Тёмный
No video :(

TUFUNUE KITABU (SILSILA 22) Ali Hassan Mwinyi kwenye Mzee Ruksa, Safari ya Maisha Yangu 

Gumzo la Ghassani
Подписаться 18 тыс.
Просмотров 7 тыс.
50% 1

Wiki hii kwenye kipindi cha Tufunue Kitabu na Ismail Jussa, kurasa za kitabu cha Rais Mstaafu wa Zanzibar pamoja na JMT Ali Hassan Mwinyi kiitwacho Mzee Ruksa, Safari ya Maisha Yangu. Mtazame mchambuzi wetu akiwa na mwongozaji kipindi Mohammed Ghassani.

Опубликовано:

 

22 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 25   
@nailamohd7693
@nailamohd7693 2 года назад
Ndio kawaida ya uwongo, uwongo siku zote hauna kheri utakuadhirisha tuu kitabu chake hakikukaa sawa kaandika vile anavotaka yeye ndio mana sehemu nyengine anajifunga mwenyewe. Tumekuelewa Mheshimiwa Jussa na Brother Moh'd Ahsanteni ❤️
@nailamohd7693
@nailamohd7693 2 года назад
Shukran sana kwa kipindi kizur chenye mafunzo ❤️
@abdulrahmansalim9773
@abdulrahmansalim9773 5 месяцев назад
😮😮HAO WOTE WALOLETA MAUWAJI YA WAZANZIBARI MWENYEZI MUNGU HAKUGHAFILIKA NA WATU WEZI WANAFIKI WAONGO MADHALIM HAKI ATAILETA IN SHAA ALLAH AMEEN
@homeboybeyondtheborders4935
@homeboybeyondtheborders4935 2 года назад
Ila Jussa uchambuzi wako uko vizuri sana
@it-vw4zj
@it-vw4zj 2 года назад
Well done Jussa kwa ufasaha na techniques zako za kuchambua mambo.. as always your analysis is top class masha'Allah
@Neighborsjiran
@Neighborsjiran 2 года назад
MashaAllah Shukran kwa uchambuzi
@salyali7807
@salyali7807 2 года назад
Uchungu mtupu.. wamekuja zanzibar kuneemeka baadae wanatubadilikia.. hasbiyallah waneemal wakeel
@it-vw4zj
@it-vw4zj 2 года назад
Wala usiseme akhuy hawa jamaa ni mahasid sana sana
@nassormohammed9742
@nassormohammed9742 2 года назад
Ahsanteni sana kwa uchambuzi huo, Allah akuhifandini
@ahmedissa7882
@ahmedissa7882 2 года назад
Inasikitisha sana zanzibar kama so ubinafsi wa watu flani basi zanzibar ingefika mbali
@mohamedkilemile3058
@mohamedkilemile3058 2 года назад
Ahmed Issa, ukisoma article ya Professor Abdulrahman Babu, "Zanzibar and the future" utajua kabisa Zanzibar inaweza kuwa kama Singapore , kukiwa na wazalendo wa kweli sio hawa wapigaji, pia huu mradi wa mafuta haufai kufanywa Zanzibar, kwa athari za Mazingira na utalii.
@azizamri1522
@azizamri1522 2 года назад
Inasikitisha sana kuwa amechagua kukiuka ukweli kwa sababu historia imtazame kwa macho ya kheir. Vile vile kashindwa kumkosoa JKN kwa fujo zake za kuingilia kazi ya Uraisi. Uwongo una madhara mengi kwa jiil zinazokuja.
@buchbeats5337
@buchbeats5337 2 года назад
Mjomba angu Mwalim Raza nakumbuka aliwahi kunihadisia walipokua walimu pamoja na mzee Sihaba Beit Ras kuna siku walikua wakisikiliza matokeo ya uchanguzi ASP walishindwa bac mzee Sihaba akainuka na kuvunja radio wazanzibar walimshanga na kumwambia ww hujazaliwa Zanzibar hii jeuri ya kuvunja radio umeitolea wapi na kuzusha mtafaruku mkubwa chuoni.
@misscoast3174
@misscoast3174 2 года назад
Toba 😱 anajitia hasira za kizungu eenh
@buchbeats5337
@buchbeats5337 2 года назад
@@misscoast3174 😂😂
@halimarj6309
@halimarj6309 2 года назад
Mimi nnahisi hata msimulizi wetu ana mapungufu yake maana katika historia zote zilizopo duniani hakuna ilio andikwa kila kitu au maisha ya mtu aandike kila kitu haiwezekani sasa alicho kiacha basi kwasababu zake na tusimuhukumu kwa hilo na kuliweka kua hoja ya uzaifu au uhini
@msabahaali758
@msabahaali758 2 года назад
Hakika nyerere alitutetea mapandikizi meng Zanzibar
@misscoast3174
@misscoast3174 2 года назад
Vitabu vyote vyooooote lazima vijadiliwe na vikosolewe ni kitabu kimoja tu ndio kilokua perfect kimekamilika nacho ni Qur'an tukufu bas vilobali vyote vina mapungufu
@it-vw4zj
@it-vw4zj 2 года назад
Hichi kitabu ilikua kiitwe Mzee Nuksi sio Mzee Rukhsa
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 5 месяцев назад
Unateseka ukiwa wapi?
@TalhenSaid-ot5fr
@TalhenSaid-ot5fr 6 месяцев назад
Kitabu cha ali hasan mwinyi nakuwataja kina said ali ruwehy
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 5 месяцев назад
Mhindi wewe huwezi kusema ukweli, kwani hata kule Afrika Kusini sio wazungu wote walikuwa wabaguzi, kwahiyo huwezi kusema hakukuwa na ubaguzi
@hilalal-busaidi4007
@hilalal-busaidi4007 2 года назад
Ilikua chuki za kisiasa mm mwenyewe mzee ali kanikarbisha kwake na mm nina asili yakiarabu alikua hana chuki za kisiasa.
Далее
Simple Flower Syrup @SpicyMoustache
00:32
Просмотров 1,1 млн
OBLADAET - BARMAN
03:06
Просмотров 59 тыс.
MWINYI AINGIA IKULU,NYERERE AAGA TAIFA 1985
8:20
Просмотров 90 тыс.
JUSSA AFICHUA SIRI NZITO YA MUUNGANO
34:06
Просмотров 57 тыс.
Simple Flower Syrup @SpicyMoustache
00:32
Просмотров 1,1 млн