Тёмный
No video :(

NANDY NA MUMEWE BILLNASS WATUA SONGEA, AFUNGUKA SAUTI INAYOSAMBAA AKIMSEMA ZUCHU “MALIPO DUNIANI” 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 186 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

21 июл 2022

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 128   
@nissispuppies5990
@nissispuppies5990 2 года назад
Nandy is glowing and growing. Kelele za chura hazizuii chochote
@aminaomary5567
@aminaomary5567 2 года назад
Karibu sana nyumbani kwetu songea,ila mwanangu nandi uwe unavaa nguo pana usivae viguo vya kubana tumbo hilo linaenda uķingoni au sio.
@sharifanyumayo6314
@sharifanyumayo6314 2 года назад
Hongera mno na karibu sana nyumbani kwetu twawapenda mno. Ila nandi mdogo wangu ungepumzika kwani jmn naumia cz najuaga inavyochosha hyo hali.
@kitomarijames3507
@kitomarijames3507 2 года назад
Watu wanatofautiana
@Ann-Strong
@Ann-Strong 2 года назад
Hayo ni mazoezi yatampa uharaka wa kupata mtoto kwa njia rahisi bila shida,. SS wanawake tupo happy hajajilekeza
@kitomarijames3507
@kitomarijames3507 2 года назад
@@Ann-Strong 🔥🔥🔥
@adilaibrahim2069
@adilaibrahim2069 2 года назад
@@Ann-Strong pole
@allyabdallahally9637
@allyabdallahally9637 2 года назад
Ndio ya kwanza bado ana nguvu
@lovenessaron2669
@lovenessaron2669 2 года назад
Tulia Nandy 😍 wetu,Nandy Achana na huyo kichaa mwijaku hajitambui wala asikusumbue kichwa kipenz,Furahia Ndoa yk na Muziki wako 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@sadanassor6158
@sadanassor6158 2 года назад
MashaAllah mr and mrs William
@SophieSpira
@SophieSpira 2 года назад
Billnass mchunge mkeo apumzike maana ni mja mzito, asipate nuksi akizaa. Nandi ni mwanamke mwerevu sana na taajiri, kwa hivyo lazma awe na maadui wengi wa karibu. Mlinde na umuombee sana....
@nahanakadiri3969
@nahanakadiri3969 2 года назад
Sophia ckia Nandy wala billnas awawezi pata nukc,balaa Wala mkoc ivi unajua nguvu za MUNGU walizokua nazo?!unamjua MUNGU wanaemtumikia awezi ruhusu mazingaumbwe yyte yawasogelee maana Ayo sisi tunaitaga mazingaumbwe fake power,Apo hao wako na nguvu origional hakuna anaewasogelea weee
@adamfundikira4556
@adamfundikira4556 2 года назад
@@nahanakadiri3969 yaani katika wapumbavu inawezekana ukawa namba 1 wanamtumikia Mungu shetani
@mmasymerry1233
@mmasymerry1233 2 года назад
@@adamfundikira4556 tulia ww
@malina9320
@malina9320 2 года назад
Beyoncé and Jay-Z mungu awasimamie maana hakuna anaependa maisha yenu
@LUCY-hb9vq
@LUCY-hb9vq 2 года назад
Hongera Mandy mungu akutie nguvu zaidi katika Yale unayoyafanya
@Userog254
@Userog254 2 года назад
Kiki hizo hamna ugomvi mwijaku na Nandy
@mwanaidsalehe1109
@mwanaidsalehe1109 2 года назад
Achananao nandy wangu wachawaseme piga kazi.
@lizahadongo1801
@lizahadongo1801 2 года назад
Nandy bado naangalianga harusi yenu RU-vid ilikuwa noma sana 🇰🇪🇰🇪
@sophiaabdallah7821
@sophiaabdallah7821 2 года назад
🤣🤣🤣🤣
@cipladapretty8617
@cipladapretty8617 2 года назад
@@sophiaabdallah7821 hahahaha
@c75923
@c75923 2 года назад
Yaani ningefurahi siku moja tajiri ampe hela mwijaku alafu ajirekodi anamfira kumamake amekaa kishoga shoga sana
@nadanasser1020
@nadanasser1020 2 года назад
Wooow karibu songea kwetuuuuuuuuuuu
@Donrugi
@Donrugi 2 года назад
Kweli pesa issue ingine 😁 sisi masikini baada ya ndoa mke anatakiwa kukaa ndani kwanza siku kadhaa, hawa wenyewe wamechukulia kawaida tu
@aishajuma7402
@aishajuma7402 2 года назад
Mm nimpenda sana siyo tunamaliza shughuli na kukaa ndani .
@tusajigwemathias9185
@tusajigwemathias9185 2 года назад
Ndio vizuri hawajaridhika na walichonacho bado wanatafuta
@nunuodo3401
@nunuodo3401 2 года назад
Ata akikaa ndani hakuna jipya kati yao hahahha watu wanakaa ndan watafute mtoto sasa teyar washampata kuna kipya kip
@swaumdodoma7591
@swaumdodoma7591 2 года назад
@@nunuodo3401 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Weee usinambie kumbe lengo la kukaa saba ni kwaajili ya kutafuta mtoto? 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
@Donrugi
@Donrugi 2 года назад
@@swaumdodoma7591 😂😂😂
@laurenciamanyanda9479
@laurenciamanyanda9479 2 года назад
Big up kipenz Keep it I love you Nandy🥰😍
@leiratykisura6718
@leiratykisura6718 2 года назад
Allah azid kuwarinda na madui na wanajionesha bayana kbsaaa km uyo mwijaku sio mtu mzr kwenu kueni makin nae km iyo m moja mpeni akafie mbere na njaa zake
@islammjema6211
@islammjema6211 2 года назад
Ao wa chaga na wapare ela wanaitafuta hakikaa soon from wedding
@mariamkitwana6148
@mariamkitwana6148 2 года назад
mungu ailinde ndoa yenu
@angesignolinx5829
@angesignolinx5829 2 года назад
Kabisa ❤❤❤❤❤🙏
@scholarmawala1403
@scholarmawala1403 2 года назад
Mwijaku ni mdhalilishaji sana anazidi kutukumbusha ya Menina. Mtu mbadi sana huyo jamaa
@nicemushi524
@nicemushi524 2 года назад
duuu nandy ananguvu mm nikifika hivyo sijiwezi jmn
@martharugwana2130
@martharugwana2130 2 года назад
Big up African Princess ❤️❤️❤️💚💃💃💃💃. . .piga kazi 🙏🙏
@barakaotto7899
@barakaotto7899 2 года назад
Safi sana momyy Nandy! Majibu nimeyapenda
@mdta8161
@mdta8161 2 года назад
Mashallah mumependeza sana
@jan6703
@jan6703 2 года назад
Yeah hasa hizo sun glasses 😠😠
@ibrahimshabani8168
@ibrahimshabani8168 2 года назад
Mapenz ya kijionyesha haya yana mhmh wasanii sijui hua hamji funzi kupitia kwa 🤴 KIBA
@OmanOman-bx5du
@OmanOman-bx5du 2 года назад
Atazaria njiani uyu Nandi kunaulazima gani utulie nyumbani sasa
@upendoeliya9329
@upendoeliya9329 2 года назад
Ni masifa tu ya kuonekana.
@aishalaizer8132
@aishalaizer8132 2 года назад
Jamaniii,uvae nguo Pana bwana usim bane mtt,hizo nguo utavaa baada ya kujifungua lkn kwasasa mjali mwañao
@vickylupemba6055
@vickylupemba6055 2 года назад
Ni maendeleo tu huoni teddy bear linatembea
@savioursimon458
@savioursimon458 2 года назад
Zingebana asingevaa huwezi kubana ujauzito, ukiona kaivaa inamtosha kwa hali aliyonayo.
@winnersstore9161
@winnersstore9161 2 года назад
Hilo li-Billnass lina akili sana
@paulinacherement2534
@paulinacherement2534 2 года назад
Mashallah ALLAH barik
@sizadarati1064
@sizadarati1064 2 года назад
Karibun kwetu bombi nyumbi
@victorbugobola2276
@victorbugobola2276 2 года назад
Kweli Mungu analipga hapa hapa sema mwijku limekaa ki Uongo uongo sana cjui msimbe fulani hivi....
@rehemamgongwe300
@rehemamgongwe300 2 года назад
Umependeza nand
@roqayaro9439
@roqayaro9439 2 года назад
Mependeza mungu awabaliki mkae ssalama nimewapemda
@elizabethfokoro4049
@elizabethfokoro4049 2 года назад
Yan mmpendza Canada u know I like it
@walidsultan7486
@walidsultan7486 2 года назад
Sauti niyake lakini 😂😂😂😂😂
@silverboy3065
@silverboy3065 2 года назад
Sema saiv nandy ananenepa
@ramadhankakai7303
@ramadhankakai7303 2 года назад
Na kama ni ukweli ulikuwa na huo mpango wa kumharibia kiboko yako Zuchu umesema mwenyewe malipo ni hapa hapa duniani...
@theresiamagnius1503
@theresiamagnius1503 2 года назад
Kila laher uko mliko,mlilokusudia mwenyezi mungu awafanikishie kwa ukubwa ili mtimize malengo yenu nawapenda bureeeeee
@hellenmassawe7284
@hellenmassawe7284 2 года назад
Kumbe ndiyo maanaa mwijaku Alianguka siku ile
@magreciousthomas3527
@magreciousthomas3527 2 года назад
Kibongee
@liamlifa2787
@liamlifa2787 2 года назад
Wakazi wa Shongea😂😂.. . ... Tumeisikia io Nenga
@mackdonardnyondo9201
@mackdonardnyondo9201 2 года назад
😂😂😂🤭🤭🤭
@jeniferemmanuel4251
@jeniferemmanuel4251 2 года назад
Jinga sana ww 😄 🤣 😂 😆 😄 🤣 😂 😆 😄
@teychriss3248
@teychriss3248 2 года назад
Karibuni kwetu
@misojibahati6110
@misojibahati6110 2 года назад
Hongera nandy
@nancyanthony8739
@nancyanthony8739 2 года назад
Karibu songea ndio kwetu
@johnkamau4115
@johnkamau4115 2 года назад
Jibuu lakoo nimelipendaaaa ....
@halmaguyogaya942
@halmaguyogaya942 2 года назад
ok karibuni kwamapenzi ndukuu ilaa bado
@rosejoely4518
@rosejoely4518 2 года назад
Mwijaku mwanamke achana nae
@agnellapius8142
@agnellapius8142 2 года назад
Nandy ungetulia tu jamani
@fatumajeremiha6349
@fatumajeremiha6349 2 года назад
Mimba haijawahi acha pua salama
@jovinathaphilipo6385
@jovinathaphilipo6385 2 года назад
Mi nilijua nimeona peke yangu kumbe nawew umeona
@savioursimon458
@savioursimon458 2 года назад
Ndo kitambulisho Cha mimba
@allyabdallahally9637
@allyabdallahally9637 2 года назад
Isha komaa
@fridakimwanya1158
@fridakimwanya1158 2 года назад
Umeona ee una vitu vingi vya kufanya bhn achana nae piga kazi
@judyngowi391
@judyngowi391 2 года назад
Mtoto atazaliwa amechokaa
@matildamkombachepa2149
@matildamkombachepa2149 2 года назад
Achaneni na Mwijaku hana fadhila
@abuuramadhan8093
@abuuramadhan8093 2 года назад
Wasanii wengi wakifunga ndoa nyota ya mziki kwisha
@tatotato506
@tatotato506 2 года назад
Unataka wazini
@dilipdab3714
@dilipdab3714 2 года назад
Hio.njaaaa.inasumbua.tu.mymetumia.pesa.nyingi.sana.sahivi.lazimaa.musikawe.mukambuzika.sanaa
@joelikilinga1269
@joelikilinga1269 2 года назад
Nilifikiri baada ya doa takatifu watakuwa wahubiri wa injiri
@dilipdab3714
@dilipdab3714 2 года назад
Nandy.umekosea.sana.tu
@maryammarjan4015
@maryammarjan4015 2 года назад
ok
@asyakareem2416
@asyakareem2416 2 года назад
Mwijaku mnafiki
@selemankishema5780
@selemankishema5780 2 года назад
Weee na tumbo lako kama mwehu hizo hela sasa zinaenda kukutoa roho sasa na wewe mwanaume kama huyo mwanamke ndio anakuongoza kwa hela zake atakunyanyasa saana
@verenabusanda4044
@verenabusanda4044 2 года назад
Acha makasiriko tafuta pesa..
@tiffahkidoti8954
@tiffahkidoti8954 2 года назад
Mimi sijui kwanini English na kiswahili vinachanganyika.
@majomamajoma8776
@majomamajoma8776 2 года назад
Kama mnjua siku zimeisha kwann mrande simkae ajifunge Kisha kazi zitaendelea ATI ana doctor wake, nazii imepata wakunaji
@ummycheedy2809
@ummycheedy2809 2 года назад
😂😂😂😂
@kennethbenjamin275
@kennethbenjamin275 2 года назад
Nchi hii matamasha kila leo Ehh
@abidandastan2331
@abidandastan2331 2 года назад
Ulichonifurahisha Pete ya ndoa hujavua
@zawaditamari9752
@zawaditamari9752 2 года назад
Na wapenda bure
@mariambosiro4508
@mariambosiro4508 2 года назад
Mh! Zuchu asisemwe kawa nani?
@bjzee1981
@bjzee1981 2 года назад
Ndoa juzi Leo mimba mtoto karibu kuzaliwa. Jamaa mwendo kasi kweli
@salmaabdulabdul777
@salmaabdulabdul777 2 года назад
😂😂😂
@seifmassoud3269
@seifmassoud3269 2 года назад
🏃🏃🏃🤣😂😅
@winfridagama5832
@winfridagama5832 2 года назад
Wabariki walishaowana siku nyingi hao
@johnnytravo
@johnnytravo 2 года назад
Wanawake wote wanastahili pongezi na shukrani za dhati 🙏 ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-iYjijfV-YRw.html
@ummycheedy2809
@ummycheedy2809 2 года назад
Kaone kalivyonenepa mashavu yake😂
@mussamun6546
@mussamun6546 2 года назад
Milard kuwa makini na lugha yako ya kiswahili, umeelewa hyo caption ulioiandika hapo?
@reganshao
@reganshao 2 года назад
Waandishi wa habari wa siku hizi hovyo sana .. huyo ni mfanyakaz wa millard ,sio millard mwenyew
@dilipdab3714
@dilipdab3714 2 года назад
Zuchu.nandy.umekosea.sana.tu
@mkasiali6956
@mkasiali6956 2 года назад
Nikwelidada..megine...niyakupita
@dabrathludovick1477
@dabrathludovick1477 2 года назад
😘😘😘😘😘😘
@dintazdintaz7311
@dintazdintaz7311 2 года назад
Vido honey moon ni kwa watu ambao hawajajuana uchi aisee dont be like uneducated plz
@consolatatemu8613
@consolatatemu8613 2 года назад
Utazalia jiani
@imanibakili8028
@imanibakili8028 2 года назад
Yaan mara nyingi hawa wasanii hawana chuki za kijingajinga shida machawa wanapenda wagombane ili wapate mahali pakulia ugali na familia zao, hata Mond na Kiba kama si uhasama unaochochewa na wanafiki machawa wala wasingekuwa hasama mpaka leo
@henrymsomi8669
@henrymsomi8669 2 года назад
Shongea🤣
@siliviasimon7970
@siliviasimon7970 2 года назад
🙏❣️🤣
@tonymaster3619
@tonymaster3619 2 года назад
Nice one brother angu billy vs nandy ote gonga like hapa 👇👇👇ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-Pla6c5WGotA.html
@timelessdaddy.2542
@timelessdaddy.2542 2 года назад
Lipa deni mashavu ya paka wa wodi
@rehemamkalawa3801
@rehemamkalawa3801 2 года назад
Nina wasiwasi na uanaume wako! Nilifikiri ni binti 🙄
@timelessdaddy.2542
@timelessdaddy.2542 2 года назад
@@rehemamkalawa3801 kua na wasiwasi na unaempa kuma yako chafu iyo wala sio mm kunguru ww
@savioursimon458
@savioursimon458 2 года назад
@@rehemamkalawa3801 Thought the same
@shabiruponera4323
@shabiruponera4323 2 года назад
Una true love kwa wasanii wote wakati unamlipa mtu amchafue mwezio pumbavu🤯😂😂
@faithmeyakeah8498
@faithmeyakeah8498 2 года назад
Unauhakika Gani adi umtusi mtu
@miriamalute1540
@miriamalute1540 2 года назад
Hahaha binadam hatuja kamilika mwachen atafute pesa
@tusajigwemathias9185
@tusajigwemathias9185 2 года назад
Wivu tu na mara zote mti wenye matunda ndio hupigwa mawee
@timyshine4863
@timyshine4863 2 года назад
Siwez kukosa
Далее
Insane Coffee trick EXPOSED 😱☕️ #shorts
00:20
Мелл хочешь сына от Дилары
00:50
LIVE: MAKONDA AREJEA AIBUKA NA MAPYA AIRPORT
37:33
Просмотров 147 тыс.