Тёмный

LIVE: Stamina Anashea Magumu Aliyopitia Kwenye Mahusiano na Ndoa I Zilizokiki Mitandaoni I Kuteta 

CLOUDSMEDIA
Подписаться 1,3 млн
Просмотров 61 тыс.
50% 1

#CloudsDigital ipo mubashara kutoka studio ya Clouds Fm kwenye kipindi cha #LeoTena

Развлечения

Опубликовано:

 

22 фев 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 101   
@joshuason557
@joshuason557 Год назад
Tunamupenda Sana Shorebwenzi hapa Kampala ✌️🇺🇬his songs are full of message
@koffianodichisesa238
@koffianodichisesa238 Год назад
Nimejifunza kitu asante sana stamina 🙏
@victaboy7273
@victaboy7273 Год назад
Stamina bado anampenda mke wake maskini😨😨
@scopy0428
@scopy0428 Год назад
Ndugu zanguni Tuishi kwa hofu Ya Mungu Kila Mwanandoa abebe Madhaifu ya Mwenza wake Akuna aliyemkamilifu
@salaita2829
@salaita2829 Год назад
Lucky dube aliwahi imba nyimbo inaitwa its not easy,muitafute muisikilize,inaujumbe mkubwa kwa watu kama stamina na wote wanaopitia mahusiano ya hivi.
@hefsibahunkie7376
@hefsibahunkie7376 4 месяца назад
bonge la wimbo
@katibampya8442
@katibampya8442 Год назад
Ndo nimeelewa sasa hii ngoma
@gatimarwa7525
@gatimarwa7525 Год назад
Wanaume wanaonaga kuvunja ndoa ni kitu kidogo na anweza akaoa yeyote.....Baada ya miaka kadhaa ndyo wanakujaga kuregret.....Mimi npo napitia hii Hali saiv ila Najua ni matter of time tu.....Huwez Oa mtoto wa mtu alafu vitu vya kuzungumza ambavyo hata ww umesababisha unavibeba kama fimbo unamuacha mtu...... Wakwe wakwe wakwe ndyo Sina hamu kabsaaaaa......Tuwachekee hivhiv pakiwa na amani yakikukuta kwenye ndoa yako ndyo utagundua c watu hawa......Pole Stamina....you can take few step back na kuendelea na Mkeo......Alichokiunganisha Mungu Binadamu Asikitenganishe.....
@givendaudi8721
@givendaudi8721 Год назад
Wakwe🤐🤐🤐
@Fred-Ma
@Fred-Ma Год назад
Aseee
@thereale9085
@thereale9085 Год назад
Wakwe ni majanga kweli ✔
@joshuason557
@joshuason557 Год назад
Waca wewe, ukishindana na mutu inafaa muachane kuliko vita kila siku 🤷
@Fred-Ma
@Fred-Ma Год назад
Hii ngoma huwa naisikiliza kwa hisia kali sana...
@lovinomwamtambulo6629
@lovinomwamtambulo6629 Год назад
Nimetoa machozi Mzee Pole Sana Kwa Sisi Wakubwa Tunafahamu Sana 😢😢😢😢
@jamiinaafyanjema2966
@jamiinaafyanjema2966 Год назад
Daah pole sana stamina
@hanifamziray277
@hanifamziray277 Год назад
Nyimbo zako nzuri sn nimekuelewa
@praygodlivingstone
@praygodlivingstone Год назад
Brother nakuamin sana Una nyimbo za mashiko sana
@amanimanase8798
@amanimanase8798 Год назад
Hayo ndo niliopitia mm baada ya ex wife kusepa yani familia yake haikutaka masikilizano na familia yangu,familia zingine ni mbaya sana yani niliilaani sana iyo familia mpk leo
@gwamakangwala6468
@gwamakangwala6468 Год назад
Good Point
@salimwanga8336
@salimwanga8336 6 месяцев назад
Masha Allah kakaa
@moricemorice75
@moricemorice75 Год назад
Hii story wanazo watu wengi sana hata Mimi pia nimekutana nayo km hii japo vitu tofauti kidogo il
@bahatilubata1582
@bahatilubata1582 Год назад
Nakuelewa sana mwamba
@madownloadionlinetv759
@madownloadionlinetv759 Год назад
mwaka 2018 umepanga mimi nipo kwenye nyumba yangu
@kulwamathias7680
@kulwamathias7680 Год назад
pole sana kaka
@hallerboy
@hallerboy Год назад
Pole sn broh
@The7101987
@The7101987 Год назад
Mimi nimekuelewa sana Stamina Katika ndoa kuvunjika familia zinachangia sana. Rafiki yangu ndoa yake ilivunjika, toka matatizo yanaanza, hakuna familia iliyokuwa tayari kukaa na familia nyingine kuzungumza Kiukweli mpaka kesho naamini kama familia zile zingekaa na Watoto wao ndoa ile mpaka leo ingekuwepo
@gatimarwa7525
@gatimarwa7525 Год назад
Umeongea kweli kabsa....wazazi wa sikuizi ni WA hovyo kabsa.....Laiti hata wao wangeachwa kama wanavoziacha ndoa za watoto wao zvunjike nafikir ndoa nyng zngekuwa chali
@givendaudi8721
@givendaudi8721 Год назад
Yaaan mazungumzo huwa yanasaidia Ila siku hizi wazaz hawataki mazungumzo
@shabanmaganga9972
@shabanmaganga9972 Год назад
Kama mnataka suluhu inawezekana lakin wapo wanandoa mmoja msimamo wake kuachana mmoja suluhu Ndiyo yaliyomkuta mwamba hapo
@selemanimkwichu782
@selemanimkwichu782 Год назад
Goma kali
@villanjimmy7625
@villanjimmy7625 Год назад
Hii ndoa inamaana hat viongoz wa dini hawajashirikishwa,half wadad mjifunze unakutana na mwanaume ana msongo wa kuachwa huko anakuja unamsaidia akiwa saw anamkumbka X wake
@cutieprecious7809
@cutieprecious7809 Год назад
Kweli kabisaa my dia naona hata Mimi naona na ninaishi hayo
@sunzutz1012
@sunzutz1012 Год назад
Kwahyo stamina hata milioni ya akiba huwa hauna dah kumbe hii Sanaa ni machozi
@sifatiiman
@sifatiiman Год назад
😂😂😂😂unawajua wasanii wewe
@blacksignaturevisuals694
@blacksignaturevisuals694 Год назад
3 years ago Stamina addressed the topic om cloudsmedia...he gave a totally different answer...Sasa leo kaamua kusema ilikua sanaa😂😂😂 just say you are over her
@mashakashobo2529
@mashakashobo2529 Год назад
leo ndo najua mastaa wanakuwaga doro aisee
@andrewbongate6859
@andrewbongate6859 Год назад
Hii interview itunzwe
@moricemorice75
@moricemorice75 Год назад
Hat mim nikikumbuk Dr aisee
@salimwanga8336
@salimwanga8336 6 месяцев назад
Mungu tu kakaa
@Malaikakisseto
@Malaikakisseto Год назад
Ndoa inajengwa na wanandoa wenyewe sio familia bwana.kama utasema au utaijenga akili yako kuwa mumue au mke wangu ni wamaisha yote hata itokee nini simwachi basi mtaishi lakini ukisema wanaume wengi au wanawake wengi akizingua aende zake hapo hutakaa kwenye ndoa
@cvanoedward3093
@cvanoedward3093 Год назад
Tupo wengi sana tunaopitia magumu kwenye ndoa
@theonestinamutole8549
@theonestinamutole8549 Год назад
Pole sana.
@hallerboy
@hallerboy Год назад
Dj naomb ngoma ya haller boy balance
@arakajeremiah3077
@arakajeremiah3077 Год назад
Stamina, Kenya 🇰🇪 tunakutambua kaka. Ndoa sio football kubahatisha
@agynoel2846
@agynoel2846 Год назад
Safe cycle ndo ilisaidia mambo yake yasije kwenye mitandao laasivyo kina mwijaku 😀😀😀
@maulidmrisho-zb8cp
@maulidmrisho-zb8cp Год назад
Usiwaze
@emmanueldaud8371
@emmanueldaud8371 Год назад
Uyu mwamba namuelewaga xaana bg up
@pulikisia7963
@pulikisia7963 Год назад
Leo amebadilika kabisa,Ile interview ya kwanza aliofanyaga na XXL alipotoka kuachana hakua anaongea hivi.
@cutieprecious7809
@cutieprecious7809 Год назад
Ndio maana akasema ameyajua makosa ya kurekebisha baada ya kutoka ndoani sasa amejua kaeleza vizur
@pulikisia7963
@pulikisia7963 Год назад
@@cutieprecious7809 👊
@ahz6907
@ahz6907 Год назад
Yaliyopita si ndwele tugange yajayo.....
@aminakawawa5800
@aminakawawa5800 Год назад
Ila wasanii khaaa mpaka kamtungia nyimbo 🤣🤣🤣🙌
@salimwanga8336
@salimwanga8336 6 месяцев назад
Kila kitu na wati wake boss wngu
@aliaboud9202
@aliaboud9202 Год назад
Stamina kitu ambacho hujakielewa kwenye ndoa ni hiki mwanaume unatakiwa uwe unaomba msamaha sana bila ya kujua kosa lako ulikua Huna muda wa kumsoma mke wako wanawake wote ndio wapo hivi hivi dunia nzima unatakiwa u handle stress kila wakati ww jua ni mkosaji tuu
@seifhoza-tt1ku
@seifhoza-tt1ku Год назад
Mwijaku pambana shemej etu alud
@daudiissa9256
@daudiissa9256 Год назад
Mwijaku ingia site ndoa ya kijana iludi hewani
@madownloadionlinetv759
@madownloadionlinetv759 Год назад
wasanii hawa
@patricknguya-jt2kz
@patricknguya-jt2kz Год назад
Mbona gear kama unamwangalia can stamina au umemuelewa nini?
@valentinernestkavishe7297
@valentinernestkavishe7297 Год назад
Mwijaku amepoa
@kimingowameno4068
@kimingowameno4068 Год назад
Kumbe tatizo limeanzia hapo ndiyo maana mke kakimbia
@selemanisiraji-iu3vm
@selemanisiraji-iu3vm Год назад
Duh kuna mengi yakujifunza ase
@festomishita3303
@festomishita3303 Год назад
Kama huu wimbo unamhusisha huyo binti wa pili basi jamaa anapigwa matukio sana aise 😀😀😀😀😀🙌🙌🙌.... watakuuwa mzee hawa watu n umeme
@mariamsanga1781
@mariamsanga1781 Год назад
Maisha ya wasanii Ni magumu hata kujenga mnashindwa mziki wenyewe mmeanza kitambo mpaka mnadharirika kutolewa viombo nje
@sifatiiman
@sifatiiman Год назад
😂
@mirroyjunior8348
@mirroyjunior8348 Год назад
Mwamba anajuwa
@hallerboy
@hallerboy Год назад
Mmb vp oohooo sorry naomb ngoma ya haller boy pole
@aminaoman2100
@aminaoman2100 Год назад
Eeeh wasanii wabogo kweli wanashangaza yan umaarufu wote huo nahuna makaz
@scopy0428
@scopy0428 Год назад
Brother Stamina haujatulia mwanangu ukitaka kutoboa kwenye mahusiano jaribu kupunguza Vitu visivyo na ulazima
@fredyalex
@fredyalex Год назад
Kama vipi
@evancekimath7405
@evancekimath7405 Год назад
Scopy umenena mkuu , fact
@scopy0428
@scopy0428 Год назад
@@fredyalex kuto tambua thaman ya mweza wako
@honestkassim5261
@honestkassim5261 Год назад
Tufanye labda huo wimbo wake WA Machozi kamgusia rafiki yake Roma ambae amescha familia Bongo Kwa kitambo kirefu
@edwardlesian9318
@edwardlesian9318 Год назад
Matangazo mengi mpka watu wamechoka
@salaita2829
@salaita2829 Год назад
Minshachoka kwelikweli
@aronmbunda6603
@aronmbunda6603 Год назад
Daah ila maisha haya
@musaalfani9303
@musaalfani9303 Год назад
Kumbe na wao hua wanakosa hata mia ya kodi daaa
@happyadam2683
@happyadam2683 Год назад
Huyu stamina anaonekana ndo anamatatizo
@urasaomben8641
@urasaomben8641 Год назад
1 Wafalme 18:17-18 (KJV) Ikawa, Ahabu alipomwona Eliya, Ahabu akamwambia, Je! Ni wewe, Ewe mtaabishaji wa Israeli? Naye akajibu, Si mimi niliyewataabisha Israeli; bali ni wewe, na nyumba ya baba yako, kwa kuwa mmeziacha amri za Bwana; nawe umewafuata mabaali. ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-syvWz_oq7eM.html
@fizzozimba
@fizzozimba Год назад
Sema ulioa mwizi kaka kila kitu kwelii na hamna mtoto daah😰
@aliaboud9202
@aliaboud9202 Год назад
Ndoa bwana kama utani mwana munabinyabinya nyanya munanunua bilinganya
@bakariabdallah8702
@bakariabdallah8702 Год назад
duuh kweli mziki haulipi sana mpka kodi ilikushinda pamoja na u star
@ahz6907
@ahz6907 Год назад
Ustar ni mzigo wa mwiba ukiubeba utaumia...
@sophiakassim6784
@sophiakassim6784 Год назад
@@ahz6907 kabisa
@jumannerajabu8259
@jumannerajabu8259 Год назад
mtoto wakiume razima ukaze na uwe namsimamo Mzee mimi kabra sijachukua maamuzi nafikia kwanza ata mara nne au Zaid haitaz kujutia maamuzi Yako ukishaamua
@dostovan5142
@dostovan5142 Год назад
Yule binti umemucha Kama single mother, wasani bhana
@wardadanda6322
@wardadanda6322 Год назад
Nilicho gundua stamina bado anampenda mke wake.
@moricemorice75
@moricemorice75 Год назад
Naweza kusema sisi watu wafupi tunamatatizo frani Ni yapi haya yani Kwanza hata km tumefeli vipi hua hatutaki kujishush pili hua hatutaki kujishush hata km tumekosea ala Ni wachumi sana. N.k
@sophiakassim6784
@sophiakassim6784 Год назад
Nakubaliana na ww
@seifhoza-tt1ku
@seifhoza-tt1ku Год назад
😂😂😂 mwijaku naingia site
@estershekika8865
@estershekika8865 Год назад
Acha uonga mkeo alikuwa namahusiano kweli na mchezaji wa simba Acha kujisafisha
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 Год назад
Muongo kbs huyu 🤣🤣alisha sema mwanzo na tukasikia aseme tu kama ataka kumrudia mkewe amrudie tu 🤣🤣
@estershekika8865
@estershekika8865 Год назад
@@ruqaiamohammed345 anajifanya kasahau tena Alisema hapo hapo clouds tena kile kipindi cha mchana mpka saa kumi na mke wake alikuwa analalamika kwa watu kuwa mwamba hapigi show ya kueleweka then pia anakibamia yule demu kakimbia vingi kwa mwamba
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 Год назад
@@estershekika8865 😃na demu alikuwa anatoka kwenda kwa mchezaji na kirudishwa home na yy anajua hilo mara anaaga anaenda nyumbn kwao kumbe yuko kwa mchezaji 😃aseme tu kammis mke wake warudiane
@estershekika8865
@estershekika8865 Год назад
@@ruqaiamohammed345 kwli maisha yamempiga kaamua tu kurudisha mpira kwa kipa
@villanjimmy7625
@villanjimmy7625 Год назад
@@ruqaiamohammed345 ni nan huyo mchezaji 😱
Далее
Which national team are you rooting for at Euro 2024?
00:17
MCH. MSIGWA ALAMBA MATAPISHI YAKE MWENYEWE !!
2:44
Просмотров 1,3 тыс.
Поймал редкий кадр🤨
0:22
Просмотров 6 млн
КАК ДУМАЕТЕ КТО ВЫЙГРАЕТ😂
0:29