Тёмный

THE CLASSIC MR NICE PT 1 : NILISHIKA HELA KABLA YA WATOTO/NLITAKA HELA SIO SIFA/ZAID MIAKA27 YA GAME 

KuviFacts
Подписаться 11 тыс.
Просмотров 37 тыс.
50% 1

Mr Nice ni jina lililotikisa anga za muziki katika ukanda wa Afrika ya Mashariki na kati ,ni msanii ambaye sifa zake na mapato yake yameweka rekodi hadi sasa katika historia ya Bongo fleva licha ya muziki wake kuzngukwa na migogoro ya hapa na pale wakati huu,hii ni sehemu ya kwanza ya mazungumzo yetu ndani ya The Classic akiwa na Jabir Saleh

Опубликовано:

 

19 янв 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 81   
@mosse1466
@mosse1466 6 месяцев назад
16:23 asante kwa kunipa maua yangu Mr. Nice.
@user-hx2if3ep2m
@user-hx2if3ep2m 6 месяцев назад
Nmefurahi sana kumskia nice akisema hata mtoto wa darasa la pili awe anaweza akaskia na akaelewa, kipindi Cha kikulacho ndio nilikuwa darasa la pili na nyimbo ya kikulacho ilikuwa favourite yangu, Kila ikipigwa kwenye redio mamangu, mashangazi zangu na wajomba zangu lazima waniite ata nikiwa mbali nacheza na watoto wenzangu, "Njooo nyimbo yako inachezwa huku" mi ndio nanyanyuka mbio kuisikiliza Kwa furaha sana. Inanikumbusha mbali kiasi, enzi izo nikiwa darasa la pili sai nishapiga Diploma yangu nataka kuenda degree, Mr Nice Salute....
@barakaekuro
@barakaekuro 6 месяцев назад
😂😂😂 Unacha hadi kucheza 🙌🏼
@michaeljeremiah5364
@michaeljeremiah5364 6 месяцев назад
Kwa sasa akuna kipindi Bora Cha weekend kama hiki Cha the classic.... congratulations kuvi chaka !!!...salute kwa efm Kwa kukupa platform hii jizzo blessings kwakee🏁🏁🏁🏁🙏💪
@dikamboy9513
@dikamboy9513 6 месяцев назад
nafurahi sana mrnice kukusikiatena
@kelvinkebby6843
@kelvinkebby6843 5 месяцев назад
natamani Mr nice hafanye remix Ile nyimbo ya mama na harmonize itakaa poa Sana
@ibni_H2TL6r
@ibni_H2TL6r 6 месяцев назад
Jamaa Angekuwa Ni Mzungu Now Tungekuwa Tunasikiliza Interview Ya Billionaire #RespectLegend✌
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 6 месяцев назад
Hamna wazungu walofilisika ?
@ibni_H2TL6r
@ibni_H2TL6r 6 месяцев назад
@@fahadfaraj6474 naa ww hiyo neno kufilisika umelitolea wapi ...!!? mbn m sikutaja hilo neno
@edwardpeter8569
@edwardpeter8569 6 месяцев назад
Ilitangazwa wapi amefikisika au alijitangaza mwenyewe
@ibni_H2TL6r
@ibni_H2TL6r 6 месяцев назад
@@edwardpeter8569 ni nani amesema amefilisika
@gracewairimu800
@gracewairimu800 6 месяцев назад
Mpunguze back ground music mnatesa maskio yetu
@mikatejunior1362
@mikatejunior1362 6 месяцев назад
Friday night naipenda Sana iyo nyimbo
@furahakanzao
@furahakanzao 3 месяца назад
N memiss nyimbo zake jamani mr nice❤🎉
@mvungigaming
@mvungigaming 6 месяцев назад
Nice mkenda kikulacho
@tidesmwakinyuke8633
@tidesmwakinyuke8633 6 месяцев назад
Kwa kweli nyimbo za Mr. Nice zilikiwa zinaweza aikilizwa na watu wote nikimaanisha ht watoto pasipo kupotosha watoto. Congrat's Mr. Nice
@user-mh9qg1bo2y
@user-mh9qg1bo2y 6 месяцев назад
Brother yani we travel in the time through kipindi hikii ..keep going and God bless you for keeping legends alive...big up sana ..love from Rwanda..
@KuviFacts
@KuviFacts 6 месяцев назад
One love
@user-wt7vf4uf3x
@user-wt7vf4uf3x 6 месяцев назад
Mziki wako umetukuza brothr, mziki wa kiungwana sana. uliimba bila kutia tusi mr nice unastahili kupongezwa sana.
@uwezokinahi7870
@uwezokinahi7870 6 месяцев назад
Hakika
@strong8534
@strong8534 6 месяцев назад
Eti kuku wako walikuwa wakipanda baskeli???
@user-ti7nf4jc8g
@user-ti7nf4jc8g 3 месяца назад
Kiwengwa Beach napajua vizuri sana
@abednego229
@abednego229 4 месяца назад
leo ndio nimejua the meaning of TAKEU style ,TANZANIA, KENYA AND UGANDA
@IsacRobath
@IsacRobath 6 месяцев назад
Nimeaza kuimba kisa Mr Nice toka 2003🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@user-jn7tr5oi3o
@user-jn7tr5oi3o 6 месяцев назад
Legend
@Summerbtz
@Summerbtz 6 месяцев назад
Interview nzuri sana,natamani sana siku moja na Mimi NIFANYE interview hapo EFM
@jonathan3325
@jonathan3325 6 месяцев назад
Mr nice from no where amepasua East africa.
@bekacarter5348
@bekacarter5348 6 месяцев назад
Kaka fanya siku tumpate Glover Guru uyu mtu ana'madini sana ya huu mziki wetu
@DRON3Y__
@DRON3Y__ 6 месяцев назад
GURU ASEE AJEE APAAA✅🤝
@mkudesimba9518
@mkudesimba9518 6 месяцев назад
Mshukuru sana Jonas Mkenda !
@nmasare9364
@nmasare9364 6 месяцев назад
Kiukwel Mr nice ni msanii ambae kwanza ni mkweli kutoka namfaham pili ni mtu asiyefeki maisha na kbsa ni mtu mwenye kipaji kile Cha asili shida ya watu wanapenda mpaka ufe ndo wakusifie huyu jamaa anastahili sifa za taifa
@burihabwaramadhan6162
@burihabwaramadhan6162 6 месяцев назад
♥️🫂♥️💐💐💐🌹💐🌹💐
@middytwalib3936
@middytwalib3936 6 месяцев назад
Allah akutangulie br kuvi chaka
@siegfrieddavid6816
@siegfrieddavid6816 6 месяцев назад
Sijua huyu brother ni very humble kiasi hiki
@user-qh9cy9lu4h
@user-qh9cy9lu4h 6 месяцев назад
Heshima kubwa kwako baba nimesikia nyimbo zako nikiwa bado mdogo zilifundisha naziliburudisha ninamengi yakukusifu wakat bado ukiwa hai ila ingekuwa kwa wenzetu ungejengewa sanamu
@DDammySerious
@DDammySerious 4 месяца назад
Brother Mr Nice
@BrokiMaform
@BrokiMaform 5 месяцев назад
Naikubali kutoka Kenya...siku moja tu nitakuwa guest hapo kwa #Theclassic
@mohammedmhina3973
@mohammedmhina3973 6 месяцев назад
Nakumbuk 2005/2006 alikuj nangwanda stadium alichelewa akaingia saa11 kwenda saa12 alipigwa mawe sisahau
@samrankingfire5009
@samrankingfire5009 6 месяцев назад
Masanja anarudi lini mzee
@dicksonabdon656
@dicksonabdon656 6 месяцев назад
safi sana mkuu nimemuona Mr Nice nimefurahi
@salumuseif3324
@salumuseif3324 6 месяцев назад
shoo Bora ya mwaka huu
@rahimchardluck
@rahimchardluck 6 месяцев назад
TAKEU - TANZANIA , KENYA , UGANDA STYLE.Aloo ndio leo nmeelewa maana yake
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 6 месяцев назад
Duu basi we mdogo sana
@richardsolomon1268
@richardsolomon1268 6 месяцев назад
@@fahadfaraj6474 the style itself was copied from a legend from South Africa, I don't know if she's still live up to date her name was Ntombi Marhumbini, her music videos are on RU-vid.
@fasterwalker1464
@fasterwalker1464 6 месяцев назад
😂😂 aloooh sema wengi hawajui​@@fahadfaraj6474
@josephkiwale374
@josephkiwale374 6 месяцев назад
​@@richardsolomon1268offcourse the phrase" Sasa ndo nimeelewa Sasa"left me in awe,how come those years back until now you have no idea what TAKEU style real means,,I bet you are not Tanzanian or if you are, you live in diaspora
@godkigoda9620
@godkigoda9620 6 месяцев назад
nakubali sana kuv chaka
@dikamboy9513
@dikamboy9513 6 месяцев назад
mrnice nakubali sana
@eddiemohamed9003
@eddiemohamed9003 6 месяцев назад
Legend🔥🔥🔥🔥
@ndesafanamfala5800
@ndesafanamfala5800 6 месяцев назад
1994 tukiwa Kisangiro Moshi Marangu Kilema wakati Mwanamzi Ghato kutoka Congo anatamba na Ngoma yake ya Azalaki awa Mr Nice ntamwita hivyo Sema Kuna jina lake la skonga huyu Ndugu akiwa na zile Double deck Panasonic radio alikuwa anapiga show zakwenda Mgombani Babu kubwa ukatoboa kweli Sema Kipaji chako Cha uchoraji Mzee mwenyewe Nakupa salute zako ubora wa Obi na Linda...yum yum king Man hapa East London
@nandomosha1115
@nandomosha1115 6 месяцев назад
Kwetu kbs hapa!
@bestman8182
@bestman8182 4 месяца назад
Ghato kaokoka siku hizi hatak muzik wadunia😅
@bestman8182
@bestman8182 4 месяца назад
1. Azalaki awa pembeni na ngai....alikuwa hapa..she used to be here with me 2. Esika Akei ....ameenda mbali 3. Moto oyo nalingi akomi mosika...mtu niliyempenda sasa yupo mbali nami 4. Nalela na nani, nasala po nini, nakende ko wapi..nitalia na nani, nifanye nini, niende wapi mimi 5. Sherry akei na ye, alobaki na nga kozonga...mpenz wangu kaniacha, aliniambia angerudi 6. Nakati ya ndoto asingi nga loboko, nafungula miso natala pembeni namoni moto te...naota nipo naye amenishika mkono nikifungua macho sioni mtu 7. Lelo natimi baye baloba maladi ya bolingo eza na kisi te!..leo nimeamini waliosema maradhi ya mapenzi hayana tiba😅😅
@mbishiwatown7929
@mbishiwatown7929 6 месяцев назад
Namkubar Sana huyo mwamba
@bullychandy6509
@bullychandy6509 6 месяцев назад
Jamaa sauti yake iko poa sana
@bestman8182
@bestman8182 6 месяцев назад
Ila kuna vionjo vya kikenya kwenye lafudhi yake...why?
@erickmbilinyi2056
@erickmbilinyi2056 6 месяцев назад
Interview mwishoni inakwama kwamaaa
@DRON3Y__
@DRON3Y__ 6 месяцев назад
Friday night ni ya 1997😂…. Yani mimi ndo nyimbo yangu pendwa kutoka kwa MR Nice ni ya 97 … mmmh hadi sisi tunakua 2003/2004 ilikua bado kene chat kweli LEJENDI .. UPEWE MAUA MR NICE
@bakarimahenge
@bakarimahenge 6 месяцев назад
napenda sana nyimbo zako ila ya mbona umeniacha mama kilasiku naiskia ila nyimbo yangu bola kinani nani nakuita ujeuwewangu naipenda hadi leo hasa ile biti
@johnmtega-wm4xt
@johnmtega-wm4xt 6 месяцев назад
Mr nice
@jiwefurniture1128
@jiwefurniture1128 6 месяцев назад
Picha kali...
@user-gi1pk5hq1s
@user-gi1pk5hq1s 6 месяцев назад
Anapenda kuongea Sana anaalibu
@djumadjumbe6907
@djumadjumbe6907 6 месяцев назад
Mr Nice alikua mkubwa kabisa huo wakati alikua mwamba
@user-kz8eq3vi6y
@user-kz8eq3vi6y 6 месяцев назад
Mr nais kiboko alichangia wa mama wakichaga kila siku kwenye sherehe kupigana ikipigwa Ile nyimbo yake ya kikulacho
@guluramadhani1799
@guluramadhani1799 6 месяцев назад
🙌💥💥💥🙌
@KuviFacts
@KuviFacts 6 месяцев назад
🙌🏾
@alibachirofficial3939
@alibachirofficial3939 6 месяцев назад
Jamaha ana miyaka 74
@kagirasta1476
@kagirasta1476 6 месяцев назад
Namkubali sana Nice mkenda, nlkua nadhan friday night ya 2000 kumbe 1997
@DRON3Y__
@DRON3Y__ 6 месяцев назад
Naikubali saaana 🤝
@stevewanga957
@stevewanga957 6 месяцев назад
Jamaa bado hazeeki kabisa 😂
@BABAGIFTBOY
@BABAGIFTBOY 5 месяцев назад
Kuku kapanda beskeli
@bakarimahenge
@bakarimahenge 6 месяцев назад
ila jamaa kikenya kimemkaa
@msowamhokole7714
@msowamhokole7714 6 месяцев назад
Mr nice dudu baya alikipigia nini ivi
@shabbyofficial_
@shabbyofficial_ 6 месяцев назад
Mr nice alikua mchokozi
@user-wj6zj1ly4e
@user-wj6zj1ly4e 6 месяцев назад
Nyota yako ipo ila umeamua mwenyewe kuiacha ife hvohvyo. Hujaibiwa nyota
@user-gc7ms1pv4q
@user-gc7ms1pv4q 6 месяцев назад
Mwamba kabisa huyo mtu hatari mr nice
@ElchapoGG
@ElchapoGG 6 месяцев назад
Poor sound ina scratch sana!! Work on that
@JaymbwanziOg
@JaymbwanziOg 6 месяцев назад
Jmn kofia ya kibonge tozz c ndyo ile ya diamond plutnumz iliyo poteaga et wadau au hajaliona hro
@Deussiyussuphu-jc8wi
@Deussiyussuphu-jc8wi 6 месяцев назад
Yenyewe iyo
@KuviFacts
@KuviFacts 6 месяцев назад
Hahah zinafanana mkuu
@JELSONMAUKI
@JELSONMAUKI 5 месяцев назад
Si unajua Nice na diamond ni wako sayari 1 SEMA generation tofauti. Mr Nice ni diamond wa zama zile
Далее
EXCLUSIVE: "HATA NIKIFA LEO SINA CHA KUJUTIA" - MR NICE
11:00
Иран и Израиль. Вот и всё
19:43
Просмотров 1,5 млн
Sitaki kua tajiri, nataka kufanikiwa
55:54
Просмотров 59 тыс.
Иран и Израиль. Вот и всё
19:43
Просмотров 1,5 млн