Тёмный
No video :(

Polisi Anayedaiwa Kudhulumu Nyumba ya Kikongwe Kwa Tsh. Laki Tano Aingia 18 za RC Makonda 

Tiki Tv
Подписаться 400 тыс.
Просмотров 40 тыс.
50% 1

Polisi Anayedaiwa Kudhulumu Nyumba ya Kikongwe Kwa Tsh. Laki Tano Aingia 18 za RC Makonda.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
#rcmakondaarumeru
#ARUSHAYASIMAMA #MKASAWAKUSIKITISHA #RCMAKONDA #rcmakondamonduli #rcmakondamonduli #MAKONDALIVE #makonda #makondaleo #makondakaratu #karatu

Опубликовано:

 

29 май 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 112   
@Devota-mr6ng
@Devota-mr6ng 2 месяца назад
Mama Samia mwangalie makonda anatenda haki anakusaidia sana tunapenda viongoz kama Hawa kwa kweli tunamwombea asibadilike
@careensamson
@careensamson 2 месяца назад
Uyo samia ndo hamna kitu.. uyo ndo fake kabisa
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 2 месяца назад
Samia mwenyewe 🚮
@Ambwene
@Ambwene 2 месяца назад
Tatizo Samia halieleweki lile Janamke akiona mtu anapendwa sana na Raia anambadilisha 😢😢😢😢😢
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 2 месяца назад
Makonda alindwe sana sana
@AfricaQueen
@AfricaQueen 2 месяца назад
Makondaaaaa Paul 🗣️🗣️🗣️🗣️🥁🥁🥁🥁Piga kazi na fyekelea Ndani wote wanaozulumu Watu wengi waizi haoooooo🗣️✍🏽✍🏽
@lennyyusuf255
@lennyyusuf255 2 месяца назад
1
@lennyyusuf255
@lennyyusuf255 2 месяца назад
,
@anitarafa
@anitarafa 2 месяца назад
I'm from Kenya but now niko Saudi but napenda makonda kwa kazi nzuri
@user-uf1ji4no7i
@user-uf1ji4no7i 2 месяца назад
😂
@user-uf1ji4no7i
@user-uf1ji4no7i 2 месяца назад
Kenya,,, Saudi 🙄😂
@anitarafa
@anitarafa 2 месяца назад
@@user-uf1ji4no7i Yes, I'm from Kenya, I work in Saudi Arabia, what surprises you?
@neemasalema1546
@neemasalema1546 2 месяца назад
Kweli kabisa piga kazi Baba
@AbubakaryOmar
@AbubakaryOmar 2 месяца назад
Mungu akulinde makonda safi sana uongozi unaweza
@mkambamaulid447
@mkambamaulid447 2 месяца назад
Makonda Hongera sana ni utaperi wa hali ya juu Million 22 Advice laki tano wapi na wapi makonda endelea kuwa kileleni big up Brother hizo ni pindisha pindisha2💪🏽👊🙏🏼
@johnsimba
@johnsimba 2 месяца назад
Haki tusimung'unye maneno huyu kijana Makonda kaletwa na Mungu ona uamuzi wa mwanzo ilikuwa ni wazi wamempa huyo bwana nyumba eti alipe m 22 ndani ya mwezi achukue nyumba uamuzi wa kipumbavu kabisa, mtu kaka Bure miaka karibu kwa laki Tano tu alafu unatoa maamuzi hayo eti mkataba unasema uongo mtupi sijui nae alipewa kitu kidogo alipomoigia simu huyo security, Makonda kafafanua vizuri sanaaaaa hongera Makonda haki siku ukija Mwanza nitakutafuta nikupe hongera, Mama mbona wakuu wengine wako kimya atusikii wakiwasaidia watu? Ina maana hakuna matatizo kwenye mikoa Yao? Mmmmm Mama mpe ulinzi mkubwa Makonda Tena makomandoo wa jeshi kijana ni Lulu tuitunze isizimike ANAKUSAIDIA sana na Arusha haki kura zitakuwanyingi
@godykilian
@godykilian 2 месяца назад
Makonda ana akili fulani hivi ya ziada
@rehemakanyere4188
@rehemakanyere4188 2 месяца назад
Kabisaas
@sebastianmwakulya8146
@sebastianmwakulya8146 2 месяца назад
Dah kuna mengiii mh yanajificha asante kwa kazi nzuri
@goodluckndunguru995
@goodluckndunguru995 2 месяца назад
Huyu mwanasheria wa pili yupo makin sana ,endelea hivyo hivyo,nakukubali sana brother
@kareem1182
@kareem1182 2 месяца назад
Makonda makonda makonda Watakulogaaaaaaa
@zablonnyanda6095
@zablonnyanda6095 2 месяца назад
Mtamjua tu! Huyu jamaa anajianini sana
@lucasmlowezi9214
@lucasmlowezi9214 2 месяца назад
Sina maneno mengi. Mi nachekaga tu, mzee wa spana, dah Mungu akupe maisha marefu Makonda
@omaryonga-hv3lk
@omaryonga-hv3lk 2 месяца назад
Kama VIONGOZI wote wataenda kwa MFUMO huu kiukweli wanyonge tutafurahia NCHI yetu.... Mungu akubariki sana mh. Makonda..
@user-fs7xc2bb5d
@user-fs7xc2bb5d 2 месяца назад
Nikweli usemacho kaka Omy
@user-uh7to2kw2z
@user-uh7to2kw2z 2 месяца назад
Huyo mnunuzi tapeli anataka kumzulumu huyo bibi mshenzi kbs
@faustinombilinyi9809
@faustinombilinyi9809 2 месяца назад
Safi mwanasheria uko vizuri kwa ushauri wako kwa mkuu wa mkoa
@AnaniaKyando
@AnaniaKyando 2 месяца назад
Pole makonda maana mmmmmmh Hadi Leo sanaaa
@jitabojilala6162
@jitabojilala6162 2 месяца назад
Alaaniwe amchukiae paul makonda
@yaceenmohamed858
@yaceenmohamed858 2 месяца назад
Big up RC
@obedpeter6874
@obedpeter6874 2 месяца назад
Yani wakuu wa mikoa hii ndio maana halisi ya kuitwa mkuu wa mkoa kuwa karibu na wananchi kuna matatizo mengi sana kwetu wananchi
@elevenmeela8713
@elevenmeela8713 2 месяца назад
Mkuu wa mkoa Arusha ni kweli unafanya kazi kubwa huyu mnunuzi muda aliyokaa happy alivuna pesa nyingi happy huyo Bibi arudishiwe nyumba yake
@shamzone388
@shamzone388 2 месяца назад
Kwa kweli makonda yupo vizuri sana…kweli nyumba ipigwe thaman ya sasa sio iliyopita makonda hoyeee kazi iendeleee
@geraldjames2557
@geraldjames2557 2 месяца назад
Ndg wananchi mm naomba mnisaidie tu mawazo kwa uelewa wng mdogo Haya maovu tunayoyashuhudia ktk mkoa wa Arusha inawezekana ni nchi nzima mambo ni haya haya? Lkn mkoa wa Arusha si ulikuwa na viongozi, vipi viongozi hawa hawakuwa na muda na shida za wnaanchi jamani??😢😢
@nicolasaugustino8449
@nicolasaugustino8449 2 месяца назад
Maovu haya yapo kila mkoa, lakini shida ni viongozi wamelala, watu wanateseka, watu wanazulumiwa lakini hawana kwa kusemea
@ShangweSylus-nf6we
@ShangweSylus-nf6we 2 месяца назад
Makonda Rais wangu ajae Mungu anasikia na itakuwa
@MaAmal-gv3qs
@MaAmal-gv3qs 2 месяца назад
Makonda kweli una tenda haki naomba baadaye uje kuwa raisi wa Tanzania kwa uwezo wa mungu
@jeanmiruho4770
@jeanmiruho4770 2 месяца назад
Kwakweli Mungu awasame wanadamu!!Bibi kikongwe kama huyu kumuzulumu haki yake!Makonda miye simu Tz Nakupata 5/5 från Stockholm Sweden na Mungu akutiye nguvu na awalinde kwayote Usiku Mwema
@kinemorwangisho2168
@kinemorwangisho2168 2 месяца назад
Makonda ww kiongozi ambae mafisadi wazumaji hawawezi kukupenda ebu chek bibi kama huyo angepatawapi hiyo haki yake
@dionisiajohn519
@dionisiajohn519 2 месяца назад
We kijana nakutabiria mema sana mbeleni ukiendelea hivyo. 💕💕💕💕Makonda. 💕Juu
@eliudgathuthi8601
@eliudgathuthi8601 2 месяца назад
Yaani everyday I have to listen to these things, kutatua migogoro. Cout of laws take years but this way it's solved in few minutes. Heko Makonda
@emanuelpiniel5277
@emanuelpiniel5277 2 месяца назад
Mkuu wa mkoa mhe makonda,naomba upate muda wa kupumzika na kufanya maombi kwasababu unaposikiliza matatizo moyo unasinoneka
@HussainMaula-tz8dh
@HussainMaula-tz8dh 2 месяца назад
Piga sperner mkuu sisi tunakuombea mungu akulinde na hasad za mafisadi wala rushwa.
@user-ml9oe2ex4p
@user-ml9oe2ex4p 2 месяца назад
Huyo ayubu mweusi ivi masikini wa kutupa alizoea rushwa za pikipiki kipindi kile faini elfu 30 hajajenga saivi arudi tu kwao kijijini
@mussaelias3535
@mussaelias3535 2 месяца назад
Arudishiwe pesa yake huyo jamaa
@chire4574
@chire4574 2 месяца назад
Pesa gani irudi wakati amekuwa akitumia kwa mda wote
@jamesmzaki6041
@jamesmzaki6041 2 месяца назад
Pesa hairudi zaidi huyo jamaa anadaiwa kwa kutumia nyumba ya bibi bure kwa miaka 5
@upendoeliya9329
@upendoeliya9329 2 месяца назад
Hata hiyo bei Sio. Mkataba nao sio ni batili. Aliwaonea sababu aliwagundua shule haipo.
@aminashayo9263
@aminashayo9263 2 месяца назад
Mehshimiwa Paul Makonda kama vile Mfalme Suleiman haki bin haki, usawa kwa usawa, uwiano kwa uwiano, kuonewa na kutetewa, kudharaulika na kuheshimishwa hapo hakuna kuchoka hata kama ni masaa 24
@joycehaule9717
@joycehaule9717 2 месяца назад
Hadi umezeeka uso kweli pole kiongozi wetu...
@WazirJuma-gd5oo
@WazirJuma-gd5oo 2 месяца назад
Umeonae Yani jamaa amekuwa na makunyazi ghafula. So mchezo changamoto
@goodluckndunguru995
@goodluckndunguru995 2 месяца назад
Huyo mwanasheria wa kwanza ananipa wasiwasi kwa kweli,nafikiri angechunguzwa kuna tatizo hapo
@user-ot4xg4yk1p
@user-ot4xg4yk1p 2 месяца назад
Makonda nakufuatilia sana kwenye mikutano yako yote huko Arusha mungu akutangulie uendelee kuchapa kazi uko sawa usisikilize kelele za wezi tuko pamoja na wewe endelee kutetea wanyonge
@JisamMsuya-vo9zv
@JisamMsuya-vo9zv 2 месяца назад
Mimi Josam namkuba makonda anapiga kazi viongozi amkeni wanachi wanaonewa mtaulizwa siku ya mwisho
@johanawarkialoisi7200
@johanawarkialoisi7200 2 месяца назад
Kaka mwanzoni nilikuwa sikuelewielewi ila kwa sasa hata uraisi unakufaa kabisa piga kazi brother!!
@gladysnyambura3947
@gladysnyambura3947 2 месяца назад
Zamani nlikua naogopa wakenya naheshimu watanzania nakuwaamini lakin siku nlikuja kugudua hawa watu wana lugha kali sana ya kutapeli mdomo mtaamu alafu nkatapeliwa wah , Tanzania ni shida
@HulumaMwandenuke
@HulumaMwandenuke 2 месяца назад
Makonda Mungu akujalie saaaana ww ni malaika wa Mungu
@vero57
@vero57 2 месяца назад
Katika million 20?????? Unalipa laki 5???????? Huo sio sawaaa kabisa!!!
@user-rk9gr9yf3i
@user-rk9gr9yf3i 2 месяца назад
Pigeni majungu Makonda anachapa kazi kihalali wakati Mama Samia kamkubali mliobaki na mvimbe mpasuke Makonda mbele kwa mbele spana ziendelee
@carteq
@carteq 2 месяца назад
SALUTE RC MAKONDA
@emmanuelqaday6949
@emmanuelqaday6949 2 месяца назад
Mheshimiwa raisi tunakuomba makonda abaki Arusha mpaka baada ya uchaguzi mkuu
@jumarajab5316
@jumarajab5316 2 месяца назад
nashauri polisi wakishitaki hicho ki online tv maana taarifa ni mmiliki wa kampuni ya ulinzi nyie mnaandika polisi
@user13375
@user13375 2 месяца назад
Wajinga sana hao online😮😮😮
@dicksonkilupa2258
@dicksonkilupa2258 2 месяца назад
BIBI USIUZE NYUMBA BALI UIPANGISHE UKIONGOZWA NA MTU UNAYEMWAMINI ITAKUTUNZA HIYO.
@user-nx4pb3lk5v
@user-nx4pb3lk5v 2 месяца назад
Yule msemaji Merry Chatanda yuko wapi hapo? Au yeye kahongwa na yule anayemtetea
@user-rf7ni6tr2o
@user-rf7ni6tr2o 2 месяца назад
Spanaaaa spanaaa spanaaa mboni kimyaaa aifanyiii kaziii
@yukundapeter8200
@yukundapeter8200 2 месяца назад
Hilo askari lifukuxwe kwa udhulumati,mnadhulumu wanyonge hamnaga aibu,mtalaaniwa na mitoto yenu mbwa nyie.
@tiopherysanga2934
@tiopherysanga2934 2 месяца назад
mwanasheria wa makonda yupo makini
@user-mn6qi9gk1g
@user-mn6qi9gk1g 2 месяца назад
Tume pata kiongozi waku msikiliza tuka elewana sasa ndio mambo zina takiwa hizi
@RehemaSaid-ww1mm
@RehemaSaid-ww1mm 2 месяца назад
Huyo mwanasheria wa MWANZO mshenzi sn eti wamekubaliana atalipa kumbe mkataba una madudu kibao, huyo nae achunguzwe atakuwa kapewa chochote ki2
@obedpeter6874
@obedpeter6874 2 месяца назад
Hii ndio maana halisi ya kuitwa mkuu wa mkoa sio kukaa ofisini tu
@alexvenas2699
@alexvenas2699 2 месяца назад
Yaani huyu mwamba hata ukimuweka kutawala samaki wa baharini na maziwa na mito yote samaki na bahari na maziwa n.k vitampenda tu.
@alfristricks7515
@alfristricks7515 2 месяца назад
Katika mfululizo wa hii mikutano, Wanasheria wa Serikali wameonesha udhaifu mkubwa katika hoja zao ama kutafsiri sheria na mikataba. Ukiangalia huyo Bro Mwanasheria mrefu, na George Njooka, hawapo katika Serikali. Wote ni wanasheria binafsi. Ukiona wanavyochambua mikataba na vifungu vya sheria, unaona wanajua taaluma zao. Kama ofisi za serikali tunakuwa na watu wenye uwezo mdogo, ni rahisi sana watu kupoteza haki zao, ama kuitia hasara serikali.
@TitoNgomuo
@TitoNgomuo 2 месяца назад
Hi imekaa vizur
@lingwamalagila3003
@lingwamalagila3003 2 месяца назад
Mama Samia Huyu ndiye mkuu wa mkoa anayejitambua naomba sana mpeni mda Makonda akusaidie UWT aache Kijana asaidie hivi wizi wa mamilioni anaendaje kucheka na mtu
@clemencemkondya8561
@clemencemkondya8561 2 месяца назад
Mikoa mingine muige kazi za RC makonda .Mheshimiwa Samia umpe na cheo unyekiti wa ma RC wote Tanzania .Arusha mngepoteza viti vyote vya mitaa katika uchaguzi wa octoba 2o24 .
@user-eg1fi6gi7b
@user-eg1fi6gi7b 2 месяца назад
Makonda ndiye rais ajae hatuna mwingine kama yeye
@user-sw7tf1ob1b
@user-sw7tf1ob1b 2 месяца назад
Hiyo nikodi siyo kununua huyo asinunue ni mwizi tu alipe na Kodi zote
@khadjamhozya
@khadjamhozya 2 месяца назад
Huyu mwanasheria yuko vizuri
@ngelelanangale6798
@ngelelanangale6798 2 месяца назад
Wapo vigogo wanaomchukia Makonda kwa sababu amegusa masilahi yao ama ya ndugu zao. Halafu wanambambikizia madai eti anadhalilisha watumishi
@vero57
@vero57 2 месяца назад
Huyooo traffic 🚥, lazima alipe pesa zote za huyoo mama!!!leo hiiii!!!!
@geraldjames2557
@geraldjames2557 2 месяца назад
Inasemekana huyu sio traffic bali ni wale members of security companies
@waltermachange7300
@waltermachange7300 2 месяца назад
Mwanasheria huyo yuko makini sanaaa
@EdwardMghuna-rg8rx
@EdwardMghuna-rg8rx 2 месяца назад
Mungu na serikali aongezewe ulinzi RC
@paitomsuva3817
@paitomsuva3817 2 месяца назад
Yule WA kwanza inaonyesha anakula na mwizi
@LeonardSanga-zn5pn
@LeonardSanga-zn5pn 2 месяца назад
Ivi mikoa mingine hakuna matatizo mbona hatusikii kelo kama hizi
@aminaomary5567
@aminaomary5567 2 месяца назад
Makonda apewe ulinzi sana humo anamopita
@ZuberiSangano
@ZuberiSangano 2 месяца назад
Arusha mtanizeesha😅😅😅😅
@user-eb3hf1lm9e
@user-eb3hf1lm9e 2 месяца назад
Jmn kweli Askari mlinzi wa raia na mali zao Leo ndo anafanya ujinga huu kweli
@allymsafi1716
@allymsafi1716 2 месяца назад
Nime muona msaidizi mpya wa makonda aliye toa story ya necodemas na babu
@gabriellaizer9925
@gabriellaizer9925 2 месяца назад
Yeye aseme anae uza sio mmiliki halali
@reganshayo5662
@reganshayo5662 2 месяца назад
piga kazi baba
@JumaAthuman-bk6hx
@JumaAthuman-bk6hx 2 месяца назад
NYOOSHA BABA TAKATAKA NI NYINGI SANA.
@aminahashim6882
@aminahashim6882 2 месяца назад
😊b
@salumjuma3152
@salumjuma3152 2 месяца назад
Duh hatari sn watu wezi kuliko maelezo
@sonnyr1899
@sonnyr1899 2 месяца назад
Piga spana Mze Baba
@user-lz3yl4yb5v
@user-lz3yl4yb5v 2 месяца назад
Dah! Hiy nizuluma ya mchana kweupe kamuona huy bib mnyonge pia hana elimu msaidieni huy bibi
@hassanhancha1413
@hassanhancha1413 2 месяца назад
Tiki Tv kuwa makini na hizo headling zako
@adelinabaitu3291
@adelinabaitu3291 2 месяца назад
Jamani laki tano kashafungua biashara kwenye nyumba ya mtu
@user-uf6oe3qi6v
@user-uf6oe3qi6v 2 месяца назад
Huo sio mkataba umesha kufa miexi 22 ni miaka mingapi?
@user-yd1pc8uy8x
@user-yd1pc8uy8x 2 месяца назад
Kwa nini matatizo yamekuwa mengi hivi tanzania?
@nicolasaugustino8449
@nicolasaugustino8449 2 месяца назад
Matatizo ni mengi kwa kuyasemea hakuna
@gabriellaizer9925
@gabriellaizer9925 2 месяца назад
Wakili wa pili anafanya siasa Unasema mkataba batili alafu anasema haujathibitishwa na Wakili so stupid alafu unakuja kusema aitwe aulizwe kama anataka kilipa au La kama halipi mkataba uvunjwe
@mgayamgaya
@mgayamgaya 2 месяца назад
AYUBU malipo duniani, ashaniwekaga ndani bila kosa la msingi
@charlesmakuri792
@charlesmakuri792 2 месяца назад
Mmmmm kuna mtu anataka hilo eneo
@kristofuraha3369
@kristofuraha3369 2 месяца назад
Sasa mkuu wa wilaya kazi yake ni nn?!
@MOHAMMEDABDI-lb7yp
@MOHAMMEDABDI-lb7yp 2 месяца назад
Hata police jamani
@user-yv7xg4em4s
@user-yv7xg4em4s 2 месяца назад
Wameru lkn mnageukaga watu
@magorymara5515
@magorymara5515 2 месяца назад
Siyo kwa makataba huo ambao ni kandamizi
@fredykephacy5166
@fredykephacy5166 2 месяца назад
magufuli
@habibabarker1644
@habibabarker1644 2 месяца назад
Moto wa Jahanamu upo na mtapata vizuuuriii
Далее
MUWEKEZAJI MKUBWA AMVUNJA MBAVU RC MAKONDA, SEMA UNA..
18:49