Mkuu wa wilaya ya Arumeru, Jerry Muro ameimngilia kati mgogoro unaofukuta kwenye familia ya mfanyabiashara Msuya aliyeuawa mwaka 2013 huku kukitajwa kuwepo mvutano unaohusiana na mgawanyo wa mali zilizoachwa na marehemu.
kiuikweli hata Mimi nimeshangazwa sana kwanza mheshimiwa muro hongera sana kwa hilo ukiangalia hapo hao ndugu utagundua kitu angalia wanavyojikanyakanyaga mheshimiwa utagundua wazi kua hao ndugu hasi bibi na babu kuna wanalo lijua kutaka kuwazurumu watoto mali zao,,huyo bibi sio povu linamtoka hata hana aibu kwa mali sio yake kwanini asigombanie mari ya mme wake hao watoto wanaweza wawauwe nao ili wabaki na hizo mali,,,cha msingi mheshimiwa na sekikali yetu ya magufuli mpiga kazi jiwe,,mtoe amli hao watoto mmojawapo akizulika au kuuwawa wakamateni hao bibi na huyo babu weka ndani pumbaphuuuuuuu,,,,ikitokea mmoja kati watoto hao ikifa muwakate hao na ndio wanajua sili yote ya vifo vyo waliotangulia,,
Kweli nimeamini .Hali ya mtu haipotei ila inacheleweshwa tu..watu wamevuta mpunga Bado wanangu"ang"ana na Mali za marehemu.Ama kweli utu umekwisha imebaki unyama.Hatimae hali imetendeka..ushauri wangu Familia wawekewe ulinzi.
Yaan ningekuwa mimi msingepata ata shingi mia milioni mia 5 na kitu bado mnaidandama family na awo mashangazi wakatafute zao alfu waume zao. Wafe kama watatoa ulithi. Kwa wakwe
Mmmmmmm omba yasiikute familiar yako lakini pia namuona mama mzazi WA msuya Hana mshahuri mzuri awezekani kufuta uzao wako kwa sababu ya mali mama kumbuka mungu anakusikia nasijui utaenda wapi kutubu hio Dhambi Mali Kweli ipoteze uzao wako kanakwamba una maumivu yeyote juuu ya kifo cha mwanao muongope mungu
Eeeeee hizo Mali hatari baba kauwawa Dada wa baba kauwawa hivi mtaenda nazo kaburini mbona hivyo aaa NCHI NA VYOTE VIUJAZAO ULIMWENGU NI MALI YA MUNGU baada ya mali kunamaisha mengine
Intelligensia chunguzeni huyu baba msuya na mama msuya mawasiliano Yao toka mwaka mwezi WA pili mwaka 2012 Tena huyu mama anaonekana ni muuaji na katili Kweli wajukuu zako Hawa a thamani wewe unatizama pesa mbele. Huenda mkahusika kumuua mtoto wenu msuya ili mpate mali
Duh mama na wanawe awataki wakwe waguse pale Sasa kama wosia iliandikwa na marehemu na akasema na wazazi wapate basi inabidi wapate wanachositaili najua mke wake marehemu itakuwa apendi ao wazazi wapate mgao aya ni mambo ya kukaa chini na kuyamaliza Ila na nyie wazee mtulie ii mali sio yenu mate mnachositaili izo mali azitawafikisha popote mtakufa mtaacha
Mke wa marehem ata hakuwepo alikuwa jela,wakwe walivyoona hivyo ndo wakaanza mchakato wao,wakafunga nyumban hiyo unayoiyona na mali zingine kama mashamba...
Nyie wazee katafuteni nanyie Mali zenu acheni kuwadhulumu watoto.kwanin hamridhiki na hicho mlichopewa? Pumbavu sana Mimi ningekua huyo kijana tungefikishana mbali na msingepata senti mojaa
Sjawaisikia eti Mali za kaka zigawiwa familia nzima!labda kama mhusika alishaekekeza ivo kabla'alaf uyo bibi anataka kusimamia Mali za wajukuu kwa nguvu kwani mama atakaa magereza milele?
Ndugu wana sehemu gani katika urithi? Maana kwa uelewa wangu urithi ni kwa mke, watoto na wengine endapo marehemu atakuwa aliwapendekeza ! Sasa hapo babu na bibi washakula 200 M kila mmoja, na hao wadada 75 M kila mmoja, lakini bado wanataka vingine, mweee !!
huyu dogo mjinga nakama hamuamini mtakujaona baadae huyu nimjinga anasema bibi na Babu watuache na familia yetu alivyokua mjinga hajui kama familia yao ni ya bibi na Babu yake yaani angekua naakili angeegemea upande wabibi na babu
Aegamie kivipi wakati hao bibi zake ndo chanzo cha mama yao kufugwa na pia Bibi aliwatamkia kuwa kawatoa kwenye kitovu chake sio ndugu zake,kwani mama na Bibi yupi bora ni hari sana tu kumsimamia mama ake nani kama mama jaman
Sara kweli unaona mama yako anadhuriwa Mari. Uengemee upandea wa bibi. Na bibi na babu wangekuwa wanahakili. Wasingewaujum wajukuu. Na kujari mathirai. Yao