@@bnyangomahii si ni mtandao wao TRC, wajibu hapahapa, halafu mtandao wao wa intaneti hawaweki maelezo ya msafiri wa SGR ili asafiri anahitaji afanye nini, kwa mfano mabegi yamezidi uzito au kama kuna toroli station ya kubeba mabegi kama airport.
uyu jamaa wa ng,ombe yupo theoretical na porojo hizo hizo kila siku ambazo kila mtu anazijua embu tuongee vitu ambavyo vina impact sio ivyo ivyo anavyoongea mkirugenzi na yeye anaongea ivyo ivyo