Тёмный
No video :(

UPWEKE ULINILETEA MSONGO WA MAWAZO | NILIKUA NATAKA KURUDI TANZANIA TU 

Official Dating Assistance
Подписаться 42 тыс.
Просмотров 14 тыс.
50% 1

Nacky ameeleza safari ya maisha kutoka Tanzania mpaka Marekani ambapo ameleeza changamoto ya upweke ilivyomtesa kwa kipindi kirefu akiwa Marekani.
Alikua mtu wa kulia tu na kutaka kurudi nyumbani Tanzania
Changamoto ya kujifunza udereza ili kupata kazi, amakwambia karudia mtihani mara 4.
Anasema yeye hajataka kabisa suala la ubaguzi limuathiri kwa kiwango chochote kile
Thank you Nacky for allowing this to be online
www.oda.international

Опубликовано:

 

24 апр 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 52   
@graceandrew3988
@graceandrew3988 3 месяца назад
Maisha yanahitaji sacrifice,na Mungu hawezi kukupa vitu vyote kwa wakati mmoja,kuna wakati unatakiwa uforegone baadhi ya vitu ili uweze kupata vitu vingine,so kwa wadada au wakaka wanaotafuta kwenda abroad mlifahamu hilo,kuna baadhi ya vitu vya bongo utavikosa ila pia kuna faida utazipata ukiwa abroad.Kikubwa ni kujiandaa kisaikolojia kukutana na mazingira mapya.Kikubwa focus na malengo ya maisha yako..
@unkown2429
@unkown2429 3 месяца назад
From Usa River to USA❤
@graceandrew3988
@graceandrew3988 3 месяца назад
Naomba kuuliza Nacky hizo nywele zako natural au umevaa wigi,nimezipenda umependeza sana❤
@nackychikira4949
@nackychikira4949 3 месяца назад
Ni natural...Asante mwaya
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 3 месяца назад
Kweli zimempendeza sana.
@namsamson3443
@namsamson3443 3 месяца назад
Wigi
@tinarose7922
@tinarose7922 3 месяца назад
I like this lady's mindset 😅..tokea nmekuja western countries huku, ninaishi na mindset kma yake towards skin colors..and life is good no stress!
@trueone_tz
@trueone_tz 3 месяца назад
Asante sana kwa elimu 🙏🏻🤝
@Emmanuelamkinga
@Emmanuelamkinga 3 месяца назад
Muhimu katika maisha kuchukua kinachokuhusu kisichokuhusu achana nacho watu mnahoji kuhusu mtu badala ya kufata kilichokuleta kwwnye hii channel ni kusikiliza content then mengine mwachie mtu binafsi,acheni udadavuaji mwingi
@dorrieelinafika5607
@dorrieelinafika5607 3 месяца назад
Very nice interview. Nimependa lafudhi yako ya arusha❤
@jacquelinelukambuzi5085
@jacquelinelukambuzi5085 3 месяца назад
Yaani Naky nakuelewa sana aisee Mimi nimefika hapa mwaka Jana ila swala la upweke ni balaa sana,ila kulingana na maisha ya bongo mtu akipata nafasi ya kuja aje tu swala la upweke ata adjust
@dayana5513story
@dayana5513story 3 месяца назад
Yan uyu msichana ni mimi kabisaaa friendship relationship ndo vitu vyangu mapenz kwangu inatake time kumuamini mwanaume
@bettymbatta9626
@bettymbatta9626 3 месяца назад
Wazungu ni watu wa kubalance muda wa kazi na wa familia. Kwa mfano Watoto lazima wa participate kwenye after school activities, wazazi kuwa available ni muhimu
@twahaissack7887
@twahaissack7887 3 месяца назад
realy waswahili cc tnapenda jokes,kazini just why wanatushangaaa tlivyo charming
@valenakomba7686
@valenakomba7686 3 месяца назад
Nimekupenda unaongea maneno ya uhalisia .
@valenakomba7686
@valenakomba7686 3 месяца назад
Uko mda mfupi, lakini umeyasoma maisha ya huko na watu wao vizuri sana.
@darajalakidatukilomgi2362
@darajalakidatukilomgi2362 3 месяца назад
Ugonjwa wa upweke ughaibuni ni jambo la kawaida meaka wa kwanza, helaheka za bongo zina utamu wake kibongobingo kazini ni utani utani vikao vya harusi kila wiki, sherehe za hapa na pale vurugu za ndugu na jamaa mradi maisha yanakwenda, ulaya ustaarabu mwingi kuko kimyaaa una pesa na majumba ya starehe kibao lakini vibe lake tofauti na bongo, unavyosema unabakia kusema nyumbani hawanipendi napiga simu hawapiokei kumbe uko kwenye kipindi cha ugonjwa wa upweke
@user-mf2jf6dp7z
@user-mf2jf6dp7z Месяц назад
Dada uyu uzungu mwingi sana anachanganya maomgezi sana duuuh
@salhakyande3905
@salhakyande3905 3 месяца назад
Nakijwa? Tena Chikira? 2021 lafudhi ishakuwa khuuuuu
@zenajustus5731
@zenajustus5731 3 месяца назад
😂
@oliviaseth4652
@oliviaseth4652 3 месяца назад
Hongera zako
@NathanMmbaga
@NathanMmbaga 3 месяца назад
Huyu sister Nacky Nathan Chikira , atakuwa mpare
@unkown2429
@unkown2429 3 месяца назад
Yes na ana roho nzuri sana. Very friendly and charming
@mohrecaps
@mohrecaps 3 месяца назад
Ana mapoz huyu dada
@ELIZABETH-uz6dv
@ELIZABETH-uz6dv 2 месяца назад
😂😂😂😂😂😂
@liannsambu7264
@liannsambu7264 3 месяца назад
Yes it's like me , I think the girl is SDA and it's like I have been knowing her , but alikuwa mdada mcheshi na mkimya pia mstaarabu , this is my memory na nikama alinitangulia kwa darasa shule , kama akili yangu inakumbuka vyema ,but nimefurahi dear shena na dadaake mgeni wetu WA Leo
@philipinamallya-bo6fu
@philipinamallya-bo6fu 3 месяца назад
Nacky chikiraaaaaaa
@nackychikira4949
@nackychikira4949 3 месяца назад
Jamani Phina,hujambo!?
@estersaul8180
@estersaul8180 3 месяца назад
Unaongea short short Sana.. Watu tupo exited hapa..
@sophiakassim6784
@sophiakassim6784 3 месяца назад
😂😂😂 kuna vitu anajaribu kuficha, wajua si vizuri kujiachiiiia kila kitu chako in public hujui mbaya wako
@zainabufeka87
@zainabufeka87 3 месяца назад
Mbona kama unangea kama mange kimambi😂😂😂😂😂😂
@zenajustus5731
@zenajustus5731 3 месяца назад
Ascent ndio imekuja haraka haikukawia mda 😊.
@liannsambu7264
@liannsambu7264 3 месяца назад
Ni kweli hao mablack American wa US wanakasirika HARAKA , Wana akili za kujibagua ukisema tu kitu kwake ni DHAMBI , ni wavivu vivu flan wanalalamikaa ,nimependa Naki ulivyorahisissha mambo kwenye swala la ubaguzi we tafuta ela piga KAZI Mami life is easy everywhere ili mambo yawe rahisi
@liannsambu7264
@liannsambu7264 3 месяца назад
I think I know the girl ,😂😂😂😂 great madame all the best ,
@magrethpeter6049
@magrethpeter6049 3 месяца назад
Mimi sioni tabu kukaa peke yangu. Ndiyo napenda kweli
@mariajoseph6819
@mariajoseph6819 3 месяца назад
Tualikie Anna Nafula
@chai_r
@chai_r 3 месяца назад
Watu weusi hawana shida kuwa wesusi wana shida na ubaguzi wa rangi. Na ubaguzi upo, sasa huyu dada anataka kuditufautisha lakini ata baguliwa kama wengine tuu.
@darajalakidatukilomgi2362
@darajalakidatukilomgi2362 3 месяца назад
Marekani kama huna leseni ya gari hawakupi kazi, kuendesha gari kwa Marekani sio ufahari ni lazima, kuna maeneo mengi hakuna madaladala utaendaje kazini kama hauna usafiri
@ashaidei5680
@ashaidei5680 3 месяца назад
Mimi ninachowezakuwa omba watu wa nyumbani iiiii!mtu akinyenyua mguu kuja nje waacheni kabsaaa kama utaweza mpigie simu kumsikiliza tuu, huku kula kuvaa simu unaweza pewa ila maisha yenyewe sasa ni mtihani mkubwa watu wengine hawapendi kuongea sababu mtaogopa. Yaani salaam tu inatosha
@darajalakidatukilomgi2362
@darajalakidatukilomgi2362 3 месяца назад
Umesema kweli kabisa, shida ya wabongo wakiona simu ya Ulaya wanawaza kuomba pesa au simu hawawazi kumsikiliza Ndugu yao mahangaiko yao
@EmilianiLyari
@EmilianiLyari 3 месяца назад
Dada naomba uwe unawahoji na wanaume wanaooa wazungu
@user-en1uq1eg6h
@user-en1uq1eg6h 3 месяца назад
Hiyo miwani jameni 🤗🤭
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 3 месяца назад
Darasa halijakufaa ?
@BeatriceBadady-pn4mb
@BeatriceBadady-pn4mb 3 месяца назад
Sauti akuna
@Rhobimdenish
@Rhobimdenish 3 месяца назад
😂 kwanza hawatak kuitwa wa Africa wanataka kuitwa.blackamerica
@user-iz9ci4rs3d
@user-iz9ci4rs3d 3 месяца назад
😂😂😂😂
@darajalakidatukilomgi2362
@darajalakidatukilomgi2362 3 месяца назад
Wamevurugwa na utumwa ata kuitwa black hawataki hawana urafiki na sisi Ndugu zao
@JazilaSiraja-st8cu
@JazilaSiraja-st8cu 21 день назад
Siku s nying nakuja USA so nitakuwa nakuja kupga story na ww
@bongomastory791
@bongomastory791 3 месяца назад
So so sooo soo😅
Далее