Тёмный

Serikali yaingilia kati mgogoro wa familia ya bilionea Msuya 

Azam TV
Подписаться 2,8 млн
Просмотров 58 тыс.
50% 1

Mkuu wa wilaya ya Arumeru, Jerry Muro ameimngilia kati mgogoro unaofukuta kwenye familia ya mfanyabiashara Msuya aliyeuawa mwaka 2013 huku kukitajwa kuwepo mvutano unaohusiana na mgawanyo wa mali zilizoachwa na marehemu.

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 61   
@mohamedkongoroka4708
@mohamedkongoroka4708 5 лет назад
kiuikweli hata Mimi nimeshangazwa sana kwanza mheshimiwa muro hongera sana kwa hilo ukiangalia hapo hao ndugu utagundua kitu angalia wanavyojikanyakanyaga mheshimiwa utagundua wazi kua hao ndugu hasi bibi na babu kuna wanalo lijua kutaka kuwazurumu watoto mali zao,,huyo bibi sio povu linamtoka hata hana aibu kwa mali sio yake kwanini asigombanie mari ya mme wake hao watoto wanaweza wawauwe nao ili wabaki na hizo mali,,,cha msingi mheshimiwa na sekikali yetu ya magufuli mpiga kazi jiwe,,mtoe amli hao watoto mmojawapo akizulika au kuuwawa wakamateni hao bibi na huyo babu weka ndani pumbaphuuuuuuu,,,,ikitokea mmoja kati watoto hao ikifa muwakate hao na ndio wanajua sili yote ya vifo vyo waliotangulia,,
@SabinaMwanshinga
@SabinaMwanshinga 7 месяцев назад
Kweli nimeamini .Hali ya mtu haipotei ila inacheleweshwa tu..watu wamevuta mpunga Bado wanangu"ang"ana na Mali za marehemu.Ama kweli utu umekwisha imebaki unyama.Hatimae hali imetendeka..ushauri wangu Familia wawekewe ulinzi.
@joycekaje8755
@joycekaje8755 2 месяца назад
Wakwe na mafifi jamani ogopeni, Mungu,,PESA NI NINI ,MTAKUFA MTAZIACHA
@Alicemsafiri
@Alicemsafiri 7 месяцев назад
Yaan ningekuwa mimi msingepata ata shingi mia milioni mia 5 na kitu bado mnaidandama family na awo mashangazi wakatafute zao alfu waume zao. Wafe kama watatoa ulithi. Kwa wakwe
@fettykimaro3430
@fettykimaro3430 5 лет назад
Jamani mama wawatu alioko magereza atolewe tu sio haki inavyoonyeshwa kesi itakuwa imetengenezwa
@sarahmselle8562
@sarahmselle8562 7 месяцев назад
Huyu mama n kabila gan maana 😂😂😂 yuko vizuri ataki mchezo
@frankmosha5854
@frankmosha5854 5 лет назад
Mmmmmmm omba yasiikute familiar yako lakini pia namuona mama mzazi WA msuya Hana mshahuri mzuri awezekani kufuta uzao wako kwa sababu ya mali mama kumbuka mungu anakusikia nasijui utaenda wapi kutubu hio Dhambi Mali Kweli ipoteze uzao wako kanakwamba una maumivu yeyote juuu ya kifo cha mwanao muongope mungu
@sajithaoman4633
@sajithaoman4633 5 лет назад
Inaonyesha ata yureh muke wamarehmu hiyo kesi alibabikizwa kwa kutaka mari
@sorenlandon7165
@sorenlandon7165 3 года назад
Pro trick : you can watch series on flixzone. Me and my gf have been using it for watching all kinds of movies recently.
@finnegandylan800
@finnegandylan800 3 года назад
@Soren Landon Definitely, I've been using Flixzone} for years myself :D
@alexzandernathaniel4451
@alexzandernathaniel4451 3 года назад
@Soren Landon yup, I have been watching on Flixzone} for since december myself :)
@naimanurdin2846
@naimanurdin2846 5 лет назад
Najua wazazi wapate urithi vipi hawa dada zao nao urithi unakujaje?jamani haki ifatwe hata kama watoto wana kazi zao wapewe haki ya baba zao
@africanhappyadventure6951
@africanhappyadventure6951 5 лет назад
Yaaani Huyo Bibi,Babu na Mashangazi inaonyesha wanalo jambo Wahuni tuuu..
@mlasinyongolo3256
@mlasinyongolo3256 5 лет назад
Baba wa Yatima , uzidi kuwatetea Wanyonge.
@jenyyusuph4973
@jenyyusuph4973 5 лет назад
Eeeeee hizo Mali hatari baba kauwawa Dada wa baba kauwawa hivi mtaenda nazo kaburini mbona hivyo aaa NCHI NA VYOTE VIUJAZAO ULIMWENGU NI MALI YA MUNGU baada ya mali kunamaisha mengine
@abellmainge1023
@abellmainge1023 5 лет назад
Kwakwel rais magufuli usinyamaze kwa hili, watoto yatima wananyanyasika na wewe upo.?????
@gitu4me
@gitu4me 5 лет назад
Intelligensia chunguzeni huyu baba msuya na mama msuya mawasiliano Yao toka mwaka mwezi WA pili mwaka 2012 Tena huyu mama anaonekana ni muuaji na katili Kweli wajukuu zako Hawa a thamani wewe unatizama pesa mbele. Huenda mkahusika kumuua mtoto wenu msuya ili mpate mali
@gaudinamosnchobe4909
@gaudinamosnchobe4909 5 лет назад
Duh mama na wanawe awataki wakwe waguse pale Sasa kama wosia iliandikwa na marehemu na akasema na wazazi wapate basi inabidi wapate wanachositaili najua mke wake marehemu itakuwa apendi ao wazazi wapate mgao aya ni mambo ya kukaa chini na kuyamaliza Ila na nyie wazee mtulie ii mali sio yenu mate mnachositaili izo mali azitawafikisha popote mtakufa mtaacha
@sarahmselle8562
@sarahmselle8562 7 месяцев назад
Mke wa marehem ata hakuwepo alikuwa jela,wakwe walivyoona hivyo ndo wakaanza mchakato wao,wakafunga nyumban hiyo unayoiyona na mali zingine kama mashamba...
@monicamandai3875
@monicamandai3875 7 месяцев назад
Ila uyu firstborn Mungu Amtumze Wasije muua
@revolutionmovementchannel9957
@revolutionmovementchannel9957 5 лет назад
Washenzi kweli hawa
@yunusabdulwallace3801
@yunusabdulwallace3801 5 лет назад
Nyie wazee katafuteni nanyie Mali zenu acheni kuwadhulumu watoto.kwanin hamridhiki na hicho mlichopewa? Pumbavu sana Mimi ningekua huyo kijana tungefikishana mbali na msingepata senti mojaa
@nyabahailani3169
@nyabahailani3169 5 лет назад
Wewe bibi mzee pumbavu nawe utakufa tu waachie watt mali yao huna akili ww na mzee mwenzio yaani mungu awalaani kabisa" Jerry naomba uamue
@emanuelmushi6878
@emanuelmushi6878 5 лет назад
Sjawaisikia eti Mali za kaka zigawiwa familia nzima!labda kama mhusika alishaekekeza ivo kabla'alaf uyo bibi anataka kusimamia Mali za wajukuu kwa nguvu kwani mama atakaa magereza milele?
@jeremiahmollel5583
@jeremiahmollel5583 4 года назад
Yaani huyu mama utadhani hajazaa kweli nidhambi sana kuwadhulumu yatima Ee Mungu fanya njia kwa hawa watoto na mama yao Ee baba wa mbingu na nchi
@zuhurambonde7599
@zuhurambonde7599 5 лет назад
Mzazi akifariki hasa mwanaume familia zinagombea Mali kama ajaacha watoto bora ufe maskini maana Mali inaleta shida
@stn4873
@stn4873 2 года назад
Kifo cha Maskini huwezi kuona haya.
@farajalaizer4669
@farajalaizer4669 5 лет назад
Damu ya yesu iwalinde
@paulabelleghe451
@paulabelleghe451 7 месяцев назад
Dah ndoa na vifo mitihani
@abdallahmuttaq7306
@abdallahmuttaq7306 5 лет назад
Chikamoo arachuga linapofikia swala la coins
@amnaalshabani2777
@amnaalshabani2777 5 лет назад
Kazaneni vijana mrithi haki zenu baba shangazi wabaya sana kwa mali
@missmoona4497
@missmoona4497 5 лет назад
Wachaga shikamooo vinawatoa roho mali za watt mwenyewe alitafuta kwaajir ya watt wake sasa bib babu madada vimekuwa vyenu mnawasahau watt loooh achen tamaa nanyi mtaziacha kama alivyoziacha marehemu erasto msuya
@rodasanga1312
@rodasanga1312 5 лет назад
miss moona hawa ni wapare wachaga wana akili
@cyrilkimaro4728
@cyrilkimaro4728 5 лет назад
Wapewe kipaumbele watoto au walikuwa wanaomba hicho kifo ili wawanyase watoto? .
@andrewaneriko3103
@andrewaneriko3103 5 лет назад
Hivi hao ndugu wanamatatizo gani siwatafte zakwao.alitafta kwa manufaa ya watoto wake jamani nini hii sasa jamani
@fediliaulomi4969
@fediliaulomi4969 4 года назад
Mishangazi mibayaaa
@ladysalimkabora9952
@ladysalimkabora9952 5 лет назад
Na bado hawatosheki
@yunusabdulwallace3801
@yunusabdulwallace3801 5 лет назад
Hata aibu hawana.laana ya ndugu yao itawatafuna maisha yao yote
@allydisi3656
@allydisi3656 5 лет назад
Laana ya sharifu inawatafuna hawa wajinqa ubaya wa dhulma ni hapa hapa duniani wanamalizana wawo kwa waw ASANTE MUNGU
@fransiscamatemu987
@fransiscamatemu987 5 лет назад
Ally Disi mmmh
@lameckchunda5763
@lameckchunda5763 5 лет назад
Ņguvu ya baba ni thawabu ya watoto ci wazazi kivip watake
@katalayshemndolwa3146
@katalayshemndolwa3146 5 лет назад
inawezekana chanzo chamalihizo ni za zulma ndomaana dulma huwenda kwa zulma
@mwaminimashaallahalhabibsh7992
Hapana si dhuruma marehem alikuwa mchimba madin
@philipoelias4262
@philipoelias4262 5 лет назад
HUYU DOGO (MTOTO)WA BILLIONAIRE MSUYA AMESHACHOMWA NA JUA, NDIYO MAANA ANAWEZA KUJIEELEZEA BILA HATA KUOGOPA MBELE YA SERIKALI
@geraldpallangyo7726
@geraldpallangyo7726 5 лет назад
Watu na mali za marehemu
@joseygaudence1886
@joseygaudence1886 5 лет назад
Hao ndugu wazulumati kwanin wasitafute vyao
@agnestemba8079
@agnestemba8079 5 лет назад
Ni muda wa kuwafundisha watoto kazi na kujitegemea, na kuwapa elimu basi
@Gemjvisualmedia
@Gemjvisualmedia 5 лет назад
unafikiri hao watoto hawana elimu na hawajitegemei? Ni kwamba haki ya mtu ipo pale pale kama urithi wao wapewe
@safiamasoud1328
@safiamasoud1328 5 лет назад
Mali ya baba yao ni haki yao hata km wanamiliki mamilion na wanakazi
@maidahassani1377
@maidahassani1377 5 лет назад
Mungu nisaidie nipate pesa ya kula tu hata watoto watajitafutia zakwao loh
@nshomamayungu2326
@nshomamayungu2326 5 лет назад
Nimelia machozi
@christophermlaponi534
@christophermlaponi534 5 лет назад
Ndugu wana sehemu gani katika urithi? Maana kwa uelewa wangu urithi ni kwa mke, watoto na wengine endapo marehemu atakuwa aliwapendekeza ! Sasa hapo babu na bibi washakula 200 M kila mmoja, na hao wadada 75 M kila mmoja, lakini bado wanataka vingine, mweee !!
@neemabakari7061
@neemabakari7061 5 лет назад
Jamani daaah!!!
@kenybenjiz7850
@kenybenjiz7850 5 лет назад
Mali zinawatoa Roho
@alikhamis4055
@alikhamis4055 5 лет назад
Mali ya baba inatutowa roho bora nikae pembeniiiiiii
@saumushabani1628
@saumushabani1628 5 лет назад
Umeona
@jeremiahmwasapilicharlie2926
@jeremiahmwasapilicharlie2926 5 лет назад
kutafuta atafute mwingne,,nyie mfalakane,,,,,,,, ndugu mnaboa sana ,,,,,ndugu acheni kuingilia family ,pambanen Na Hali zeni,,,et kaka hooo mwanang
@allyomari680
@allyomari680 5 лет назад
huyu dogo mjinga nakama hamuamini mtakujaona baadae huyu nimjinga anasema bibi na Babu watuache na familia yetu alivyokua mjinga hajui kama familia yao ni ya bibi na Babu yake yaani angekua naakili angeegemea upande wabibi na babu
@sarafinasinkonde9651
@sarafinasinkonde9651 5 лет назад
Aegamie kivipi wakati hao bibi zake ndo chanzo cha mama yao kufugwa na pia Bibi aliwatamkia kuwa kawatoa kwenye kitovu chake sio ndugu zake,kwani mama na Bibi yupi bora ni hari sana tu kumsimamia mama ake nani kama mama jaman
@Alicemsafiri
@Alicemsafiri 7 месяцев назад
Sara kweli unaona mama yako anadhuriwa Mari. Uengemee upandea wa bibi. Na bibi na babu wangekuwa wanahakili. Wasingewaujum wajukuu. Na kujari mathirai. Yao
@aishajumaa3430
@aishajumaa3430 5 лет назад
at a haibu hawana loo
Далее
КТО БОИТСЯ КЛОУНОВ?? #shorts
00:20
Просмотров 488 тыс.
How many can you smash?🍫 IB : Florin
00:19
Просмотров 3 млн
Mjane wa bilionea Msuya aachiwa huru
6:50
Просмотров 3,8 тыс.
КТО БОИТСЯ КЛОУНОВ?? #shorts
00:20
Просмотров 488 тыс.