Mwimbaji Bella Kombo amekaa kwenye EXCLUSIVE na Ayo TV ambapo licha ya kusema ni ndoto yake kuimba Gospel, kaeleza sababu za kuamua kuacha kufanya muziki wa Bongofleva na kuhamia kwenye nyimbo za kumsifu Mungu 'Gospel'.
Hongera saana Bella Mungu atakupeleka mbali saana karibu kwenye Gospel najua umeisikia vizuri saana sauti ya Mungu hongera kwa kuitii ña Usiogope utashinda kabisa tunakuombea
Hongera kwa kumtii mungu nakuskia sauti yake mungu akufungue zaidi kupitia huduma hiyo akutimizie kila haja ya moyo wako chochote kizuri unachokitamani mungu akupe kwa wepesi kama unakubaliana na comment gongs like
Hongera sana hautojuta wote waliomkubari Mungu aliwakubari pia na wote waliomuinua Mungu na yeye aliwainua pia waliombariki aliwabariki nyenyekea uwe Sababu ya akina Bella wengi kumrudia Mungu
The post is three years ago but I think it's not too late for my post. I am deeply moved and thankful to God for serving you and your husband. I pray that He who began a good work in you will bring you to the end. I pray that you will find pleasure/ delight in Jesus. Few advise:- 1. Spend more time deepening your relationship with God than serving Him. Singing in particular. 2. Spend more time building your marital relationship. Family is a most blessing and it is highly attacked by devil. Keep building each other with love and patience. 3. Conduct yourselves as ministers of Jesus and not celebrities or entertainers. That one will not only take you higher but will sustain you at the top. Remember, God opposes pride and gives grace to the humble. Finally, I pray that God orders yours steps for the steps of the righteous are ordered by God. You and your husband are blessed with many talents and potentials and so it might be tempting to jump into everything since you can do them and they are good but God's season is critical. So I pray that God will cause you to discern His appropriate time in everything. Much love in Christ. Philbert Bukeme!
wewe umekamilika? kaz kuhukumu wengine wewe ni Mungu? hauna na wala hujapewa mamlaka hiyo ya kuhukumu tengeneza wewe na Mungu wako co kunyooshea kidole wengine
salima Kaniki sasa ww kwani mtu akiokoka ndo atakiwi kuwa na kituku,same time u are sappose to think,kuokaa ni moyo wako na sio kwenye kichwa,mtu unaweza kufanya chochote what's u want,and u believe God from heat dear,,,Thanks
uwa unatzama picha ya bikla maliya au bac wanawake yote tulitakiwa mavazi kama Yale pasi kujali imani ulionao ivo tu mungu wake tayali kamkosea ayo mavazi tu