Тёмный

#PRESS 

Yanga TV
Подписаться 622 тыс.
Просмотров 37 тыс.
50% 1

#DaimaMbeleNyumaMwiko #TimuYaWananchi

Спорт

Опубликовано:

 

1 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 91   
@maestrokiss7245
@maestrokiss7245 15 дней назад
Nilikuwa naisubiri hii maana niliikosa ya LIVE. Ahsante Media team😊
@khadijajuma6271
@khadijajuma6271 15 дней назад
😂😂😂😂 haitajiii D mbili hiyo, uwe na fagio pamoja na kidumu 😂😂😂😂 Ali kamwe 🙌🙌🙌🙌🙌 nimechekaa kwa sauti hukuu
@user-rf3fg4xn4n
@user-rf3fg4xn4n 15 дней назад
Karibu mwenye nyuma apo....Duh ali kamwe bhan
@JacksonFrances
@JacksonFrances 15 дней назад
Moja Ya Chama La Mpira Linakua Kwa Kasi Sana Barani Africa, GOD BLESS YOUNG AFRICA FOREVER "
@Sumaiyafisoo
@Sumaiyafisoo 15 дней назад
Hongera semaji Ali kamwe 🎉🎉🎉
@salummaulid6252
@salummaulid6252 15 дней назад
Ali Shaaban Kamwe, Akili nyingi Sana mtu wangu 🙌🙌🙌
@ShabanPaschal
@ShabanPaschal 15 дней назад
Hivi hawaogopi😱😱😱😱😱
@minazsaid2470
@minazsaid2470 15 дней назад
Yanga Oyeee
@JacksonFrances
@JacksonFrances 15 дней назад
😂😂😊😂😂 Mambo Ni Mengi Muda ni Mchache Dunia inakwenda kwa Kasi Sana "
@paraxedjoseph5174
@paraxedjoseph5174 15 дней назад
Kuna watu wapo kijijini huko nilikuwa nakuomba kiongozi wetu tutafute namna ya kuwafikia
@user-np4om6hz4m
@user-np4om6hz4m 15 дней назад
Nawapongeza viongozi namna ya utoaji wa habari kutu rahisishia habari❤❤
@bennyteve3871
@bennyteve3871 15 дней назад
Tupo pamoja sanaaaaa yanga damu
@MWALIMUCHAKATV
@MWALIMUCHAKATV 15 дней назад
Sisi tulio nje ya mipaka ya Tanzania, watanzania tulio nje na pia wapenzi wa Yanga wasiokuwa Tz, tuweseje kupata taarija za timu yetu pendwa. Tunataka yanga habari pia. Ebu jamani fanyeni kitu
@user-xy9nm3lx5x
@user-xy9nm3lx5x 15 дней назад
Ni kweli kuhusu msiba wa yusufu manji ni msiba mkubwa sana kwetu sisi wanayanga.
@Producerfadybeats
@Producerfadybeats 15 дней назад
Akili kubwa🔥
@shalalishalali3101
@shalalishalali3101 15 дней назад
Na ikubali sana hii club,ni wabunifu hatariiii
@fredylucas2484
@fredylucas2484 15 дней назад
huyu Njiti ana matusi sana Salehe Jembe aje hapa
@angelmisholy6478
@angelmisholy6478 15 дней назад
😂😂😂
@AliMassude-qk7zl
@AliMassude-qk7zl 15 дней назад
Hongera raisi bora wa wananchi, dar, young africans sc, ing, hersi saidi, nakutakia kili la kheri, yanga oyeeeeeeeeee! Makame salum (kipa mstahafu) pande za kiromba chini nanyamba mtwara tz
@bakarimahenge
@bakarimahenge 15 дней назад
Nipo zanzibar jumbi mm nimesha jiunga
@JacksonFrances
@JacksonFrances 15 дней назад
Makolo Wanapitia Kipindi Kigumu Sana Hamna Namna inabidi Wahame nae Chama japo ni Ngumu Kumeza, Waje Tu Sisi Tuanawapokea Makolo...
@shaibusaady2420
@shaibusaady2420 15 дней назад
Allaah Akbar
@thomasmn2723
@thomasmn2723 15 дней назад
Mimi niko Indonesia ni jinsi gani naweza kunjungan?
@muddymuzungu4357
@muddymuzungu4357 15 дней назад
Unamaanisha nn KUNJUNGAN?? Au umekosea😢
@FatumaShabani-mp9vt
@FatumaShabani-mp9vt 15 дней назад
​@@muddymuzungu4357😅😅😂😂😂 kujiunga kakosea
@muddymuzungu4357
@muddymuzungu4357 15 дней назад
@@FatumaShabani-mp9vt fatuma usichekeeee😀😀😀😀😀nisaidieeeee
@LameckSichimata
@LameckSichimata 15 дней назад
Mtatu koma mwaka huu 😂😂😂
@MgetabarakaBukori
@MgetabarakaBukori 15 дней назад
Bila D 2 huwez elewaa😅😅
@abdallahrashid2899
@abdallahrashid2899 15 дней назад
Bado magazeti ya yanga😂
@jumashedafa
@jumashedafa 15 дней назад
Magazet kwa sasa ni biashara ngum na ndio inaend kutowek yan wangejitahid soon as possile wakafungua radio...wakapata pesa kupitia kutangaza matangazo ya wadhamin mbalmbali na kupitia youtube ktk kuckiliza radio hili ni kubwa zile billion 24 radio inawez kutupa ata billion mbili na kuendelea kwa mwaka na ata wadhamin kwa mf: Crdb, Sport pesa nk akitaka atangazwa pia ktk radio lazima aongez kiasi kwa ajili ya radio na si vinginevyo
@jacksonlyimo1491
@jacksonlyimo1491 15 дней назад
Paraaaa pitia na hapa😂😂😂😂 daaaah
@NelsonMatambo-ob5zm
@NelsonMatambo-ob5zm 15 дней назад
Yangaaaaa
@rajabrwambow9660
@rajabrwambow9660 15 дней назад
Mzee kamwe atapata presha kwa mtoto huyu😂😂😂
@user-bq6iy1zb8h
@user-bq6iy1zb8h 15 дней назад
Jee watu wa u s a watalipa vip bro
@salumchoma8731
@salumchoma8731 15 дней назад
Khaaa karatasi16 na Bado alikuwa anataka kuendelea kupiga dolegumba hii kali
@mudyAlly-yv8qg
@mudyAlly-yv8qg 15 дней назад
❤❤❤❤❤❤yang chama kubwaaaa
@ntanilanjema04
@ntanilanjema04 15 дней назад
Daima mbele nyuma mwiko 🔥🔥
@IsayaTweve
@IsayaTweve 15 дней назад
Leo ni Dube tunampokea
@user-em2sd9tm1n
@user-em2sd9tm1n 15 дней назад
Wara mumetisha sana chama langu
@BarikiMlengu
@BarikiMlengu 15 дней назад
Hii app haieleweki kabisa
@mudyAlly-yv8qg
@mudyAlly-yv8qg 15 дней назад
yang rahaaaaaa❤❤
@Sunshine0222
@Sunshine0222 15 дней назад
😮
@Ktz-kr1nk
@Ktz-kr1nk 15 дней назад
Akili mingi 🎉🎉
@JohnMagessa-nw3qs
@JohnMagessa-nw3qs 15 дней назад
Apo ally kamwe aunabaya na yanga yet niwatakie maandalizi memaý
@law93king
@law93king 15 дней назад
😅😅
@JofuJafet
@JofuJafet 15 дней назад
Ok
@AliMassude-qk7zl
@AliMassude-qk7zl 15 дней назад
Pongezi kwako meneger wa habari na mawasiliano wa wananchi, young africans.
@Sumaiyafisoo
@Sumaiyafisoo 15 дней назад
Tuchangie tim
@johannmaloda6027
@johannmaloda6027 15 дней назад
Makolo ya pale EFM yanatapatapa😅😅😅
@GilbertRashid
@GilbertRashid 15 дней назад
Pamoja
@ignaskalembe4198
@ignaskalembe4198 15 дней назад
Safi kabisaaaaaa
@martinabel3896
@martinabel3896 9 дней назад
Eng chonchonde msije mkasahau kusajiri mbadala wa aucho, maana tumekosa kombe la shirikisho sababu aucho hakucheza, pia tumemkosa mamelodi sababu aucho hakucheza
@veelmng7746
@veelmng7746 15 дней назад
Hiyo apps ukiwa USA haifanyi kazi, please fanyia kazi hizo apps zimefanye kazi kimatiafa , kuna mashabiki wengi sana nje ya Tanzania
@FrenkEliaKafene
@FrenkEliaKafene 15 дней назад
Wananchiiiiiiiiiiiiiii
@moiseszacariasmoisesmoises
@moiseszacariasmoisesmoises 15 дней назад
sasa kama upo nnje ya nchi?
@user-yk7ff9ks6q
@user-yk7ff9ks6q 15 дней назад
Tuisapoti klabu yetu
@petrochikawe1797
@petrochikawe1797 15 дней назад
Yanga raha san
@MonahMosafiri
@MonahMosafiri 15 дней назад
💛💚💛💚💛💚💛
@ziadaidrisa16
@ziadaidrisa16 15 дней назад
Usajl wa mwaka mmoja. Simba ipo na itabaki kuwa simba. Kulkuwa na Okwi na ndo kafnya makubwa. Aende tuu
@goodluckabdul7316
@goodluckabdul7316 15 дней назад
Mbona inagoma
@CharlesNdaki-mb5kt
@CharlesNdaki-mb5kt 15 дней назад
Ndiyo munaifunguwa saa 3 usiku
@user-yk7ff9ks6q
@user-yk7ff9ks6q 15 дней назад
Mbona halotel haikubal
@janiafaomaa5120
@janiafaomaa5120 15 дней назад
huyu kijana wetu alliy kamwe ana poteza madili ya yanga nazani rais wa yanga ana takiwa alijuwehili hata siku tatu hazijesha aliekuwa muwasisi wayanga manji amefiriki dunia siku ileile alliy kamwe anaigiya mitaani nakufaya sherehe jee masalani jambo hili linge tokea kwa kharibu gsm agefayahivyo sisi tuko huku marekani tumesikitishwa sana yanga ipo chama yupo hakunashida
@LimseyMassawe
@LimseyMassawe 15 дней назад
Acha ujinga.....kwani hukuona kitambaa Cheusi walivyofunguka mkononi kuonyesha majonzi???!! And by the way manji sio main sponsor sasaivi ila wamemuenzi vizuri tu as a club!! Club activities lazima ziendelee, tusipotembea na huu upepo wa chama mapato yatatokea wapi na wewe upo huko marekani ata card ya uwanachama wa msimu uliyopita..... haujalipa, na msimu huu haujalipa???.....Manji tulimpenda ila Mungu kampenda zaidi, alale mahali pema peponi🙏
@PabloPembe-ne7oy
@PabloPembe-ne7oy 15 дней назад
Ww naww umetokea wapi nanu 😅😅😅😅
@ellyelly9069
@ellyelly9069 15 дней назад
Wee nawe ndim uko marekan ya buza
@user-ht5tc5yv5t
@user-ht5tc5yv5t 15 дней назад
App yenyewe inasumbua kulipia toka juz nahangaika inakataa, mkitumiwa msg watsap hamko online 😢😢
@shaibujuma6618
@shaibujuma6618 15 дней назад
Hiii kubwa
@kidawajuma9597
@kidawajuma9597 15 дней назад
❤❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂😂🎉
@jumashedafa
@jumashedafa 15 дней назад
Ktk kitu kingeizia mapato mno ni redio kupitia matangazo na kupitia youtube na hakuna radio naamin itaishinda yang hebu itumien hii fursa mapema
@user-po8hz7xw9j
@user-po8hz7xw9j 15 дней назад
Aloo umeongea kitu sanaa yanı noma hebu mwambieni raisi wa yanha
@user-po8hz7xw9j
@user-po8hz7xw9j 15 дней назад
Yanı redio huku youtobe itagonga sana aisee tena wawe wanatuwekea Ngoma za yanga
@jumashedafa
@jumashedafa 15 дней назад
@@user-po8hz7xw9j Ndio ivy na huend ikawa ktk top 3 ya radio zinazofanya vzur kama si ya kwanza...cz tyr fans wapo wakutosha ni wanayanga wenyew plus hao wengin ni atar
@rukiamtego
@rukiamtego 15 дней назад
Mbn alishawahi kusema kua wapo kwenye mchakato wa ilo jambo na alisema radio itakua palepale jangwani kikubwa ni watangazaji t kujiaandaa na wanatakiwa kuwa wanyanga tu..... nenda kaisikilize Face to Face ya kishamba TV aliyohojiwa semaji aliyaeleza yote hayo
@jumashedafa
@jumashedafa 15 дней назад
@@rukiamtego saw nakubalian nawe ila wanalichelewesha mno... Nilitaman kuckia leo baada ya yanga habar nickie kwanza uzinduz wa radio cz hii itaingiza kipato zaid kuliko hii Yanga habar
@Sumaiyafisoo
@Sumaiyafisoo 15 дней назад
149.04#
@TunguIzengo
@TunguIzengo 15 дней назад
Namna iyoo
@fadhilisule
@fadhilisule 15 дней назад
eti pitia na apa ila kamwe wewe ni mkeraji haijapata tokea
@upendoomary1921
@upendoomary1921 15 дней назад
Tayari unasubili habari
@EmmanuelMulenga-bc7bj
@EmmanuelMulenga-bc7bj 15 дней назад
me nipo zambia nafanyaje
@davidobonyo7558
@davidobonyo7558 15 дней назад
Daima mbele nyuma mwiko
@amaniomar1755
@amaniomar1755 15 дней назад
Mwamba huyu hapa
@odilomwakamela4889
@odilomwakamela4889 15 дней назад
Kadi ya wanachama naipataje na kwa ghalama kiasi gani ?
@fredylucas2484
@fredylucas2484 15 дней назад
Tshs 29000 mnunulie na mzee Shabani Kamwe 😂
@odilomwakamela4889
@odilomwakamela4889 15 дней назад
Ninatakiwa kuwa na kitu gani kingine nje ya hiyo 29??
@fredylucas2484
@fredylucas2484 15 дней назад
@@odilomwakamela4889 kitambulisho
@fredylucas2484
@fredylucas2484 15 дней назад
@@odilomwakamela4889 ingia kwenye website ya Yanga utaona kila kitu. Ukitaka kua shabiki ni shs 17000
@lydiadaudi4076
@lydiadaudi4076 14 дней назад
We uko Tanzania au nchi gani? Kama uko Tanzania nenda CRDB au NMB na hiyo pesa utapata kadi. Au ulipo hakuna tawi la wanayanga? Mbona ukienda viongozi watakusajili
@MchanaLive
@MchanaLive 15 дней назад
tumekusoma kaka
Далее
🏟️👋 Welcome to your new home, Kylian Mbappé!
00:14