назад
Oooh
@casmirpeter1293
@casmirpeter1293 3 года назад
Hata Mimi cmuelewi
@mickidadynhayo707
@mickidadynhayo707 3 года назад
Mung mlaze mh: jpm mahali pema peponi amina
@chakubutaedmond6298
@chakubutaedmond6298 Год назад
Kwakweli tutakukumbuka daima hayati Rais Dr Magufuli, pia babu Rais mstaafu wa awamu ya pili Mungu azidi kukujalia miaka mingi zaidi. Amen
@babulomitu140
@babulomitu140 2 года назад
Wazee ni hazina
@GamalielReginald
@GamalielReginald 8 месяцев назад
Kmc yanga
@benedictmrisho5947
@benedictmrisho5947 2 года назад
Kisima cha busara na hekima
@dezasumailcostaricahamis5429
@dezasumailcostaricahamis5429 2 года назад
Mkutano wotee huo sijaona mtu ambaye anauzuni sana kama mlinzi aliyosimama nyuma ya raisi mstafu mwinyi
@tusaangulile1400
@tusaangulile1400 2 года назад
Wote wamejaa wamefulahi naumia mm myonge JPM ameumiza moto wangu
@williamdaudi5588
@williamdaudi5588 2 года назад
Novena ya siku 54 na Padri Mbiku
@mohdndevu9910
@mohdndevu9910 7 месяцев назад
❤❤❤😂😂😂
@haitumikitena4978
@haitumikitena4978 3 года назад
Watanzania tunajivunia kuwa na wewe Babu yetu wa Taifa
@smukelomkhize9775
@smukelomkhize9775 2 года назад
Wewe Ndiyo unajivunia Siyo Watanzania wote
@nathaliaerasmi5562
@nathaliaerasmi5562 3 года назад
Mama sitti hahaha
@biswalouniversal2586
@biswalouniversal2586 2 года назад
Baby wa jamhuri ya Tz ishi zaid bado tunahitaj ushauri wako babu mwema usiye naupendeleo kwa wajukuu zako
@makupeamri5659
@makupeamri5659 2 года назад
Namwenyewe magufuri alisema atakuja raisi wamana zaidi yake najiuliza aliyemsema ni uyu ama
@MohammedPakia
@MohammedPakia 2 месяца назад
TUTAPATAWAP EKIMA BUSULA ZAKAMA MZEWETU MWINYI
@michaelndilima6210
@michaelndilima6210 2 года назад
Rais wa busara
Далее
Maneno ya Alhaj Ali Hassan Mwinyi kwa rais Magufuli
13:03
Cole Palmer Revenge vs Man City 🥶
00:20
Просмотров 2,2 млн
Собираю Маню к осени ✨
00:48
Просмотров 1,1 млн
BABA WA TAIFA ALIILILIA TANZANIA KABLA YAKUKATA ROHO.
21:57