Тёмный

HII NDIYO HELIKOPTA ILIYOUNDWA ZANZIBAR 

KTV TZ ONLINE
Подписаться 375 тыс.
Просмотров 819 тыс.
50% 1

~-~~-~~~-~~-~
Please watch: "LIVE:SHUHUDIA WAZIRI MKUU AKIWASILI UKEREWE"
• LIVE:SHUHUDIA WAZIRI M...
~-~~-~~~-~~-~ #hakikahiinifahariyetu #hakikahiinifahariyetu

Опубликовано:

 

9 янв 2018

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 384   
@fatumahamadi1379
@fatumahamadi1379 4 года назад
Mashaallah Hongera Tunaweza Wakati umefika wenye vipaji wasaidiwe tupaye songa mbele
@katobesi123marco3
@katobesi123marco3 4 года назад
Mungu akubaliki kipaji chacko kidumu
@khamishassan8603
@khamishassan8603 6 лет назад
hongera Allah akujaalie kila lakheri
@skyleralmasi3252
@skyleralmasi3252 5 лет назад
Mungu ibariki Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@khaledrashid2825
@khaledrashid2825 5 лет назад
Allah akuwezesheni waznz amin musiwaachie wazungu tu
@phixp6799
@phixp6799 6 лет назад
Najivunia Nchi yangu ya Tanzania kwa kubarikiwa kwa vipaji tofauti tofauti.
@isayamichael597
@isayamichael597 5 лет назад
Mungu nimwemA sana amina
@sophemsuya7062
@sophemsuya7062 4 года назад
Natumaini serikali hii ni tofauti sana na zilizopita. Naiomba itoe nafasi kwa watu hawa kwa kuwapa mafunzo ya ziada ili nasi tunufaike na rasilimali watu wetu! Ni jambo kujivunia kabisa kuwa na watu hawa. Mungu wasaidie wapewe nafasi hiyo!
@ruwaidatabdallah2769
@ruwaidatabdallah2769 6 лет назад
Hongera kaka kwa kuiwakilisha Zanzibar yenu
@yasinamiri7649
@yasinamiri7649 4 года назад
Mashaallah
@jtnuhaliro8856
@jtnuhaliro8856 5 лет назад
Mshkaji hongera mzee baba uko poa mwanangi
@petermakau6436
@petermakau6436 3 года назад
Ikiruka juu mkae mbali Sana,... Odd do change
@abdulrazakyussef3177
@abdulrazakyussef3177 6 лет назад
Sawa, Ahsante sana. Sote tumshukuru Mola. Nawatakia kheri sana Ndugu Sheni na Maalim Seif, Wazanzibari na Watanzania wote kwa ujumla.
@vicentsamuel9716
@vicentsamuel9716 5 лет назад
Hongera sana bwana sugu lakin serikali ndo wenye dhamana kwaajili ya usalama wako na watanzania wote
@vicentsamuel9716
@vicentsamuel9716 5 лет назад
Hongera sana bwana sugu lakin serikali ndo wenye dhamana kwaajili ya usalama wako na watanzania wote
@neemaabdul9553
@neemaabdul9553 6 лет назад
Ana kipaji kikubwa mashaallah! Ila bahati mbaya umezaliza tz. Usikate tamaa na Rehma za ALLAH. ALLAH akufikishe mbali aamin.
@abalhassan7794
@abalhassan7794 6 лет назад
Hongera sana Mr sugu kutokana na kazi yako nzuri
@khalfanshahabakar7439
@khalfanshahabakar7439 2 года назад
Hongera
@khatibomar408
@khatibomar408 6 лет назад
hongera bwana said sugu mungu akuzidishie ujuzi na utaalamu.
@shamsahaji6202
@shamsahaji6202 6 лет назад
Mashaallah Allah amzidishie maarifa...wazanzibari tujifunze kupeana moyo...na serekali mtu km huyu ni wa kuwa nae kabisaa hakuna kisichowezekana kwani waliotengeneza ndege..gari..jet ..na vyenginevyo sio wanyama bali ni binaadamu kwa hio tusidharau mtu kila kitu kinawezekana sana tu hongera mr sugu nakuombea mafanikio na ujuzi zaidi ipo siku watakuelew tu.
@homelifesports6668
@homelifesports6668 5 лет назад
Safi sana kwa moyo wako
@hidayamussa4273
@hidayamussa4273 6 лет назад
Masha Allah, hongera sana Best wangu, Coach mwenzangu Mr Sugu Allah akuongezee zaid yahapo ulipo kaka
@mwanatz5980
@mwanatz5980 4 года назад
Mashaallah .
@ahmedhemedmohammed4564
@ahmedhemedmohammed4564 6 лет назад
Blessed
@adnanidarous3117
@adnanidarous3117 6 лет назад
Duh!! Mashallah Hays serikali kazi kwenu SSA watu wanataka seaport yenu tuu waiinue tz...
@asamandhiry8648
@asamandhiry8648 6 лет назад
Hongera ndugu Said Sugu kwa ufundi wako wa kuigiza helicopter. Mungu akuzidishie kipawa cha kuweza kuvumbua kitu kitakacho saidia taifa kimaendeleo. hapo ulipofika tosha kuwa unao uwezo wa kufanya hivyo. chekecha akili serikali itakuinua kwa mawazo mbadala ya kutatua matatizo ktk jamii. Allah yupamoja nawe
@josephshangawima1585
@josephshangawima1585 6 лет назад
du! big up saidy
@qaltumsaid3095
@qaltumsaid3095 Год назад
MashaAllah hongera sana hakika hiki ni kipaji kikubwa sanaaaa
@mastzube9342
@mastzube9342 6 лет назад
Hongereni sana KTV TZ kwa vipindi vyenu vya kuelimisha jamii ila jaribuni sana kwa watangazaji wenu wawe wanaelimisha jamii kwa kila kitu sikupendezwa na mtangazaji kukata mkato wa nywele kama ilivyo hapo hii ni kupotosha maadili AHSANTENI .
@shukranjovin2321
@shukranjovin2321 6 лет назад
Nice
@mariumchima8098
@mariumchima8098 6 лет назад
ingekua ulaya angesha zaminiwa
@mariumchima8098
@mariumchima8098 6 лет назад
apewe sapota
@TheChidonline
@TheChidonline 6 лет назад
na vidani
@salmakhalifa3657
@salmakhalifa3657 6 лет назад
Mast Zube
@iddibama6819
@iddibama6819 5 лет назад
TALENTED
@alfatahmadmohammed3091
@alfatahmadmohammed3091 4 года назад
God bless you
@ignatuskaigi31
@ignatuskaigi31 4 года назад
I like hlcpt
@allyissalipawe2118
@allyissalipawe2118 5 лет назад
Mashallah ndugu yangu umekua imani yako ndio itayokufanya usifike mbali ungekua upande wa pili wangekusapoti na kuendeleza kipaji chako kwani walioanza kubuni vitu ilikuaje lazima wajalibu waone kama inafanya kazi na walikuwa wanafanikiwa Allah akujalie kwa ubunifu wako
@thomasmallya2972
@thomasmallya2972 4 года назад
Peleka udini pimbi ww
@fababindawood5842
@fababindawood5842 6 лет назад
Suguuu we noma serikali mpeni fursa mzanzibar mwenzitu mungu amempa kipaji.
@samsonkusupa8115
@samsonkusupa8115 6 лет назад
hongera sna lakn kwa inch kama hii mtakufa na vpaji vyenu
@hemedymasoud6936
@hemedymasoud6936 4 года назад
Mashallah
@umydaddy4697
@umydaddy4697 6 лет назад
Hongera sana. Allah atakufungulia kila la kheri. In sha Allah atokee mtu aione clip hii na awe na hamu ya kuja kuonana na wewe na uwe mwanzo wa kufungukana. Analolitaka mungu mja hapangui. Iwe ni kheri yako in sha Allah
@fatmasalima3847
@fatmasalima3847 5 лет назад
Masha Allah
@irutingabojoel1060
@irutingabojoel1060 4 года назад
Good job bwana sugu
@norahmajaliwa3841
@norahmajaliwa3841 4 года назад
Mungu Tunakushukuru kwa ajili yake
@syksyk7295
@syksyk7295 5 лет назад
Hongera broo
@smiletv6373
@smiletv6373 6 лет назад
Big up..God bless Africa
@bitkkanmarketplace5830
@bitkkanmarketplace5830 6 лет назад
VERY GOOD AND COOL
@kahalekindy6438
@kahalekindy6438 6 лет назад
Safi sana
@amribudi7870
@amribudi7870 4 года назад
Na mimi nitatengeneza ndege ya ajabu ambayo itaizunguka Dunia ndani ya mda mfupi tu.
@khalfanshahabakar7439
@khalfanshahabakar7439 2 года назад
Mashallah nakukumbuka jang'ombe 1979-80 hongera
@emanuelngodoki4664
@emanuelngodoki4664 5 лет назад
Mko vizuri sana ktv
@aliabdallasaid3174
@aliabdallasaid3174 6 лет назад
Tunaiomba serikali impe support kubwa miheshimiwa sugu na wafadhili pia wampe nguvu ili aweze kua miongoni mwa watu wahistoria ktk dunia hii mungu akubariki sana?
@hassanbinally7127
@hassanbinally7127 3 года назад
Sio serekali ya tanzania
@bonychange3304
@bonychange3304 3 года назад
Good
@salimkheri3057
@salimkheri3057 6 лет назад
Mashallah sugu
@salumumohamed3344
@salumumohamed3344 6 лет назад
Big up xn kaka
@leonardebumbuli1768
@leonardebumbuli1768 6 лет назад
Big up
@RashidAli-vo3vf
@RashidAli-vo3vf 6 лет назад
mashallah
@ntutapaliji9396
@ntutapaliji9396 6 лет назад
Safii hongeren
@mnzavachris5423
@mnzavachris5423 6 лет назад
tufikie muda TZ tupeleke ama kuwekeza pesa pahala husika kama huku kwenye mafunzo haya siyo kila kukicha kuziweka kwenye siasa tuu..!!
@michaelluvinga556
@michaelluvinga556 6 лет назад
very nice
@twaibumikidadi7377
@twaibumikidadi7377 Год назад
Chına 1990's ilianza hiv hiv serikali iliwaruhusu wabunifu na leoo hii china ni level nyingne
@shabanamir2793
@shabanamir2793 6 лет назад
umejitahidi saana mzee hongera nimeipenda
@mwanaz3110
@mwanaz3110 6 лет назад
Zanzibar stand up
@saeedmassoud256
@saeedmassoud256 5 лет назад
Mwenyezi Mungu ni Mkubwa
@ahmadsayyeed7910
@ahmadsayyeed7910 3 года назад
Nasubiri nione itaruka 😘💞💝
@bahatimuhamedi631
@bahatimuhamedi631 6 лет назад
Hongera Sana'a kaka yangu
@dotomohamedi3791
@dotomohamedi3791 4 года назад
namkubsli
@baruanially9316
@baruanially9316 4 года назад
mungu akujalie
@gsmligoonlinetvonlinetv7726
@gsmligoonlinetvonlinetv7726 4 года назад
Naomba namba zake huyu engineer,,tuongee tupange tushinde
@ussikhamisussi4882
@ussikhamisussi4882 6 лет назад
Hongera sana.
@s.ranger573
@s.ranger573 6 лет назад
sugu yuko imara✅namkubal
@mousslihoudineahmedimani6714
@mousslihoudineahmedimani6714 4 года назад
ugera sana
@salehkhalif3708
@salehkhalif3708 2 года назад
salute sana
@samwelikaiga3096
@samwelikaiga3096 4 года назад
Jamani serekali tunahitaji support
@hagaimartin604
@hagaimartin604 4 года назад
Haya bhana
@flyboyalpha4039
@flyboyalpha4039 6 лет назад
Hongera sana Sugu pia hongra sana mtangazaji hakika Kupitia hii video fupi nimejionea vipaji viwili adi vitatu ambavyo vitafika mbali sana ktk maisha First wewe mwenyewe ndugu mtangazaji! Yani sio siri ndugu yngu Your the Best! Keep it up utafika mbali sana but the best thing cha kukushauri ni appearance yko kidogo Uizidishe like Those hair apo juu, I know bdo ujana Unakuendea but unaweza kupata nafas ya kutangaza katika mashirika makubwa Tanzania adi duniani lkn Ukafail kwa sababu ya appearance yako tu! But keep it up I believe utafika mbali!💪 then Mh. Sugu Kuhusu Helkopta yko Hauwez kurusha kwasababu Tanzania kuna kitu kinaitwa Mamlaka ya Anga Ambayo ni Tanzania Civil Aviation Authority (T.C.A.A) hawa majamaa kazi yao kubwa ni kulinda maisha ya wana anga na abiria like kwann hawajakuruhusu kurusha iyo Helkopta coz hawajui km ipo salama kuruka ama vipi hawataki kuona mtu apoteza maisha kizembe kwa kutumia vitu vya angali that why wanaangalia safety yko! Cha msingi nenda TCAA ukaombe Permission ya kuja kukikagua Chombo chako then wakakuelekeza jinsi ya kufanya alafu lazima kuna vitu wakufahamishe like wtu angani wanazungumza lugha ambayo ni tofauti na lugha za kawaida kwa mtu wa kawaida hauwez kuelewa so fanya ivo ndugu yngu! Naamini utafika mbal inshallah!👏👏✈💪
@AnaniaJunior
@AnaniaJunior 6 лет назад
Ahsante sana nimekuelewa na nitayafanyia kazi
@kalamuyantajajr2605
@kalamuyantajajr2605 6 лет назад
T.man fatah umejitahidi kutoa maoni mazuri
@chrissenciambwilo3097
@chrissenciambwilo3097 5 лет назад
Mnaishia kuwapa vyeti baada ya kuwasomesha wafundishe wengine?
@mwanatz5980
@mwanatz5980 4 года назад
Hongera Sana.
@lukasmasebo9570
@lukasmasebo9570 6 лет назад
noma
@clinthonmworsho9848
@clinthonmworsho9848 6 лет назад
Good👍👍😇👍👍😛👍
@johnmalambo1738
@johnmalambo1738 3 года назад
Hongora ila chuma chakavu
@salemkambuteh1409
@salemkambuteh1409 5 лет назад
hongera kwa bw.sugu na mwanae ingawa sioni sababu ya kukupa hongera mtangazaji cz kwanza umetudanganya sana kwa kusema itaruka. umezimgua boy. .
@frankalexander5608
@frankalexander5608 4 года назад
Mungu akulinde
@alexjackson5960
@alexjackson5960 Год назад
Taarifa haijakamilika bila ya kuirusha hewani watu wakaprove ikiwa angani kwa kuruka na kutua salama. Lakini nampongeza kwa body niliyoiona ikiwa chini.
@deodatusmagagura6793
@deodatusmagagura6793 2 года назад
God help Africans.Glory to God
@abdusalum5072
@abdusalum5072 6 лет назад
Tuko pamoja Sana ndugu yetu mtanzania mwenzetu umeonyesha uwezo uliokuwa nao Mungu akusimamie hadi mwisho wa jambo lako kwa uhakika unaitangaza nchi ya Tanzania kimataifa zaidi
@meshackenock7495
@meshackenock7495 6 лет назад
Abdu Salum acha ujinga wewe
@salehgoldberg7237
@salehgoldberg7237 4 года назад
Nchi ya Tanzania kwenye visiwa vya Zanzibar.... damnnn now
@alliymohamedalliy6524
@alliymohamedalliy6524 Год назад
AkiliMtuwangu 😇
@hajijuma6052
@hajijuma6052 3 года назад
Big up kaka ww ni mfano wakuigwa na vijana wetu
@masikimanyinyi1558
@masikimanyinyi1558 3 года назад
Oka and maltin
@tareqmazrui4783
@tareqmazrui4783 4 года назад
Big up Tanzanians.
@fatmajumaa1069
@fatmajumaa1069 5 лет назад
Asalaamghalaykum maashaallah
@hamadrajab8042
@hamadrajab8042 3 года назад
Hii korokpta ya kwenda giningi ii
@josedaud5676
@josedaud5676 6 лет назад
mtangazaji mtindo wa nywele brother so maadili.
@lalidamasage2363
@lalidamasage2363 6 лет назад
ukovizuli
@ashakombo1821
@ashakombo1821 5 лет назад
Mapicha
@capacityinc2574
@capacityinc2574 5 лет назад
mzee uuni ni nikujishushia dhamani ...wewe ni journalist ..mbona unanyoa kama mwanamziki eshimu unacho kifanya
@PEMBANKWETU7
@PEMBANKWETU7 5 лет назад
Bigup znz
@farruqali8879
@farruqali8879 6 лет назад
M/Mungu anzidishie
@AamSurname
@AamSurname 3 месяца назад
Nyinyi ndio mnatakiwa kuwa watu wa mwanzo kusaporti vipaji lkini ndio Kwanza mnazidi kuwapa changamoto ili wakate tamaa
@bestgoals5079
@bestgoals5079 3 года назад
Ongera Tanzania
@abubakarsuleiman4099
@abubakarsuleiman4099 6 лет назад
Big up kaka
@lilozmudi8758
@lilozmudi8758 5 лет назад
Wil Q
@masnondofundi9215
@masnondofundi9215 5 лет назад
hongera babu
@princegabytv7251
@princegabytv7251 6 лет назад
Tunaweza
@saidaabdullah8094
@saidaabdullah8094 6 лет назад
Iruke isiruke ila hongera uo ndo mwanzo jamani wazanzibar tuna vipaji. Serikali watu kama hawa watumieni hata ao waliotengeneza magar tunayopanda na meli na kila kitu walianza hivyo uo ndo mwanzo, hongera sana
@medamichael5960
@medamichael5960 6 лет назад
DAH kiukwel uyo jamaa jembe ama nn mdada sema nao selikali wanazingua tu pia cjui kma italukaaa lkn itaruka
@mamaaomar6041
@mamaaomar6041 6 лет назад
Hngera sana kaka
@dyutoetblaye
@dyutoetblaye 6 лет назад
African are talented
@abdulyabdunuru1476
@abdulyabdunuru1476 5 лет назад
Hercopter zote za Africa hua haziluki chunguza tu uone vtuko ipo ya Kenya Uganda Ghana Zimbabwe ivory cost Tanzania nk zoote ni vituko
@reginaldmanga7241
@reginaldmanga7241 Год назад
Zanzibar sio nchi
@ambujefungafunga4551
@ambujefungafunga4551 5 лет назад
ok
@ibrahimwerejuma4816
@ibrahimwerejuma4816 6 лет назад
Nchi za Africa tunataka watu kama hawa Hongera sana.
@abdulazizmohamed2805
@abdulazizmohamed2805 6 месяцев назад
Ayo ndio mambo unayo yataka haswa sio majungu,
Далее
KUTANA NA KIJANA WA DARASA LA SABA ALIYEUNDA HELIKOPTA
8:38
#kikakim
00:31
Просмотров 11 млн
John Snow and the 1854 Broad Street cholera outbreak
8:29
HII NDIO NYUMBA INAYOTILIWA MASHAKA CHUINI ZANZIBAR
8:52
#kikakim
00:31
Просмотров 11 млн