Тёмный
No video :(

"Nabii Tito" amwambia Kamanda "mimi ninatumia Biblia" 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 736 тыс.
50% 1

Jeshi la Polisi Dodoma limemkamata mtu mmoja Tito Machibya maarufu kama Nabii Tito mwenye umri wa miaka 44 kwa kosa la kueneza chuki ya kidini dhidi ya watu wengine kinyume cha sheria. Kamanda wa Polisi Gilles Muroto amezungumza na Waandishi wa habari na kuelezea yote kwa undani.

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 954   
@abdallahmwinyi2106
@abdallahmwinyi2106 6 лет назад
Very good kamanda umefanya kazi ubarikiwe kama kichaa akatibiwe
@samuelemmanuel3400
@samuelemmanuel3400 6 лет назад
Safi sana, selekali yetu ya fanya kazi nzuri. Nice work
@Felix-lo1cx
@Felix-lo1cx 8 месяцев назад
Hongera sana
@NorahMichael-e4k
@NorahMichael-e4k 12 дней назад
@frbm1729
@frbm1729 6 лет назад
Kazi nzuri sana Kamanda wetu.Bwana Mungu wa Majeshi awabariki.
@gracethomas683
@gracethomas683 6 лет назад
nimemkubali kamanda ni yupo kikazi.....sanaaaaa daaah big up Kamanda👏👏👏 sheria ni msumeno
@godfreyamen1135
@godfreyamen1135 6 лет назад
Hongera jeshi la police,sheria ifuate mkondo, hata hao waumini wake wakamatwe,na hao makahaba wenzake wakamatwe
@lauralaurent5994
@lauralaurent5994 6 лет назад
ahsante jeshi la polisi........alikuw ananichefua sann huyu mtu
@rowdyrondarouseyfire9476
@rowdyrondarouseyfire9476 6 лет назад
Laura Laurent Yaan my dear Laura hunishindi mm alinichefua cku moja kupitia video zake.
@sharifukiserekela3851
@sharifukiserekela3851 6 лет назад
mpokeeni nabiii wenu wengine mnapeleka sadaka Kwa tito mnagoma
@lauralaurent5994
@lauralaurent5994 6 лет назад
+Sharifu Kiserekela hakuna nabii wa namnaa hii,umeshaambiwa ni kichaa ........
@lauralaurent5994
@lauralaurent5994 6 лет назад
+Miskia Ayallah afungwee kabisaa..?..
@kelvinkelvin_tz3983
@kelvinkelvin_tz3983 6 лет назад
ahsanteni jeshi la polisi , asanteni sanaaaaaa
@katharinaandrew1514
@katharinaandrew1514 6 лет назад
safi sana kamanda . ubarikiwe. wapumbavu kama hao weka ndani. nimekupenda baba
@exezodacimyingaexezodac1304
@exezodacimyingaexezodac1304 6 лет назад
JESHI LA NA POLC KWA UJUMLA MUNGU AWABALIKI SANA NA AZIDI KUWATUMIA KWA KIWANGO KIKUBWA SANA MAANA KAZI MNAZO ZIFANYA NIKAZI NGUMU SANA SISI TULIO WENGI TUNAJUA MNAMAPITO MAGUMU LAKINI MUNGU ATAWALIPA TUU WALA MSUTISHIKE NA MTU ANAYE JIITA YEYE NDIYE KWANI MTAWATAMBUA KWA MATENDO NA MUNGU ATAKUWA NANYI KAZi #KAZI NJEMA WATUMISHI WA MUNGU
@capitanofindus7312
@capitanofindus7312 6 лет назад
Exezodaci myinga Exezodac wwcheni ujinga kila mtu ako free kwa kitu anacho kiongea watz ni wajinga
@capitanofindus7312
@capitanofindus7312 6 лет назад
Ujinga wa watza ndio huo kwwni kama ww unaamini dini yako utamskiliza huyo chizi polisi wa kibongo nyote mnafirwa
@jumaedward7110
@jumaedward7110 6 лет назад
mselemabdull kuma la mamako unafirwa mwenyew na baba yako,
@capitanofindus7312
@capitanofindus7312 6 лет назад
Exezodaci myinga Exezodac unajitia una matusi ila akili hamna ndio mkawa muko vijiweni munaiba tu tutawaua mwaka huu
@jumaedward7110
@jumaedward7110 6 лет назад
mselemabdull unaongea pumba mkundu wew
@danielmsangi7271
@danielmsangi7271 6 лет назад
Asanteni jeshi la polis kwa kazi nzury maana ametudhalilisha wakristo mimi nilibakiza kumsaka na kumchoma motk
@mesozimkombozi432
@mesozimkombozi432 6 лет назад
Safi sana kamanda. nimeumia sana juu ya huyu mtu.
@daudimkumbo6182
@daudimkumbo6182 6 лет назад
Mesozi Mkombozi Ndo ivo tena
@titomwaisoba1629
@titomwaisoba1629 5 лет назад
wa2 msiojulikana Kwann? msimteke uyo
@dorahisaya2908
@dorahisaya2908 6 лет назад
hongereni polc kwa kazi njema na ngum mungu awape wepesi
@richardkobero6988
@richardkobero6988 6 лет назад
"YOU HAVE FREEDOM BUT NOT TO THAT EXTENT"-JPM
@bettydackman1442
@bettydackman1442 6 лет назад
Asante sana Serikali, Kamanda Mwenyezi Mungu akupemaisha Marefu ,Umenena Vema kabisa
@rayrayroblox5663
@rayrayroblox5663 6 лет назад
Huyu mtu nishetani mmefanya vizuri sana yani inabidi hizo kanisa za kishetani muzipige vita
@ulricamakalla5565
@ulricamakalla5565 6 лет назад
Daaah imeniuma mm naheshimu ukristo wangu...mungu pekee amsamehe hajui alitendalo
@susanmmbaga3713
@susanmmbaga3713 6 лет назад
Kichäa anafanya vitu km mtu mwenye akili zake sheria ifate mkondo wake
@yohanashedrack3109
@yohanashedrack3109 5 лет назад
Mbalikiwa sana jeshi la polince
@blacknature7637
@blacknature7637 6 лет назад
Sura yake tu inaonesha chizi 😂😂😂 msameheni tu Ni Bora hakutukana uislam manayake waislamu wangemmeza mzima mzima
@maryamdounga2290
@maryamdounga2290 6 лет назад
Black Nature 😂😂😂😂😂jaman umenichekesha
@tatut3889
@tatut3889 6 лет назад
Black Nature 😂😂😂😂😂😂😂😂tena tusinge mchelewesha
@maryamdounga2290
@maryamdounga2290 6 лет назад
Tatu T 😂😂😂😂bahati yake cc hatuna unafiki nadin yetu
@sisisisilia4898
@sisisisilia4898 6 лет назад
Hahaaa hatari kwa kweli
@tatut3889
@tatut3889 6 лет назад
Maryam Dounga 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂dunia angeona chungu
@denickillanga8614
@denickillanga8614 6 лет назад
Hongera polisi na nakwona ndugu yangu Ema muha upo na mkuu bless jembelangu
@youngboyjustin1141
@youngboyjustin1141 6 лет назад
Poa sana👍👍👍
@elibarickandrew2870
@elibarickandrew2870 6 лет назад
Asanteni kwa kweli kwa kumkamata..kazi nzuri..
@judydebawsepaul905
@judydebawsepaul905 6 лет назад
duuh maongez yake enyew htr... unaulizwa n kosa... unajib vingn... duhh
@chaziotv9845
@chaziotv9845 6 лет назад
good kamanda
@japhetalbano1227
@japhetalbano1227 6 лет назад
Kamanda mpeleken milembe akabaki huko kwan hiyo dini yake ni matangazo ya biashara ya pombe
@severinimatonya1354
@severinimatonya1354 5 лет назад
Safi sana
@richardmuyango6106
@richardmuyango6106 6 лет назад
Kamanda hyo sio wakawaida hyo kma nikichaaa kweri cd hzo pamja na vitabu nani anamchapia ss kuna watu nyuma yake
@user-my9hc6uf9l
@user-my9hc6uf9l 5 лет назад
Hatumiki, historia inasema anaumwa
@jofreyjafety138
@jofreyjafety138 6 лет назад
ahsante sana serikali yangu mungu awabalik sana uyo alikua ana nikela kiasi kwamba nilitaman ata sijui nimfanyeje
@nazmaabdul949
@nazmaabdul949 6 лет назад
nikichaa kweli maana sio kawaida
@rubenprince8990
@rubenprince8990 6 лет назад
California love
@husseinmajid721
@husseinmajid721 6 лет назад
Nazma Abdul bora nabii tito alikuwa anafanya hadharan sio viongoz wengne wa dini wanaofanya mambo ya ajabu kwenye giza
@nazmaabdul949
@nazmaabdul949 6 лет назад
+Hussein Majid nakweli kesho kwa mungu wataenda kujibu
@demetrykisiya1396
@demetrykisiya1396 6 лет назад
Nazma Abdul nishida nazma
@annakays4901
@annakays4901 4 года назад
Asante mumupeleke
@davoo2555
@davoo2555 6 лет назад
Hongera kwa kazi Nzuri Afande.
@Daudifm5800
@Daudifm5800 6 лет назад
uwiiiiiii
@chipagafashion
@chipagafashion 6 лет назад
Subscribe my RU-vid ACC Smart Online TV uweze kupata habari mbalimbali, Breaking News, comedy na Korean Series.
@umranim5854
@umranim5854 6 лет назад
Mpotovu sana sio kidogo achukuliwe hatua ana fundisha nini watoto mshenzi nimefurahi sana vitu vilivo katanzwa na mwenyezi mungu ndio ana vihalalisha mpotovu sana
@aminasanga7096
@aminasanga7096 6 лет назад
baba angu kaka angu mroto wewe ni mlezi Wa kaka angu ni mchapa kazi tk maturubai mbagala ukiwa mkuu Wa kituo big up sana
@fatumafashiondesigner1461
@fatumafashiondesigner1461 6 лет назад
Ahsanta boss wangu
@kenethmanyesela4940
@kenethmanyesela4940 5 лет назад
mbarikiwe sn, Mungu wetu sio wa maigizo kabisa.
@seifmohamedseif9384
@seifmohamedseif9384 6 лет назад
pigeni marufuku watu kuzuka na kujita manabii haya yataisha tambueni uzito wa manabii na kaz zao hapa kila kukicha manabii nani kawatuma
@nyombetv3370
@nyombetv3370 6 лет назад
kweli kaka
@goldmansun5859
@goldmansun5859 6 лет назад
yesu
@seifmohamedseif9384
@seifmohamedseif9384 6 лет назад
mana bii walisha hakuna nabii mpya tena na manabii Mungu ndio anae watuma sasa hawa manabii wa bongo wakujituma nani kawatuma wamekuja na ujumbe upi ? na watazame upande upi uzuka hawa manabii na kwa nn ? jibu swala la manabii linachukuliwa simple tu mtu akijisikia anakua nabii hz akili au matope
@daudiasafu3235
@daudiasafu3235 6 лет назад
Tunaomba mumuache mirembe huko huko asiletwe tena Katika jamii, safi sana jeshi letu la polisi, mshikilieni aache kabisa upuuzi huu. Abaki milembe huko.
@abuuayoub8958
@abuuayoub8958 6 лет назад
Nilijua tuu Hana akili hahahahahha sema wamtie ndani hvyo hvyo Na ukichaa wake akili itakaa sawa tuu...hahahha halafu amepiga kimkorogo hahahahahha Habittth
@nancycosmas2083
@nancycosmas2083 6 лет назад
AB Ayoub katia na dawa eti 😂😂😂😂
@abuuayoub8958
@abuuayoub8958 6 лет назад
Nancy Cosmas hahahaha eeeh kitaulo kidogo Wallah Tena lazima Nuru kidogo
@filimonmboya9615
@filimonmboya9615 6 лет назад
Ongereni San jeshi la police kwa kazi kubwa ya kufanya nchi hii kuwa na Amani mbarikiwe San jeshi latanzania kibinadam tunaona nikazi ndgo lakini mnafanya kazi kubwa San yakulinda misingi ya kisheria nchini Mungu bariki Africa Mungu ibariki tanzania
@motivationtv9958
@motivationtv9958 6 лет назад
uyo jamaa alaaniwe na haki za kishelia zifuatwe
@dadychaps7527
@dadychaps7527 6 лет назад
Eti kichaa na anajielewa na vtu anavyofanya..... Kifungo miaka adhaa ndio atajuwa ni kosa. Ahsante kamanda. Kenya tunaitaji makamanda kama wewe. Kazi nzuri
@aintnamed6839
@aintnamed6839 6 лет назад
Ukristo ni ukichaa..Mtu mwenye akili timamu hawezi amini eti Nabii Isa ni Mungu au mwana wa Mungu kama wanavyodai.
@frank01tz
@frank01tz 6 лет назад
Pole. Yesu ndiyo Mungu wako pia, hata ubishe mpaka ufe!
@francisnicholaus5590
@francisnicholaus5590 6 лет назад
Aint Named ww ni nani
@francisnicholaus5590
@francisnicholaus5590 6 лет назад
Aint Named asant jesh muendelee hivohivo
@gracesangaboloko5414
@gracesangaboloko5414 6 лет назад
Aint Named ulaaniwe wewe pamoja nakizaz chako kwa jinala Yesu kristo aliye hai na damu yako iwe juu yako nauzao wako
@aintnamed6839
@aintnamed6839 6 лет назад
Grace....maadam we ni mkristo basi tambua we ni kafiri ukubali ukatae....Fanya hima uzinduke usingizini uingie uislam kabla mauti yakupate.
@michaelkasebele7168
@michaelkasebele7168 6 лет назад
safi sana jeshi la polisi,lazima misingi ya iman za watu zilindwe.KAZI NJEMA MAKAMANDA....🙋🙋
@kanisakatolikinabiblia5220
@kanisakatolikinabiblia5220 6 лет назад
Duh! Pole sana Dunia
@jacksonjey1988
@jacksonjey1988 6 лет назад
anyonge huyooh
@salumjuma1625
@salumjuma1625 6 лет назад
Kanisa Katoliki na Biblia sal um u
@kanisakatolikinabiblia5220
@kanisakatolikinabiblia5220 6 лет назад
Jackson Jey report inasema hata akili sawa sawa
@user-uk2cz3ws4k
@user-uk2cz3ws4k 27 дней назад
Shukrani,serikali ya Tanzania
@immamtaki6653
@immamtaki6653 6 лет назад
Hugo ni mzma asijifanye kichaa afungwe tu
@mudriqjardeny708
@mudriqjardeny708 6 лет назад
"Ukiona bia tano hazikukolei unaongeza konyagi."🤣🤣
@exezodacimyingaexezodac1304
@exezodacimyingaexezodac1304 6 лет назад
Kichaa hawezi kuwa na hakili ya kubana sidii na kufanya ujinga kama huo
@daimavlog
@daimavlog 6 лет назад
Exezodaci myinga Exezodac anaweza mpendwa
@newvisiontv4932
@newvisiontv4932 6 лет назад
Kuna level za ukichaa na magonjwa ya akili yapo mengi sana
@josej9888
@josej9888 6 лет назад
Huyu kweli, siyo kichaa, polisi wamesema hivo kutafta sababu tu, maana wameshindwa kupata jibu kamili.
@emanueladamayubu9940
@emanueladamayubu9940 6 лет назад
inawezekana huyu Raia sio kichaa bali ana kitu kingine
@ashminaabdullah5626
@ashminaabdullah5626 6 лет назад
Kweli kichaa gani uongo tu
@stewartmillanzi3918
@stewartmillanzi3918 6 лет назад
Kumbe ni kichaa kama nilivyohisi. Asante serikali. Asante polisi.
@omarymsira1848
@omarymsira1848 6 лет назад
Ata Kama ni kichaa afungwe tuuu
@lukasmaige5575
@lukasmaige5575 6 лет назад
da kweli nabii hakubaliki kwal
@tumainijoseph9710
@tumainijoseph9710 6 лет назад
sometimes 40 zimetimia
@chikaeze6896
@chikaeze6896 6 лет назад
Good job God bless you people good job
@fredmathubejr3547
@fredmathubejr3547 6 лет назад
Aliona Dr shika ametoboa akaona na yeye atoke kwa njia hiyo...sasa wacha apambane na mkono wa magu, kisha God himself anamsubiri
@bongoyetu8938
@bongoyetu8938 6 лет назад
Fred Mathube jr Alikuwepo kabla ya Dr Shika,kuna video nyingine ni za miaka zaidi ya 3.
@amarachimoney6880
@amarachimoney6880 6 лет назад
Fred Mathube jr 😂😂😂😂😂😂😂
@nacyluizer3734
@nacyluizer3734 6 лет назад
Fred...hahahaahahahah
@emanuelyngatungs1000
@emanuelyngatungs1000 6 лет назад
Pereka mirembe huyo nishetani
@georgemakany7381
@georgemakany7381 6 лет назад
duu noma sana
@JohnMdee-pm1qh
@JohnMdee-pm1qh 3 месяца назад
Good job Afande
@queenyahaya3147
@queenyahaya3147 6 лет назад
Kwani na wale wanawake wakamatwe nao afazalia kabisa
@LeiyoLaizer
@LeiyoLaizer 3 дня назад
Safi
@ernestsinje2606
@ernestsinje2606 6 лет назад
Tulisema Dini ni sawa na ulevi tu...kumjuwa MUNGU sio lazima use ma dini,,kwani kabla ya Waarabu kutufanya watumwa na wakoloni ,hapo nyuma hatukuwa tunamjuwa MUNGU?
@user-my9hc6uf9l
@user-my9hc6uf9l 5 лет назад
Hata mimi huwa najiulizaama swali hilo, Kumbe Wahindi wangetutawala nahisi sote tungekuwa Mabaniani, no kula nyama!
@josephkiwale374
@josephkiwale374 2 месяца назад
Na tumezikamata kuliko hata hao waliozileta
@niwaelally1579
@niwaelally1579 4 часа назад
Safi sanaaaaaaa
@judydebawsepaul905
@judydebawsepaul905 6 лет назад
duuh na mbn ht haonyesh km n nabii?? yupo rough kwl
@kasubywilliam3565
@kasubywilliam3565 6 лет назад
Hongereni sana jeshi la polis. ila inasemekana zpo dini wanaabudu uchi km zipo fuatilien jaman
@Daudifm5800
@Daudifm5800 6 лет назад
HAHA HA HA HA HA UYO JAMAA NOMA NAYE ATA VITABU VIMEANDIKA WATAIBUKA MANABII WA HUONGO ILITABILIWA
@hdmtanzania2617
@hdmtanzania2617 6 лет назад
Asante vyombo vya usalama. Mwenyezi Mungu hadhihakiwi
@yusuphbalali9037
@yusuphbalali9037 6 лет назад
Daudi FM Dunia ndy inaenda mlama.
@nyombetv3370
@nyombetv3370 6 лет назад
da kwa hapa jeshi la polisi mbarikiwe sana jamn
@hamisimsalapai7785
@hamisimsalapai7785 6 лет назад
wakienda kisheria hawampati... kanukuu vifungu hivyohivyo
@michaelkessy1738
@michaelkessy1738 6 лет назад
Hakuna Kesi Hapooo
@juliasfredymwakikutjuliasf8547
tobaaaa
@sifasanga7866
@sifasanga7866 6 лет назад
Safi sana Kamanda........Safi sana. mpuuzi pia
@gracejohn4925
@gracejohn4925 6 лет назад
Afungwe kbsa
@samusonibalazingiza3689
@samusonibalazingiza3689 6 лет назад
Kamanda hongera kwakumkamata huyo mpuuz sana
@thelovetv2976
@thelovetv2976 5 лет назад
Kabisaa kweli jeshi la police linafanya kazi yake ipasavyo mheshimiwa magufuli hongera baba hapa kazi tu.
@silasmsekela9256
@silasmsekela9256 6 лет назад
Mungu akubariki jeshi La polisi
@worshipertv9968
@worshipertv9968 6 лет назад
bora asanteni kwa kutusaidia tunaomba mfute na video zake zote
@shadiyackelisie1418
@shadiyackelisie1418 6 лет назад
Kichaa kuliko vichaa wengine wote
@teddylaida3523
@teddylaida3523 3 года назад
Sawa kabisa
@tuombesunzuesperance5196
@tuombesunzuesperance5196 6 лет назад
Weka dani ya njela
@andrewmdachi9221
@andrewmdachi9221 6 лет назад
Chapeni viboko huyo jamaa
@belindagiliard8977
@belindagiliard8977 6 лет назад
Asante kamanda. I salute you
@rahmamohamed8083
@rahmamohamed8083 6 лет назад
Kama mtampata na kosa mfungeni tu mana mpotoshaj
@dominicuskomba6684
@dominicuskomba6684 5 лет назад
Rahma Mohamed
@sophiaclemence6076
@sophiaclemence6076 6 лет назад
Thank you Lord Jesus
@oshyceser5975
@oshyceser5975 6 лет назад
he sail all 4from da Bible...can u lead 21,31 mathayo...then tell me
@vivianminja6332
@vivianminja6332 6 лет назад
Huyu nabii mbona uso na mikono haviendani kbisaa
@simonfundi5472
@simonfundi5472 6 лет назад
Vivian Minja umeonae
@lilianpalanjo2444
@lilianpalanjo2444 6 лет назад
Umeonaee
@watejawetu8276
@watejawetu8276 6 лет назад
Vivian Minja siomwehu huyo nahao wanawake nao niwehu funga
@faridashaban8853
@faridashaban8853 4 года назад
Mungu saidia
@kuwamilionea8983
@kuwamilionea8983 6 лет назад
*Avande, Huyo Ni Wakupuna Viboko Mpaka Akili Zirudi*
@mkopmkop8750
@mkopmkop8750 6 лет назад
😂😂😂
@onesmompwaga6655
@onesmompwaga6655 6 лет назад
😂😂😂😂Afande afande.
@onesmompwaga6655
@onesmompwaga6655 6 лет назад
Mbavu zangu mie
@doreenmazigo9895
@doreenmazigo9895 6 лет назад
Mwanachuo UDSM
@sethmsangwa1413
@sethmsangwa1413 6 лет назад
Aisee
@jumachabai2874
@jumachabai2874 6 лет назад
Tito kavu sana hataki kukubali kosa anakwambia wewe ndio unasema ila mm nimetoa kwenye biblia hahhah halafu kamanda mwana kasema hana kanisa yeye kanisa lake nipopote pale penye baa sasa atasajili baa ngapi😅😅😅
@TwahaMaziku
@TwahaMaziku 2 месяца назад
😂😂
@magnaallen115
@magnaallen115 6 лет назад
Ahsante police Mungu awabariki kwa hili maana alikuwa ananikera mpaka basi
@kigambontv9748
@kigambontv9748 6 лет назад
Polis hapo hamkufanya happy kabisa Nchi yetu kila raia anahaki ya kuabudu dini na imani anayo itaka mdaa wowote pahala popote ilimradi tu asivunje Sharia ya nchi . Na nchi yetu hakuna Sharia inayokataza kunywa pombe wala mtu kuzaa na mfanya kazi wake hapo nyny mmeleta udini tu hamna lolote
@jamalshaha4512
@jamalshaha4512 5 лет назад
Ni kweli kabisa hapo police wamechemsha
@andrewegiberth8630
@andrewegiberth8630 5 лет назад
Acha ushetan
@samwa9496
@samwa9496 10 дней назад
Mmepigwa upofu
@Nadineshimirimana
@Nadineshimirimana 6 лет назад
Afungwe mushenzi sana
@jumannewata4856
@jumannewata4856 6 лет назад
tatizo nini mwacheni apige kazi tuu
@sifunisamwel4369
@sifunisamwel4369 6 лет назад
ahsante afande
@tzviral7342
@tzviral7342 6 лет назад
Hakuna mtu alikua ananichefua kama huyu jamaa asee. Pitieni na kwenye Channel yangu takua napost Habari nzuri kilasiku...pia *SUBSCRIBE.*
@magzeeee
@magzeeee 6 лет назад
mimi sio fan wa huyu jamaa kabisa..lakini nimeangalia video hadi mwisho..nimependa confidence yake ya kutetea anachoamini!...
@mmmglobalkenyatestimonies14
@mmmglobalkenyatestimonies14 6 лет назад
LORD HAVE MERCY HATA KANYARI WA KENYA NI TEAM MOJA NA HUYU TU
@saramathias4861
@saramathias4861 6 лет назад
khaaaa
@johnbeda7620
@johnbeda7620 6 лет назад
huyu mtu chizi tumsamehe mtu maana hata mm hanikera sana
@stanleyidantv7629
@stanleyidantv7629 6 лет назад
Afungwe tu ni mpuuzi huyo anadharirisha imani zetu
@lucyleganga6301
@lucyleganga6301 Год назад
Na ni nani anamchapishia mabango, vitabu hadi CD .Mmmh upo vizur sana Afande lifatiliwe saana.
@vanessavanedssa8068
@vanessavanedssa8068 6 лет назад
Wamucukuliy cheria amezid
@adillhabib2006
@adillhabib2006 5 лет назад
Kamnda hongera n.a. mm nataka niwe jesh
@halimamohamedy3571
@halimamohamedy3571 6 лет назад
amepoa kama vile cyo yeye aliyekuwa akikata maunoo
@sophiamirambo9656
@sophiamirambo9656 Год назад
Duh,,dunia imeisha
@peacesmart534
@peacesmart534 6 лет назад
Huyu mtu anazo akili kabisaa,,, Hata kama aliwahi kua chizi fresh....kutakua kitu nyuma ya hii biashara ya beer..
@hussenadam1294
@hussenadam1294 Год назад
Asante yesu
@nazmaabdul949
@nazmaabdul949 6 лет назад
lakin kwamuenekano kweli nimwehu ila kwahao alio nao ndio wasakwe
@casmirakaro7710
@casmirakaro7710 6 лет назад
Nazma Abdul hiii
@casmirakaro7710
@casmirakaro7710 6 лет назад
Nazma Abdul maaambooo
@stevehiraly9127
@stevehiraly9127 6 лет назад
Nazma Abdul we mzuri kwel
@hassannamwima1313
@hassannamwima1313 6 лет назад
Shilole
@josephmdendemi3222
@josephmdendemi3222 5 лет назад
+steve hiraly bro
@CatherineMbatta
@CatherineMbatta Месяц назад
Safi sana hii imekaa vizur
@mbwanarajab7238
@mbwanarajab7238 6 лет назад
Haaa askar wanachambua vifungu vya dini,mm ningependa viongoz wa dini husika ndio wangetakiwa walalamike
@TwahaMaziku
@TwahaMaziku 2 месяца назад
Hapo imeguswa dini ya serikali povu linawatoka dini nyingine hua zinadhalilishwa tuu wala hakuna shida ila daaah poah tuu
@charlesmushi2305
@charlesmushi2305 6 лет назад
bora policy mmemkamata
@hadijah2896
@hadijah2896 6 лет назад
Kama hana akili mbona ametoa CD halafu mavazi ametoa wapi
@faridymkandala1767
@faridymkandala1767 6 лет назад
Hadija H eti anaakili timamu cd kapata wapi
@yusuphbalali9037
@yusuphbalali9037 6 лет назад
Hadija H Kweli kabisa hayo mavazi kayatoa wapi? pia kama ni kichaa mbn siyo mchafu?
@janekimaro7952
@janekimaro7952 6 лет назад
Hapo makamanda mmefanya vizuri. Huyo ni kichaa anaejitambua haiwezekani ajue vifungu vingi vya biblia namna hiyo. Anapotosha jamii. Hata kama ametumiwa iweje apate akili hadi ya kujirusha kwenye mitandao. awekwe ndani akitoka atazidi kufanya maovu ya kupotosha jamii hata bila kutumia mtandao. Kama umependa kazi nzuri ilofanywa na jeshi la polisi gonga like nyingi hapa.
Далее
Почему-то хочется плакать
00:17
Просмотров 500 тыс.
MILLION JAMOASI 2024 4K
2:17:51
Просмотров 12 млн
DC AVAMIA HOTELINI AMKAMATA JAMAA NA MILIONI 11 BANDIA
5:44
Почему-то хочется плакать
00:17
Просмотров 500 тыс.