Aliekuwa mbunge wa Iringa Mjini Mchungaji Peter Msigwa akizungumza na waandishi wa habari na kumwaga tuhuma kuhusu kuhujumiwa kwenye uchaguzi wa ndani ya chama
Leo Nimeona unaitwa mchungaji ila kumbe unatamaa ya madalaka kias ivo hamna lolote njaa tu ayo maneno yako kwanini usiite viongozi wako mkayaongea ndani na yakaisha namashaka na uchungaji wako😂
Mchungaji Musigwa naomba nikushauri. Rudi kanisani ukamtumikie Mungu wa mbinguni achana na mambo ya kisiasa. Viongozi mnaonyesha kuwa na maslahi binafsi Wala sio kutafuta haki za raia. Rudi kanisani.
Msigwa nadhani hapa unachafua chama chako na hauko sahihi. Maana umma unasikiliza upande mmoja . Hauko sahihi hapa unafanya kazi ya uchawa wa ccm kuichafua chadema
Moyo mzuri= nia nzuri=akili nzuri. Moyo mbaya=nia ovu= akili mbovu. Mungu anaona yaliyo mioyoni mwetu, hata zuia nia ovu inakupa kuwa na akili mbovu kutenda maovu. Mungu ametujalia mioyo, akili na nguvu zetu kuzitumia kumtumikia kwa kutenda kwa haki kwa watu wake. Wasiotenda haki humbuka muda umefika kwa CDM kuomba radhi CCM kama toba kwa maovu ya kusingizia. Maji na mafuta hujitenga muda umefika wa kijua kipi ni kipi.
Some of us we see GREED here.. ULAFI WA MADARAKA.. MIAKA 7 , BADO unatoa Povu.. Sasa here say on ur Chairs,, unconfirmed kwenye vyombo vya abar.. such a joke..
Kumbe anadhani jaziba zake zimekomeshwa hivyo, huyo ni mtafuta madaraka asiye na uvumilivu ! Kuita press conference kwa Hilo ni sawa na kutoa Siri ya ndani ya nyumba yako # Anajiumbua na chama chale !
Sasa si ungesema siku ile ile huo ni ujinga tu Tz Hakuna upinzani ni wapenda madarka na ubinfsi tu wanamch tuachane na wanasiasa me nishasema sipigi tena hata kula ccm tuhjlumieni tu mUK ngaliane musiihalibu tu inch yetu hakuna chama kwa sasa chakuwatoa madarakani mpk Mungu atapotaka yeye wakt utaamua
Mbona wewe mwenyewe kwenye chaguzi zamajimbo namikoa hukutenda haki,kwakuwaondoa makatibu wamajimbo namikoa ambao walikuwa hawakuungi mkono,kwahiyo dhambi zako zimekutafuna,naulikuwa mtoa rushwa nguli hata kwenye chaguzi za majimbo namikoa ili kuwapitisha walio kuwa wanakuunga mkono,tulia hiyo nidozi nzuri sana kwako ili ujifunze nasiku nyingine tena
Mchungaji kataja team yake ,sasa wengine wasioate team,au naye alitaja abilities nafasi. Mwanasiasa unayejiamini acha iende iko siku nyingine haki yako itakurudia.Cheo nni dhamana tu
Mimi namshangaa mchungaji eti kuwa hajui au haelewi kuwa haki hajawahi kusimamiwa ndani ya CHADEMA ,tunaijua chadema miaka 10+.Watu wanamiliki nafasi n hata kutengeneza vurugu dhidi ya wenzao.Katiba ya Chama inakataza kudai haki ktk vyombo vya haki,kwa adhabu ya kufukuzwa Chama. 16:14
Yawezekana kinacholalamikiwa kina UKWELI ama laaa!! Ila katiba YETU imasemaje juu !! Ya malalako ama migogolo inayojitokeza ndani ya chama yawezekana ni KWELI ila ungebakia na hiyo HOJA ya kukata rufaa naamini ww umewahikuwa mjumbe wa kamati kuu ungelinda hicho unachosema ni aibu ya chama!!
Huu ni uroho wa kanda tu. Halima Mdee Leo wametuhakikishia ulionewa. Nenda kwa mama Samia kwani unaupiga mwingi bungeni, usipoteze maelekezo ya Mungu kuwatumikia watanzania kisa chadema
Mzee msigwa umeshindwa kubari yaishe ww ulishindwa hata kabla ya uchaguzi wenyewe. Mbona hata kwenye mdahalo sugu alikushinda? Wewe umeshindwa kiharali mzee acha tabia za kukigawa chama
Kijiti nikupokezana sasa wewe unalialia nini,au nikweli walivyo sema kua wewe umepewa hela zamama abduli ili ushinde uendelee kukivuruga chama kama vyenye ulifaulu kutengeneza migogoro kwenye chama chetu kila kona yakanda,wewe mwenyewe uli diliki kuwatoa makatibu wamajimbo walio shinda kihalali ukaleta watu ambao hawakushinda kwasababu walio shinda walikuwa hawakuungi mkono,kwahiyo tulia ikuingie vizuri.
Mchungaji Peter msigwa unalalamikia kutoshinda kwenye uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kanda mpaka unaita press conference na waandishi wa habari kweli .Nafikiri hili ni jambo linalotakiwa limalizwe ndani ya chama lkn kama unavyofanya sasa .Naona kama vile unataka kuvuruga chama as if umepewa kitu kidogo .Vilevile usiwe mroho wa madaraka kwani muda uliiongoza kanda ni mchache ? Mchungaji rizika na kuwa na kiasi kwa kile ulichopata .
Msingwa wacha kulalama ungeliangalia masilai yako kwa jicho la tatu Enzi za mjomba magu wala usingekuja shupaza mishipa ya shingo hapa umasikini unautaka mwenyewe buana tuachie kelele uko
Nimegundua kawaida ya hiki chama in kulalamika. Ccm ikishinda wanasema wameibiwa kura. Sasa huu uchaguzi wao wameibiana kura? Wanaodai katiba na time huru ni hawa? Kama ndo hivyo waanze kwanza kurekebisha katiba yao. Kumbe hata katiba yao ni mbovu.
CHADEMA SISI WANANCHI TUNA WATEGEMEA NINYI NDIO CHAMA PEKEE TUNACHO SUBILI KUKIPIGIA KURA KTK NGAZI ZOTE KUNA NINI SASA IVO MUHESHIMIWA MBOWE LISSU DBU MSIKILIZENI MSIGWA MALIZENI TATIZO ILO MWENYE HAKI KM MSIGWA APEWE NAKM SUGU APEWE ILA MSIPENDELEE UPANDE WOWOTE
Pole Bwana Msigwa,lakini lisaidie Taifa hili kujua ukweli wa moyoni kutoka kwako 1. Kwa Nini uliamua kukubali kushiriki uchaguzi ambao tayari ulionesha kutoendeshwa kihalali? 2.Matokeo ya uchaguzi yangekupa ushindi ungeyakataa kwa kuwa kulikuwa na figisu toka mwanzo? 3.Malalamiko Yako yanatokana na kukiukwa kwa taratibu za uchaguzi na katiba ama kushindwa kura?
Hicho ni kitabu Cha wahuni sio kitabu Cha Baba wa Taifa. Sera za Baba wa Taifa as likuwa akizotoa kama Meongozo wa CCM katika Halmashauri kuu ya Taifa.
🇹🇿 MCHUNGAJI Peter MSIGWA, Ukishindwa kwa UCHAGUZI si utoroke CHAMA ni Kuangalia kwaninj ULISHIDWA.⁉️❓🤫 👉SOMETHING IS WRONG WITH YOU NOT WITH CHADEMA. Wewe ni MNAFIKI.👈 ❌
Kamanda komaa nao .ufuatwaji wa katiba . John Mrema ajiuzuru....... siku nyingine Chadema azimeni Padri Kitima awe mkuu wa uchaguzi.... siyo hao.... akina Kigaila.
Mama anagawa viuatilifu vya korosho bure hapaTunduru na Tanzania kwa ujumla, wengine wanagombania kanda ambayo haipo kitatiba Je ukiwapa nchi! Chukua hatua,
Mwambie huyu jamaa awache Mara moja kuaibisha chama kweli Katia chama doa kubwa Sana aibu hii kahahirishia Cham mharo mkubwa Sana hayo yalitakiwa yasiwe hadharan Peter umeharbu Sana yani hata Mimi Sasa chadema kwaheri kumbe Ni Walarushwa wakubwa hivi duuuuuuu