Natumaini serikali hii ni tofauti sana na zilizopita. Naiomba itoe nafasi kwa watu hawa kwa kuwapa mafunzo ya ziada ili nasi tunufaike na rasilimali watu wetu! Ni jambo kujivunia kabisa kuwa na watu hawa. Mungu wasaidie wapewe nafasi hiyo!
Mashaallah Allah amzidishie maarifa...wazanzibari tujifunze kupeana moyo...na serekali mtu km huyu ni wa kuwa nae kabisaa hakuna kisichowezekana kwani waliotengeneza ndege..gari..jet ..na vyenginevyo sio wanyama bali ni binaadamu kwa hio tusidharau mtu kila kitu kinawezekana sana tu hongera mr sugu nakuombea mafanikio na ujuzi zaidi ipo siku watakuelew tu.
Hongera ndugu Said Sugu kwa ufundi wako wa kuigiza helicopter. Mungu akuzidishie kipawa cha kuweza kuvumbua kitu kitakacho saidia taifa kimaendeleo. hapo ulipofika tosha kuwa unao uwezo wa kufanya hivyo. chekecha akili serikali itakuinua kwa mawazo mbadala ya kutatua matatizo ktk jamii. Allah yupamoja nawe
Hongereni sana KTV TZ kwa vipindi vyenu vya kuelimisha jamii ila jaribuni sana kwa watangazaji wenu wawe wanaelimisha jamii kwa kila kitu sikupendezwa na mtangazaji kukata mkato wa nywele kama ilivyo hapo hii ni kupotosha maadili AHSANTENI .
Mashallah ndugu yangu umekua imani yako ndio itayokufanya usifike mbali ungekua upande wa pili wangekusapoti na kuendeleza kipaji chako kwani walioanza kubuni vitu ilikuaje lazima wajalibu waone kama inafanya kazi na walikuwa wanafanikiwa Allah akujalie kwa ubunifu wako
Hongera sana. Allah atakufungulia kila la kheri. In sha Allah atokee mtu aione clip hii na awe na hamu ya kuja kuonana na wewe na uwe mwanzo wa kufungukana. Analolitaka mungu mja hapangui. Iwe ni kheri yako in sha Allah
Tunaiomba serikali impe support kubwa miheshimiwa sugu na wafadhili pia wampe nguvu ili aweze kua miongoni mwa watu wahistoria ktk dunia hii mungu akubariki sana?
Hongera sana Sugu pia hongra sana mtangazaji hakika Kupitia hii video fupi nimejionea vipaji viwili adi vitatu ambavyo vitafika mbali sana ktk maisha First wewe mwenyewe ndugu mtangazaji! Yani sio siri ndugu yngu Your the Best! Keep it up utafika mbali sana but the best thing cha kukushauri ni appearance yko kidogo Uizidishe like Those hair apo juu, I know bdo ujana Unakuendea but unaweza kupata nafas ya kutangaza katika mashirika makubwa Tanzania adi duniani lkn Ukafail kwa sababu ya appearance yako tu! But keep it up I believe utafika mbali!💪 then Mh. Sugu Kuhusu Helkopta yko Hauwez kurusha kwasababu Tanzania kuna kitu kinaitwa Mamlaka ya Anga Ambayo ni Tanzania Civil Aviation Authority (T.C.A.A) hawa majamaa kazi yao kubwa ni kulinda maisha ya wana anga na abiria like kwann hawajakuruhusu kurusha iyo Helkopta coz hawajui km ipo salama kuruka ama vipi hawataki kuona mtu apoteza maisha kizembe kwa kutumia vitu vya angali that why wanaangalia safety yko! Cha msingi nenda TCAA ukaombe Permission ya kuja kukikagua Chombo chako then wakakuelekeza jinsi ya kufanya alafu lazima kuna vitu wakufahamishe like wtu angani wanazungumza lugha ambayo ni tofauti na lugha za kawaida kwa mtu wa kawaida hauwez kuelewa so fanya ivo ndugu yngu! Naamini utafika mbal inshallah!👏👏✈💪
Taarifa haijakamilika bila ya kuirusha hewani watu wakaprove ikiwa angani kwa kuruka na kutua salama. Lakini nampongeza kwa body niliyoiona ikiwa chini.
Tuko pamoja Sana ndugu yetu mtanzania mwenzetu umeonyesha uwezo uliokuwa nao Mungu akusimamie hadi mwisho wa jambo lako kwa uhakika unaitangaza nchi ya Tanzania kimataifa zaidi
Iruke isiruke ila hongera uo ndo mwanzo jamani wazanzibar tuna vipaji. Serikali watu kama hawa watumieni hata ao waliotengeneza magar tunayopanda na meli na kila kitu walianza hivyo uo ndo mwanzo, hongera sana