Тёмный

Simba SC 1-1 Power Dynamos FC | Highlights | CAF CL 01/10/2023 

Azam TV
Подписаться 2,7 млн
Просмотров 270 тыс.
50% 1

Simba SC imepata sare ya bao 1-1 dhidi ya Power Dynamos na kufuzu hatua ya makundi barani Afrika kwa faida ya goli la ugenini.
Hii ni kufuatia sar ya mabao 2-2 katika mchezo wa kwanza uliochezwa nchini Zambia na kufanya matokeo ya jumla yawe sare ya mabao 3-3.
Katika mchezo wa leo, magoli yote yamefungwa na wachezaji wa Power Dynamos wakianza dakika ya 16 kupitia kwa Andy Boyeli na kisha kujifunga dakika ya 68 kupitia kwa Kondwani Chiboni.

Спорт

Опубликовано:

 

30 сен 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 157   
@mfongehngwa4257
@mfongehngwa4257 9 месяцев назад
Simba you have learnt a lesson, next time don't play a friendly against your future opponents
@ashavostar1871
@ashavostar1871 9 месяцев назад
Simba mtaniuwa jamani kazeni buti maana naipenda sana simba ❤❤❤❤
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 9 месяцев назад
Hongera cn simba myama❤kwa kutinga robo this is simba na alaf namkubali cn baraka mpenja full burudani❤❤❤
@ricklandennis
@ricklandennis 9 месяцев назад
Jamani mpaka tuanze kuwatukana ndio mjue mnatuzingua, japo sisi sio makocha lakini timu ikicheza vizuri tunajua hata km imefungwa. Ila mnachofanya sasa ni ufala watu wavivu mnakabia macho timu haina mwendo mamae😢😢😢 halafu kocha unashida gani na phili maana ss tunamjua uwezo wake bwege ww
@mwanajumaraso4637
@mwanajumaraso4637 9 месяцев назад
Tuna shukur m.mungu kwa matokeo
@Japhary-sx3je
@Japhary-sx3je 9 месяцев назад
Simba wamecheza vizuli asante mungu asante boko
@jeviounipers
@jeviounipers 9 месяцев назад
Hakika. Bless you
@simonlukiko2850
@simonlukiko2850 9 месяцев назад
VZR YA NYOKO. MPIRA GANI ULE SIMBA AICHEZ HV
@collectionline6055
@collectionline6055 9 месяцев назад
Kuna simba nyingne labda
@aminata3702
@aminata3702 9 месяцев назад
Tuachage kupaka mavi rangi ,Simba imecheza hovyo
@saidmkinga5140
@saidmkinga5140 9 месяцев назад
Nimependa comment yako, unajua Mpira bro
@shijamakoye6013
@shijamakoye6013 9 месяцев назад
Simba mko vizuri nusu fainali naiona hiyooooo
@alisuleiman9627
@alisuleiman9627 9 месяцев назад
Timu imecheza vizuri isipokuwa bahati ya nafasi ndio tatizo
@chusseboywcb2808
@chusseboywcb2808 9 месяцев назад
Wanao mlaum kipa hawajui mpila
@OmaryAthuman-sf6is
@OmaryAthuman-sf6is 9 месяцев назад
Shida nikoch bwana wanacmba tunaumia kwa mpira ule ukizngatia cmba nitimu kubwa Africa masharki
@JosephSanga-ri5lq
@JosephSanga-ri5lq 9 месяцев назад
Kocha asiondokee yupo vizurii mana moto ni tumewapelekeaaa hawa mbwa ,,, alafuu hata Aly ahyal alianzaaa ivi ivi naaakachukua kombeee so 👍👍👍Simba nguvuu mojaaa
@rozinasabuni666
@rozinasabuni666 9 месяцев назад
Kwa goli la kujifunga
@athumanfuko199
@athumanfuko199 9 месяцев назад
Kabisa cha moto wamekiona sema uwanja umetubana sana.❤
@athumanfuko199
@athumanfuko199 9 месяцев назад
​@@rozinasabuni666siyo goal au
@meshackmlaki2066
@meshackmlaki2066 9 месяцев назад
John boccco
@EREVUKATV
@EREVUKATV 9 месяцев назад
Kumbe kuna mashabiki wengine wa simba ni maku sana yan kichwan hamn hata chembe ya aibu unaandika ujinga gan huu badala umshkuru Mungu unaongea ujinga
@ricklandennis
@ricklandennis 9 месяцев назад
Sasa wachezaji wamesimama km mistimu, jamani kipa afanye nn. Timu ina shida
@Ommybabaa47
@Ommybabaa47 9 месяцев назад
❤️ALHAMDULILLAH❤️🇹🇿🇦🇪
@marksammiy
@marksammiy 9 месяцев назад
Simba mnajisahau wachezaji Wala sipo kosa la kocha wachezaji wanacheza kistar Sana lazima mvurugane
@user-ii9sc7bz2k
@user-ii9sc7bz2k 9 месяцев назад
Simba naipenda pambana mungu atawalinda
@UmayyaNkya-ze3ri
@UmayyaNkya-ze3ri 9 месяцев назад
Ila mishuti mingi wamekosa wachezaji 🤣🦁🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️unyama mwingi go champions 🦁🦁🤸‍♂️
@LoniaNawakwi
@LoniaNawakwi 3 месяца назад
You gave them a run boys
@user-qr4lo5xe5l
@user-qr4lo5xe5l 9 месяцев назад
Asnt chama langu na asnt golie kwa baadhi ya mashut uliyo yadaka asante boko papa kwa kas yako🎉🎉🎉🎉🎉
@kehenguc
@kehenguc 9 месяцев назад
Hii Simba ya "Park Bus" itatuua kwa pressure, maana tia-maji-tia-maji na na come-back ya kukomboa goli kila wakati aibu yake haitakuja kusahaulika kwa muda mrefu...
@ibrahimalharthi4599
@ibrahimalharthi4599 9 месяцев назад
Simba walivutiwa na kocha Mbarazili pale timu yake Viper ya Uganda ilipoishinda Mazembe wakati kumbe Mazembe ili 7:35 kuwa taabani na mpaka leo hii bado inajikongoja
@user-gk6hr1pn7q
@user-gk6hr1pn7q 9 месяцев назад
Asante mungu timeouts
@shodristvtv6121
@shodristvtv6121 9 месяцев назад
goal tulilofungwa sio kosa la goalkeeper nikosa labiungo namabeki
@raphaelchuche6281
@raphaelchuche6281 9 месяцев назад
we kdg unajua mpr maaan kuna mbwa znamlaumu kipa wkt Pale kipa yyt anafungwa tu
@shanmlawa
@shanmlawa 9 месяцев назад
Iwe isiwe kipa nae hamna kitu
@ashavostar1871
@ashavostar1871 9 месяцев назад
Simba oyoooooo ❤❤❤
@EREVUKATV
@EREVUKATV 9 месяцев назад
Simba leo imecheza vibaya zaid katika vipnd vyote viwili yan Kipind cha kwnz na cha pili! Kuliko hata ilivochez vbya kipnd cha kwnz kule Zambia yan wamechez mpira unawez kudhan wao ndo wageni! Kwa mwendo huu msitegmee maajabu kama haya yaleo kama yanawez kujirudia
@naiellyliakimu9162
@naiellyliakimu9162 9 месяцев назад
Simba wamecheza vizur bhna
@user-ny4sv7hm8g
@user-ny4sv7hm8g 9 месяцев назад
😔😔😔 tumeshinda lakin macho yangu ni Mekundu
@MasumbukoMaulidi-wc6od
@MasumbukoMaulidi-wc6od 9 месяцев назад
Sorry 😔😔
@ibrahimalharthi4599
@ibrahimalharthi4599 9 месяцев назад
Waulizwe wachezaji bila ya shaka wao ndio hakika wanaojuwa tatizo lilipo
@JuliusMboya-sm7el
@JuliusMboya-sm7el 9 месяцев назад
Jamani wachezaji tunao tena ni Bora sana ila tatizo ni kocha anafanya sabu akiamua aendi na upepo wa mpinzani alaf kipa pia aende kabisaaaaa mbona kipa tunae mzuri tu ni lazima mzungu atudakie tutafeli mapema.
@ashaabdi4026
@ashaabdi4026 9 месяцев назад
et kama minazi😂😂🙌
@user-bd1sg6kn1h
@user-bd1sg6kn1h 9 месяцев назад
Aaaa kwagolikipa huyu hapana Simba tuta feli
@user-vg3id5xl9j
@user-vg3id5xl9j 9 месяцев назад
Simba awaja cheza vizuri kabisa watani wangu ila ongereni
@user-sx2sr6vl5v
@user-sx2sr6vl5v 9 месяцев назад
kacheze ww vizuri
@kadmc9124
@kadmc9124 9 месяцев назад
Bora mgunda.
@matombotv1507
@matombotv1507 9 месяцев назад
atukutakiwa kwenda makundi daynamo wametulazimisha kwenda makundi😅
@user-qt7dw7rx8i
@user-qt7dw7rx8i 9 месяцев назад
Kocha anajua
@selousniassa1854
@selousniassa1854 9 месяцев назад
Mimi ni Simba kindakindaki lakini kwa kocha huyu mmm! ngumu kutoboa aquater final of caf champion league aondoke na hilo shati lake la golini eti wakumwita Ayubu mmm! siopw wanu by Frank Nchimbi naipenda sana Simba lakini uzembe siupendi viongozi wa club mujitathimini hii sio pw.
@franknyaganya1453
@franknyaganya1453 9 месяцев назад
Tutajie kocha unaemtaka
@AminaRamadhani-gx8yr
@AminaRamadhani-gx8yr 8 месяцев назад
Simba mmetutia aibu kubwa,manila katuangusha naihisi bado ajapona haaa
@SaraJonathani-ko4ku
@SaraJonathani-ko4ku 9 месяцев назад
Hatuna kochaa hapAa
@saidjuma9885
@saidjuma9885 9 месяцев назад
Marking ya Simba Ni mbovu Sana
@JilbertDanifordMathayo-sn2gy
@JilbertDanifordMathayo-sn2gy 9 месяцев назад
Saivi Simba wanacheza UPUMBAVU MTUPU.
@francisjonas8973
@francisjonas8973 9 месяцев назад
Kwenye mchezo wa jana lawama ni za Coach kikosi halialibu baaada ya kushindwa kumvumilia Jian Baleke kwa dakika kama 65 ivi.
@user-uq2pz6yh3x
@user-uq2pz6yh3x 9 месяцев назад
Amna Cha kocha timu mbovu
@user-ob2ku9tq1p
@user-ob2ku9tq1p 9 месяцев назад
Huyu golikipa HAMNA kitu na kocha anazingua Robertino aondoke tuu tutafutiwe uchebe 😢😢
@husseinkonz5192
@husseinkonz5192 9 месяцев назад
Kwa kipa huyu simba tumepigwa
@mndambokilavo2502
@mndambokilavo2502 9 месяцев назад
tangu mgunda aondoke simba imepoteza mpira wake
@user-od8es5ys5y
@user-od8es5ys5y 9 месяцев назад
Aaaaah, huyo kipa wenu simba siyo
@user-zs4qz4wm2n
@user-zs4qz4wm2n 9 месяцев назад
Kocha mzawa Mgunda alud kundini
@JumaMagenda-dv5ph
@JumaMagenda-dv5ph 9 месяцев назад
Tumepigwa kwa robertinho
@walengamwamaua-ws6io
@walengamwamaua-ws6io 9 месяцев назад
Awajacheza vizuri simba, goli la kupewa
@MichaelMdolo-md8ie
@MichaelMdolo-md8ie 9 месяцев назад
Yanii Simba kila upande mbaya yani maludio huwezi kuangalia pila halivutii kunani jamani
@SamGesta-fy2rs
@SamGesta-fy2rs 9 месяцев назад
Hawa power dymoo wangecheza na Singida wangefungwa nje ndani wala sio wazuli sema simba mbovu ndio mana wanaonekana wazuli lkn timu akuna
@JosephSanga-ri5lq
@JosephSanga-ri5lq 9 месяцев назад
Unafkirii iini timu ya vilema wale wa Sudan mlio cheza naooo ,ila nyuma mwiko bhana mnaaaaumia sana Simba kuvukaaa 🤪🤪
@JosephSanga-ri5lq
@JosephSanga-ri5lq 9 месяцев назад
Ulishindwa kumaliza mchezoo mapema ngao ya jamiii0:0,power katufunga jumla ya mabao matatu ,,,manake ww ni mbovu kwa power ,,,nyuma mwiko ww
@Damarry-FX
@Damarry-FX 9 месяцев назад
Singida iko wapi?. Pumbavu kabisa
@barakadaprince3742
@barakadaprince3742 9 месяцев назад
Moses phiri jmn mbona huyu kocha hata kumpa nafasi shida nn lkn😪
@colethanyaku1077
@colethanyaku1077 9 месяцев назад
Kwanza viongoz wakae na wachezaj wajue shida iko wap jambo la huyu atumtak jambo kocha aondoke kabla ya Nyerere day mrudishen mgunda makocha hawa tulionao watatua mashabiki kwa pressure Lakin mashabiki tutakua na uvumilivu kidogo tu kwa uwanja wachezaj awajauzoea kama kwa mkapa . Kama ingekuwa kwa mkapa leo kocha ingebid aondoke ata leo .
@rockygappi1018
@rockygappi1018 9 месяцев назад
Mmmmmh wachambuzi mmekuwa wengi siku hizi kha😂😂😂 Eti kocha aondoke..aondoke kwa lipi sasa??😂😂 kama we una presha zako we kaa pembeni hufai kwenye vita tuachie simba yetu
@yakobokuzenza6837
@yakobokuzenza6837 9 месяцев назад
Kwa mkapa mlishaficha uchawi wenu.
@rockygappi1018
@rockygappi1018 9 месяцев назад
@@yakobokuzenza6837 lazima utakuwa ilishirikiana nao kificha huo uchawi kwani we umeyajuaje hayo..kigagula mkubwa wewe😆😆😆😆
@RachideLawama
@RachideLawama 9 месяцев назад
Like hapa jamani
@user-ft2pw8nl6y
@user-ft2pw8nl6y 9 месяцев назад
Harry Maguire wa Africa😅
@nehemiarodrick5347
@nehemiarodrick5347 9 месяцев назад
Mmmmmh kocha atupishe
@LoniaNawakwi
@LoniaNawakwi 12 дней назад
Simba almost lost
@BarakaWaya
@BarakaWaya 9 месяцев назад
Goli Ni kosa la beki
@reubenismail385
@reubenismail385 9 месяцев назад
Simba ni sikieni!kocha hapo hayupo ipo siku mtanikumbuka!mtoeni huyo kocha mapema sana maana tunaenda kupata aibu ya mwaka!pili wakina kapombe na shabalala wanacheza mechi nyingi sana hivyo tupate mbadala
@abdallahmdiliko8088
@abdallahmdiliko8088 9 месяцев назад
Hii timu KWa UCHEZAJI HUU.. eti WAFINYU WA FIKRA na akili wanasema kocha ni mzuri.. benchi lots hovyo.. kocha WA VIUNGO nae hamna kitu...
@elinamikileo4011
@elinamikileo4011 9 месяцев назад
Kabisaaa KOCHA WA VIUNGO ni hewa tuu Fitness Bado IPO chini saaana
@yakobokuzenza6837
@yakobokuzenza6837 9 месяцев назад
Msemaji wenu yule shoga anamsifia kocha kila kukicha.
@user-ey2vc8dq9g
@user-ey2vc8dq9g 9 месяцев назад
Mh mm sielw guy koch
@LabaniAkyoo
@LabaniAkyoo 9 месяцев назад
Kipa shati
@ClaraCecil-rq4xf
@ClaraCecil-rq4xf 9 месяцев назад
Viongozi wa simba msichezee tena uwanja huo
@dodomar.i.prajabu8800
@dodomar.i.prajabu8800 9 месяцев назад
Kocha aondeke kipa anaumuhimu aondek
@ismaelvicent2619
@ismaelvicent2619 9 месяцев назад
Huyu coach asepe tuui alud mgunda
@user-iz3im2nf2j
@user-iz3im2nf2j 9 месяцев назад
Amn ki2 apo kocha afai hqn mbinu
@magomakabanja480
@magomakabanja480 9 месяцев назад
Kocha Hatuna wala Kipa huyo Hatuna siku nasema kua Kocha ni Mbinafsi Sana na Anaubaguzi
@Damarry-FX
@Damarry-FX 9 месяцев назад
Ubaguzi gani mkundi wewe.
@user-ii9jb4ly8v
@user-ii9jb4ly8v 9 месяцев назад
Kwa ufup simba ni Zaid ya man u maan so kwa uzembe na kiwango chao punguf sahv jaman
@JohariNgailo-ry3mn
@JohariNgailo-ry3mn 9 месяцев назад
Simba..mtatuua.. Nn..shida
@shadrickchilolo8185
@shadrickchilolo8185 9 месяцев назад
Power dynamos is better than Simba to be honest and Simba is not going far in group stage i close my case.
@ramadhannamkoveka8709
@ramadhannamkoveka8709 9 месяцев назад
Power Dynamo is better team and that is why Power dynamo is going to the group stage. you need to learn how to analyze football between result and performance matters most and also to play to the objective football.
@pauljuma4384
@pauljuma4384 9 месяцев назад
Benj la ufundi lapaswa kujidhatimin
@revocatusadrian9262
@revocatusadrian9262 9 месяцев назад
Timu yenu,coach wenu,kipa wenu,mo wenu siwapangii cha kufanya🙄
@meshackmlaki2066
@meshackmlaki2066 9 месяцев назад
Mabeki wa simba kumanina zenu mnashindwa kukaba mnamlaumu Ayubu mbwa nyie😢
@nasibugunda7927
@nasibugunda7927 9 месяцев назад
haijalishi unapitia njia gani kinachotakiwa ni kukamilisha malengo tutukutane kwenye makundi
@samsonkusupa6809
@samsonkusupa6809 9 месяцев назад
Kipa hamna
@beriasmasanga6859
@beriasmasanga6859 9 месяцев назад
KOCHA HUYU HANA MAHUSIANO NA WACHEZAJI,MNAOMTAKA MTAISHI NA KIHORO
@dastaniminja4972
@dastaniminja4972 9 месяцев назад
Kocha mbovu
@emmanueljohn8970
@emmanueljohn8970 9 месяцев назад
Nimepita kwenye Comment nyingi ila sioni Watu wakidai Kocha aondoke nimegundua Tatizo la Simba tunasubiri mpaka Tufungwe Ndio tuanze Kususiana Timu Mi Binafsi naona kwa Kocha huyu kwenye makundi tunaweza kushika nafasi ya mwisho hana Kocha Msaidizi mzuri hana mshauri mzuri Mi Naona Bora Simba wavunje mkataba wake wamlipe mamilioni yake kuliko kukosa Mabilioni ya Robo Fainali.
@mashakahamsini2007
@mashakahamsini2007 9 месяцев назад
Huyu Kocha mi nahisi kachoka anahitaji mkataba uvunjwe alipwe asepe
@JOSEPHMAASA-sx4wh
@JOSEPHMAASA-sx4wh 9 месяцев назад
Huyo gorikipa wa timu ya simba ni tatizo lililowazi kabsa hata ambaye hajawahi kucheza mpira anaona kabsa,lakini kocha na viongozi wanaojua mpira na waliosomea mpira wanamuona kuwa kipa yuko vizuri!!...AMA KWELI ILE KAULI YA ALIYESOMA NA ASIYESOMA WOTE NI SAWA NDO HIYO...mbumbumbu mzungu wa reli!!!
@BarakaWaya
@BarakaWaya 9 месяцев назад
Kafanya kosa gani Sasa kipa
@barakadaprince3742
@barakadaprince3742 9 месяцев назад
Kipa hakufanya kosa lolote kosa ni lawachezaj sio kipa
@ricklandennis
@ricklandennis 9 месяцев назад
Kipa hajafanya kosa walinzi viungo wanakabia macho huoni ndugu
@renatuschigobolela8626
@renatuschigobolela8626 9 месяцев назад
Apo Gorkipa hadikocha wasepeeee
@ramadhannamkoveka8709
@ramadhannamkoveka8709 9 месяцев назад
tatizo si la golikipa, angalia wachezaji akina chama wanavyomuacha mfungaji afanye anavyotaka. Golikipa sio kosa lake kabisa
@issambarak8931
@issambarak8931 9 месяцев назад
Kocha aondoke jamani hatufai jamani
@franciskasanga3491
@franciskasanga3491 9 месяцев назад
Sio kweli
@yakobokuzenza6837
@yakobokuzenza6837 9 месяцев назад
Kumbuka mlimleta kwa ajili ya kuifunga yanga.Mbona mnakuwa vigeugeu?Mwacheni awasaidie kuifunga yanga.
@user-ls1js5wo7j
@user-ls1js5wo7j 9 месяцев назад
Mabeki wasimba wamesimama kama minala wapumbavu nyie
@JilbertDanifordMathayo-sn2gy
@JilbertDanifordMathayo-sn2gy 9 месяцев назад
AYUBU sio kipa Mzuri kushinda manura Wala Aly Salim.
@Iddymaryam08
@Iddymaryam08 9 месяцев назад
Ila kwenye goli hili lawama ziende kwa viungo na mabeki. Hebu angalia kwa makini mfungaji aliachwa free sanaa
@Damarry-FX
@Damarry-FX 9 месяцев назад
Ambavyo hamjui mpira unamlaumu kipa, unashindwa kulaumu viungo na mabeki kushindwa kublock mpira. Tanzania bado sana kiushabki.
@beriasmasanga6859
@beriasmasanga6859 9 месяцев назад
TATIZO KOCHA,HAJUI CHOCHOTE
@user-fx2wh2zo2u
@user-fx2wh2zo2u 9 месяцев назад
M nafikiria simba kocha atoke pmbafu zake haiwezekani kkos bila ashinde kupata matokeo mchezo m na kchz vzul
@alidangote9260
@alidangote9260 9 месяцев назад
Simba iweke kipa mwingine itafanikiwa
@GosbertHamka-zz9us
@GosbertHamka-zz9us 9 месяцев назад
Kweli
@user-qr4lo5xe5l
@user-qr4lo5xe5l 9 месяцев назад
Kipa mzuri ila wachezaj wenyewe wanasizi Sana kipa siyo wakumlaumu walaumi wakabaj wanajisahau
@user-fc2nv1ib1c
@user-fc2nv1ib1c 9 месяцев назад
Goli la simba sijaerewa amefunga nani au wamefungiwa
@edsoneliah2802
@edsoneliah2802 9 месяцев назад
Hujaelewa au hujaerewa 😂
@user-fc2nv1ib1c
@user-fc2nv1ib1c 9 месяцев назад
@@edsoneliah2802 kamaulivyo elewa
@MasumbukoMaulidi-wc6od
@MasumbukoMaulidi-wc6od 9 месяцев назад
Axhaelewa
@CosmasCosmas-tz8ys
@CosmasCosmas-tz8ys 9 месяцев назад
Kusema kweli simba leo haijacheza vizuli
@DBIRobotics
@DBIRobotics 9 месяцев назад
Sio Leo tu,hata Zambia hawakucheza vizuri,hatuchezi vizuri toka huyu kocha amekuja
@user-zh1rr4hr6v
@user-zh1rr4hr6v 9 месяцев назад
@@DBIRobotics maoni yako nani hafai kwenye hii tim
@user-ii9jb4ly8v
@user-ii9jb4ly8v 9 месяцев назад
Yaan ni maajab ndugu simba inashinda gan sahv kwan
@user-zs4qz4wm2n
@user-zs4qz4wm2n 9 месяцев назад
Kipa na mwalimu wanazingua
@EmanuelAkaro-gr8hg
@EmanuelAkaro-gr8hg 9 месяцев назад
Siyo Leo tuu ila Simba msimu huu hawachezi vizur
@StephanoCharles-nq8tf
@StephanoCharles-nq8tf 9 месяцев назад
Alfu unakuta mtu anakumbia gorikipa mbovu jmni kweli
@RESTITUTANGENDO
@RESTITUTANGENDO 9 месяцев назад
Mdogomdog tutafik
@AtanasMnkondya-qq7vh
@AtanasMnkondya-qq7vh 9 месяцев назад
Nina maon
@challyclassictz5929
@challyclassictz5929 9 месяцев назад
Makundu
@jamesraphael9581
@jamesraphael9581 9 месяцев назад
Wachesaji wetu ovyo tumefugwa goli la kijinga hawakabi.wamesimama tu
@suleimanrashid3918
@suleimanrashid3918 9 месяцев назад
Hii team yetu saiv haina tofauti na man u vituko vyao sijui shida ipo wapi kwa kweli ni maumivu tuu
@habisnasalum-nz4zo
@habisnasalum-nz4zo 9 месяцев назад
Wamekosea kucheza uanja mmoja na yanga ni wachawi sana na walifanya uchawi tangu asubui kuwatuma Azam wafanye mazoezi asubui Ili waweke vizuri uchawi na Azam waliumia kutoka mapema Ile kuungana yanga singida Azam ni kutaka kuiangamiza Simba ndo maana ahmedi Ali hakwenda umeona jana
@E.MendyStephano-pv2uo
@E.MendyStephano-pv2uo 9 месяцев назад
😂😂😂😂 Mbna unaandika utumbo tuu
@E.MendyStephano-pv2uo
@E.MendyStephano-pv2uo 9 месяцев назад
😂😂😂😂 Mbna unaandika utumbo tuu
@Nirata121
@Nirata121 9 месяцев назад
Dah polen sana sio wote wanga
@hamisimkilalu9563
@hamisimkilalu9563 9 месяцев назад
Kipa tumepigwa apa
@gabrielimmari7527
@gabrielimmari7527 9 месяцев назад
wachezaji wanalumbana uwanjani, hamna timu apo kila mchezaji anajifanya mjuaji
@ramadhannamkoveka8709
@ramadhannamkoveka8709 9 месяцев назад
bora Mkuu umeona jinsi wachezaji walivyokosa maelewano na kusababisha timu kutocheza vizuri. Wachezaji wajitathmini
@franccoz94
@franccoz94 9 месяцев назад
WACHEZAJI WA SIMBA NINAN ALIYE WAROGA
@MickyAluis-y3m
@MickyAluis-y3m 23 дня назад
Nimependa kipindi chapili
Далее
JOSHUA MUTALE SKILLS
5:15
Просмотров 25 тыс.
Невыполнимый данк🤯
1:00
Просмотров 3,1 млн
this picture 🥶 #cr7 #edit #football #trollface
0:22