Тёмный

MIMI SIKUBEBWA NA MAGUFULI| NISIPOMTAJA DKT. SAMIA UNATAKA NIMTAJE NANI?| NI KUIKEJELI TU KATIBA. 

Wasafi Media
Подписаться 4,6 млн
Просмотров 12 тыс.
50% 1

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Развлечения

Опубликовано:

 

2 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 48   
@JohnJoseph-qq7ow
@JohnJoseph-qq7ow 17 дней назад
Nyie kubalini tuu magufuli aliwaPitisha kwa nguvu sasa hivi mnamtukana magufuli nae alijichanganya kujaza ccm bungeni ona sasa bandari zetu zimeuzwa, MUNGU Tusaidie bunge letu la ovyo sana
@liberatusjackson5045
@liberatusjackson5045 17 дней назад
Magu 😂😂😂😂mshamba sana
@flavourboyke
@flavourboyke 16 дней назад
Kujeni huku kenya tuwafunze jinsi ya kupambana na bunge😂
@issaidrisamusa5962
@issaidrisamusa5962 17 дней назад
Wananchi tutakuuliza umefanya nini ? Maana kila kitu Raisi
@user-qx4pc3rx8g
@user-qx4pc3rx8g 14 дней назад
Sahivi mnamkana mlipita Kwa mgongo wa Magufuli subrin awamu ijayo
@eladiuspeter586
@eladiuspeter586 17 дней назад
Wewe kwenye Music uko Vzur. Ila kwenye Ubunge ww bado sana
@mossessimon2493
@mossessimon2493 17 дней назад
Jamaa anaonesha kuwa ni kiazi sana ukimsikiliza tu!
@iddiramadhani5111
@iddiramadhani5111 16 дней назад
ama kweli tz tunamatatizo sana.
@RabihuHussein
@RabihuHussein 2 дня назад
Hahahhaahaa! basi tuone kama safari hii utatoboa🤣🤣🤣🤣
@mwalimumstaafu8529
@mwalimumstaafu8529 17 дней назад
Body language yake inadhihirisha hayo. Tale huna sifa ya kuwa mbunge kama unabisha subiri 2025 utajua kama ulibebwa na Magu au la hasha.
@allahisone6386
@allahisone6386 15 дней назад
HHHH Ndiooo_🤦🏿‍♀️
@abel_esam
@abel_esam 17 дней назад
Kazi ya Bunge pia ni kutunga sheria .Kwa zama hizi ni muhimu mbunge kua na elimu. Kujia kusoma na kuandika tu haitoshi
@robertmkude8234
@robertmkude8234 16 дней назад
Nchi karibuni zote Duniani katiba zao zinasema hivo. Kuwa mwakilishi wa Wananchi unatakiwa uwe unajua kusoma na kuandika na umri sahihi ambao unaweza kuwa tofauti nchi na nchi. Nyie Wabongo mna shida sana na kufikiri Udaktari au Uprofesa ndio requirements. Ukiangalia matatizo mengi yanasababishwa na hao hao wasomi kwenye Wizara na Viongozi mbalimbali. Hebu angalieni uwezo wa watu kwenye nyanja tofauti tofauti,msiwe dick strong on Western education. Panapohitajika elimu basi na iwe hivo,lakini sio kila kitu.
@abumuhammad7802
@abumuhammad7802 13 дней назад
Kwetu Kenya elimu Kwa mbunge ni muhimu Kwa sababu Kuna book keeping. Ukiwa hujasoma utajikuta mahakamani Kwa maana waliosima wataina kutumia jina kako
@user-uk4he5gn1m
@user-uk4he5gn1m 16 дней назад
Magufuli ndo aliwaweka bungeni wamshukuru tyu waache uwongo😅
@user-yx3ic8zy9e
@user-yx3ic8zy9e 17 дней назад
Osca umenikosha ati mbeleko ndo ile ile mama alivyotuweka mgongoni akatufunga mbeleko 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👋🤣🤣🤣
@allahisone6386
@allahisone6386 15 дней назад
HHHH Ndiooo_🤦🏿‍♀️
@lilhydon452
@lilhydon452 16 дней назад
Hakukua na njia na vituo vya afya na cccm ndo walikua mamlakani 😂😂wewe huoni apa Kuna hatari?
@erickrichard3134
@erickrichard3134 16 дней назад
Oscaosca utafika mbali maswali yako so poa ume pita mle mle
@azariamarembo3653
@azariamarembo3653 17 дней назад
Sasa subiri 2025 ndio utajua ulibebwa inatakiwa umshukuru JPm
@issaakena1970
@issaakena1970 10 дней назад
Kweli ukifa wote wanakukataaaaa….😂😂😂😂😂😂
@Darian2550
@Darian2550 14 дней назад
30 kilomita kwenda shule asubuhi na 30km kurudi jioni....
@TheSalma1999
@TheSalma1999 14 дней назад
Hapo kwenye elimu nimependa alivyojibu ana hekima sana huyu ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@user-xm2wm2oc5w
@user-xm2wm2oc5w 17 дней назад
uyu ndio mbunge wetu wa morogoro kusini mashariki m
@mackrankagenzi5236
@mackrankagenzi5236 17 дней назад
Nmepoteza muda wangu kusikiliza hii kitu ,Ovyoo kabisa 😢😢 hawa ndo watu tunawategemea kuleta mapinduzi kwemye hii nchi kweli ?? Hawa ndo viongozi tegemezi kweli ?? Tz ploen 😢😢 2025 ndo utaelewa kama ulibebwa au la !!
@youngyayoo2805
@youngyayoo2805 17 дней назад
Tale sio mwanasiasa,ulipewa ww,pesa inatolewa na serikali ama rais?
@aloycekomba1
@aloycekomba1 17 дней назад
Toka zako wew muongo mkubwa
@Fred-Ma
@Fred-Ma 12 дней назад
Mnara unajengwa na Serikali? Asante nimejifunza.
@tomsijohni
@tomsijohni 14 дней назад
Kumbe kenya imeshitua game kipindi hiiki cha Wasafi watu wengi walikua awafatilii ata comment walikua awa comment ila mambo ya kenya naona comment ni nyingi ongereni wanaichi kwa kushituka kwenye usingizi😂😂
@MauBonde
@MauBonde 17 дней назад
Kiukweli kipindi cha magufuli kulikua hakuna demokrasia huru kuna mambo mengi tuliyaona ila tunaipenda amani ,na tunataka viongozi wote siasa na uzalendo na uchungu wa nchi kwa maslahi ya wananchi....tukitaka maendeleo tukitaka ubepari endeleeni na huo mfumo.....
@rehemakarafuu-xi1py
@rehemakarafuu-xi1py 10 дней назад
Kilaza tu ww hakuna unachongea bungeni
@pascalmsechu6874
@pascalmsechu6874 17 дней назад
Kura 80 mmmhh..? Subirin 2025 mpambane wenyewe tuone
@sonnyr1899
@sonnyr1899 17 дней назад
Magu ukimbeza tu basi wananchi wanakusubiri 2025
@abdallahngoe
@abdallahngoe 16 дней назад
Kampeni za mapema mapema hizi...
@taylorkasitu3819
@taylorkasitu3819 15 дней назад
Wewe una sifa ulipewa ubunge kwa uchawa na uchafuzi wa dickteta uchwara hakuna mwenye akili timamu akuchague kama mbunge
@augustinesombi6285
@augustinesombi6285 10 дней назад
Wakuu acheni hzo roho,,, mwendazake ndo aliyewaweka kazn, acheni hizo bhana
@sebastiansalamba313
@sebastiansalamba313 17 дней назад
Mnamtaja magufuli nyinyi ,mwacheni apumzike msiokuwa na shukrani
@yussufritzy7684
@yussufritzy7684 17 дней назад
Una uhakika uko amepumzika?
@mossessimon2493
@mossessimon2493 17 дней назад
Hamna mtu humo kwa kwelii!
@IddiMaya
@IddiMaya 16 дней назад
Unaweza kufeli jimboni kwako kwa mdomo wako mwenyewe jifunze sana kushukur
@ramadhaningulinga217
@ramadhaningulinga217 16 дней назад
Kiazi 😂😂😂
@IddiMaya
@IddiMaya 16 дней назад
C
@user-sr6tr7ko7w
@user-sr6tr7ko7w 10 дней назад
Huyu tale mpumbavu, utakataaje kuwa hukubebwa na magu? Acha uongo magu kawapa saport sana
@erickrichard3134
@erickrichard3134 16 дней назад
Subiri 2025 uli bebwa
@nassorntandu4513
@nassorntandu4513 8 дней назад
Bado hujasema! Wabunge bado hamuoneshi mikakati yenu katika kufungua fursa za makundi makuu kama vijana, wazee, walemavu na wanawake. kwenye jimbo kama hatuwezi kupambana na changamoto zao bado huoneshi uwezo wao wa kuweka mazingira ya wanachi wako kujiletea maendeleo, -
@drallan6879
@drallan6879 14 дней назад
sasa wewe ni std 7? wabunge Kama nyie mmepitwa na wakati
@user-we7uq1qh7p
@user-we7uq1qh7p 17 дней назад
Magufuli anatumika nawatu wamesoma huyo kasomea wapi kwan 😅 machawa hao magufuli anatumika namajeshi uyo unamuonaj taweza wauza sura hao acha kelele wanashindwa kuwapa kazi vijana wamesoma wanawapa nyie akuna lolote wizi tu kweny serekali munakula mosaada ya wana inchi kenge nyiyee
Далее
YOMBO KIZIMBANI - KESI YA KUKOPA BANK
11:36
Просмотров 326 тыс.
ELIUD NA MAMA YAKE KWENYE SHOW YA WAISA
18:50
Просмотров 50 тыс.
КАК ДУМАЕТЕ КТО ВЫЙГРАЕТ😂
0:29