Wanaume wanaonaga kuvunja ndoa ni kitu kidogo na anweza akaoa yeyote.....Baada ya miaka kadhaa ndyo wanakujaga kuregret.....Mimi npo napitia hii Hali saiv ila Najua ni matter of time tu.....Huwez Oa mtoto wa mtu alafu vitu vya kuzungumza ambavyo hata ww umesababisha unavibeba kama fimbo unamuacha mtu...... Wakwe wakwe wakwe ndyo Sina hamu kabsaaaaa......Tuwachekee hivhiv pakiwa na amani yakikukuta kwenye ndoa yako ndyo utagundua c watu hawa......Pole Stamina....you can take few step back na kuendelea na Mkeo......Alichokiunganisha Mungu Binadamu Asikitenganishe.....
Hayo ndo niliopitia mm baada ya ex wife kusepa yani familia yake haikutaka masikilizano na familia yangu,familia zingine ni mbaya sana yani niliilaani sana iyo familia mpk leo
Mimi nimekuelewa sana Stamina Katika ndoa kuvunjika familia zinachangia sana. Rafiki yangu ndoa yake ilivunjika, toka matatizo yanaanza, hakuna familia iliyokuwa tayari kukaa na familia nyingine kuzungumza Kiukweli mpaka kesho naamini kama familia zile zingekaa na Watoto wao ndoa ile mpaka leo ingekuwepo
Umeongea kweli kabsa....wazazi wa sikuizi ni WA hovyo kabsa.....Laiti hata wao wangeachwa kama wanavoziacha ndoa za watoto wao zvunjike nafikir ndoa nyng zngekuwa chali
Hii ndoa inamaana hat viongoz wa dini hawajashirikishwa,half wadad mjifunze unakutana na mwanaume ana msongo wa kuachwa huko anakuja unamsaidia akiwa saw anamkumbka X wake
3 years ago Stamina addressed the topic om cloudsmedia...he gave a totally different answer...Sasa leo kaamua kusema ilikua sanaa😂😂😂 just say you are over her
Ndoa inajengwa na wanandoa wenyewe sio familia bwana.kama utasema au utaijenga akili yako kuwa mumue au mke wangu ni wamaisha yote hata itokee nini simwachi basi mtaishi lakini ukisema wanaume wengi au wanawake wengi akizingua aende zake hapo hutakaa kwenye ndoa
Stamina kitu ambacho hujakielewa kwenye ndoa ni hiki mwanaume unatakiwa uwe unaomba msamaha sana bila ya kujua kosa lako ulikua Huna muda wa kumsoma mke wako wanawake wote ndio wapo hivi hivi dunia nzima unatakiwa u handle stress kila wakati ww jua ni mkosaji tuu
1 Wafalme 18:17-18 (KJV) Ikawa, Ahabu alipomwona Eliya, Ahabu akamwambia, Je! Ni wewe, Ewe mtaabishaji wa Israeli? Naye akajibu, Si mimi niliyewataabisha Israeli; bali ni wewe, na nyumba ya baba yako, kwa kuwa mmeziacha amri za Bwana; nawe umewafuata mabaali. ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-syvWz_oq7eM.html
mtoto wakiume razima ukaze na uwe namsimamo Mzee mimi kabra sijachukua maamuzi nafikia kwanza ata mara nne au Zaid haitaz kujutia maamuzi Yako ukishaamua
Naweza kusema sisi watu wafupi tunamatatizo frani Ni yapi haya yani Kwanza hata km tumefeli vipi hua hatutaki kujishush pili hua hatutaki kujishush hata km tumekosea ala Ni wachumi sana. N.k
@@ruqaiamohammed345 anajifanya kasahau tena Alisema hapo hapo clouds tena kile kipindi cha mchana mpka saa kumi na mke wake alikuwa analalamika kwa watu kuwa mwamba hapigi show ya kueleweka then pia anakibamia yule demu kakimbia vingi kwa mwamba
@@estershekika8865 😃na demu alikuwa anatoka kwenda kwa mchezaji na kirudishwa home na yy anajua hilo mara anaaga anaenda nyumbn kwao kumbe yuko kwa mchezaji 😃aseme tu kammis mke wake warudiane