Machogo wasio na akili wanawatawala wasio na chogo tena wenye akili.Yaani asie na akili anamtawala mwenye akili,hii imekaa vizuri. Kwa uchunguzi wangu Matahira wengi hawana vichogo. Badala ya kujenga hoja za msingi unadhihirisha udhaifu wako pole.
Yaani nyie Wazanzibari mtamuua bure huyu mama mzanzibari mwenzenu.Fikiria hapo alipo anapambana na sakata la bandari tena mnamletea sakata la Muungano!!! Kwa akili zenu mnadhani mnapambana na Watanganyika kumbe mnapambana na mzanzibari mwenzenu
Unasema hamtaki kujua kama mkataba wa Bandari ni mzuri au ni mbaya..Hii inaonyesha Wazanzibar hawana uchungu na mali za Tanganyika na ndiyo maana Samia anagawa bandari zetu kwa Waarabu. Na sio bandar za Zanzibar kwa sababu anauchungu nazo. Kwa hiyo kila ni wajibu wa kila Mtanganyika mzalendo kuhakikisha bandari zetu za Tanganyika zinarudishwa. Ni aibu kwa chama cha CCM kuzunguka nchi nzima bila aibu kuwadanganya na kuwalaghai Watanganyika kwa kutetea ugawaji wa bandari za Tanganyika kwa Waarabu. Kumbuka Muungano ukivunjika Samia atarudi kwao Zanzibar bandari zao zitakuwa salama na za kwetu atakuwa amezigawa. Hii ni aibu kubwa kupata kutokea duniani .
Unajua hizi hongo au rushwa ni mbaya sana,sasa Juma Duni Haji anasema;Kuna watu wanakataa Warabu kupewa Bandari wakati Bandari ya Bagamoyo walitaka kumpa Mwarabu,hayo ndio maneno ya Duni,sasa tumuulize;Nani anataka Bandari zetu wapewe Warabu bila ya utaratibu wa maana na mikataba ya hovyo.?Tunataka mikataba yenye tija na yenye kuleta manufaa kwenye nchi yetu,hatuwakatai Warabu wa Dubai kwa Uislamu wao,tunawakataa ulaghai wao kwenye mkataba wa bandari zetu.
Unaposema munakataa ulaghai wao!ni Sawa lkn sio Kwa domo Tu tuonesheni huo ulaghai walioufanya ni you na ktk kipengele gani cha makubaliano!sio kusikilizia maneno ya Maoadri na wanasiasa Tu,na kuhusu uladhai hao wanaopiga domo ndio walaghai wakubwa hapo bandarini maana wanatumia Bandari Kwa udhsifu wake na kupitisha mizigo Kwa kutumia nembo ya Kanisa bila kulipia ushuru na ndio unawaona Mapadri wamesimama imara kukosoa bila ushahidi wa wanalolisema kwasababu watakosa maslahi Yao,kwani ikiwa hao DP World watapewa kazi ya kusimamia Bandari hawatajali Kanisa wala Mskiti au kiongozi kuitumia Bandari Kwa kukwepa ushuru na hapo ndipo penye utata Kwa wapiga domo la kupewa bandari,sasa wanatoa dia na kulinasibisha na Uarabu!mara wengine kubadilisha na waislamu.Na tujiulize kwanini wakatumia neno Uarabu?na wasitumie neno DP World?maana hiyo ni Kampuni inayotoka Dubai!sasa walitegemea Dubai waweko Wachaga na Wanyakyusa?na pia kujuwa Hawa Wana Lao ktk maendeleo hayo yajayo ktk Bandari,pia wakambagua Rais na Waziri wa sekta hiyo kuwavua Utanzania wao na kuwabandika Uzanzibari!kama vile Baraza la Wawakilishi Zanzibar limepitia na kuridhia mkataba huo uliopitishwa na Bunge la Tanzania na mwanasheria wake!na pia Hilo Bunge Lina wajumbe wanaozidi Mia tatu(300)na Wazanzibari hawafikii hata Mia moja!sasa vipi leo Washutumiwe Wazanzibari wawili juu ya hili?kwani nchi hii inaongozwa na amri ya Rais? au Waziri?au Wazanzibari ndio Wana maamuzi ya hili? Wakristo wacheni chuki,tunajuwa hamuwezi kuacha Hilo lkn fanyeni kificho kidogo!na wala musione kwamba hayo munayoyafanya hatujuwi la hasha tunajuwa mengi lkn Sisi ni wavumilivu Sana ,lkn uvumilivu Una kiasi chake!
Kwanza mshukuru wazanzibar mshukuru muungano. Ukiona mmeuvunja mjue mtaingia kwa passport kama Mtanganyika anavyoingia kwenu mpaka awe na passport. Tumewavumilia sana. Mlipaswa kushukuru muungano Kati yanchi yenye watu m.60 na nchi yenye watu milioni 1 halafu mnagawana mapato Sawa.
Kama hii bandari haiwahusu mbona faida inayopatikana gawio pia hupelekwa Zanzibar!! ?? usilete mambo ya udini na Uzanzibar hapa hoja ni mkataba wa wizi na rushwa!!
Lakini huko bara nyie ndo mnamuita Samiya Rais 'Mzanzibari'. Na viongozi huko wanasema wazi kuwa Wazanzibari yaani Rais na waziri wake wanauza bandari ya Watanganyika kwa mwarabu. So usiseme uongo hapa. Tatizo ni UZANZIBARI na udini pia ndo u awasumbueni Watanganyika.
Kuna ubaya gani kuja waarbu NA pesa zao kufanya anagalao mwarabu kuliko kuja wengreza au myahudi waarabu sio wabaya wala hawana chuki NA wa africa lakini waarabu hawajui wala hawaelewi kwamba wanachukiwa hao vijana wa dobai wanaelimu wanapenda kufanya kazi tu kote duniani sio tanzania tu NA kila mahala wanakaribishwa huko uarabuni vijana wengi sana wanafanya kazi kwa amani NA usalama bila ya ubaguzi
Historia ya ACT WAZALENDO ILISAJILIWA WIKI UCHAGUZI MKUU UKO MBELE GARI NYINGI MAJIMBO YOTE WALISIMAMISHA WABUNGE WAO. UMOJA WA CUF MAALIMU,DUNI MWENZA,NA CHADEMA LOWASA.MLIPATA WABUNGE WENGI LEO.DUNI MAALIMU SEIF,MNAJIUNGA NA ACT?ILIYOPEWA MSAADA NA......KWELI MKO SALAMA?
Siasa za lawama ni laana tupu. Kabla ya uhuru tuliwalaumu wakoloni kuwa ni chanzo cha shida zetu. Haya tukapata uhuru. Lawama zimeendelea kwa vyama vyetu. Sasa lawama zinaendelea kila upande dhidi ya mwingine kati ya Tanganyika na Zanzibar. Kati yao dhidi ya Muungano. Ni lawama politics
Chakufanya mwambieni au mlazimisheni atengue kiapo na kuvunja muungano ili muwe huru kama mnavyodai. Na kwa vile yeye ni rais, maana yake yeye ndo kila kitu. Na asipofanya hivyo, basi mjue huyo ndo msaliti wenu namba moja na si Watanganyika
Fella if you don't get keep Quiet instead of looking for a solution everyday complain complain this why African we are behind selfish Religious we don't think big we think ccm or other political part same boat.
Unavoona wewe kwa vile na wewe ni mjinga unafkiria watu wote ni wajinga kama wewe, respect ujinga wa watu kama wewe ndio ulowafikisha hapo mlipo mkajikuta mko pending mpaka leo hamjijui ni watu wa wapi sie unaosema ni wajinga tunajijua ni nani ni wazanzibari na wewe unatujua ni nani ingawa wewe mwenyewe hujijui
Tumchukuwe Sisi kwani ndio tuliomuweka?kama ni kumchukuwa chukuweni nyie halafu muweke Bibi yako wewe mwenye msalaba na kichwa wazi akiwa amevaa kimini mapaja nje!
@@FarhatSeif-p3t Mwinyi . Mkapa na kikwete ndio wametufikisha hapa. Waluza rasilimali zetu kwa wageni sasa Samia nae anauza bandari swala na hoja kubwa ni bandari au rasilimali zetu kuuzwa kwa wageni na hakuna chochote Zanzibar au Tanganyika inafaidi watu tunaishi kwenye halli duni Tanganyika na Zanzibar tusijigawe tuungane tupiganie uhuru wa kiuchumi pande zote huyu MZEE anatugawa hii haitasaidia kiuchumi. Umoja ni nguvu utengano ni udhaifu.
Kwa vile wewe ni mtoto mdogo sana ndio maana hujui unachokiongelea sababu ya huo muungano hasa ni njaa yenu ndio Mwalimu wenu alikopa sana znz mpaka akaona atashindwa kulipa ndio akafanya ujanja wa huo muungano feki ili aendelee kula pesa zetu na le deni alipotezee asilipe na kumpoteza Rais wetu ili kuuwa ukweli na hata hati ya muungano wenyewe hakuna mnaendelea kutuibia mpaka leo tumechoka na muungano wenu feki mkatuunga sisi nyie mkapotea kizani muko wapiii mmepotea kizani miaka 60 ndio mnaanza kuona mwangaza sasa poleni sana karibuni kwenye mapambano
Sisi pia tunawafikiria nyinyi mna umasikini wa kufikiri kama ni mikataba mibovu ishapita mingi sana na mlikaa kimya hatujawahi kuwasikia mkicomplain mnapambana na njaa zenu na mikataba inaendelea kulisha wachache sisi haituhusu hiyo yoote mnayoongelea nyie unaotuhusu ni mkatakaba mbovu mmoja tu nao ni wa muungano sio mwengine na huyo ndio mama wa hiyo mnayoongelea nyie leo mlipozinduka baada ya kuzimia miaka 60 ya mnaoita uhuru
Nusu ipi mkuu unayozungumzia? Rais haungwi mkono na Waumini wa dini yoyote maana anawakilisha CCM wala siyo Uisilamu wala Ukiristo. Kuweni makini sana na udini,maana tukianza kuchagua kiudini hatutatoboa. Kuhusu muungano nakubali mapungufu yapo. Kikubwa viongozi wakae chini kutatua tatizo. Ni raihisi sana. Wakiamua na tukabakia wamoja zaidi ya zamani.
Jinga kabisa ili. Visiwa vina mafuta www unafanisha na punda milia... Unafanisha bahari kuu na mappri!! Au hujui kama TANGANYIKA haina bahari kuu bila meli kupita zanzibar haifiki uko. Unafanisha katafuu na korosho VUTU wewe kwa zahabu ina kazi gani zaid ya kujipamba