Mtu wa kwanza kabisa kumshukuru ni Magufuli kwa uthubutu wake Na maono yake kuwajengea hiyo reli ya umeme Na kujengwa bwawa la umeme , samia kwa upeo wake asingeweza au mngeletewa treni la diesel , JPM alikuwa mwamba sana Na aliijenga sana Tanzania 🇹🇿 enzi za Samia hamna chochote cha maana kinaendelea
Sawa Rais anafanya kazi nzuri lakini kwanini tusisifie zaidi sekta husika maana bila sekta hizo ni Sawa n'a bure. Heko 🎉 kwa sekta ya mawasiliano na uchukuzi